Nowander the dibet of america Hapo shiekh unasema kweli mashindano ya quran sikuhizi mpaka makafiri ulaya wanafanya.Subhanla wanapataje ujsiri wa kumzaha mwenyezimgu wallahi ina sikitisha sana naandi hii comment machozi yananitoka.dunia imefika mwisho.shiekh anwar.mazinge nakadhalika hakika kazi munayo.lamuhimu sisi waislamu tuwaombeeni mungu awa hifadhi .awpe afya umri na nguvu.ilimupate kuongoza wa islam wasojuwa kutafautisha.haki mungu awa weke muzidi kuistiri dini ya mwenyezmgu ishaala amin
Nowander the dibet of america
Hapo shiekh unasema kweli mashindano ya quran sikuhizi mpaka makafiri ulaya wanafanya.Subhanla wanapataje ujsiri wa kumzaha mwenyezimgu wallahi ina sikitisha sana naandi hii comment machozi yananitoka.dunia imefika mwisho.shiekh anwar.mazinge nakadhalika hakika kazi munayo.lamuhimu sisi waislamu tuwaombeeni mungu awa hifadhi .awpe afya umri na nguvu.ilimupate kuongoza wa islam wasojuwa kutafautisha.haki mungu awa weke muzidi kuistiri dini ya mwenyezmgu ishaala amin
Allah Akbar kwa hakika Qur'An itaendelea kubakia kua Qur'An
Kamwe haiwezi potea adi kiyama mungu yuhai daima msimamiz wa Mambo yote
Wallahi inasikitisha.mpaka machozi ya nanitoka
hatari
😂😂😂😂😂