Mashallah mashallah,,shekh wetu muhoro upoo sawaa kbsaa,, yaani nurdin kishik ukiona Kuna mwislam anamsema,,,vby nurdin kishik,,basi huyooo,, NI sawaa na nguruwee,,tuu anakuwa hajuw Kaz anayoifanya katik dunia,,pia anakuwa anamuonea wivu tuu,,basii,, pamoja Sana nurdin kishik popote pale ulipo Allah ,,akuandalie pepo la juu,, siku ya mwisho,,na mashekh wengne kwa ujumla
Watashndwa na tena wanazidi kujipa giza na watafukarika sana na kadri wanavyohangaika kuiharibu ndivyo Alla mwenyewe anavyzidi kuilinda na kuipa nuru zaidi wasivyoelewa na maluuni tu hwataweza na watashindwa sanaaa!!
SubhannaAllah ! kweli Quran anaisimamia mwenyewe M'mungu (S.W.) Ostadhi M'mungu akuape umri wenye Afya kwa kufafanua wako inshaAllah . Na walokitunga M'mungu awape Laaana iwaangamize hapa duniani kabla Akhera inshaAllah .
Hilo jambo naliogopa kwasababu hao watu wanamalengo ya baadae itafika wakati quruan ya kweli itapotea na itaenea hiyo feki kwakua waislamu waleo hatunamda wa kuwafundisha watoto tuchukue hatua
Mashallah mashallah,,shekh wetu muhoro upoo sawaa kbsaa,, yaani nurdin kishik ukiona Kuna mwislam anamsema,,,vby nurdin kishik,,basi huyooo,, NI sawaa na nguruwee,,tuu anakuwa hajuw Kaz anayoifanya katik dunia,,pia anakuwa anamuonea wivu tuu,,basii,, pamoja Sana nurdin kishik popote pale ulipo Allah ,,akuandalie pepo la juu,, siku ya mwisho,,na mashekh wengne kwa ujumla
Lahaula walakuwwata ila billah
In shaallah mwenyezi mungu awashinde madui wa quran
Duh kwa kweli kabisa hii inasikitisha Sana in shaallah mwenyezi mungu atuongoze
Subhanallah
Haki masheikh mnajuhudi sana ya kuelimisha jamii Allah awape janah.....jamani tuelimisheni
Ustadh shafi nawaombea Dua Allah awape maisha mema fii Dunia Wal akhera.. Allah humma Ameen 🤲
Maaha Allah Masha Allah Tabbarak Rahman sheikh wetu. Allah akulipe Kheir ww pamoja na Sisi
Watashndwa na tena wanazidi kujipa giza na watafukarika sana na kadri wanavyohangaika kuiharibu ndivyo Alla mwenyewe anavyzidi kuilinda na kuipa nuru zaidi wasivyoelewa na maluuni tu hwataweza na watashindwa sanaaa!!
SubhannaAllah ! kweli Quran anaisimamia mwenyewe M'mungu (S.W.) Ostadhi M'mungu akuape umri wenye Afya kwa kufafanua wako inshaAllah . Na walokitunga M'mungu awape Laaana iwaangamize hapa duniani kabla Akhera inshaAllah .
YARABI tunusuru amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin🤲
Makafiri wanambinu ila hawamshindi Allaah hata siku moja
Hichi kitabu kitakua lazima kkmeqndikwq na muarqbu muisilamu kwa tamaa yake ya kidunia ,allah atuongoze yaarabi
Subuhanallah dah atari sana
Takibriiiiii Allahu akbaru
Subhanallah Allah awalinde vizazi vyetu🙏
Wanataka kuizima nuru ya mungu kwa ndimi zao ila mwenyezmungu ataitimiza nuru yake hata washirikina wakichukia
Hao ni wayahudi ndio wanaofanya jitihada hizo, ukiristo wameuweza sana so umebaki Uislam
Mm kusoma Qur-An nimefika juzuu 13 lakini hio Qur-An fake ikisomwa tu naijua😁, Allah atulinde
Iyo so kuruani bwana ni kitabu kama cha hadithi za bunuasi kuraani tunaeijuwa sisi huwezi ibatilusha bwana usifanye mchezo na Allah bwana.
Hilo jambo naliogopa kwasababu hao watu wanamalengo ya baadae itafika wakati quruan ya kweli itapotea na itaenea hiyo feki kwakua waislamu waleo hatunamda wa kuwafundisha watoto tuchukue hatua
Wajinga tu hao, Hakuna mjinga wowote anaeweza kuleta ata mfano mmoja wa Qur'an