Lil ommy umechemka....approch yako kwa mkuu wa wilaya haikuwa nzuri....soma alama za nyakati. yule jokate wa salamu za kihuni was in the past ulitakiwa kumpa heshima yake as DC
Kabisa......mpaka mwenyewe akamshtua kwa kumuambia habari za asubuhi....lakini hata hajashtukia.....baadhi ya wana habari wa siku hizi bhana.....wenge tu vichwani!!!
yeah she is very inspired reader so, much congrats to her and b aendeleeee vivyo ivyo na mungu amsimamie katika majukum yake just be course tunataka kiongoz bora kama jocate
Lilly ommy umemkaribisha DC qa kisarawe kihuni sanaa, Jaribu kuangalia nani unaemfanyia interview yako,Huyo sasa hivi ni DC wenu hapo bongo,Jirekebishe ukaribishaji wako ni wa kihuni sana,wakati unawakaribisha hap yo yo yo sio mbayaaa ndio wanavyopenda.
Alafu uyu dada dah!!🙊❤...beauty with brain.....she has money but yet shes humble. Othe tz female that barely have much and without brains comes here with too much show offs and too much makeup. They come and talk about how many men they have dated.😢😳😭😫without intelligence
Magufuli ni rais mchapa kazi Africa...wapinzani hutafuta kila kitu kusambaratisha mipango ya wanaojali nchi...miaka mingi mmetafuta rais..na Mungu akawatunuku Magufuli....Support him ...hez going to take Tanzania To new heights....Hapa Kenya bado tunatafuta ....jua hvyo
@@jeremymakokha4797 kaka nimekuelewa vilivyo. Ubora wa magufuli hauhitaji PHD kuuona ila kumbuka yeye ni bora as a person sisi tunataka system nzima iwe bora and not a person kwanini,kwa sababu Leo yupo kesho hayupo .Unaanza kunielewa kaka
@@godwinegacharo9001 nmekuelewa lkn kuna watu naowapenda mfano wake RC hapi ,RC Aggrey mwanri ...na wengineo .....Africa inakosa watu aina hii ....na huu ni wakati wa mabadiliko Say hi to Mama Samia Suluhu na waziri mkuu Kassim na Dangote Baba lao
Beauty with brains. So intelligent, hardworking, kind and humble. Beautiful without makeup
Eunice kmbe unawew umeona eeh,, she is More beautiful
Muheshimiwa joket tunakupenda mungu akuongoze dada kuwa hivyo unapendeza we n msanii pekee unaejielewa 😍😍
Lil ommy umechemka....approch yako kwa mkuu wa wilaya haikuwa nzuri....soma alama za nyakati. yule jokate wa salamu za kihuni was in the past ulitakiwa kumpa heshima yake as DC
Ab Ras kabisa dduh...
Kabisa......mpaka mwenyewe akamshtua kwa kumuambia habari za asubuhi....lakini hata hajashtukia.....baadhi ya wana habari wa siku hizi bhana.....wenge tu vichwani!!!
Kweli kabisa.Mkuu wa Wilaya ni mtu mkubwa Sana.Sijapenda jinsi alivyo mkalibisha kwa kweli. Siku nyingine fanya masahahisho mzee Baba😡😡
Kakosa nidhamu,kwani cyo tena yule alokua wamwanzo kamzoea
Kama unakubaliana na mimi kua Alikiba kapoteza dhahabu gonga like 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Ng'wacah Nyagwaswa hajapoteza chochote bro...yoote kheri kwa kweli everything happens for a reason: we needn't regret about anything
Kama nawe unampenda Mh jokate na unamkubali kwa kazi anayo ifanya gonga like hapa
Big up jokate never give up GOD will help you 4 everthing together with you mumy
Jokate roll model 💯🔥🔥🔥💪 🇰🇪🇰🇪
Mheshimiwa ukiwa unaongea nicheki kukusikiliza
For sure she is super 💛
Jokate na Diamond midomo yao 😋😋😋😋😋 kila wakati. Jokate keep it up soldier
#LilOmy
Kizazi Sana Mwanangu Viva #MhJokateKidoti
Hongera kwanza mh dc kwa kazi nzuri unayofanya hadi sasa
yeah she is very inspired reader so, much congrats to her and b aendeleeee vivyo ivyo na mungu amsimamie katika majukum yake just be course tunataka kiongoz bora kama jocate
Doh nampenda huyu dada
♥♡♡♡♡♡♥
Nampenda buree uyu dd Allah azid kukucmamia kwa kila hatua uipigayo
Joketi nakukbali na km unamkubali jojo gonga like
vip kuhusu University ...pia ulikuwa kiongoz....?na ilikuwa ni ngaz gan uliyokuwepo.....well done good luck
Huyo ndo mungu humpa anayemtaka mungu kamuonyesha njia jokat kwa uwezo wake hapo hasingefika we ukiforce utaroga
Congrats m amazing ooooo one d as willlllllllllllll
Acha dhalau kisa nibinti/wakike huyo nimuheshmiwa tayari, approach yako imekua cyo nzuri
jokwty ni mzuri
Nakupend San unamuinsper mtot Wang iren mling
Lilly ommy umemkaribisha DC qa kisarawe kihuni sanaa, Jaribu kuangalia nani unaemfanyia interview yako,Huyo sasa hivi ni DC wenu hapo bongo,Jirekebishe ukaribishaji wako ni wa kihuni sana,wakati unawakaribisha hap yo yo yo sio mbayaaa ndio wanavyopenda.
MH. ni mgeni kwenye hiyo show, anajua format arch ya kipind na yeye ndio anapaswa ku adjust ku fit theme ya kipindi husika.
Kama ww unampenda joket kama mm gonga like apo
Hongera sana
Jokate: 🌹
Daah!! Hongera jojo, Mungu akuongoze!
Napomona huyu dada namouna mondi kwa mbl kama bado anamiss miss
Amini mwingi ni Wa rehema you was shared at par facebooks
Amini Mungu ni Wa rehema
Interview ipo on hewa ,ipo juu mawinguni
OMY nakubali nzee baba
I ndo interview #kali ilobaki #youtube nakubali san #lil ommy
Yes
Hongera dd minaamini anapenda kazi yake ndoo maana anajituma
i like u moo kdot!!!!
I love you ma role model
Mama Mili ,dada ,Shem ,and mamaJJL we are the similar mnafananaaaaaaaaaàà as aaaaaaa
Alafu uyu dada dah!!🙊❤...beauty with brain.....she has money but yet shes humble. Othe tz female that barely have much and without brains comes here with too much show offs and too much makeup. They come and talk about how many men they have dated.😢😳😭😫without intelligence
Nakupenda sana Jojo
Je t'aime Je t'aime tellement pour Jésus
Congo
Love u jokate kidoti
hongera
Arikiba nadiamond hawajuwi wana wake watabiya zuri huyu dada anata biya zuri kabisa
love you. joketi
tym will tell........jojo
Yeah baba kizaz sana,,unaongea na shemela,,,yoooooh
Mjomba atuletee huyu Wilayani Mvomero
kazi tuu
Uyu muheshimiwa anastahiri anaogeyamuzuriwegine kuyama jokate oyeee nazamaradi oydeee
mungu ni mwema
Kama kweli wew ni lilly mzalendo was +255, +256, +257...gonga like nami ili kumuaminisha Mh. DC Joketi Mw. Kama yupo kizazi zaidi.
kazi tu
Duhhhhh jojo ni mtoto mkali xana
Jocket nakukubali japo mi ni ant-CCM
Ww ni bure kama ww na Anti-CCM...na huu uongozi wa Magufuli na vijana wachapakazi ww una kichaa....from 254 Kenya
@@jeremymakokha4797 hivi Kenya mnajua siasa ya bongo ilivyo na makona mengi.hujui tu ndugu yangu!
Magufuli ni rais mchapa kazi Africa...wapinzani hutafuta kila kitu kusambaratisha mipango ya wanaojali nchi...miaka mingi mmetafuta rais..na Mungu akawatunuku Magufuli....Support him ...hez going to take Tanzania To new heights....Hapa Kenya bado tunatafuta ....jua hvyo
@@jeremymakokha4797 kaka nimekuelewa vilivyo. Ubora wa magufuli hauhitaji PHD kuuona ila kumbuka yeye ni bora as a person sisi tunataka system nzima iwe bora and not a person kwanini,kwa sababu Leo yupo kesho hayupo .Unaanza kunielewa kaka
@@godwinegacharo9001 nmekuelewa lkn kuna watu naowapenda mfano wake RC hapi ,RC Aggrey mwanri ...na wengineo .....Africa inakosa watu aina hii ....na huu ni wakati wa mabadiliko
Say hi to Mama Samia Suluhu na waziri mkuu Kassim na Dangote Baba lao
Niko kukazi wakati inaisha munisamehe taonakunyumba
Kizazi
DAS nmemuelewa amekushaur kitu kizur sana joo
Kizazi Sana
Liked
Liliomy #Nakukubari sana broo mpe hai sana Joketi
Vizur San unamuinsper mtot wang
Mh una nyota kali xana
Safi kidoti
Kwani fitna mpka sasa zimeisha mh Dc
jojo elewa sasa mama utupe eshima wanawake
ww nitafute
Ya kizazi sana
Unaongea na muheshimiwa
kizaz saana
Je t'aime Je t'aime tellement pour Jésus
Kizaz san nakukubli joket
Hv joketi ananyodo au ndo alivyo tu jaman kimuonekano
Official Tinny Altezza wemjinga
@@lilianwilliam9222 Hapana Lilian ujue amekaa siliaz kinoma huyu mdada japo ni mzur hatar
kafanana mchumba wa pilipili
Diamond uge muowa huyu ao arikiba anastahiri kabisa
None of them two deserves a great woman like her with all their shakara and headaches
Dah diamond kashapiga apo
Niaje😁😁