Mkutano wa Askofu Moses Kulola 1997 Viongozi wa Serikali Wahudhulia uponyaji ulishangaza
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Mkutano Mkuu wa Injili wa 1997 uliofanywa na Askofu Moses Kulola ulikuwa tukio la kuleta mabadiliko ambapo viongozi wa serikali walihudhulia kwa maombi ya nguvu na uponyaji. Waliohudhuria walipata mafanikio ya kiroho yasiyotarajiwa, na hivyo kukuza hali ya umoja na matumaini ndani ya jumuiya. Kusanyiko hili la ajabu halikuangazia tu ushawishi wa imani katika uongozi lakini pia lilionyesha imani kubwa ya maombi ya pamoja juu ya uponyaji wa kibinafsi na wa kijamii.
#gospel #gospelmusic #injiliyakristo #gospelmessage #gospelmessage #love #motivation #moresubscribers #watchhours #africa #tanzania #eagt #azam
Mungu wa mbinguni nisamehe nimekukosea mara kwa mara na ninastahili adhabu yako, Nisamehe Mungu wangu
Ameeeen Mtumishi iwe hivo
ameni ameni ameni
Amen, Mimi pia Yesu Kristo Anisamehe Dhambi Zangu..
Injili iende mbele kweli tunabarikiwa sana kwa chakula unavyotulisha wanao kupitia chanel hii
MUNGU nipe mwisho mwema.. mtumishi moses kulola yupo paradiso . Wapendwa tupambane katika njia hii iliyo nyembamba ili tufike jimbo la paradiso MBINGUNI...AMEN
Kweli yupo paradiso tupambani Mungu nipe mwisho muzuri
@@LylianeBauma kumbe unamfahamu aisee vzr sana , ningependa nikufahamu kama hutojali.
Ameen
@@BillMesso yes Nina mufahamu niliyasikiliza mahubiri yake kitambo sana naitwa Liliane
@@LylianeBauma upo wapi liliane??
Jamani mwaka huo ndo nililetwa duniani asante YESU KRISTO
Ameeee
Amen
Amina injili inaishi bado ila babu umelala lalasalama pumzika salama tutaonana asubuhi inakuja
kwel mungu atuongoze
Injili isioghoshiwa ndio hiz na ni adimu kwa zama za leo.Jina la Yesu litukuzwe
Mungu nipe neema hiii
Ameeeen
Hiv mwakasege ndo alimpokea huyu au walikuwa wote wanapiga injili?..maana 1997 Nina miaka mi4 ..
Mwakasege ni mtoto kbs wa kiroho kwa huyu Mzee. Tena aliokoka kwenye mkutano wake!!!
@@CharlesMbunda-og5tn kumbe na Bishop Zachary Kakobe pia
YA KALE DHAHABU!
Kabisa
Injili iende mbele
Injili halisi