Kweli kabisaa ohoooooo.......akuna kutoo hela ovyo2,pesa inaadabu yake,ndo maan IPM nampenda San ananifundisha vizur,ila leo bongee la uparaaaa.....hahahahaha...😂😂
Prophet yan ninakukubal San wasiokuelewa ni wajinga yan sijui kwanini mungu akkuona miaka ya nyuma aiseee ungekuwa mbali sana,ila usijal ninajembe moja tuuu tena naliamini wengine siwaamini ni IPM peke ake,Allah akupatie maisha marefu San
Thanks you prophet ipm for your good advice to the whole world may God continue speaking through you
Ipm mungu akubaliki akuongezee
IPM ni nabii namba mbili++@ baada ya NAbii GD++@ Tanzania nzima@
Nashukuru kwaile dundisho bana
Hakika wewe ni Mtumishi wa Mungu. Umetumwa na Mungu uwaelimishe wavivu wote waamke. Waaache usumbufu kwenye jamii. Wawajibike. Na waache lawama.
Huyu mshkaji anakuwaga na nondo Sana. Ila bongo kuna vichwa Sana sema watu wengi wanaishia tiktok.
Mungu akubariki sana
Uhakika IPM
Dozi kali
Kweli kabisa akuna kutoa héla hovyo
Kweli kabisaa ohoooooo.......akuna kutoo hela ovyo2,pesa inaadabu yake,ndo maan IPM nampenda San ananifundisha vizur,ila leo bongee la uparaaaa.....hahahahaha...😂😂
Lakini huyu mchungaji wangu😂😂😂
✊
Pwent
Yan n Wenye akili Kama mm ndo wanamuelewa
Prophet yan ninakukubal San wasiokuelewa ni wajinga yan sijui kwanini mungu akkuona miaka ya nyuma aiseee ungekuwa mbali sana,ila usijal ninajembe moja tuuu tena naliamini wengine siwaamini ni IPM peke ake,Allah akupatie maisha marefu San