JInsi yakupata chuo|Orodha ya vyuo vyote vya kati |gharama kwa Kila kozi|sifa za kusoma chuo 2023/24

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • sifa za kujiunga na chuo,sifa za kujiunga na chuo cha sheria,vyuo vya kilimo na ufugaji,sifa za kujiunga na chuo cha veta,sifa za kujiunga na chuo cha afya,kujiunga na vyuo,vyuo vya kati,vigezo vya kujiunga na chuo tanzania,vyuo vya kati 2023/24,orodha ya vyuo vya kati 2023/24,sifa za kujiunga na veta,sifa za kujiunga na chuo kikuu,vigezo vya kujiunga kidato cha tano,vyuo vya ngazi ya cheti tanzania,vyuo vikuu,jinsi ya kujiunga na chuo cha veta
    orodha ya vyuo vya kati 2023/24,orodha ya vyuo vya ngazi ya cheti tanzania 2023/2024,vyuo vya ngazi ya cheti tanzania,vigezo vya kujiunga kidato cha tano,vyuo vya afya tanzania,orodha ya vyuo vya afya 2023/2024,vyuo bora vya afya tanzania,vyuo vya serikali tanzania,vyuo vya biashara tanzania,vyuo vya sanaa tanzania,vyuo vya pharmacy tanzania,vyuo bora vya udaktari tanzania,vyuo vya afya tanzania 2023/2024,orodha ya majina waliochaguliwa vyuo vya afya

ความคิดเห็น • 75

  • @myleinntandallah4971
    @myleinntandallah4971 12 วันที่ผ่านมา

    Naomba no zako kesho niwasiliana na wewe ana kwa ana

  • @MeshackFaustin-kt8vz
    @MeshackFaustin-kt8vz 11 หลายเดือนก่อน +4

    Shkamoo teacher D, coz ya driving mwombaj awe na ufaulu gan

  • @SophiaMakanga-zj8ug
    @SophiaMakanga-zj8ug 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nimemaliza 4m nilipata IV ya 26 he naweza kusoma ICT

  • @FloraMwamlima
    @FloraMwamlima 5 หลายเดือนก่อน +6

    Nimepata one form four lakin nataka kwenda chuo na nataka nisomee udoctor nifanyaje ili niweze kuchagulia na kusoma iyo couse ninayoitaka

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 หลายเดือนก่อน +1

      umepta one but it depend umesoma combination gan maana sio ulikua art then unataka usomee udaktar na kma ulipta one why hukwenda kidato cha tano?

    • @erickbarthazar9316
      @erickbarthazar9316 23 วันที่ผ่านมา

      Nenda chuo Mdgo wangu

  • @glorialyimo-sb9gs
    @glorialyimo-sb9gs ปีที่แล้ว +6

    Nitapataje kitabu chenye orodha ya vyuo

  • @SaleheRamadhani-go1uw
    @SaleheRamadhani-go1uw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba mawasiliano ya wakuu wa chuo cha mwalimu nyelele dar kigamboni

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mwalimu kwa elimu nakufuatilia kwa makini

  • @BeatriceAcley
    @BeatriceAcley 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me nimefaulu vzr lakn bd sielw

  • @HarunChande-bg1cn
    @HarunChande-bg1cn 18 วันที่ผ่านมา

    Nmepata three form four cja chaguliwa chuo nfanyeje

  • @GeorgeKabogo
    @GeorgeKabogo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba mawasiliano chuo cha maabara ya mifugo Dodoma

  • @davotaasimwe5008
    @davotaasimwe5008 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya wakuu wa chuo Cha nik kinondoni

    • @teacherd
      @teacherd  หลายเดือนก่อน

      Andika google chuo kitakuja na mawasliona Yao pia

  • @HonestKid-bf4kq
    @HonestKid-bf4kq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwalim d ni vyuo vipi vizur vya masomo ya sayansi

  • @kennethmwajombe9215
    @kennethmwajombe9215 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwaka huu wanafungua lin

  • @attujohn913
    @attujohn913 ปีที่แล้ว +2

    Naomba namba zenu

  • @ernestnyoni474
    @ernestnyoni474 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nahitaji chuo Cha ualimu lkini nmpngiwa chuo Cha tia na course co fani ynguu

  • @araphatAbeid
    @araphatAbeid 2 หลายเดือนก่อน

    brooo asa ukiwa na d moja na c mbili

    • @teacherd
      @teacherd  2 หลายเดือนก่อน

      Pass 5 tu

  • @evaamos1591
    @evaamos1591 7 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @DanielyMtega
    @DanielyMtega 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya mkuu wa kaliua Tabora

  • @Martha-u7w
    @Martha-u7w หลายเดือนก่อน

    Nimesoma CBG nawezasoma kozi gani ya sayansi

  • @philminamargwe3642
    @philminamargwe3642 2 หลายเดือนก่อน

    Je mfano una d tatu utakubaliwa au

  • @FrankScofield-g3q
    @FrankScofield-g3q ปีที่แล้ว +1

    Naitwa Frank nmechaguliw kwenda advance but HKL japokuwa nilifaulu kwend kusoma PCB coz ndo malengo angu,je nifanyej maan siwez kwend private kkifedha.

    • @teacherd
      @teacherd  ปีที่แล้ว

      Kaliporti kwanza Kisha unaweza kuchange hapo hapo shuleni au kuhama shule

  • @Hafidhbanga
    @Hafidhbanga 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano yako

  • @MadinaEdward
    @MadinaEdward 6 หลายเดือนก่อน

    Mm katika masomo yang ya arts nimefaulu Geog C,Bios,C,civics C, English D kiswahil C,Mathew F history C vp ni coz gan nzur ya kusoma na kuweza kujiajir au kuajiriwa

    • @teacherd
      @teacherd  6 หลายเดือนก่อน

      Inategemea na wewe unataka kusoma kozi Gani..

  • @MariamIssa-u8w
    @MariamIssa-u8w หลายเดือนก่อน

    Nna mdogo wangu amepata division four ya 30 ana pass tatu una weza kumshaur asome nn amepata kiswahl c englsh c na biology d

  • @ManuallyMunga
    @ManuallyMunga 2 หลายเดือนก่อน

    Nimepata four 27 natakakwenda chuo cha sheria inawezekana

  • @araphatAbeid
    @araphatAbeid 2 หลายเดือนก่อน

    inakuwaje apo

  • @HonestKibaba
    @HonestKibaba หลายเดือนก่อน

    Teacher samahan nilikuw nauliza nitapataje chuo kinachoendana na daraja lang.Mim nimepata three ya 14 Nina D moja ya history

    • @teacherd
      @teacherd  หลายเดือนก่อน

      D pekeee?

    • @bakariMgonja
      @bakariMgonja 29 วันที่ผ่านมา

      Teacher samahani mimi nilikua nauliza mimi nimepata divion four ya29 nataka niende nikasomee chuo cha tuorism unatakiwa ni chague kombi gani apo ya kwenda kusomea tuorism

    • @bakariMgonja
      @bakariMgonja 29 วันที่ผ่านมา

      Na mwisho wa kufungwa dirisha la udhamini wa wanafunzi ni lini?

  • @AmmyKurunge
    @AmmyKurunge ปีที่แล้ว +1

    Naomba no zako

    • @teacherd
      @teacherd  ปีที่แล้ว +1

      0765165455

  • @ernestnyoni474
    @ernestnyoni474 ปีที่แล้ว +1

    Naitwa Salma nhitji chuo ch ualimu

  • @Jailos-vk2cv
    @Jailos-vk2cv ปีที่แล้ว +1

    Naitwa jemah nahitaji kupata form

  • @habibarashid9527
    @habibarashid9527 6 หลายเดือนก่อน +1

    nina d 5 naweza kupata chuo?

    • @teacherd
      @teacherd  6 หลายเดือนก่อน

      Ndy unapata

  • @AntonyAron-bu7ej
    @AntonyAron-bu7ej ปีที่แล้ว +1

    Pharmacy olevel anatakiwa ufaulu upi

  • @ImanihassanNyenyeleka
    @ImanihassanNyenyeleka 3 หลายเดือนก่อน

    Samahani nilikuwa natafuta chuo cha watu maalumu ila nimemaliza kidato cha nne ninawasani wa divesheni lll je ninaweza kupata
    Ninaitwa Farida

  • @Mishellymlugu
    @Mishellymlugu 3 หลายเดือนก่อน

    Nmepata two nahtaj kwend chuo cha afy nmefauru masom ya sayans

  • @ScholasticaDeengw
    @ScholasticaDeengw 3 หลายเดือนก่อน

    Nitapataje hicho kitabu?

  • @kelvin366
    @kelvin366 2 หลายเดือนก่อน

    Teacher nina gpa 2.8 diploma ya ualimu nafnyaje kwa hilo

    • @kelvin366
      @kelvin366 2 หลายเดือนก่อน

      Teacher gpa ya 2.8 nimepata nafnyje

    • @kelvin366
      @kelvin366 2 หลายเดือนก่อน

      Natk kwenda degree nimemaliza kwa masomo ya phy na math

  • @user-xd8yr4xz9j
    @user-xd8yr4xz9j 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi nataka kusomea ualimu je hiyo kozi ipo

  • @Saunath-he2mt
    @Saunath-he2mt 5 หลายเดือนก่อน

    Nitapaje kitabu Cha orodha ya vyuo

  • @GabbySultana-xu5pi
    @GabbySultana-xu5pi 6 หลายเดือนก่อน

    Wa mwezi March vp

    • @teacherd
      @teacherd  5 หลายเดือนก่อน

      Tayari imetoka . Ingia NACTVET

  • @azizanzumbi9637
    @azizanzumbi9637 6 หลายเดือนก่อน

    5:50 5:50 5:50

  • @EfraimuSaningo
    @EfraimuSaningo 3 หลายเดือนก่อน

    nataka chuo cha sungida

  • @JoyceNgela
    @JoyceNgela 3 หลายเดือนก่อน

    Yaan F ya physics inamfanya mtu asiwe nursing wamebana kote

  • @user-zx2yw3sj9h
    @user-zx2yw3sj9h 7 หลายเดือนก่อน

    Natafuta shule Nina d ya history japo nimepata HKl

  • @AniphaMohammed
    @AniphaMohammed 6 วันที่ผ่านมา

    Naomba, maelekezo , wanafunzi walio chaguliwa, kujiunga na chuo Cha utalii , Taifa , ( certificate) wanatakiwa kuripoti mwez wa ngapi, tarehe ngapi.

  • @SalumuZomba-xb5bz
    @SalumuZomba-xb5bz หลายเดือนก่อน

    Mim natak nisomee u secretary nina c na d zimechangyk lkn zinafk 5

    • @teacherd
      @teacherd  หลายเดือนก่อน

      Unaweza KUSOMA

    • @SalumuZomba-xb5bz
      @SalumuZomba-xb5bz หลายเดือนก่อน

      @@teacherd samhn teacher d ukishaa apply chuo majib yanatok kwa mud gn

  • @user-ld8su5il9j
    @user-ld8su5il9j 7 หลายเดือนก่อน

    Habar teacher certificate in law unatakiwa uwe na ufaulu gan

    • @teacherd
      @teacherd  7 หลายเดือนก่อน

      Pass 4 ikwepo language, pass ni kuanzia D

  • @Omaryissa-v2g
    @Omaryissa-v2g หลายเดือนก่อน

    Nina mwanang amepat four 27 je anaweza kwend uhasibu?

    • @Omaryissa-v2g
      @Omaryissa-v2g หลายเดือนก่อน

      Naomben mnisaidie

    • @teacherd
      @teacherd  หลายเดือนก่อน

      Ufaulu wake uko? Credit ngp

    • @Omaryissa-v2g
      @Omaryissa-v2g หลายเดือนก่อน

      @@teacherd 27

    • @teacherd
      @teacherd  หลายเดือนก่อน

      @@Omaryissa-v2g sifa ni kua na D 4 Kuendelea.. kama anazo basi anaweza kusoma bila shida

  • @AshirafuNangui
    @AshirafuNangui 3 หลายเดือนก่อน

    Nimechaguliw advanc natak kusom iy koz niasaidien ndug zang

  • @costantinomlingula3341
    @costantinomlingula3341 7 หลายเดือนก่อน

    Me natka nijue nitajuaj Kama ni chuo Cha gavermnt au pravet 10:55

    • @teacherd
      @teacherd  7 หลายเดือนก่อน

      Vimeandika hapo juu kabsaa ya jina la chuo

  • @user-ji2cd3sx4z
    @user-ji2cd3sx4z 7 หลายเดือนก่อน

    Mm Asnath Nina D tatu ninaweza kupata chuo at kama Nina D tatu

    • @teacherd
      @teacherd  7 หลายเดือนก่อน

      Zinabidi ziwe 4

    • @SalumuZomba-xb5bz
      @SalumuZomba-xb5bz หลายเดือนก่อน

      Ku apply chuo cha serikal utakiwa uwe na d ngapi

  • @leylam2121
    @leylam2121 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba zako.samahqni