Kama Wewe Ni Muhitimu Wa Kidato Cha nne Mwenye Pasi 2, Msikilize Kwa Makini Kijana Huyu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ส.ค. 2017
- SUBSCRIBE NOW / uwazi1
Kijana, Salim Musa Omary, mkazi wa Zanzibar ni Mzalendo aliyejikita kwenye kusaidia maswala ya elimu nchini.
Kijana huyo amesema kuwa alishindwa kuyafikia malengo yake kielimu kutokana na changamoto mbalimbali, lakini baada ya kufanikiwa kimaisha akashawishika kuwasaidia wanafunzi wasio na uwezo ili waweze kutimiza ndoto zao kielimu.
Katika harakati zake zake amekuwa akitembea katika shule mbalimbali na kutoa elimu na ushauri kwa wanafunzi, pia amekuwa akipeleka vifaa mbalimbali kama vile Laptop, Vitabu nk.
Pia ameanzisha kampuni ya GreenLight Foundation ambayo imelenga kuwasaidia wanafunzi waweze kuepukana na changamoto mbalimbali, ikiwemo mimba za utotoni.
Amewakusanya na kuwapeleka chuo baadhi ya wanafunzi ambao ni wahitimu wa kidato che nne ambao wameshindwa kuendelea na kidato cha tano kutokana na matokeo kutokuwa mazuri, na mpaka sasa baadhi yao wameshamaliza na wameajiriwa.
Kupata video nyingine kama hizi SUBSCRIBE kwenye channel yetu kwa jubofya link ifuatayo / uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .
Kazi nzuri kaka
mashaallah
Asant kwa ushauri wako Mr Salimu, Allah akulipe kila la kheri
Nice say!
THENKS
Hongera mungu atakulipa
Big up M.kiti
Nmeupenda ushauri wako mimi nataka kuwa na mafanikio naomba nipe maoni yako nina three ya 23
Naomba tuungane kuelimisha wanafunzi Mimi nimemaliza kidato cha nne lkn nataman kuanzisha kituo cha kuendeleza elimu
mungu atakusaidia
Thanks Mwenyekiti wetu
congrats sana kaka allah awaongoze Zaidikuna platform yoyote kwa wale ambao wako nyumban hawasomi ila ni vijanawadogo je kuna mentorship yyt kwa wao pia
Mie nna pass 4 na nipo home 2 yaan cna cha pesa wal nn broo unanisaidiaje
Naomb kuuliza
Aise mung u pamoja nawe