IBADA YA SHUKRANI:KUMSHUKURU MUNGU KWA AJILI YA MAISHA YA BABA ASKOFU CHEDIEL SENDORO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- #blessed #today #mwangalutherantv
IBADA YA SHUKRANI:KUMSHUKURU MUNGU KWA AJILI YA MAISHA YA BABA ASKOFU CHEDIEL SENDORO
Ibada hii Imeongozwa na Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Usharika wa Kanisa Kuu Dayosisi ya Mwanga na Kuudhuriwa na waumini mbalimbali ikiwemo Mke wa Hayati Baba askofu Chedieli Sendoro.
Askofu Benson Mungu akubariki sana, mahubiri yako yametubariki na kutufariji sana. tunaomba uwe unatembelea hii dayosisis ikikupendeza kama ilivyokuwa wakati chedieli yupo. ubarikiwe
Baba Askofu umetufariji kiroho na kisaikoloji Mungu akubariki sana
Ask Bagonza huwa nakuelewa sana ktk mafundisho yako yana ujumbe mzito na ya kujiamia ubarikiwe sana baba.
Kama bado ujajiunga na Chaneli yetu Tafadhali bonyeza link hii Ku Subscribe
th-cam.com/video/hHGOGS9dpXo/w-d-xo.htmlsi=muqEGSEGvcIh0Kmu
Kaka Yangu Baba Askofu kalikawe Benson kale ka ujumbe ka mwisho kana wokovu sana juu ya kanisa letu KKKT tushikilie hapo ili mambo yaende kwa kweli RIP Kaka Ched