Pole sana mwalimu wangu,namkumbuka Shogo hasa siku ambayo anaomba kura za ubunge wa Afrika Mashariki alijinadi vizuri,kwakweli watoto wako uliwalea kawaida km ambavyo mwalimu wangu ulivyokuwa
Mungu ampe rehema na qpumzike kwa amani. Pia Mungu azidi kuwatia nguvu familia na watoto wao wake wakimpenda Mungu na wanadamu pia. Pole sana kwa familia kwa kumpoteza Dr, SHOLOM, Mungu amempenda zaidi. RIP DR. SHOGO
Dr Shogo bado unaishi ktk maisha yetu. Umeishi maisha mafupi sana yenye thamani. Shogo umeishi maisha ya faida Shogo, umelala lakini bado maisha yako yanaongea
Pole sana mama kwa kupoteza uzao wako wa kwanza..Mungu akufariji,kibinadamu ni ngumu mno..Mungu wa mbinguni akufariji
Mama Queen Mlozi. MUNGU 🙏 AKUFARIJI Mwalimu wangu
Pole sana sana mama kwa msiba huu mzito wa kuondokewa na mwanao kipenzi, Mwenyezi Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu.
Dada yangu Queen poleni sana na shem Prof. Mlozi jamani mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
Pole sana mama Quine Mlozi kwa kuondokewa na mwanao kipenzi. Mungu akutie nguvu sana my dear pamoja na familia yako yote❤
Pole pole pole bila mwisho mama mungu akutie nguvu na roho mtakatifu akuatamie.
Tunakupenda Ma Queen Wangu Uwa Ni Msaada Kwa Watu Wengine Mungu Akupe Nguvu Zaidi.
Pole sana Mama. Mungu akupe uvumilivu na subra kwa kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Binti yako mpenzi.
Mama ulizaa mtoto mwenye akili sana mungu akupe nguvu sana umepoteza mtu ambaye alikuwa hazina ya taifa
Pole sana, Mama Mlozi! Mungu akupe nguvu na uvumilivu katika msiba huu mkubwa wa binti yenu! Faraja ya Bwana iwe juu yenu.
Pole sana Mpendwa. Sina cha kusema. Mungu akutie nguvu awe Mfariji wako.
Pole saana mama angu,Mungu akutie nguvu
Pole dada yangu. Mungu awape nguvu ya kulipokea hili. Mungu ampe pumziko la milele Mbinguni
Pole sana Mama na Familia. Pumzika kwa Amani Dada Dr Shogo
Pole mama, nimeamini sio kila anaetabasamu ana furaha, pamoja na majonzi mama anatabasamu jamani. Pole sana mamayangu
Pole sana mama yangu queen mlozi...Mungu akutie nguvu
Tulikuwa wote ulipokuwa mkuu wa wilaya mwanza
Pole sana bosi wangu Mungu akutie nguvu.
Pole sana mama Mwl Mlozi kwa msiba huu
Pole sana mwalimu wangu,namkumbuka Shogo hasa siku ambayo anaomba kura za ubunge wa Afrika Mashariki alijinadi vizuri,kwakweli watoto wako uliwalea kawaida km ambavyo mwalimu wangu ulivyokuwa
Mzazi anauliza atakumbuka Nini kwa mtoto wake ambae ameishi nae 30 years+ . Ndio maana Kaisi uchungu
Pole sana mwalimu wangu mungu akutie nguvu
Mungu ampe rehema na qpumzike kwa amani. Pia Mungu azidi kuwatia nguvu familia na watoto wao wake wakimpenda Mungu na wanadamu pia.
Pole sana kwa familia kwa kumpoteza Dr, SHOLOM, Mungu amempenda zaidi.
RIP DR. SHOGO
Pole mwalimu wangu mungu akutie moyo .
Pole sana sana Mwalimu Queen Mlozi ni uchungu mkali mno. Mwenyezi Mungu akutie nguvu.
Mungu awape amani familia yake! Na ampumzike kwa Amani! Amen!🙏🏾
Wewe mwandishi umezidiwa point na mama huyo, una maswali ya kitoto mama huyo ni msomi
Pole sana mama, apumzike kwa amani
Pole sana ndugu yangu
😢😢😢😢😢 pole saaana mumy!!! MUNGU mwenyenzi akufariji wewe pamoja na familia Yako yote
Dr Shogo bado unaishi ktk maisha yetu. Umeishi maisha mafupi sana yenye thamani. Shogo umeishi maisha ya faida Shogo, umelala lakini bado maisha yako yanaongea
Pole Sana mwlwangu Kwa kuindokewa na kipenzi chako
Pole sana mama Mlozi msiba mkubwa sana kwako lakini Allah ndie muamuzi wa yote
Pole familia ya Pro Mlozi
Pole mama
Pole sana Madam Queen, RIP Dr. Shogo
Pole Sana Mama mlozi kwa kupoteza mwanao
Pole mama yangu😢😢😢Mungu mwenyewe aingilie kati😢😢
Mama ana maumivu sana jamani hii sikia tu kwa mwenzio pole sana mama
Pole sana kwa familia ya Dr mlozi
Mungu akupe uvumilivu
Poleni
Nitakukumbuka Daima dadaangu, ulikuwa msaada mkubwa kwangu!!
Hapo hapana mwandishi wa habari maswali yakitoto mno
Kiasi haulizwa kuugua kwa binti hadi kifo hatujui
Hapa duniani watu sio wazuri
Hawezi sema kabila siyo lake ulimsikia vibaya ni msafwa kwa baba na mama
May her Soul Rest in Peace❤🕊
Innalillah wainnah I layhi raj uun
Shogo Mlozi ! Una mchango mkubwa kwenye Digirii yangu ya Utalii !!!!!! Nenda salama Dkt.
Pole sana mwalimu wangu kwa msiba huu mkubwa.Mwalimu umechangia sana kwa hapa nilipofika.Mungu akutetee.Nakupenda sana.
Pole sana mama kweli ni Mungu tuu akutie nguvu
Mzaziii pigooo😢😢
😳
Mama pole sana
Leo umesema wewe ni msafwa
Uliwa kusema wewe ni mngoni kwenye mahojiano ya TBC