Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.
Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.
Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia
Tuheshimu wanawake wanaotubebea mimba jamani,mimba zina mambo mengi,very beautiful & educated,"Marehemu alimentary sana watoto" pumzika kwa amanita shangazi/ mama mdogo.
Inaonesha alikua na uzao wa mapacha nimeona kma kuna mapacha wanne wakufanana Mungu amlaze salama🙏
Poleni sana familia na taifa kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu. Mungu awe faraja kwenu.
Poleni sana huyu marehemu nilisoma naye udsm engineering kuanzia MWAKA 1999 kwakweli alikuwa anapendeza kuwashinda wanawake wa Sheria ambao walikuwa wengi alafu wanavaa vizuri. Yaani wanafunzi wengi walipokuwa wanaambiwa ni engineer mwenzetu walikuwa wanakataa. Kunasiku tulikuwa na test na yeye alikuwa karibu yangu na ilikuwa ngumu basi alinihurumia yeye mwenyewe bila kumuomba alinipa paper lake niangalie. Kwakweli nilimuona mtu mwenye moyo safi. Namuombea kwa MUNGU mwenyezi apumzike salama.
Pole sana Profesa na familia kwa ujumla.
Mungu awape amani familia! 🙏🏾
Maskini mapachaaa. Poleee❤
Pumzika kwa amani! Mungu akukuzie watoto! Mmmh! Mungu ndie ajuae kukosa hewa kwenye damu! Pumzika kwa amani! Umeacha alama ya kupenda watoto ktk familia
Poleni sana engel pamoja na sarida na Familia nzima
NMEUMIAAAA SANAAAAAA. MTOTO hata mama hajamuona😢😢😢😢😢😢😢😢😢DAH
May The Almighty God Rest Her Soul In Eternal Peace.
Mungu ni pending apenda watu,ahsante kwa kupenda watoto, mimba zina mambo mengi jamani,pumzika shangazi/ mama mdogo, very beautiful & educated ❤
Pole sana Boss. Nsolo polen sana na familia yote!😢 R.I.P Dr.
Jamani na ni wifi wa yule dada wa RTD aliyefariki mwaka jana somebody sedoyeka
Pumzika kwa Amani mdogo wetu , Tulikupenda lakini Mungu alikupenda Zaidi.
Amina
Poleni sana familia ya mlozi hasa my ment nasoro mlozi
R.I.P.OUR SISTER
Poleni sana wafiwa
Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya