KIJANA ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA ASIMULIA MAZITO YALIYOMKUTA - MALIMWENGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 247

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 3 หลายเดือนก่อน +50

    Huyu bwana mchezo kauchora vizurii na hao wengine wamepanga vizuri, angeenda polisi kueleza kama angekuwa mwema na simu alikuwa nayo kwanini asimpigie boss wake wakiume akamjulisha kilicho toke. Huyu kausika💯👆

    • @petermangama330
      @petermangama330 3 หลายเดือนก่อน +6

      Kiwewe cha kushuhudia kifo na vitisho.Usiombe yakukute mjomba

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kiwewe na mshtuko pamoja na udogo!🙏

    • @noorrajpar3928
      @noorrajpar3928 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mtazamo wako ila kila binadamu anaufahamu wake wa kutatua matatizo hajausika angekua kahusika angewataja wale wenzake

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 2 หลายเดือนก่อน +2

      @ mmmmm! Ongeza na zakwako basiii

    • @MonicaAgapitiBruno
      @MonicaAgapitiBruno 2 หลายเดือนก่อน

      Kama angekua ajaucheza kwanza angewaambia mpigie I boss kwanza nikiki Kisha twende I we utamu amini vp mtu umjui Ata ndani kwako unaweza kumuinhiza mtu tu kiolela kwali pia angewaabdika kwenye daftal hapo getini wakati yanatoka Sasa kufika getini Asingekubari kuondoka naho pale pale angepita kelele Ata kama wangeempiga lkn angejiami wenzi aho wangeempiga risasi lkn angekua Makini kua hapa lazima napigwa lkn kakubari kaondoka naho da mbele uko si wamemgaeia mouga 😂😂😂😂muhaminifu ni kitu kizuri Sasa amekosa mengi kama ivyo walitaka kumoeka Dubai watu tupo nje lkn tu alienda Mali za maboss atari maana tamaa mbaya alafu mrugulu Wa kwetu Kabisa 😂😂😂😂😊

  • @gundesilayo8614
    @gundesilayo8614 2 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana kijana mitihani ya maisha ni migumu ila kwa msaada wa Mungu alikuokoa❤

  • @IlhamKhalid-mt3jp
    @IlhamKhalid-mt3jp 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kwa kupata somo gumu maishani mwako ,ongeza jitihada utakua na mwisho mwema sana endelea kumtanguliza Mungu maishani mwako

  • @BENEDICTMHINA-pd1kr
    @BENEDICTMHINA-pd1kr 3 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa mazingira hayo kweli mshukuru Mungu kuachiwa salama

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika kwa hayo mazingira mmmhhh amshukuru Mungu kuchomoka hapo

  • @FokasGerold
    @FokasGerold 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana ndugu yangu,changamoto kwenye maisha ni kawaida

  • @GladnessSalehe
    @GladnessSalehe 16 วันที่ผ่านมา +1

    Tammaaa mbaya ungekuwa mbali saivu

  • @JaluoOdera
    @JaluoOdera 2 หลายเดือนก่อน +6

    Nimemshangaa sana mbona kabla ajaru kutoka dukani mbona hawakuingia? Mpaka uje ndy waingie?

  • @Athumansaid-e8x
    @Athumansaid-e8x 14 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mzee baba

  • @HaglaHagla-i7g
    @HaglaHagla-i7g 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana bro

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 22 วันที่ผ่านมา +4

    Tuuubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha ikiwa na hiyo ya kuua au kutoa mchongo yakaatokea maauji niomaana wenzake walikuwa wanamfatia cm mipango ya kukaaa keko bila kusumbbuliwa wamfatilie sana huyu kijana anavitu vingi anahua

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Sahihi kabisaa 💯👍 good point big up!

  • @JafariMyinga
    @JafariMyinga 3 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana bwana

  • @NuruBakari-w7l
    @NuruBakari-w7l 19 วันที่ผ่านมา +2

    Pole sana ila ulihusika jambo zito kama hilo ulishindwa hata kuwaambia wazazi wako mpaka unakamatwa ndy wanajua mmmm!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Kiukweli anaonekana ana Akili nyingi sana alafu mjanja wa kugeuka na kusema Uongo mtupu kiukweli jamaa anaonekana mengi anaonesha Muhusika Mkuu na apo anaonekana yy mwenyewe kachora Mchoro kiukweli yupo Vizuri na Kazi yake!
      Mwisho anasema alipotoka Maisha sio mabaya na jamaa kamwita kampoza kwa izo ni Pesa zake mwenyewe na haitakikani kwa sasa gafla aonekane ana Ela jamaa watamnyaka mara moja tu!😂😂😂

  • @NsajigwaAmbakisye
    @NsajigwaAmbakisye หลายเดือนก่อน +5

    Mjombaaa na wewe umehusikaa% shukuru mungu kwa kuachiwaaa salamaaaa

  • @Fhfhfhfhf78
    @Fhfhfhfhf78 2 หลายเดือนก่อน +1

    Do you know what I like it the way he talk is he like comedian? I wish I could see him thank you bye.

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 17 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa inaonesha kahusika

  • @daudikusekwa7688
    @daudikusekwa7688 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji ni tatizo sana

  • @aby21111
    @aby21111 2 หลายเดือนก่อน +2

    Master planner.I don't know why he's here telling lies. 😎🇺🇲

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Definitely 💯 right truly lies!!!

  • @JamilaShabani-i8g
    @JamilaShabani-i8g 2 หลายเดือนก่อน +5

    Pole Sana kaka Allah anaweza kukupitisha sehem anamakusudio yake naamini umejifunza na Kisha na ss tumejifunza kwako hakuna kubwa kwa Allah yy tu ndio kilakitu

    • @samwelilaitei1662
      @samwelilaitei1662 หลายเดือนก่อน +1

      We jamaa Huna akili kbsa

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Waliokua hawana akili ndio wanamuamini Comedy show zake Uyo!! Pesa anazo uyo alipotoka kapewa za kutia Voucher na Kutulia Kwanza asubiri asiwe na Pupa maana jamaa watamnyaka!

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kiukweli huyu kijana ili tukio alihusika kabisaa, wale wenzake walimsaidia kesi yaani walifaiti

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole kaka mungu atakulipia kwa magumu uliyo pitia

  • @JafariMrisho-m3h
    @JafariMrisho-m3h 10 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwezi shezi

  • @bachunyamgude
    @bachunyamgude 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana Ndg.

  • @amidazubeda1320
    @amidazubeda1320 2 หลายเดือนก่อน +4

    Anaehukumu ni Mungu ila kupitia changamoto zote usitafute boss umweeleze kilichoendelea kila mwanadamu anaekua na hisia anaweza asikuchukulie sawa kama hujihukumu na hujui kinachoendelea kwa nini na wewe hawakukuuwa wakatoka na wewe kisha unaachiwa usitoe taarifa hii story ngumu kuelewa..😢😢

  • @HidayaRajabu-r4x
    @HidayaRajabu-r4x 4 วันที่ผ่านมา

    Ukisikia neno kumfata mtu ndo ii,dunia ina mambo.

  • @Tatty-u8p
    @Tatty-u8p 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu arudishwe jena ni mtuhumiwa namba 1 kutokana na maelezo yake nashangaa ameachiwa huru. Shukuru hao sio watanzania ingekuwa wabongo ndugu wangedili na wewe hadi pumzi yako ya mwisho.

    • @Nickbrown127
      @Nickbrown127 2 หลายเดือนก่อน

      Chunga sana maneno yako kama bado upo kwenye hii dunia maana hata wewe hujui siku gani jumba bovu litakuangukia.

    • @Mina.15
      @Mina.15 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @AminBurhanKyaruzi
    @AminBurhanKyaruzi 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kijana alihusika kwenye tukio ukifuatilia maongezi yake pamoja na matendo yake gerezani, alihusika ila wenzake aliogopa kuwataja

  • @EdithaEditha-z3s
    @EdithaEditha-z3s หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @AllanShira
    @AllanShira 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ww mwizi tuu

  • @MsomiMasano
    @MsomiMasano 2 หลายเดือนก่อน +2

    Cjui uwa wanaangalia vigezo gan kwa awa watangazaji,yan jamaa kimeo kabisa ana uliza maswali ya kiwaki

  • @MonicaAgapitiBruno
    @MonicaAgapitiBruno 2 หลายเดือนก่อน +2

    Gwe mkude ishu nzakuimanya bwana 🤣🤣🤣🤣🤣uhamifu nza kukushinda kumuua boss wako maana usingekubari kumbeba izo pesa imepanda Gari laho mweeee pale getini ukasema wasiandike Jina wakati uwajui hapo ndo ulipokosea

  • @BilhaLaizer
    @BilhaLaizer 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndiye jambazi no 1

  • @neemakibodya6889
    @neemakibodya6889 20 วันที่ผ่านมา +1

    uyo bosi anakusikiliza tu ujue we

  • @khalidtalib4136
    @khalidtalib4136 15 วันที่ผ่านมา +2

    𝙆𝙒𝘼 𝙈𝘼𝙀𝙇𝙀𝙕𝙊 𝙔𝘼𝙆𝙍 𝙃𝙐𝙔𝙐 𝙉𝘿𝙄𝙊 𝙈𝙐𝙃𝙐𝙎𝙄𝙆𝘼 𝙈𝙆𝙐𝙐,

  • @aminaomary5150
    @aminaomary5150 3 หลายเดือนก่อน +7

    Toka niwah kusikilixa hzi tv hii story ni kubwa na inafumdisha na inahuzumisha kuwah tokea dah nimelia ila ulipohukumuwa kufungwa ukacheka na ulipoachiwa ukalia umenichekesha mnooo

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 3 หลายเดือนก่อน

      Unaskiliza tv sio😅😅😅 ila sawa tu mi pia hutizama radio yutub humu

    • @JumaJuma-i2g
      @JumaJuma-i2g 3 หลายเดือนก่อน

      kuna kilio cha furaha na kicheko cha huzuni

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell3991 2 หลายเดือนก่อน +1

    huyu jamaa hakua na akili nzuri, niamini mimi, tukio limetokea kwa nini usingrudi kutoa taarifa?

  • @JustineMachine-jz3qf
    @JustineMachine-jz3qf 2 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu braza Kwa maelezo yake mchongo mzima Anajua kbsa alipaswa apige kell Kwa waliz bdo haitosh hakwenda police

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Ivyo ivyo aliwavusha Watu wake nae akajifanya Mbabaifu haelewi kajifanya Mjinga Mjinga hayo yote ni katika Hesabu zake na katoka jela kapewa laki tano kaambiwa tulia utajuaje nani atampatia akitoka tu alafu anaulizwa Maisha ya Uraiani vipi anajibu yapo Vizuri wakati Watu wanasaga Rumba apo ata Pesa ya Voucher inawashinda!

  • @abdulally-h1u
    @abdulally-h1u 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu mchezo kaucheza bna aimeki sensi ata kitu kimoja anacho sema

  • @ZainabuKivale
    @ZainabuKivale 2 หลายเดือนก่อน +4

    Pale getin angesema hawa wezi angesaidia

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Ivyo ivyo 💯 tu👍

  • @NaomiMaro-u8b
    @NaomiMaro-u8b 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa nini hukumpigia bosi wako simu
    Baada ya wale majambazi
    Kukimbia?

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา +1

      Iyo ndio point hakuonesha km alihuzunika na alikimbia kabisaa

  • @jadidially1696
    @jadidially1696 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kama inawezekana akamatwe tena kabsaa

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Inawezekana yumo ktk Uchunguzi bado maana anajifanya mjanja mjanja Sana na Comedian mpaka kucheka sana alipohukumiwa Kifo ni Mchongo aonekana hayupo Sawa Kiufupi jamaa anajua Kupanga Uongo yupo Sharp kwa ilo!

  • @WashingtonZablon
    @WashingtonZablon 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Mr mkude ndo maisha ya uwanaume kaka

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Kiukweli mwenye Akili haambiwi lkn Uyo ni muhusika yy Kachora Mchoro wotee!😅

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Unaume na Wizi?? Ww vipi huna akili

  • @VioraMniko
    @VioraMniko 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mkude

  • @CaizerSosa
    @CaizerSosa 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bro muongo anaungaunga ni mwizi,hakuna watu wanaibaga ivo uyo ndo alikuwa master mind

    • @Nickbrown127
      @Nickbrown127 2 หลายเดือนก่อน

      Muongo mlikua naye kwenye mchongo?hivi unalijua jumba bovu likikuangukia wewe?usiombe yakukute.

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@Nickbrown127
      Ivyo ni kwa nini mnajaribu kutetea Mhalifu?

  • @Omary123-f8x
    @Omary123-f8x 2 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu alikuwa jambazi maelezo yake tu n mwizi alienda ifakala kuifadhi pesa mpuuzi sn kumtaja n kumuingiza mtu asie kuwepi

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Na Michongo ya Simu akiwa Jela alafu Watu wanajitia Kumpa Pole na hakuonesha Huruma kwa Bosi ata kdg wala Masikitiko ata kdg daaah!

  • @ceciliamapunda5217
    @ceciliamapunda5217 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu kijana alipangana nao simulizi lake halieleweki

  • @OmanAsd-j5n
    @OmanAsd-j5n 20 วันที่ผ่านมา +1

    Et me bado mtoto mdogo bhn mungu fundi kwa maelezo yako umehusika asilimia zote nawe ipo ck yako

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา +1

      Muhusika Mkuu no 1 ni yy aliechora Mchoro wote hawa watu km hawa wapo wengi tu wanajifanya fanya Sana tu lkn hatoishi kwa Amani Uyo kiukweli!

  • @davidkisinini8855
    @davidkisinini8855 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ukimsikiliza vizuri huyu jamaa kichwa chake sio kizima kabisa.

    • @Mina.15
      @Mina.15 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani aseme siwafahamu ?

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 หลายเดือนก่อน +2

    Alihusika. Kwa nini asingewambia walinzi?

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa ulipofika getini ulishindwa nn kuwaambia walinzi kuwa hao ni majambazi?
    Walinzi wangekusaidia

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaaa ata kama ameachiwa huru awe makini aache kuwa anasimlia kwenye midia atajichanganya tena kesi itaanza upya
    Sababu hawezi kujielezea

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 14 วันที่ผ่านมา

      Tayari kashajipaka mavi tu njia ya muongo ni fupi tu!

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anahitajika Tena polisi kwa maelezo yake na kutokuwapigia sim boss wake na ku report polisi Kama alihusika na katoka lazima atakutana na janga la kumrudisha ndani

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 14 วันที่ผ่านมา

      Ata mie naona ni ivyo ivyo ana Vitu anavyovifanya sio vya kawaida inaonekana ana usaidizi kutokana na maelezo yake yakiwemo mambo ya Simu kuwasiliana na Uraiani kwa hali iyo tayari apo kashaizaraulisha na kuzalilisha Usalama mzima wa Taifa la Tanzania kuanzia Polisi, Upelelezi, Magereza pamoja na Mahakama na Uongozi mzima wa Usalama wa Taifa la Tanzania

  • @Novati-i3h
    @Novati-i3h 2 หลายเดือนก่อน +2

    Polesana nimekusikiliza vizuri wewe huwezi kujielezea vizuri inaonekana hukufanya ivo ila uvo jielezea watu lazima wakushutumu ivo

  • @JaluoOdera
    @JaluoOdera 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kijana ww ni mshenz sana unampa mtu kesi c,o yake acha izo kama ni ivo mbona ulivofika kwa walinz mbona ukusema?

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii stor ni ya kutengeneza upelelezi umechukua miaka 12 na ilo tukio limefanyika 2007 kuingia 2008 na 2008 hiyo hiyo ndo umeingia jela haya iyo kes vp ichukue ipelelez miaka 12 unatufunga tu hapa na uwongo wako ni stor tu

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 yeah!

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 3 หลายเดือนก่อน +4

    pole sana kaka ang....😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nmejickia vibaya dunia hii inamambo sana 😢😢😢😢😢😢😢

  • @jenrosemwashambwa4204
    @jenrosemwashambwa4204 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe we kweli jambazi

  • @songeza
    @songeza 18 วันที่ผ่านมา +1

    We umeponea tu ila mchongo umeuchonga Bwana wewe mihela

  • @DanielGaspel
    @DanielGaspel 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu angepata Mtanazaji mzuri hii ni bonge la stor

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 3 หลายเดือนก่อน +3

    POLE KWA MAUMIVU MAKALI..MIAKA MINGI SANAA

  • @HidayaRajabu-r4x
    @HidayaRajabu-r4x 4 วันที่ผ่านมา

    Uyu bwana atari mbegu ya morogoro

  • @JeniphaEdward-w2b
    @JeniphaEdward-w2b 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sema uligawana nao pesa wewe watu tulio soma ngumbalo tumeelewa

  • @DismasNkya
    @DismasNkya 2 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji unazingua sana eb jifunze jinsi ya kuhoji mtu vzur

  • @JumaKhamis-o5r
    @JumaKhamis-o5r 2 หลายเดือนก่อน +2

    Anajuwa mchongo mzima

  • @SainabaP-es5me
    @SainabaP-es5me 6 วันที่ผ่านมา

    Nawe nimuongo kwanini ume pitagetini kuna walizi wana silaa kwann huku wambia ww uli usika

  • @cathyrwiza
    @cathyrwiza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu alihusika alafu alikuwa mwanafunzi wa wizi, Kwa Nini hajaenda polisi

  • @MussacharlesSongo
    @MussacharlesSongo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni mzoefu

  • @AshrafuMuhaji
    @AshrafuMuhaji 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani umefika mbele ya walinzi alafu Bado unawoga!!!!!!!huu mchezo ww ndo ulikua master

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

    We jamaa bhana khaa

  • @AlphonceShija
    @AlphonceShija 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kachomesha huyo maku

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazi jifunze kwa wenzako unamkatisha sana

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni simulizi za kuhadithia, siyo story ya ukweli,

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mjadala wa simu umetoka wapi sasa ndugu mwandishi. Yaani unakera weww

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Na kwa nini asimuulizie inaonekana na ww unahusika na mambo haya Uongo??

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona hukuenda polish?ujifunze kuwa muwazi

  • @allymsafi1716
    @allymsafi1716 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mda wote huo wa mahojiano hata kupiga kelele ishahara kwa walinzi kama kuna hatari

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 3 หลายเดือนก่อน +2

    mtangazaji lina mapepe kichiz.. mwache mtu aongee

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa mwizi alipata h aki yake .Kwanini hakupiga simu polisi

  • @SilyvesterDonard
    @SilyvesterDonard 2 หลายเดือนก่อน

    Umepata dhambi sana kumtuhumu mwenzio bure

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Unajua nini?? Ikiwa ulimsikia Vizuri au laa lkn kiuhalisia yy ndio alieanza kumchoma uyo mama wa Kihindi maskini ya Mungu na aliewapeleka hao jamaa akijifanya hajui Kitu akapita kwa Walinzi ili kujulikana km hana Shida wakati anajua uko Juu au Ndani kuna Pesa nyingi tu ilo la (1) .
      (2). Moja kwa moja akawapeleka mpaka kwa Mama uyo jamaa Muhusika na Kayapanga na isitoshe hakuonesha Utetezi wowote Ule ikiwa km hakuhusika na Kumkandamiza Mama km yy ndie Bosi mwenye Pesa.
      (3). Ni yy alizibeba kuzichukua Pesa kwa Mkono wake na kuwababaisha Walinzi km ni nguo za Bosi kwa nini hakutoa ishara yy'te ile??
      Ukiambiwa na ww Jiulize!

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo alihusika mojakwa Moja ndyo maana alikataa kuwataja au hata kutoa ushirikiano kwa polis

  • @MsomiMasano
    @MsomiMasano 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaa alikua mpgaji alishiliki

  • @christinanjmbo
    @christinanjmbo 29 วันที่ผ่านมา

    Samu singi aina ya simu😅😅😅

  • @MohamedRugamana
    @MohamedRugamana 3 หลายเดือนก่อน +11

    Kwa jinsi alivyojieleza alikuwa pamoja nawo alipanga dili

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisaa! Tena yeye ndio alio chora mchezo, na chake kapewa vizuri akapeleka ifakara kwa mama yake. Angekuwa mwema angeenda polisi baada ya kushushwa kigogo. Huyu ninmmoja ktk wao.😢

    • @saudalilingani9264
      @saudalilingani9264 3 หลายเดือนก่อน

      Hakika alinyimwa mgao

    • @omarymbaraj8072
      @omarymbaraj8072 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ulihusika ndugu

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

      Akianza tu kueleza unajua kuwa so Muhusika ila kilimponza ni uoga..mtu aliyefanya asingeeleza chochote

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@angellomarcel5677
      Woga gani huo ata hisia ya huruma hakuonesha kwa Bosi wake na yy akabeba mihela na kupita kwa Walinzi pale akiwapanga km ni nguo tu za Bosi wakati sio Kazi zake na mwanzo aliingia nao akisema ni Mafundi bomba aliwalinda na kuwasindikiza mwanzo Mwisho tu!

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 3 หลายเดือนก่อน +2

    Polisi inamaana walikuwa hawana gari mpka wanambeba mualifu na baiskeli

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila mbona amekaa kiujanja ujanja ile dili akuusika kweli????

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 3 หลายเดือนก่อน +2

    LAKINI KUNA BUDGET YA MAGEREZA,MA MILIONI KWA KILA MWEZI, ANAKULA NANI HIZO BUDGET ZOTE?
    KWA NINI HIZO GHARAMA ZISIINGIZWE AFYA WANANCHI WAPATE MATIBABU BURE JAMANII??

  • @EliasMwita-q3x
    @EliasMwita-q3x 3 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji unatangulis mbele sana

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wee Usingimzie mtu jambo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 หลายเดือนก่อน +1

    UMEFIKA GETINI NA UKAULIZWA NA MABEGI YANANINI BADO UKAOGOPA BASTOLA ILIYOKO MFUKONI MWA MWANAUME MWENZAKO .

    • @allykigatta7564
      @allykigatta7564 3 หลายเดือนก่อน

      ..HUYU MSENGE NI MWIZI KWELI,,,,ALIINGIA TAMAA BAADA YA KUONA ANAAMINIWA KULETA PESA NYUMBANI...HUYU ALISHIRIKI KILA KITU...

  • @NickJuma-x4d
    @NickJuma-x4d 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu alihusika na mchongo mzima!

  • @Kimagalatz
    @Kimagalatz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yani ukimsikiliza kwa makini kweli uondoke na wezi wakushushe na wanakuaga alitoa mchongo aseme ukweli atubu !Boda boda njiapanda ya kigogo kama wote ulishindwa kupiga yowe wakawafukuzia?

  • @YassiniNkadida
    @YassiniNkadida 2 หลายเดือนก่อน

    Namjua huyo mtt

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 15 วันที่ผ่านมา

      Tupe habari zake ikiwa unamjua?

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 3 หลายเดือนก่อน

    daaaah adi nimelia mimi uwiii ee Mungu

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 3 หลายเดือนก่อน

    Chumvi mboga 😅😅😅 kuna watu wanamteso jamaniii

  • @checedkyombo995
    @checedkyombo995 2 หลายเดือนก่อน +2

    Alihusika kivyote huyu

  • @monalisaally4387
    @monalisaally4387 29 วันที่ผ่านมา +1

    Unaonekana huna uoga wowote ndio mana uliweza kuwa na cm gerezani jambaz wewe

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 14 วันที่ผ่านมา

      Yes 💯✋ good point uyu ni Master Mind anajua anachokifanya!

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwizi

  • @saidahmedgaabgaab1920
    @saidahmedgaabgaab1920 2 หลายเดือนก่อน +1

    KKK. Huyu jamaa ni.jambazi mchezo aliuchora yeye muongo eti. Mafundi Bomba kwenn wakusubiri WEWE. Sema ulichore read

  • @nassorally-xi6zh
    @nassorally-xi6zh 2 หลายเดือนก่อน

    Mwizi tu ww

  • @JoyceRichard-k8v
    @JoyceRichard-k8v 2 หลายเดือนก่อน

    alikuwa bado mdogo bana

  • @NaomiMaro-u8b
    @NaomiMaro-u8b 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini baada ya wezi kuondoka
    Musingempigia bosi wako simu?
    Kukimbia ndo kulikuletea doa