Hivi kwa Tanzania yetu, kuna kiumbe ambacho hampendi JPM? Huyo asiyempenda JPM atakuwa ni JIZI au Lichawi..Mungu mbariki JPM, Dunia nzima inakutambua na dunia nzima wanatega masikio kukusikiliza Mh. JPM pindi uongeapo. I wish you my president all good health and a long life.
Wewe mtu ni mkuu wa mkoa unaacha unaenda gombea ubunge yaaan unatoka kuwa boss wa wilaya Zaid ya 5 au 6 mfano unaenda gombea kajimbo ambapo, ndani yake kuna kata kadhaa Kama mm siwezi aisee love you Mr president wangu
Huwa najiuliza Endapo Muda wa Raisi wetu kipenzi utafikia tamati je sisi watanzania masikini tutampata mkombozi kama huyu?? Eeh Mungu tusaidie sana tupate kama MAGUFULI na tulindie Raisi wetu awe na afya njema na maisha marefu..🙌
jmni Mh. Jafo kuna zahanati inayojengwa kule iringa ulienda ukakuta 950Mil walipewa ila jengo ni lidogo na halijaisha...sasa ukalalamika ila hatujaona ukimfuatilia huyo msimamizi ambae ulisem; "kwanza miwani yako ni meusi kwelikwel" ila hukutoa solution ya hizo pesa zilizotumika jmni
Rais magufuli kazi umeifanya na unazidi kuifanya maana watanzania tunaona.Mungu akubaliki sana.
My president👍🏻......my GOD bless you🙌🏻
Rais John Pombe Magufuli kafanya kazi iliyotukuka. 2015-2020 imefanyika kazi ya miaka 100.
I'M PROUD TO HAVE A PRESIDENT LIKE MAGUFULI, I'M ALSO HAPPY TO TANZANIAN CITIZEN SINCE JOHN TAKE ALL OVER THE POWER
Hivi kwa Tanzania yetu, kuna kiumbe ambacho hampendi JPM? Huyo asiyempenda JPM atakuwa ni JIZI au Lichawi..Mungu mbariki JPM, Dunia nzima inakutambua na dunia nzima wanatega masikio kukusikiliza Mh. JPM pindi uongeapo. I wish you my president all good health and a long life.
Tanzania yangu🤝
samahan jamani naiomba hiyo beat ya kizalendo
Nakwamin rais wangu jpm... Tuongoze Mkuu tuwe na uchumi mzuri
Wewe mtu ni mkuu wa mkoa unaacha unaenda gombea ubunge yaaan unatoka kuwa boss wa wilaya Zaid ya 5 au 6 mfano unaenda gombea kajimbo ambapo, ndani yake kuna kata kadhaa Kama mm siwezi aisee love you Mr president wangu
Mzee watu wanaangalia maslahi zaidi
Kabudi, so smart
Huyu ndo Rais imara Tz 🇹🇿🇹🇿🤗🤗👮👮
👏👏👏
asante saaana
Huwa najiuliza Endapo Muda wa Raisi wetu kipenzi utafikia tamati je sisi watanzania masikini tutampata mkombozi kama huyu?? Eeh Mungu tusaidie sana tupate kama MAGUFULI na tulindie Raisi wetu awe na afya njema na maisha marefu..🙌
Tutaandamana aongeze miaka kumi tena au mitano tu
Tutaandamana aongeze miaka kumi tena au mitano tu
Mollah Ibariki Tanzania
Mshua am so proud of you to the grave🙏
Furaha na raha kwa nchi yangu.Mh.Rais utakuwa hapo mpaka ushindwe kuongea kwa uzee.Ndiyo tuchague mwingine tena.
Vinywaji na viburudisho
Mi Niko nje ya nchi natamani nirudi hata jana JPM juu zaidi
jmni Mh. Jafo kuna zahanati inayojengwa kule iringa ulienda ukakuta 950Mil walipewa ila jengo ni lidogo na halijaisha...sasa ukalalamika ila hatujaona ukimfuatilia huyo msimamizi ambae ulisem; "kwanza miwani yako ni meusi kwelikwel" ila hukutoa solution ya hizo pesa zilizotumika jmni
Hapa kaz tu