Mashaallah...Jazaaka Allah Khazraj yaa Shaikh Muhammad Nassoro Bachu Allah Mtukufu Akuhifadhi Shaikh wetu, ili tuendelee kunufaika na wewe Al_Akhi Shukran🙏 sana
Walahy mi nakupenda shekh bachu kwaajil ya allah huwa nkikusikiliza nafsi yangu inatulia sana mzee wetu mpendwa marhumu nasoro bachu ametuachia kiumbe mimi namwitaga simba wa kuchana chana batwil, na ww ni simba pia kama baba yako
Kweli Hawa n kumwachia Allah subhannahu wa taala kazi yetu huku n kuwaambia hapa hapana wasiposkia hawatakua n jambo la kujitetea nalo kua hawakuambiwa
Sheikh mohd bachu usichoke kuwaongoza umma wa kiislamu mpaka pumzi ya mwisho ndugu yangu, kama babako alivyomaliza daawa mpaka pumzi ya mwisho jaza yako ni kwa mwenyezimgu .
KWA KWELI BACHU UNAJITAHIDI NA KWA KILA MWENYE AKILI NA KUTAKA HAKKI AMESHAKUELEWA NA INGEKUA SI KIZAZI KINACHOKUJA NINGALIKWAMBIA PUMZIKA UJUMBE USHAFIKA NA WANAOKATAA TUWAOMBEE DUA TU ALLAH AWATOWE KWENYE KIZA HICHO CHA UZUSHI
Na hao wanao kukashifu waombe mwenyezimgu kwa sababu akili wanazo lakini senses zao zimekufa mwenyezimgu azihuyishe senses zao Amin, wajue uislamu wao.
Tatizo wamekosa kuyafahamu nini Amali/muamala na ibada,wamesahau ibada inatoka kwa mwenyewe Allah Subhana wataalla na mtume wake,sasa wao wao wametwisha utukufu,ati wanaboresha,wanamtengenezea Allah ibada mpya,wanaingiza na kuitangazia Ibada mpya,hawa ni watu waajabu,watu wa makarama.
Shekhe Muhammad kwakweli endelea tu na Da'wah hatakama watu wanakubeza ili urudi nyuma, lkn hii khutba kwa atakae izingatia Wallaahi itamnufaisha sana. Khutba nzito sana hii, binafsi yangu natetemeka kwa khofu juu ya ndugu zetu wanao jifanya viziwi kanakwamba hawayasikii mambo kama haya, khalafu na inadi juu wanaifanya, na kuendelea na uzushi wao wa maulid, kwakweli sijuwi wanaizingatia vipi hii siku ya kukutana na Allaah .........!!!
Jamaaani wenzetu wapaletine kwa niini hatuwazungumziii kama tunavyozungumza mambo haaya Waisilamu tuko waaapiiii Hivi hatuna uchungu wenzeetu wanakuufa tuuu Sie tupo katika kugawana makuundi tuuu Hivi haitokei siku moja tukaaacha tofauti zetu tukawafikiria ndugu zeetu wapalestine na walebanooon Wallah yauma khasaaa
Mara hii maulid yamezidi zaidi ya mwaka uliopita, na mara ijayo itakuwa zaidi na zaidi, na kila siku zikiendelea yatazidi Inshaa Allaah wajapobweka watakaobweka
@@jakuabdull34mtume salallahu alayhi wasalaam amesema bidaa zote ni upotovu dalili gani tena mnataka hiii kutoka kwa mtume salallahu alayhi wasalaam haya adabu ikipatikana huwezi ivunja hii
@@jakuabdull34Kwa mujibu wa uislam wewe unaefanya ndio unaetakikana ulete dalili sio anaepinga kwa sababu ibada zote zina dalili kwa mfano Swala, Zaka, Funga n.k
Ss ww ukiona dj kauliza swali lakielimu au lakizushi2 mpa leo alijajibiwa na shekhe yote ata yeye dj alijui jubulake ule ulikuwa nimtegu waushindi kwa dj
Waislamu hawapendezi kubughudhiana huo ni ujinga unaoufanya wewe mtoto wa bachuu kama jambo hujaliwafik usifanye tu ila usilazimishe watu wote wafate mtazamo wako ,kuwa na adabuu wewe kama unataka umaarufuu basi subiri roho yako itakapotenganishwa na kiwili wili nipoo utakapo jutia Kwa unayoyafanya 😢 wewe endelea tu si unatafuta sifaa na umaarufu Kwa watu basi subiri jazaa yako Kwa mwenyezimungu 😢
Amekhutubia suala tatanishi katika umma wewe wajishughulisha naye, hoja hupingwa kwa hoja.Hakuanza yeye na akiondoka kwa mgongo wa ardhi bado kutakuja wengine watalingania kuweka haqi juu
Ndugu yangu dini ni kufuata sunnah na kuacha kisicho sunnah, na kama husikii basi endelea hadi urudi kwa mola wako na majuto ya mwisho. Think before it is late
Mudi unahisi wewe ndo mwenye elimu kuliko wote Kama Baba ako umemkosoa kamwe hautopata nuru ya dunia na akhera kwetu maulidi twapata thawabu so tuache tu😂😂😂😂
Mashekhe wa mitandaoni nyny hamna nidhamu ya dini, Bali mnatafuta wafuac tu, wacheni ujinga cmamieni dini kwa mujibu wa elimu alizokupeni ALLAH kwani cku Moja mtakuja kuulizwa vp mlizitumia elimu zenu.
Maulid malipo Yake Ni WALI au mpunga ukishusha na maji ya tamu baasi hakuna zaidi hasara kubwa kwa yule atakae kosa wali kwisha huyo mana hakuna kingine zaidi si hapa sio akhera.
Ata ufanyeje ww huwezi kuizima Nuru ya ALLAH. CC tutamsifu mtume kwa kusoma maulid asubihi na jioni nawe zidi kupiga kelele, hazituzidishii Wala hazitupunguzi ktk jitihada hizi za kusoma maulid
Kweli hii dunia ya mwisho, yani watu wanaumia kwa sababu ya kumtukuza na kumsalia Mtume. 😅 Ingekua tunayatukuza masanamu yaliyoabudiwa kule makka sijui ingekuajee.
Kwani hasa huyu jamaa anazungumza nini , mbona haeleweki? Kwa nini hendi Kwa sheikh Said wa Kenya kupata TAALUMA na kama alijikojolea basi mara ya pili anaweza kutoka mavi hasaaaaaa.
Hata huna haya mwanamke ww huna dini unaongea nn hapa nyinyi musiemjua DJ Said Ana ilmu ya mziki Alafu Muogopeni Allah nyinyi Masufi kwa kumzulia uongo eti Amejikojolea unaweza kusimama mbele ya Allah na Na hao Mashekhe zenu makhurafi kua amejikojolea?? Hakuna Ajabu Munamzulia Mtume kumzulia Bachu Kuna Ajabu gani? Muogopeni Allah kesho Kuna hesabu
Masufi ni wasaidizi wa iblis ktk kuiharibu Dini ya Allaah, na akhlaaq njema zenye heshima ndani yake, zinazo tofautisha baina ya Dini yetu tukufu ya Uislamu, na madili mengine ya watu wanayo yaita dini!. Uislamu umevurugika kwa wapotofu hawa wakisufi wakiiga kwa ndugu zao na vipenzi vyao, mayahudi, wakristo, na mashia
Ww mm sikutukani ila mbona ikiitwa fes tufes huna unalojibu ukitoka unaenda kupiga kelele huko tumuite ustdh saidia tena fujolote una mpiga mtume vita asi swaliwe acha uongo muongozo upo ila muendelezo hiyo nikanuni yasheriy kila kifanyacho ww hukukifundishwa na mwalimu au baba ako ila ulipewa muongozo tu
Na mtachoka kweli bachu kazi yake hata masheikh wa kisufi hamumfiki Allah subhannahu wa taala amwongoze na amzidishie nguvu sababu mkichafua tunasafisha mpooo
Kweli shkhe anafakanisha haki na nabatili wasiyojitambuwa wajitambuwe haki ni ipi nabatili niipi naiyondiyo kazi yamitume tujitambuni jamani tunakokwenda nikuzito tuacheni kushabikiya uzushi
@@MbwanaHusein bro ongeza sauti mashaallah Allah subhannahu wa taala atuongoze sote na wao wenye kutotaka haki waitambue waifuate ili kesho kusiwe kuzito
Wewe mbona ukiona watu wamekaa kwa ajili ya kuzungumzia mazazi ya mtume inakuuuma sana au unataka wazungumze mazazi yako ,haiwezekani hiyo ukiona inakuuuma sana chukua kamba jinyonge mtume na sisi ,sisi na mtume hadi peponi inshaaaallah
Nyinyi watu wa mabidaa masikio yenu mmetiwa risasi bachoo anataka dalili wapi wanyama walisema , au watu wote walikuwa viziwi hawajawadikia mmewasikie nyie tu uchizi mtupu
acha mbwembwe zako bachu ......sisi tutasoma maulid mpaka kundoka duniyani.....wewe kama kweli hunge ondoka kwa kiti ulipokuwa mombasa .....kujadiliyana na ustadh said omar.....hacha mbwe mbwe .....wewe wajifanya usoma wapi kitabu isema utykuna mawali zukaa
Allah akuhifadhi Muhammad na akuweke mbali na hasad!
Ameen
Mashaallah...Jazaaka Allah Khazraj yaa Shaikh Muhammad Nassoro Bachu Allah Mtukufu Akuhifadhi Shaikh wetu, ili tuendelee kunufaika na wewe Al_Akhi
Shukran🙏 sana
Allah auzidishe faswaha ulimi wako tuzidi kuelimika. Baraka Llahu fiyk
Walahy mi nakupenda shekh bachu kwaajil ya allah huwa nkikusikiliza nafsi yangu inatulia sana mzee wetu mpendwa marhumu nasoro bachu ametuachia kiumbe mimi namwitaga simba wa kuchana chana batwil, na ww ni simba pia kama baba yako
Tuko pamoja Sheikh bachu,zidi kusmama na haki,
InshaAllah waja wataingia Zaidi katika njia ya Sawa,zidi kuwatoa watu taka kwenye masikio
Shekh Allah akuhifadhi nashangaa wanaokusema vibaya kwa matusi Allah awaongoze
Kweli Hawa n kumwachia Allah subhannahu wa taala kazi yetu huku n kuwaambia hapa hapana wasiposkia hawatakua n jambo la kujitetea nalo kua hawakuambiwa
بارك الله فيك وزادك علما.
Sheikh mohd bachu usichoke kuwaongoza umma wa kiislamu mpaka pumzi ya mwisho ndugu yangu, kama babako alivyomaliza daawa mpaka pumzi ya mwisho jaza yako ni kwa mwenyezimgu .
Mungu akujaze kheli shekhe❤❤
Wewe unatowa dalili katika vitabu wao maneno matupu bila dalili
Sahihi
KWA KWELI BACHU UNAJITAHIDI NA KWA KILA MWENYE AKILI NA KUTAKA HAKKI AMESHAKUELEWA NA INGEKUA SI KIZAZI KINACHOKUJA NINGALIKWAMBIA PUMZIKA UJUMBE USHAFIKA NA WANAOKATAA TUWAOMBEE DUA TU ALLAH AWATOWE KWENYE KIZA HICHO CHA UZUSHI
MAASHAA ALLAH SHEIKH ALLAH AKUZIDISHIA
Masufi na makhurafi niwatu waajab sana halafu niwavivu wakuisoma dini yao kazi ushabiki mashairi na visa vyauongo😂
Bachu ndugu yangu tuangalieni mada nyengine ulimwengu umechafuka tusiwe wenye kuongea maulid huku waislamu wazoroteka
Allah akuhifadhi bacho
Allah atupe macho ya ndani tuone haq jmn tunajipoteza wenyewe tusomen dini tuache uvvu
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Sheikh Allah akuhifadhi
Naomba unioneshe katika Qur'an au suna penye panasema kuwa karne ni miaka 100
Sheikh bachu nakuusiya achana nambo yako ya kuwarad masheikh wezako
Na hao wanao kukashifu waombe mwenyezimgu kwa sababu akili wanazo lakini senses zao zimekufa mwenyezimgu azihuyishe senses zao Amin, wajue uislamu wao.
HAYYAKA LLAH YAA HABIYB😍
NUHIBBUKA FIY LLAH YAA AKHIY🤩
YAAA HABIYB😇
Hii ilikuwa niwapi ?. watu wamtaa ambao ilitolewa hutba hii wallah walipata faida sana masha Allah
Baraka lhau fika
#Maulid🌹🌹🌹🌹
Tatizo wamekosa kuyafahamu nini Amali/muamala na ibada,wamesahau ibada inatoka kwa mwenyewe Allah Subhana wataalla na mtume wake,sasa wao wao wametwisha utukufu,ati wanaboresha,wanamtengenezea Allah ibada mpya,wanaingiza na kuitangazia Ibada mpya,hawa ni watu waajabu,watu wa makarama.
Sheikh wetu Sheikh Muhammad bacho
Maulid ni bidah na yataendelea kuwa bidah
Huyu bachu jamaniyukosawaaaa lakini
Shekhe Muhammad kwakweli endelea tu na Da'wah hatakama watu wanakubeza ili urudi nyuma, lkn hii khutba kwa atakae izingatia Wallaahi itamnufaisha sana.
Khutba nzito sana hii, binafsi yangu natetemeka kwa khofu juu ya ndugu zetu wanao jifanya viziwi kanakwamba hawayasikii mambo kama haya, khalafu na inadi juu wanaifanya, na kuendelea na uzushi wao wa maulid, kwakweli sijuwi wanaizingatia vipi hii siku ya kukutana na Allaah .........!!!
Wapi Allah na mtume wake wamesema watu waweke vpaza sauti msikitini
Loo! Watu wanaichukua haki mpaka mzungumzaji anatukanwa kisa kusema kweli.
Jamaaani wenzetu wapaletine kwa niini hatuwazungumziii kama tunavyozungumza mambo haaya
Waisilamu tuko waaapiiii
Hivi hatuna uchungu wenzeetu wanakuufa tuuu
Sie tupo katika kugawana makuundi tuuu
Hivi haitokei siku moja tukaaacha tofauti zetu tukawafikiria ndugu zeetu wapalestine na walebanooon
Wallah yauma khasaaa
Mara hii maulid yamezidi zaidi ya mwaka uliopita, na mara ijayo itakuwa zaidi na zaidi, na kila siku zikiendelea yatazidi Inshaa Allaah wajapobweka watakaobweka
Tasmini yako mbovu maulidi yanakufa vijijini mitaani mote mlikuwa na maulidi sasa yamekufa batil haidumu
Mwenyezimgu atawaongoza hawa watu wazushi wanao ivuruga dini ya mwenyezimgu alio tuachia kipenzi chetu bora wa viumbe ulimwenguni dini safi.
Mhh! Wee mtoto wee Ulimi utakuponza huo
Bhachu kuna sidi ulotowa kuhusu fadhla ya swala ya mtume
Sheikh said akusubiri uje ukiwa na elmi ya hadithi ujibu hadithi maudhui
Sheikh said au dj said😂
Julize swali ukiwa unajitambuwa lile swali la dj alilo uliza yupo shekhe yoyote aliye jimbu
kwako dj said 😂
Ww unaye mtukana shekhe unajitambu kweli tuacheni kushabikiya kitu ambacho akina ushaidi katika kibu na suna
Zanzibar saiv umeachiwa
Dini ya uislamu inakwenda kwa dalili toeni dalili nasisi tupate faida.
Kwel.kaka
Izo dalili hawatoi
Mbona nyinyi hammtoi dalili ya kutofaaa
Ila masufi makhurafi n mashia wanafanya bidii kupoteza watu ili hukmu ya Allah ikifika wasiwe pekee yao
@@jakuabdull34mtume salallahu alayhi wasalaam amesema bidaa zote ni upotovu dalili gani tena mnataka hiii kutoka kwa mtume salallahu alayhi wasalaam haya adabu ikipatikana huwezi ivunja hii
@@jakuabdull34Kwa mujibu wa uislam wewe unaefanya ndio unaetakikana ulete dalili sio anaepinga kwa sababu ibada zote zina dalili kwa mfano Swala, Zaka, Funga n.k
Samaki ukimchunguza sana utashndwa kumla,,tumia akili alizokupa mungu chagua upande..dili nao
Zama zetu tusubili kiama tu
Nyie masufi mistake dalili ya kukataza maulid tafuta kwanza Aya ilo yakubali maulidi halaf jiulizen mtume yy hakuweka maulidi Wala maswahaba zake. Nynyi mmeatolea wapi Karne
Ushamkosoa baba Yako ktk membari iyoiyo unayohutubu Leo hivyo ni wazi kuwa huna njdhamu wa dini
Usufi ni uvundo
Nyie wapuuz mawahabi
Haahaha mzeee wakujikojolea Debe tupu halikosi kelele
Hakuna Jambo litaingiza watu peponi kama tabia nzuri
Ww sema sijui 🤌🤌🤌😂😂😂
Ss ww ukiona dj kauliza swali lakielimu au lakizushi2 mpa leo alijajibiwa na shekhe yote ata yeye dj alijui jubulake ule ulikuwa nimtegu waushindi kwa dj
Dj akutaka kuteteya maulidi umarufu kupitiya shekh ndimana akatengeneza mtego ukijibu nitashinda usipojibu nitashinda2
Waislamu hawapendezi kubughudhiana huo ni ujinga unaoufanya wewe mtoto wa bachuu kama jambo hujaliwafik usifanye tu ila usilazimishe watu wote wafate mtazamo wako ,kuwa na adabuu wewe kama unataka umaarufuu basi subiri roho yako itakapotenganishwa na kiwili wili nipoo utakapo jutia Kwa unayoyafanya 😢 wewe endelea tu si unatafuta sifaa na umaarufu Kwa watu basi subiri jazaa yako Kwa mwenyezimungu 😢
Amekhutubia suala tatanishi katika umma wewe wajishughulisha naye, hoja hupingwa kwa hoja.Hakuanza yeye na akiondoka kwa mgongo wa ardhi bado kutakuja wengine watalingania kuweka haqi juu
Ama maswahaba walikua waarabu wote
Wewe hutaki dalili bali ushabiki ndio wakusumbua
Mwisho wake ndio utajua ukweli kua makini na hii dini na jitahidi ufuate sunna
Sunna ya haqqi ni twariqa @@HashimSalim-qj7zn
Ndugu yangu dini ni kufuata sunnah na kuacha kisicho sunnah, na kama husikii basi endelea hadi urudi kwa mola wako na majuto ya mwisho. Think before it is late
Ya wezekana wewe ni miongoni mwa wale ambao huwa hawafungi Jumatatu siku aliyozalima Mtume Muhammadi lakini unakwenda kwenye kusherehekea Maulidi .
Bwana hashim itakuwa anakwenda maulidini na hafungi juma 3 😂😂
amma ubaabu huu hausikii
Mudi unahisi wewe ndo mwenye elimu kuliko wote
Kama Baba ako umemkosoa kamwe hautopata nuru ya dunia na akhera kwetu maulidi twapata thawabu so tuache tu😂😂😂😂
wataka dalili kwani haujapewa ?
Mashekhe wa mitandaoni nyny hamna nidhamu ya dini, Bali mnatafuta wafuac tu, wacheni ujinga cmamieni dini kwa mujibu wa elimu alizokupeni ALLAH kwani cku Moja mtakuja kuulizwa vp mlizitumia elimu zenu.
Maulid malipo Yake Ni WALI au mpunga ukishusha na maji ya tamu baasi hakuna zaidi hasara kubwa kwa yule atakae kosa wali kwisha huyo mana hakuna kingine zaidi si hapa sio akhera.
Ushasema hahahaaaahahaaa
#semasijui 😂
Soma kwanza kijana mwezangu
Wewe wacha chuki
Katwaliii mwanzo mustalahi hadhi
Allah akuongoze katika hakki maana upo kiushabiki Zaid sio kutafuta hakki
Maulid yaendelee 😅
Bachu wacha kujitia Aibu
Hao walio kaa hpo hakuna ht mmoja unae muweza kielimu..
Ata ufanyeje ww huwezi kuizima Nuru ya ALLAH. CC tutamsifu mtume kwa kusoma maulid asubihi na jioni nawe zidi kupiga kelele, hazituzidishii Wala hazitupunguzi ktk jitihada hizi za kusoma maulid
Kweli hii dunia ya mwisho, yani watu wanaumia kwa sababu ya kumtukuza na kumsalia Mtume. 😅
Ingekua tunayatukuza masanamu yaliyoabudiwa kule makka sijui ingekuajee.
Nyinyi hamna tafauti toeni dalili msiicheze dini kila mwenye lake atie mnaharibu dini
Masufi ni waganga hao waacheni
Masufi hawajui watendalo
@@nassoraliy3871 hawa jamaa sasa wako kwenye ushindani wanaona wanashindana na bachoo na bb ake
Muhamedi bichwa acha ujinga
Uliambiwa utwalii ukiwa Sawa umwambie ustadh Said Yuko tayari kwa niqaash.
Sasa tahidi yenu
Kwaivyo mtume alikikhutubu kiswahili ama jamani tusaidianeni
Kwa kiarabu tayar tumekusaidia
@@salumzaharanjuma6927 sasa tunapokhutubu kiswahili hiyo khutba itakua imeswibu khutba ya mtume na kama apana inaswihi
Na hakukhutubu kiswahili na sisi tunapokhutubu kiswahili tunakua tumeswibu khutba ya mtume na ikiwa hapana bac khutbah hii inaswihi?
Kweli wajinga wapo wengi 😢
Inaezakua ww nimmoja wao
Were kujikojolya
Leteni dalili za tawheed tatu
Lete dalili za nguzo 14 za swala
Kufunga na kusoma maulid ni vtu vwili tofauti Bali na namna tu za kumsifu na kumuadhimisha Mtume
kamwambie abuu ruduud akupe dalili basi
Kwani hasa huyu jamaa anazungumza nini , mbona haeleweki? Kwa nini hendi Kwa sheikh Said wa Kenya kupata TAALUMA na kama alijikojolea basi mara ya pili anaweza kutoka mavi hasaaaaaa.
Hata huna haya mwanamke ww huna dini unaongea nn hapa nyinyi musiemjua DJ Said Ana ilmu ya mziki Alafu Muogopeni Allah nyinyi Masufi kwa kumzulia uongo eti Amejikojolea unaweza kusimama mbele ya Allah na Na hao Mashekhe zenu makhurafi kua amejikojolea?? Hakuna Ajabu Munamzulia Mtume kumzulia Bachu Kuna Ajabu gani? Muogopeni Allah kesho Kuna hesabu
We mwanamke ww itaqi llah naomba nikulize jee unafunga jumatatu ktk maishayako yote au ndo unakwenda kwenye ibada ya maulid mfano wa maruhubani
Masufi ni wasaidizi wa iblis ktk kuiharibu Dini ya Allaah, na akhlaaq njema zenye heshima ndani yake, zinazo tofautisha baina ya Dini yetu tukufu ya Uislamu, na madili mengine ya watu wanayo yaita dini!.
Uislamu umevurugika kwa wapotofu hawa wakisufi wakiiga kwa ndugu zao na vipenzi vyao, mayahudi, wakristo, na mashia
Wew namawahabi wenzio na sheikh wenu wa mchongo ndio maibilisi khaswaa muraqab
Ww mm sikutukani ila mbona ikiitwa fes tufes huna unalojibu ukitoka unaenda kupiga kelele huko tumuite ustdh saidia tena fujolote una mpiga mtume vita asi swaliwe acha uongo muongozo upo ila muendelezo hiyo nikanuni yasheriy kila kifanyacho ww hukukifundishwa na mwalimu au baba ako ila ulipewa muongozo tu
Wee janaa hata uletewe pepo hapo uambiwe uwacha maulidi ili uingie basi huachi
Fes tu fesi na dj!?yule alieulizwa swali badala yakujibu nayeye akauliza,Akawa anataka jibu alilonalo yeye kichwani 😢USUFI NI UPUNBAVU
Kama unafanya hayo kwa kutafuta viewer bac utawapata lkn kwa kufarakannisha umaa wa kiislam hayo yako mnyewe na c sehemu ya sunna
Na mtachoka kweli bachu kazi yake hata masheikh wa kisufi hamumfiki Allah subhannahu wa taala amwongoze na amzidishie nguvu sababu mkichafua tunasafisha mpooo
Kweli shkhe anafakanisha haki na nabatili wasiyojitambuwa wajitambuwe haki ni ipi nabatili niipi naiyondiyo kazi yamitume tujitambuni jamani tunakokwenda nikuzito tuacheni kushabikiya uzushi
@@MbwanaHusein bro ongeza sauti mashaallah Allah subhannahu wa taala atuongoze sote na wao wenye kutotaka haki waitambue waifuate ili kesho kusiwe kuzito
Bachu uko nondo
Sense ni hisia in swahili language.
Utakufanacho kijiba cha Moyo maulidi yaendeleta nakula kuchapo yaongezaka subiri kiyama
Wewe mbona ukiona watu wamekaa kwa ajili ya kuzungumzia mazazi ya mtume inakuuuma sana au unataka wazungumze mazazi yako ,haiwezekani hiyo ukiona inakuuuma sana chukua kamba jinyonge mtume na sisi ,sisi na mtume hadi peponi inshaaaallah
th-cam.com/video/UR9Zome0QWA/w-d-xo.htmlsi=gMmpADb902BBOPF4
Ushaona hiii😂😂😂😂
Acha kuongea pekeyako utakavyo muite ust saidi tuone ukitoka kwenye tundu la ngamia.
Dj Said , hakutoa dalili hata 1.
Komaaas na njia yako fanya ibada kwa njia unayoiamini wewe lkn sisi tuache na mtume wetu
Hata ukipewa dalili utazikubali au unataka ubishi
Watoe dalili uzipeleke wap
Kama chuki zenu ni kwa ajili ya maulid basi mtachukia san mtapasuka vifua bure
kibri acha.
Ss tuna chukiya sana kuchezewa Diniyetu na Mtumewetu tunauchugu kumsingiziya uongo 😢😂😂ilo jambo atuto linyamaziya inshaAllaha n
Kila anaimsapot bachudi nayy nmzuka kama yy huyu nsawa nakatuni navicuekesho huyo alkojoa kwakiti siku ya mujadala
Kuna mwanazuoni anasema roho za wwtu wa bidaah zipo motoni kabla ya moto mkubwa. Allah amegonga muhuri katika vifua vyao hawaoni hakki
Hiii kweli tena
Wacha kuwahukumu waislam wenzio wakat ww mwenyewe unangoj kuhukumiwa
pindipo wakifa na bidaazao
Wewe watowa khutba Kiswahili dalili yako niipi???
Wewe pia Mohamed bachu ni katika amthaluhum
Nyinyi watu wa mabidaa masikio yenu mmetiwa risasi bachoo anataka dalili wapi wanyama walisema , au watu wote walikuwa viziwi hawajawadikia mmewasikie nyie tu uchizi mtupu
acha mbwembwe zako bachu ......sisi tutasoma maulid mpaka kundoka duniyani.....wewe kama kweli hunge ondoka kwa kiti ulipokuwa mombasa .....kujadiliyana na ustadh said omar.....hacha mbwe mbwe .....wewe wajifanya usoma wapi kitabu isema utykuna mawali zukaa
Kijana unaji22mua cn 😂 kwn nn maulid utakufa n chuki zako kw kucfiwa mtume
Acheni ujinga hata akafa saii hakuna chuki atakua nayo kwa watu sababu ya kusema maulid n bidaa
Ww Nuruhbani mtupu