shekhe Haruna Hussein ni CCM kindaki ndaki hatuna maneno nae kama mwana ccm lakini usijishe kanzu ya ushekhe kujipatia umaarufu wa kiasiasa unachafua dini
Viongozi wapatikane kwa misingi ya haki,tuwachague viongozi wetu wale wenye hofu na Mungu,Viongozi wanaojua hali ya maisha inavyokwenda na Wenye mapenzi,Viongozi wenye huruma na Viumbe hasa hasa wenye huruma na watu wake,sio Viongozi masilahi tu.Tume ya Uchaguzi isimamie kura za wananchi kwa haki hii wakipita viongozi waliochagulia na Wananchi kwa usahihi hao viongozi watafanya kazi za wananchi kwa hofu ya Mungu.Tunataka Viongozi wanaojua shida za Wananchi sio Viongozi mishahara tu,wanaojipenda wao tu hapana ikiwezekana hao viongozi tuwapime kupitia hata imani zao za dini tuwapime kwa utu wao!
😂😂😂😂😂Balabalani lazima tuingieee:::Viongozi wa dini mnakula swadaka/sadaka zawaumini hamjui kama hali ngumuuuu😅😅😅au mapato yamepunguaaa kwa kanisaaa😊Msiktin Mnakufa jee natai shingoni fungukeni acheni upimbi nchi yetu sotee
Shehe unakastaili kazur kutafta ela yaugali ila uyasemayo huenda yakakuponza akhira dini sio kachama au kastail flan mwogopenu allah au ikifaa mtoke kwenye uislamu muingie kwenye mambo yenu vizuri
Viongozi gani wa dini hawa eti maandamano siyo picha nzuri kukatika katika umeme ni picha nzuri uchaguzi wa 2019/2020 walikuwa wapi kusema au kwao ni picha nzuri...sukari wanadai imepanda mlikuwa wapi kusema siyo picha nzuri?.
Hawa sio mashekh ni vichaatuu... Muislam huruhusiwi maandamano hata kama serekali nijeuri ...huu uislam wenu mwautoa kwa mtume yupii!??? Mahovyoo sana ..
Mashekhe na Maaskofu wte vimeo wanafiki hawaongei ukweli wamekuwa machawa wa sami
Mbona Hapo Nyuma Hamjajitokeza Mlikua Wapi????
Mashehe ni wanafiki sana maana waishauri serikari wanaogopa kwamba mwenzao nao ni muisilam
Ni wapuuzitu yaan tuna upumbavu wa kusifia sifia tu hakunaga anakosoa
Hapo kwenye hofu ya Mungu,kwa viongozi wetu bado sana.
shekhe Haruna Hussein ni CCM kindaki ndaki hatuna maneno nae kama mwana ccm lakini usijishe kanzu ya ushekhe kujipatia umaarufu wa kiasiasa unachafua dini
Nyie ccm2 mmejivika usheikh wanafki wakubwa
Watu wakijitokeza kutetea inchi nyinyi mnawapinga kumbe mnakufa natayi shingoni
Hapo nawe si unaongea Yale Yale tu, nawe ushaunga maandamano apo
Mamluki tuu Hawa wanajifanya wapi na sie
Wangekuwa kina mwamakula mngewasifia
@@jumakapilima7295 Mtu unaita Press unaongelea sukari, badala ya kuongelea Katiba, ambayo ndio itaondoa mfumuko wa bei, halafu nikuangalie tuu
Auoni huyu ni mwna ccm
@@jumakapilima7295utafananisha haya maelezo na mwamakula au sheikh ponda?.
Kalime miwa viwanda vipate malighafi shekh kupiga kelele hakusaidii😮😮
Sio kukaa meza moja na serikali, suluhu hapa kupunguza kodi kwenye mafuta ya magari na kuondoa Ile muswada mibovu bungeni
Vigeu geu hawa??
Siyonyie mlipinga waraka wa maasikofu leo mnalalamika maisha magumu bado hamjasemaaaà
Mshangao sana. Mlisubiri maandamano ndipo mseme?. Mnadhani mtasikiwa kwa kukaa kwenye viti ati mtasikiwa. Mnadhani hiyo mama mama, mama ndiyo dawa.
Kwani serikali haijui kuwa sukari imepanda bei?
ukiona maic ya itv ipo ujue hapo hamna Cha maana zaidi ya uchawa tu
Nyinyi viongoxi wadini mulipiga mahandamano kumbe alii ngumu yamaishanayo smtamtuache unafiki
Hawa nao wanafiki wanaleta imani kwenye vitu vya msingi,
Ww muhumi huna ushehe wala nini ww chawa unafikiri ccm hawafahamu kama maisha magumu kama kama kaupiga mwingi unalalamikia nini
Wanafiki wakubwa nyie mpaka chadema wajitokeze wanafik
Wanafiki wakubwaa hawa
Mmekosa kazi kwakweli badala ya kuhangaikia maisha na mambo ya dini mnaingilia mambo ya Serekali wacheni mambo yenu akhuani
Bado hamjasema na mtasema nyie jifanyeni mnakaza na huku mnakufa njaa😂😂😂
We jamaa umeamua kuwalipua viongozi wako
Viongozi wapatikane kwa misingi ya haki,tuwachague viongozi wetu wale wenye hofu na Mungu,Viongozi wanaojua hali ya maisha inavyokwenda na Wenye mapenzi,Viongozi wenye huruma na Viumbe hasa hasa wenye huruma na watu wake,sio Viongozi masilahi tu.Tume ya Uchaguzi isimamie kura za wananchi kwa haki hii wakipita viongozi waliochagulia na Wananchi kwa usahihi hao viongozi watafanya kazi za wananchi kwa hofu ya Mungu.Tunataka Viongozi wanaojua shida za Wananchi sio Viongozi mishahara tu,wanaojipenda wao tu hapana ikiwezekana hao viongozi tuwapime kupitia hata imani zao za dini tuwapime kwa utu wao!
Leo ndio mnayaona baadae ya maandamano
Unaheshimwa Kwa cheo chako uwe unakaa kimya
Uyu shehe ajielewi wanaonge uongo yani kiufupi ni machawa amna walichoongea
😂😂😂😂😂Balabalani lazima tuingieee:::Viongozi wa dini mnakula swadaka/sadaka zawaumini hamjui kama hali ngumuuuu😅😅😅au mapato yamepunguaaa kwa kanisaaa😊Msiktin Mnakufa jee natai shingoni fungukeni acheni upimbi nchi yetu sotee
Hawa mashekhe wachama sio wa dini😂😂😂😂
Sheikh kwamakonda niko naww ila hawa wengine hamna kitu ila naona mnasifu tu ila mabaya hamsemi
Wawapongeze na viongozi wa chadema kama wameanza na kupongeza wa ccm
SUKARI IKO JUU JAMANI . LOOOOOOH
Shehe unakastaili kazur kutafta ela yaugali ila uyasemayo huenda yakakuponza akhira dini sio kachama au kastail flan mwogopenu allah au ikifaa mtoke kwenye uislamu muingie kwenye mambo yenu vizuri
Viongozi gani wa dini hawa eti maandamano siyo picha nzuri kukatika katika umeme ni picha nzuri uchaguzi wa 2019/2020 walikuwa wapi kusema au kwao ni picha nzuri...sukari wanadai imepanda mlikuwa wapi kusema siyo picha nzuri?.
Ccm hawataki mabadiliko katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwani wanajua wakikibali hayo ccm itashindwa uchaguzi
Hapo kwenye ki mama mama😂😂😂😂😂
Kwani hujui kila mwaka via zikinyesha sukari inapanda mafuta ni dua zima ulizini tataifa megine mafuta vipi
makada hao
Hawa sio mashekh ni vichaatuu... Muislam huruhusiwi maandamano hata kama serekali nijeuri ...huu uislam wenu mwautoa kwa mtume yupii!??? Mahovyoo sana ..
Mnatafuta kuteuliwa?
Hamna Kila tu nyie ni kofia ndo inawafany tofauti mnabaki kusifia sifia tu hapo
Mandamano niupuuzit
Sukari ipandet
Mbona pombe haipungui
Hawa niwale mashehe wabakaji watoto wetu pumbavu zaoo
Habari ya sukari kwani hujamsikia Makonda leo??? Wacheni kupotosha umma nyie
Kama hawataki kukaa mezani si lazima kuandamana
Hili jamaa halijielewi kabixa
Tumeaswa tujihadhari na wanafiki ninyi ni wanafiki
Mwaipopo naye ni sheikh?au ni balozi wa chama cha siasa?
Huyu shekhe,vipi?
Wangekuwa kina mwamakula mngewasifia
kuna haja ya kufanya mapinduzi ili raia akili zifanye kazi,,,,,,,,,,,mimi mbona sielewiiiii?
👏🏻
Kibokoooooooooo......😂😂😂😂😂😂
Sioni kipya
Munafiki wewe .ulikuwa wapi siku zote .tunasema kupitia maandamano
Iiiiiii eeeeer kumbe
nonsenssseeeesiiiiiii
Shehe kofia huna ujualo kenge wewe
Acha.upumbavu.sisi.maandamano.yapo.palepale.nyie.ccm.endeleeni.kulamba.miguu.ya.viongozi.wenu