MWONEKANO WA LUGUFU CAMP. BAADA YA MIAKA 12 ILIOPITA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 25

  • @tumainiprtv553
    @tumainiprtv553 3 ปีที่แล้ว +8

    God bless you brother daah Lugufu ndipo nimezaliwa kabisa na ilipofika 2009 kambi ikanvunjwa na kuna wenye walibahatika kwenda RDC na wengine tukaenda Nyarugusu camp 🏕 na kwasasa nipo Canada 🇨🇦 proud of this Chanel 🙏🏾

  • @jean-paulzawadi590
    @jean-paulzawadi590 3 ปีที่แล้ว +2

    Jambo ndugu. Samaani sana juu kiswahili changu si nzuri. Mimi niko from DRC na nimekaa hapo tangu 1997-1998, na mwaka 2003. Thanks sana juu ya ukumbusho.

  • @wilondjamsafiri6554
    @wilondjamsafiri6554 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe sana kwa kazi kubwa ndugu. tusaidie kututengenezea sehemu ya pili

  • @jacksaid
    @jacksaid ปีที่แล้ว

    Hongera kijana , tumeona lugufu kwa mara ingine tena

  • @Sifalbertandluoisplay
    @Sifalbertandluoisplay 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana ndugu nimekumbuka mengi nilipo tazama video hii kweli maisha ni safari ndefu sana. Na yanatoka mbali sana.

  • @mwanambokavipack3580
    @mwanambokavipack3580 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi San kuhona iyo video kk mana Mimi nilizaliwagwa apa mpaka leo Niko South Africa Nina watoto ss akika nimefurahi sanaa

  • @bmfamily3229
    @bmfamily3229 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana. Tuonyeshe kwetu baba

  • @yusufuassani2032
    @yusufuassani2032 3 ปีที่แล้ว

    Aise hinapendaza sana kbs kutulitea hiyo video kwakweli mabadiliko nimakubwa sana,lugufu himekuwa pori tupu.tunahitaji video zahidi

  • @elenakapingabob1974
    @elenakapingabob1974 3 ปีที่แล้ว +4

    Kijana hongera hakuna camera imesha wahi kufika hapo, sasa mbona fupi sana lini sasa sehemu ya pili?

  • @donatlwabanya3479
    @donatlwabanya3479 2 ปีที่แล้ว

    Kiukweli umenikumbusha mbali sana maana hapo nilihanza kupaishi from 1999 to 2009 , piya hapo ndo nilimaliza yangu middle school 🏫 kwakweli nimekumbuka village yangu ya A25🥲🥲🥲🥲

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 3 ปีที่แล้ว +1

    Wow sehemu ya pili plz??

  • @henrymusa2839
    @henrymusa2839 3 ปีที่แล้ว +2

    Fika hadi makaburini

  • @arngemer
    @arngemer 3 ปีที่แล้ว

    Duh, kuna wagonjwa nilikutana nao Houston waliisha wahi kuishi kwenye hizo kambi.

  • @ushindijonh5450
    @ushindijonh5450 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndo mahali nilipozaliwa apo dah🤔🤔🤔leo niko Bujumbura Burundi .....
    Napakumbuka Sanaa ku A2,A4 na A18🤔🤔🤔walai siku moja ndapafika tu kweli

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 3 ปีที่แล้ว

    Duh kambini rugufu kweli

  • @mariarichard9696
    @mariarichard9696 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndo nilipo zaliwa apo jamani ume nikumbusha mbali sana i really miss home 🙏🙏

  • @kasairamazani2611
    @kasairamazani2611 3 ปีที่แล้ว +1

    Please full video I wanna to see A4

  • @manasejavakey1472
    @manasejavakey1472 3 ปีที่แล้ว

    Tumazote umenikubusha bali

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu3169 3 ปีที่แล้ว

    Ndio kabisa nilipo soma kichwa cha habari nili sema Hiyo nafasi ni kwa makazi office za UNHCR ongera sana kwa kutumbusha makazi yetu.