Ur so helpful,be blessed dada♥️,…je fondant inaweza kukaa hadi wiki ngapi bila kuharibika?…na je inakaa room air au kwa fridge for storage? Plz help 🙏🏼🥰
Asante Sana dada, hakika mwenyezi Mungu akuzidishe Sana na Sana, kwa video zako umenifanya niweze kupika keki vizuri Sana,.. Mungu muumba mbingu atakulipa kikubwa...
Asante dada Mungu akuzidishie maarifa nasi tujifunze zaidi! Unga unaotumika kuchanganyia ni ulele wa icing sugar au ulichanganya na ngano ulivyoendelea kufinya ama kukanda
Yaan nakupenda we dada had naumwa ,n mwalimu mzur kiukwel huna choyo ya aina yoyote be blessed dear umebadilisha maisha yangu I wish nikutafte physically tuonane but one day yes
Yaan nakupenda we dada had naumwa ,n mwalimu mzur kiukwel huna choyo ya aina yoyote be blessed dear umebadilisha maisha yangu I wish nikutafte physically tuonane but one day yes
Habar dear,, naomba vipimo vya kutenfeneza fondant box 2 na vipimo vya box 1,, nimekuelewa Sana na njia ni rahis nimejaribu imetoka vizur , barikiwa Sana mae
@@mziwandabakers8297 jaman naomb video ya kufundishwa jinsi ya kutengeneza butter icing nitashukuru Sanaa mamii napenda Sanaa kazi zako na nmejua kutengeneza keki kupitia wew
I lovee kutoka moyoni naapa kwa jina lamola wangu nmepondaa kitu og yan kama umeponda ww tcha wanguu hahha sasa mm nmemaliza box kwa vpmo hvyo swali langu inapamba cake ikapambika hiyo recep
Hv naomb kuuliz hii ni nyeupe huwa mnachangany na nn una kuta keki ni pink,kijani,blue napenda sana unavyofundisha nmejua kupika keki kupitia maelezo yako
Mziwanda napenda sana kazi zako yani napenda kuangalia kila vidio unayoituma . Ila katika hii vidio ilikuwa nataka utuoneshe hivo vifuko ili tujue kama hiyo gelat naomba utuoneshe ili niione
Ni vizuri kusema kama n kikombe kikombe aina gani, make wengine tutachanganya mambo... Asante dear kwa somo
Hellow Dada Mungu akubariki sana sana kwa elimu na namna unavyokuwa muwazi maana hata hao ambao unaenda kulipia hawaelezei kwa uwazi hivo.👏
Dear one asante Sana kwa recipe nimejarbu na imetoka nzur inavutika adi Raha na ilikua Mara yangu ya kwanza, ur the best thanx
Thank you dear, karibu tena😘
Ur so helpful,be blessed dada♥️,…je fondant inaweza kukaa hadi wiki ngapi bila kuharibika?…na je inakaa room air au kwa fridge for storage? Plz help 🙏🏼🥰
Nakupenda hadi basi yaani unafundisha hadi mtu mwenye kichwa kigumu kama mimi anaelewa asante sana.
God bless u🙏🙏🙏
😃😃🙏🙏🙏
Kweli anafundisha vizur mungu akubariki mpendwa
Asante Sana dada, hakika mwenyezi Mungu akuzidishe Sana na Sana, kwa video zako umenifanya niweze kupika keki vizuri Sana,.. Mungu muumba mbingu atakulipa kikubwa...
Asante dada Mungu akuzidishie maarifa nasi tujifunze zaidi! Unga unaotumika kuchanganyia ni ulele wa icing sugar au ulichanganya na ngano ulivyoendelea kufinya ama kukanda
Asante Dada unaelekeza vzur sana, na hauchoki kujibu maswal,
Asante sana nimepata elimu ya kutosha
Nimeongeza. Ujuzi Mungu awabariki sana karibu Kagera
Shukran sana nitakuja
Yaaan ww...ni habari nyingine. Mungu akubariki sana. C mchoyo nasema c mchoyo
Asante sana kwa SoMo nzuri, ila nikitengeneza yakwangu haiumuki kama bubblish Hadi niweke blueband
Nakupenda sana unatusaidia wengi,Mungu akubariki
I reaaly love u mziwanda,unatufundisha vzr sana wale ambao ni learners,ubarikiwe
Asante kwa SoMo ila yangu huzidi maji. Hadi niweke kwenye fridge niikande tena ndo ifae. Vipimo nimefuata vyako lkn inanitesa bado
Wallah wew dda nimalaika kwakweli mungu akulipe ufke mbalizaidi ya hapo ulipo❤
🥰🥰🥰🙏
Asante kwa somo zuri ila nimeona umeandika gelatine vijiko viwili lakini ukasema ni kimoja, ipi ni ipi dadaa?
Hi dear hongera kwa kazi nzuri, love you sana samahani nahitaji culture naomba tuwasiliane
Shukran dear upo mkoa gani??
@@mziwandabakers8297 niko mbeya
Uko vizuri sana kufundisha
Hongera mamiii kwa somo zur🥰🥰
Mungu azid kukubarik🙏🙏🙏
Nimejifunza kwako mamy nimejaribu maranyingi na marazote natoa poa nakuelewa mnooo❤❤❤
Karibu sana
Mami, you have really really helped. Nimejaribu Leo na imetoka perfect. Nime-enjoy ku-decorate keki sana. Asante sana
Shukran sana na karibu
Naweza tumia stand mixer kukanda au ni lazima nitumie mikono?
@@happympende1815 ni sawa kutumia
Dada samahani hapo kwenye vikombe vya icing sugar ni km gram ngpi
Gelatin n nn
Unafundisha vizuri
Asante sana kwa somo zuri,hiyo ladha inaitwaje kama naenda dukani kuinunua ntasemaje??
Asante sana dada
Asantee umeelekeza mpaka kichwa imefunguka ila hiyo radha cjaielewa kwajina ingine kama naenda kununua nisemeje
Barikiwa
My favorite teacher nakupenda
Asante xn kwa somo zuri ila hapo kwenye cmc naomba kuuliza ni nusu kijiko cha chakula au cha chai
Shukran sana kwa maelekezo yako
Yaan nakupenda we dada had naumwa ,n mwalimu mzur kiukwel huna choyo ya aina yoyote be blessed dear umebadilisha maisha yangu I wish nikutafte physically tuonane but one day yes
Yaan nakupenda we dada had naumwa ,n mwalimu mzur kiukwel huna choyo ya aina yoyote be blessed dear umebadilisha maisha yangu I wish nikutafte physically tuonane but one day yes
Asante dear nimejaribu name
Habar dear,, naomba vipimo vya kutenfeneza fondant box 2 na vipimo vya box 1,, nimekuelewa Sana na njia ni rahis nimejaribu imetoka vizur , barikiwa Sana mae
Asante sana umenijuza mengi my dear
Mungu akubariki dada
nakupenda bure....thanks for these classes
Karibu dear
Mwana upo vzr ila mm hicho kiungo ulichoweka ktk ice sugar sikifahamu ni kipi👏👏🙏
Hongera San kpenz
Samhn dda hiy cmc n nn ama ukiend dukan ukisem cmc wanaijuwa?
Ook asantee nitajaribu namm Inshaa Allah
Asante kwa somo zuri ila kunakitu kimoja sijakielewa ninini hiyo umeita sms
Much love from Kenya 💖💖💕💕
😘😘😘
@@mziwandabakers8297 jaman naomb video ya kufundishwa jinsi ya kutengeneza butter icing nitashukuru Sanaa mamii napenda Sanaa kazi zako na nmejua kutengeneza keki kupitia wew
@@lilianshao8154 ipo video yake dear ya box 10
@@mziwandabakers8297 ohh saw ngoj nichek vzr naon nlipit harak sikuiona Asante
@@mziwandabakers8297hello dear hizo ingredients naweza pata wapi kwa dar es saalam
Asante nimejaribu na imekuja vizur sana ila nilitumia zesta je naweza kutumia icing sugar nyengine?au haiji
Ubarikiwe saana
unafundisha vizuri na unaeleweka
Hi anty samahani napenda sana somo lako .. Jeratin ni nn anty
mmh
Inxhallah namiomba mungu aniwezeshe km ww🤲
Amiin Yaa Rabb
Asante kwa recipe pls tunaomba recipe ya cheese
Iangalie kwa Aroma Zanzibar ,,ameitengeneza vizur kwa vinegar tu
@@mackynicky947 asante my ile nishaiona ya cheese mozzarella me nataka ya cheddar km anajua
Mungu wangu akubariki na kukuzidishia kila kitu hujui tu namna gani umenisaidia kwny kipato changu kwa hii Video
Shukran sana nafurahi zaidi mkifanikisha 🥰
Icing sugar umeweka box ngapi😊😋
Nico one.nipo Kenya mombasa.napenda channel yako .naeza pata vipi cake mixer Ka io yako na n hela ngapi
asante saana
Very good
Asante sana ipo pouwa hivyo vifaa napata wapi jmani
Kupitia wewe napika keki za kuuza bila kulipa ada ya laki 7😄Asante dada ❤️❤️
😂😂😂
Hata Mie ada ya laki 4 kwa wiki 2 🤣🤣🤣🤣
Nimefuata hatua zote lakini ikawa nzuri TU baada ya masaa kuja kuiangalia imekua ngumu sans haivutiki tena
I lovee kutoka moyoni naapa kwa jina lamola wangu nmepondaa kitu og yan kama umeponda ww tcha wanguu hahha sasa mm nmemaliza box kwa vpmo hvyo swali langu inapamba cake ikapambika hiyo recep
Unapamba dear bila shaka,hongera sana
Cmc n nini kwa kiswahil kizur umenivuruga hapo tu
Dada samahani nini inatwa fontan
Gelatin kiasi gani na pia glycerine kiasi gan
Asante sana dada kw video ila naomba kuuliza hivo vifaa vya kutengezea fondant kma glucose griselin na gelatin vinapatikan wapi au supermarket tu
Maduka ya vifaa vya keki
Cmc ni nini mamy
Dada samahani nimenda dukani nimesema nataka fondant nimepewa iliyo ganda cjaelewa yani
naomba SoMo jinsi yakutengeneza chocolate cake. mm ndo Kwanza najiunga na Chanel yako
Wow! yaan ww ndo nimekuelewa vzr mpnz ubarikiwe mnoooo jmn
Amiin shukran
Nic
Jmn CMC ni nini?
Ubarikiwe mno mamii
Amiin
Mimi ni mkenya napenda vidio zako sana maelezo yako ni rahisi
Shukran sana
Be blessed mrembo napenda
Zina patikana wapi grocoz hiyo
Dada asante na ubarikiwe,nina swali .je,nilazima kutumia cmc?
Sio lazima dear
Cmc ni nini tafadhalii
Vipi buttercream ikizidi maji
Unafundisha kwa vitendo pia?km ndiyo unapatikana wapi na sh.ngapi?
Asant kipenz
Asante kwa darasa,nipo kijijin napata wap,jelatin,greselin ,blukoz na vinginevjo mpendwa
Hapo dada sijaelewa CMC uliweka kiasigani? Naomba jibu
Na mimi Nita jaribu hii! #roadTo1K Subscribers 🍾🎉🥰🥰
Bosslady wangu 🥰🥰🥰
Dada Boss!!
My dear naomba kujua hyo cmc
Mzuri,gelantine nini ?au ni hamira thanks for your video bye
Vikombe vinne ni sawa na mfuko mmoja wa icing?
Vikombe 6 ni mfuko
Vikombe vinne kwa kipimo gani cha kikombe,je fondat inahifadhiwaje
Sor dear hv ice sugar fondant better crem havizwag ambavyo vimesha tengenezwa kabisa
Vipo ready made pia
Asante dada unahifazi kwenye Friji au
Usiweke kwa fridge,tunza kabatini
My dear gelatin ni nin
Asante sana kushare
Nce
Uzidi kubakiwa dada yaani
Ameen karibu sana
Cmc ni nini, uliyo changanya na ice sugar
asante kwa somo zuri kabisa
Ni kilainishi hicho kinaitwa cmc ama tylose Powder
Asante dada ..samahan kwahyo fondant tunatengezea icing sugar na sio cornflower?
Icing Sugar dear
Mbona ujaweka Kon frawer
Hv naomb kuuliz hii ni nyeupe huwa mnachangany na nn una kuta keki ni pink,kijani,blue napenda sana unavyofundisha nmejua kupika keki kupitia maelezo yako
Dear unaweka kweny fridge au
Mziwanda nahitaji darasa please
Mashaallah nizury
Mziwanda mpo juu
Hpa icing sugar ni gram ngapi mamy
Vikombe vinne vya measuring cups au ipi?? Au icing ni grm ngap
Ndio measuring cups
Icing sugar lzm tutumie hyo ya zesta right??
Sio lazima ni ile unayopenda
Mziwanda napenda sana kazi zako yani napenda kuangalia kila vidio unayoituma .
Ila katika hii vidio ilikuwa nataka utuoneshe hivo vifuko ili tujue kama hiyo gelat naomba utuoneshe ili niione
Hiyo cmc hujasema kias gan hapo sijaelewa
Napenda unvyo fundisha umenifundisha mpaka Sasa napika keki, ila ukishapamba keki icing sugar inakaukaje
Inakauka yenyewe dear ,jitahidi kuandaa Butter nzuri
I love you 😘😘💐