MCHUNGUJI| ATOBOA SIRI YA WACHEZAJI WAPYA WA SIMBA MSIMU HUU TUMEJIPANGA TUNATAKA UBINGWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

ความคิดเห็น • 46

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +1

    Mo Matola hafai kuhamia simba marafiki sana pia anakuwa na makundi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน

    Hapo umesema mchungaji. Kweli uchawi upo sana. Yaan sisi simba tulikuwa tunarogwa sana.❤❤❤ 👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @judithmsumba9808
    @judithmsumba9808 หลายเดือนก่อน

    Amen, Mchungaji Mungu azidi kuwapa baraka zake na NEEMA na Wengine wanakuwa mawakala wa Uchawi kutoka nje,zidi na pambana kuwaombea hizo roho za kichawi zipate kushindwa katika jina lake yeye mwamba wa miamba yaani Mungu baba mwenyezi, Amen.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน

    Majina hayo anayaweza sana kutaja Ahmadi Ali❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali saaaana mchungajiii

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l หลายเดือนก่อน +7

    Mimi naungana na wewe Stefano mange hawa viongozi simba wanamtia hasara MO ktk makocha wanapofukuzwa, matola matola ndiye anafamya mazingara makocha wasifanye vizuri, wakati yeye hana lolote, nyie wazee mlio kuja simba mtaoneka mnafeli kwa matola mzee Rage,magoli amkeni matola sio

  • @AlphonceNganzi
    @AlphonceNganzi หลายเดือนก่อน

    Simba ya mwaka huu kweli ni balsa:

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 หลายเดือนก่อน

    Amina, Na ikawe hivyo kwa uwezo wa Mungu kinywa chema kinaumba
    Mungu atatenda

  • @dottobartazarymdororo
    @dottobartazarymdororo 22 วันที่ผ่านมา

    sawa mkuu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le หลายเดือนก่อน

    Ni kweli timu inarogwa xana wala co uwongo mchezaj kwao unafanya vizur akija tu bongo anafeli tunajiuliza "WHY,"

  • @kabazitv4293
    @kabazitv4293 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga ndo wanaturogea timu pale mo arena

  • @jumamwita8180
    @jumamwita8180 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna uwezekano ht mo dewji alilogwa aikimbie tim

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      HATA BABRA NA YULE LETE MZUNGU UONDOKAJI WAO NI WA KIROGO KIROGO TU MATOPOLO MACHOGO FC MAHASIMU WA NA MAADUWI WA JADI NA SIO WATANI WA JADI MATOPOLO MACHOGO FC NI FITINA MAJUNGU NA WATOWA RUSHWA WANATUROGA MPAKA TUKICHEZA NA TIMU NYINGINE ASHURA CHEUPE ALIKUWA AKITANGULIA MIKOWANI MECHI ZOTE KWENDA KUTUVURUGIA TUSHINDWE SHENZISTAN KABISA

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 หลายเดือนก่อน

    Umenooga sana umekuja kupotea hapo kwa Mama yenu aisee. Huyo mama mchukue tu sisi hatumtaki

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmy หลายเดือนก่อน

    Kweli wachezaji wana logana sana omba baba

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 หลายเดือนก่อน

    Usajili tunamaliza na mpanzu yaani Simba hii moo hatumdai kitu Chochote hata tukishuka daraja Mimi safali hii nasubili bweha yoyote atakaesema moo hatowi hela kunawajinga baada ya vyuma vinashuka wameanza ngwiii moo atapata hasara kwani hela za babaako pumbavu mkubwa weeee😱😱😱😱😱😱😱😱😱

  • @justinazakayo6152
    @justinazakayo6152 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa mtumishi

  • @Stephano722
    @Stephano722 หลายเดือนก่อน +2

    Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tukimtoa selemani matola hapo alipo ndiomchawi wa simba

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 หลายเดือนก่อน

    Ulijuaje mwamba!?duuuu! Haya yapo kitambo tuu!

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa mchungaji

  • @AzizMangara
    @AzizMangara หลายเดือนก่อน

    KISOMWE KISOMO KWA VIONGOZI NA WACHEZAJI. ILI MWENYE KULITAFURA MWENYE KULIPATA.

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz หลายเดือนก่อน

    Wewe uko sawa

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 หลายเดือนก่อน

    Imani potafu nilitegemea uatakuwa na mwanga

  • @AlphonceNganzi
    @AlphonceNganzi หลายเดือนก่อน

    Tukifungwa tukimbilie wapi mchungaji

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu หลายเดือนก่อน

    Unaongea fact sana

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen ila mchungaji mbn unatoa siri ya kambi 😂😂😂

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le หลายเดือนก่อน

    Ushirikina upo bhana usikatae au kwa sababu halijakukuta?

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g หลายเดือนก่อน

    Mchungaji na mpira wapi na wapi, au mchungaji wa ccm!

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji mbali na wachezaji wao kwa wao kurogana, utopolo wamekuwa wakiturogea wachezaji na kuifunga timu nzima wawe Wazito. Kwahiyo kila utakapokuwa unawaombea kama timu wafunike kwa DAMU ya YESU. Fukuza majini na mapepo yote kutoka yanga. Ila Simba angalieni huyu Mchungaji anatia mashaka kama ni Simba kweli au ametumwa kwa kazi maalumu. Mbona alikuwa haonekani huko nyuma?

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 หลายเดือนก่อน

    Na kweli pale viungo Kati Kati bado misimari ipo

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 หลายเดือนก่อน

    Bado mbinu moja ya kununua marefa km yanga

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l หลายเดือนก่อน

    Kama msaidizi mgunda yuko wapi, jamani jamani nawahurumia hao makocha na matola sio kwani jakuna kwakwenda wewe Rage na wenzako mimi mtanikuta paleee kwa huyo matola hakuna mpya mtayakanyaga mavi muda sio mlefu,

  • @stellamboya8673
    @stellamboya8673 หลายเดือนก่อน

    Siku zote viongozi wa simba hawawezi kushindana kwenye usajili yaani wanamtaka timu kubwa lazima washindwe hata huyo mpanzi msiweke matumaina ninachowapongeza wamekubali kuachana na wachezaji wasumbufu usajili tunaimani ni mzuri na age nzuri wamepungua wanaokata mpunzi haraka

  • @fmleli.tz2004
    @fmleli.tz2004 หลายเดือนก่อน

    Huyu anavunja morali je anaweza mtaja anaye roga
    Asipewe na fasi afukuzwe simba

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน

      Hafukuzwi shahidi ni mayele

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 หลายเดือนก่อน +1

    panzu icjekuwa kma ya manzok tu,kilack deal done,mpaka avae jez ya cmba

  • @user-nc1me5vv5f
    @user-nc1me5vv5f หลายเดือนก่อน

    Wacha ujinga katafute pakufanyia utapeli

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน

      Hamna utapeli tumeshawagundua tutajaa wachungaji wote mashabiki wa simba pamoja na mashekhe wote maxhabiki wa simba njooni vijana wakirudi

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @2641956
    @2641956 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji mbona unaturudisha nyuma wanasimba. Unazungumzia ushirikina badala ya kuzungumzia Sayansi na kumuomba mungu. Ktk Karne ya 21 bado tunaadvocate Uchawi!!! Tubadilike

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      ALIE KUAMBIA NI NANI KARNE YA 21 UCHAWI UTAKUWA HAUPO??? FITINA NA UCHAWI NDIO SAYANSI YA MU AFRICA

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน +1

      Mayele alisemaje safari hakuna uchawi tumewagundua

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa anafana na magori wana undugu Nini.?