Mm mume wangu nilimwambia sitaweza kuwa mama (kuzaa ) sababu dokta alinihakikishia kutokana na ugonjwa wa moyo lkn mume wangu alinioa hivyo hivyo na alhamdullillah mungu ametupa watoto3 hai na 6 marehemu zipo njia nyingi za show love
Hayo yakumfanyia mwanamke sio shida, kinachotokea kuaminiana mpaka kuoana ni wachache unaweza ukajitoboa mifuko alafu mwanamke ambaye unamfanyia hvyo mwisho anakuacha kwenye Mataa anaolewa na mtu ambaye hata hakuwahi kumfanyia chochote tena anadai kuwa ndo amempenda ndo maana sikuizi wanaume walishashtuka hawatumii nguvu nyingi bila malengo useme Hawa wameona nyota zao zimekuta zinaendana sio jambo la kawaida muda wote huo mmoja wapo asimgeuke mwenzake akachukua njia nyingne
Vijana wengi huwa wanania sana na mabinti ila mabinti hujakubadilika mbeleni , hongera kijana mwenzangu wa kwako hakubadilika aliendelea kubaki ma wewe na kuthamini nia yako na upendo wako.
Wasukuma na maanisha wanawake wapewe maua yao jaman kiukwel wanaongoza kwa kupata wanaume wa maisha kiukwel wamebarikiwa pmoja na ushamba mnaosema Ila they're blessed
Walikuwa wanazini wewe unahadithia namna walivyokuw wanamuasi mungu,hizi dini zingine hizi,badala wamuombe mungu msamaha kwa mungu,wewe unafurahia uovu ulio pita
Tuko ila kitu ni msimamo na kutulia na mmoja kujua Nini mtu unataka na unapo taka kufika wànaume siku hizi tumeamua kutulia hakuna haja ya kuangaika na kuruka ruka kule na huku mmoja ndio mpango,na naamini siku zote ukimwomba Mungu atakupa mwenye msimamo na mwenye future ya maisha sio kuchezeana,Mungu asimame nasi kweli cause hii maisha bila ya Mungu uwezi pata mwenye real love i believe in God sababu anatenda kea mwenye nia ya kweli vijana tujitambuwe tuu starehee tuache tujuwe kuna maisha ya ndoa yenye furaha kama ukitulia
Mm mume wangu nilimwambia sitaweza kuwa mama (kuzaa ) sababu dokta alinihakikishia kutokana na ugonjwa wa moyo lkn mume wangu alinioa hivyo hivyo na alhamdullillah mungu ametupa watoto3 hai na 6 marehemu zipo njia nyingi za show love
MashaAllah😍
Amen
Waoo hii inasisimua zaidi
sifa kwa mungu na pongezi nyingi kwa shemu wetu
Ila ma Dr wengine wanakatisha tamaa 😢mii nliambia aziwez ingia ata spem za chuma ila naiman lililo andikwa litakuwa!inshallah.
@@user-ih3mt8ly8iDuh! Alisema ayo manebo Dokta!?
This is true love, wanaume kama huyo kaka wako wachache sanaa!! Mungu awasomamie muendelee kuwa pamoja siku zotee
Mashallh mungu awepe maisha marafu kwenye safari yenyu ya ndoa
Hayo yakumfanyia mwanamke sio shida, kinachotokea kuaminiana mpaka kuoana ni wachache unaweza ukajitoboa mifuko alafu mwanamke ambaye unamfanyia hvyo mwisho anakuacha kwenye Mataa anaolewa na mtu ambaye hata hakuwahi kumfanyia chochote tena anadai kuwa ndo amempenda ndo maana sikuizi wanaume walishashtuka hawatumii nguvu nyingi bila malengo useme Hawa wameona nyota zao zimekuta zinaendana sio jambo la kawaida muda wote huo mmoja wapo asimgeuke mwenzake akachukua njia nyingne
Hongera dada coz wako wengine wanakula mizawadi ya watu na mwisho wa siku wana funga ndoa na wengine
That's so sweet and lovely
Vijana wengi huwa wanania sana na mabinti ila mabinti hujakubadilika mbeleni , hongera kijana mwenzangu wa kwako hakubadilika aliendelea kubaki ma wewe na kuthamini nia yako na upendo wako.
Wasukuma na maanisha wanawake wapewe maua yao jaman kiukwel wanaongoza kwa kupata wanaume wa maisha kiukwel wamebarikiwa pmoja na ushamba mnaosema Ila they're blessed
Exactly
Makofi kwetu wasukuma jamani❤❤😂
Kabisa kabisa
Ni wachapa kazi,hawana makuu
Ushamba wao hawauoni 🤣🤣🤣
Jaman jaman huu muujiza unipitie na mim aki 🤲...Mungu awasimamie awaepushe na kila baya
Huo siyo muujiza, sisi wanaume huwa tunapenda sana, tatizo ni virungu imekuwa lengo kuu la mahusiano kwa mwanamke ndo vinatuchosha
@@henrygwalema1860 sa si umeona mwenzio alikuw anampa zawad 😊
Amen
Katika kumi kwa mmoja na mmoja mwenyewe ndio huyu
Hii sasa ndo love story...achana na zile zetu za how are you feeling today
😅😅😅
😅😅😅😅
babeki🤣
How are you feeling today 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
True love UPENDO WAKWELI
Hongera mamdogo, ukoo wa maneno Mungu awabariki🙏
True love never dies ❤
Its consistency for me❤️❤️
Mimi nakuja kumuoa mke wang toka nmefahamiana nae 2015 nmekuja kuoa 2023...
Kawaida sana
Very true. Nilisoma nao
Shule gani huko miaka hiyo...?
@@ayubufaustinemagashi3400ni muonyo huyo usimwamini
Waoooh so Amazing couple ❤ ❤ ❤ 🔥🔥🔥
Mm mwenyewe nimekaa jela namwamke aliyesabisha kwwnda jela ndo mke kwa sasa na tunawatoto 4 .kisa wazazi wke walikuwa askali polisi
itoshe kusem mwenyez mungu awabalik san
Hayo ndo mapenzi ya dhati❤🎉🎉🎉
I need this true love
❤❤wow mungu awajalie furaha katika ndoa yetu inshallah
Mwenyezi Mungu awajalie
Daah imenibariki sana na mungu awabariki
So lovely
Hongera dada umejua kupendwa kwadhati
Masaki hongera bro.. Olympio '07
Wonderful❤
Mungu awabariki
I have like it wapi congrats 👏
Dah! Kujua unachotaka kweny maisha yako ni vizur san
Live it mabibi harusi❤❤❤
Keanini mnaact as if that man did him a favor 😂
😅😅😅 Ngoja niendelee kuvumilia m nko na miaka 5 sasa Mungu nitunzie yule kijana💓
We ni mimi kabisa, Amina
Mm niko n 11😁😁😁😁
Mimi mwkaa wa tatu huu mungu atanitendea😂
Waooooo so beautiful
Mpaka naona wivu,huu ni upendo wa dhati kwa kweli
Naelewa🥰
Mwalimu wangu wa Advance aliwahi kutuambia ukiwa advance Nenda kawekeza kidato Cha Tatu,pili au Cha kwanza .usipambane na advance wenzako
Nikiwa std 7 madam mmoja alisema wake zenu wako la3 au kwa Wengine hawajaxaliwa nilicheka xn ila now nimekubali.
@@adkajisi4536 Ndio hivyo kabisa sisi darasani watu walicheka Ile Mbaya ila ndio ukweli
Mapenzi ya kweli
Haya ndio mapenzi sasa..❤❤❤❤
Consistancy❤
Kuna watu wanahistoria nzur jmn❤
Nkweli nwachache Wavulana wenye subra kama huyo bro mabroko
Ila Gara B
Mashallah, Mashallah jamani hadi raha ❤😘😍
Nmesoma nao wote. Leticia class she was so fine
Dada mwenyez mungu awaongoze
❤
Kula tchuma itcho 😂😂😂😂😂
Aya alie single njoo tuanze story yetu chap😂😂😂😂...Mungu awatunze
😮
😂😂😂 Nimecheka sana
🤣🤣
Aghalabu ..hili neno Mwijaku amefanya mpaka MC kulitumia kimakosa badala ya nadra
Mashallah ❤
Wasukumaah pigah kell
Mmmh! Jmn 😊😊
Alaaa
💜
Nimeipenda iyooo
Nice
Hapo katikati hawakuweza kusalitiana kweli maana miaka kumi ni mingi sana😂
Ila Gara B huboi
Uyu kaka ni kabila gani
Aiiiiii nyie mi miaka 2 tu ntaka niolewe kumb Kuna watu wana miaka 10 na hawasemi aiii lazim ntatoa ushuhuda
😂
😂😂😂
❤❤❤❤❤
Sir Pijini pijin yuko wap jmni😂😂😂
Haha pijini yule discipline master.. aliemshika jamaa akiruka ukita atakua uncle albino yule🤣🤣
Wimbo wa nan
Kumbe na mm nitafika miaka 10
🎉🎉🎉
Nimeikubali sana maana huo ndo upendo wakes
❤️❤️
jina la nyimbo plz
Nyie msijichanganye mkute ni movie vile wapo kweli hawa wanaume wa hivi😂😂😂
💞🔥🔥🥰
Kwamuonekano tu waonekana no watu wenye busara zao
Makini
Nani anakata vitunguu jamani ☺️☺️☺️
😂
Big hi
Kwa nini aniseme HUYU HAPA na sio MKE WANGU
Umeolewa mama kama Bado nasi tukamilishe?
Kwakwel yan
Ni mke wake tayari Ayo mengine sio ishu
Mbn mbosso alisema
Walikuwa wanazini wewe unahadithia namna walivyokuw wanamuasi mungu,hizi dini zingine hizi,badala wamuombe mungu msamaha kwa mungu,wewe unafurahia uovu ulio pita
Kwani hapo ninyumba yaibada au
Kwani wamefunga ndoa bila kutubu? na tunatubu kwa Mungu pekee aliye mtakatifu sasa ww ulitaka waanze kutubu ukumbini
Huyu apa
Jamani msaada wa huo wimbo kaimba nani?
Alitabiri ama ni Ile Tu wanawake wakiwa na mahusiano wanaanza kuitana mke na mume?
Je, kutoroka shule nako ni mapenzi ya kweli kwa wazazi?
We jamaa umewaza mbali sana😂😂
😂 ndo hapo sasa
Loooh sijui wanafundisha Nini vijana wadogo waliopo mashuleni
Anybody tuanze story yetu
I'm here
😂😂😂😂
Wanaume wamebaki wachache kama hawa
Na wakwangu akiwemo
hawa wanaume wamebaki wachache
Tuko Bado ......tuko
Bado tupo
Tuko ila kitu ni msimamo na kutulia na mmoja kujua Nini mtu unataka na unapo taka kufika wànaume siku hizi tumeamua kutulia hakuna haja ya kuangaika na kuruka ruka kule na huku mmoja ndio mpango,na naamini siku zote ukimwomba Mungu atakupa mwenye msimamo na mwenye future ya maisha sio kuchezeana,Mungu asimame nasi kweli cause hii maisha bila ya Mungu uwezi pata mwenye real love i believe in God sababu anatenda kea mwenye nia ya kweli vijana tujitambuwe tuu starehee tuache tujuwe kuna maisha ya ndoa yenye furaha kama ukitulia
Niliyefukuzwa Chuo kwa ajil yake alifariki nmeumia sana
😢dah pole sana
Asante San nmepokea
😂😂😂 heri yeye
Mi nlifukuzwa shule kisa huyo dada na mwaka huu ameolewa na jamaa mwingine😢😅
Wanawake bana
Mwamba kama mgumu hiv lkn kakomaa
Statistically she will do him bad at somepoint . . .
Sawa mtabiri usiyeweza hata kujua kesho unaamka huna hata mia🤣
0ll
Niupumbavu kwelikweli kutoroka shule na kufukuzwa kisa mapenzi niujinga sugu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ujinga sugu
Mpumbavu wewe hapo
❤
❤❤
❤
❤️
❤
❤