Amina mtumishi waBwana nanyi mbarikiwe pia
hongera sana
Amina Baba angu barikiwa sanaaaaaa kwa ujumbe mzuri hakika Yesu ni tabibu wa karibu
Kazi nzur sana Mzee wangu wa kanisa na rafiki yangu
Kaka alex unajua sanaa yanii Mungu azidi kukuweka kaka
BARIKIWENI KWA HII IBADA NZURI. WIMBO WA BARAKA SANA.
Sana mtumishii balikiwa sanaaaaa
Naipenda sana tenzi hii inanikumbusha magum nilopitia kipindi chautoto wangu
Ubarikiwe sana kwa wimbo mzuri unatia nguvu
natakaga kulia nikisikilizaga huu wimbo
barikiwa sana
Mtumishi wa mungu mbona nyingine hujaachia?
Umeutendea huu wimbo haki. Well done!
Binafsi kwa moyo wangu wote huu umekuja kuwa wimbo wangu wa tenzi bora kabisa jinsi ulivyoimbwa kwa kweli nimebalikiwa kila mara nausikiliza napofanya kazi zangu za kiofisi najikuta kila mara naurudia wimbo huu nausikiliza kila mara...............naupenda sana hongera sana mwimbaji
Mungu akubariki na aendelee kukuinua mtumishi wa mungu nyimbo zak zinabariki saana Mungu akutunze
Oooh asanteee yeeesuuu akuweke mtumishi tunaburudika saana
Asantee sana Mungu akupe maisha marefu sana baba
Jamani huu wimbo siuchoki, ubarikiwe mtumishi
Mungu akuinue zaidi mume wangu
BWANA Ndio taa yangu,Siku zote za maisha yangu
Kila nikisikiliza huu wimbo naona matumaini Mungu awabariki na kuwainua viwango na viwango
Nimebarikiwa sana nawe Barikiwa zaidi mtumishi
TABIBU WA KARIBU NIPONYE UGONJWA WA SUKARI.Be blessed Alex.
Mungu akubariki nyimbo zako zina furahisha na tunabarikiwa kupitia nyimbo zako.
Nashukuru Mungu ameniepusha na ajali jana ya gari ambayo nisingepona kweli limetukuka jina la Yesu naona moyo wangu hauwezi kusifu kweli maana 😭😭😭😭 neema nilizoona 🙏🙏🙏hazielezeki jamani kuomba kuna faida
Nakipenda sana nyimbo hii inanibariki kwakweli mung7 akujaze neema mtumishi wa mungu.
🙏🙏🙏🤝unajua saana mpndwa kuziinua Imani kwa nyimbo nzr hongela saana kaka 👏👏👏
Very powerful 👍
Mungu akubariki sana Kaka
Allex Mahenge Mungu amekujalia kupendezesha tenzi. Umebarikiwa sauti, endelea kutumika.
Imetulia hii. Safi sana
Ubarikiwe kaka umetumika sawasawa
Napendaga nyimbo za Tenzi ila nikisikia wimbo ,5ulivyo upangilia najihisi Niko mbinguni,Mungu akutunze Alex mahenge🙏🙏🙏🙏
Hongera saaaaana mtumishi ila napendaga wimbo wako ule ( cha kutumaini sina) naupataje
Amina
Nice voice nice istrumentol nice any thang in this song god bless you brother alex
Ubarikiwe Sana
Ubarikiwe bwana Alex
Had to download it was feeling in my spirit to sing it
Napendaga sana nyimbo na unazitendeaga haki tenzi barikiwa sana Alexander Mahenge
Mungu azidi kukupatia unyenyekevu daima
Glory be to God. Good job brother Alex
Wow Alex you made it so heart touching
Asante
I can't get enough of this song
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka Mungu aendelee kukutumia vzr ili uzidi kuutangaza ukuu wake
Am blessed my brother
Pend sanaa ww kazi zuri 😍😍
It's such a beautiful song we praise you lord😊
Amen , iimbeeni malaika. 28.7.2019
God bless you nice song
Blessed🙌
God bless you,,,, good job
God blessing for this songs
Nabalikiwa sanaa mtumishi
Nikisikia nyimbo zako hatakama nilikuwa nausingizi unahama ghafra,nabalikiwasana maana Mimi Ni mlevi was Tenzi zarohoni,Mungu akutunze mtumishi,
Blessed 🙏🙏🙏
Mungu azidi kukubaliki sana, Paschal EAGT ikuti kwa Mch. Mwasemele
Alex mahenge pleas naupenda ule wimbo nakumbuka iko kiitikio kwake yesu nasimama ndie mwamba ni salama pleas naupataje uo wimbo au Ni u sachije jaman I like it much can you help me to get an access to this song?
Mungu akubark. Tumish mwaka huu 2021 uwe wabark kwak na kwenye mafanikio
Dear God 😢
Very powerful
Wow! I can't get over this song, whenever I listen to it am carried away in meditation. Especially that instruments part..
What an inspiration.. May God bless you as you minister his word to the world.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Alex Mahenge ....unanibariki sana kwa nyimbo zako ulizoimba
Que Dieu vous benise mon frère 🙌🙌🙌 , j suis votre chason depuis Congo kinshasa 🇨🇩🇨🇩
This song give me hopes.....
Nyimbo nzri
Barikiwa sana ila tunaomba utoe na video ya twasoma ni njema sana mtumis
Kaka unapatikana mkoa gani ni mkristu wa dhehebu gani.natanguliza samahani
Anapatikana mbeya tena ni mtu alye okaka na anajua kuutendea haki wokovu ndo mana unaona nyimbo zake zinabarki pia hata kuhubir yuko vzr sana
😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Unaweza kunitumia nyimbo zako whatsApp maana nazipenda sana!!
@@alexmahenge3817 Tafadhari kama hautajali naomba unitumie nyimbo zako Watsapp no +255755440194
Safi sana