Kisugu uko vizuri wachane maana Hakuna mtu anaishi hapa duniani bila matumaini,,, Kwa hiyo tumaini letu UBAYA UBWELA lazima tuchukue Mwaka huu Kombe bila kupingwa
Kisugu hanalolote analolijua Azam inafelishwa na uongozi uliopo nasio mashabiki yule mlezi wa timu jamar bakharesa sio mtu wa mpira ni mpigaji tu na hajui mpira ,anaweza akapiga simu atolewe au apangwe mchezaji furaji nje na mfumo wa kocha yupo tayali azam ifungwe na simba na anakua happy kuliko Azam ikiifunga simba siku azam ikicheza na simba anakaa tu ajishugulishi kwa lolote ila siku azam ikicheza na yanga anatafuta mbuzi kondoo na paka ili azam ishinde sasa game moja haiwezi kuifanya azam kuwa bingwa wakati unarusu simba wakufunge.
Kisugu ana akkli sana maashaallah.....hashindwi kirahisi.....huwezi kumfunga kwenye mazungumzo burebure mashallah....Allah kampa akili kubwa mnoooo
Kisugu uko vizuri wachane maana Hakuna mtu anaishi hapa duniani bila matumaini,,, Kwa hiyo tumaini letu UBAYA UBWELA lazima tuchukue Mwaka huu Kombe bila kupingwa
Kisugu mtamu sana bwana kwenye mjadala lazima uwe makini na maswali yako unayouliza ukienda hovyo utachezea za kichwa
Kisuguu wa motooo sanaaa
From Nairobi Kenya
Hapa miraji na mzee saidi wamekosekana ndo maana kumenywea
Great minds discuss ideas ordinary minds discuss events simple minds discuss people!
God ynga nomaa
Mzee saidi yuko wapi🙄😢
Mzee saidi yuko wapi?
Ilaaa kisuguu wa motoo
Huyo Suma nae sumu ,ko yeye anaamini kuwa wazungu ndo wenye akili kuliko babaange
Huyu dodi vipindi vyake😅😅😅😅
Kisugu ni mmoja tu
Kumekucha 😮
Hahahahah baada ya mume kutoa huduma tofauti wake wenza wanagombana sasa
😂😂😂😂
Dodi kwanini Yanga wanahari Saana mechi ila kwanini miraji hayupo na muzee Saidi
Kumbe Kisugu kunamda kina ongea jambo la maana 😂😂😂😂
Wananyunyiza hawa😀😀😀
Kisugu unaumiza akiliiako kubishana na huyo muha uliekaanae pembeni hakuna chochote anacho kijua
Huyo shabiki wa Azam hana tabasamu la kishabiki ona Kisugu anavyoongea unaona kweli shabiki
Sas uy anae mwambiy atulie mzee mbn kam n yey mzee😂😂😂
God awawaeza wotee
Yani wazee lakin akili Amna kocha kazingua kwaiyo tu kwasababu mtu kasomea bac tusimsaidie kupanga mpila mchezo wawazi
Huna point ww shabiki wa azam
Dodddy shukraaan
Nimecheka sana Ila makolo wanamameno jamani 😅😅😅😅
Hakunaa mtu anaweza kubishanaa na KISUGU labda kidogo mwalimu yanga
Hahaha kisugu 😂😂😂
Mzee said yuko wap
Mashabiki wa yanga akili zao hazifanyi kazi!
Simba inatengeneza yanga Wana boresha afu kenge inasema simb hawajasajiri ko chama kafikaje yanga
Ni sahihi
Hili kipindi la kisenge kinoma yaan full kukoromeana tu😂😂😂😂😂😂😂😂
Washabiki wa Simba wanaotakiwa kuwepo kwenye huu mdaharo ni miraji mara Moja, mchome mapovu na sam Simba lakn Hawa wengne ni ushuuz mtupuu
Wamajaa machawa madunduka..
KUMBE KISUGU NI SUNGURA MJANJA❤❤❤❤😂😂😂😂
Kwan yanga kakaa misimu mingapi?
Huyo jamaa kweli siyo Azam maana jamaa wachezaji wote wa Yanga wazuri wanakaa benchi pale Azam.
Uyo shabiki wa Azam kweli Hana akili 😂😂😂
Hawa mashabiki wa Simba sometimes akili huwa tenge kwakweli khaaa
Kisugu anakeepa kuongelea mpira Hana point
Kisugu hanalolote analolijua Azam inafelishwa na uongozi uliopo nasio mashabiki yule mlezi wa timu jamar bakharesa sio mtu wa mpira ni mpigaji tu na hajui mpira ,anaweza akapiga simu atolewe au apangwe mchezaji furaji nje na mfumo wa kocha yupo tayali azam ifungwe na simba na anakua happy kuliko Azam ikiifunga simba siku azam ikicheza na simba anakaa tu ajishugulishi kwa lolote ila siku azam ikicheza na yanga anatafuta mbuzi kondoo na paka ili azam ishinde sasa game moja haiwezi kuifanya azam kuwa bingwa wakati unarusu simba wakufunge.
Yanga wamewapima Simba yaani ni goli moja tu haya rudisha kashindwa hicho kipimo tosha fundo la mbwa si mchezo
kisugu akili hana hata kidogo pumbafu...1
Kipindi nikizuri sana, Ila akuna utaratibu wakuhongeya
Kisugu hana point kbs
Simba sahizi wako kwa ICU ikilinganishwa na Yanga
Kisugu jamani kashindikana
KISUNGU JICHWA TENGE 😂😂😂😂
😂😂😂Hawa watu no hatar
Hakuna kipindi nakipenda kama iki
God kiboko ya makolooo
Kiboko ya madunduka ni god yanga tu😂😂😂
kwani utopolo walikaa Mika mingapi bila ya kombe lolote mbn mmejisahalisha nyie?
😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤
God ni nooma
Kisugu sio mtu wa mpira simba yetu imesajili wachezaji wa kawaida sana
Ameuliza simba alipofungwa na yanga kisugu alichangia mjibuni???
😂😂😂hivi Gody na Dosaa mlisahau kumwambia yeye mbona alipocheza na tabora goli lilikataliwa na la Azam mkatoa na ayo mnajichelewesha tu na ilo kisugu
Mimi na mkubali mchome.anaongelea team vibaya ili ijirekebishe.mchome ana akili sema wengi hamjamfatilia
Yaani kisugu anaamini sana ushirikina Kila kitu yeye ni ushirikina
MATOPOLO WASHIRIKINA NYIE MSIJITETEE
Unamzuiyaje mtu wa yanga... Mwache anaweza kufanya lolote maana mechi 3 kakufunga gol 8
Yanga bingwq
😂😂😂😂
Kisugu fala tuu hujui mpira
Yanga itakuja iue watu
Kiboko ya Madunduka 😂😂 Gody Yanga
Aza fc ndio azam fc? Kama ndivyo hariri tena jina la huu uzi!
Admin Ni Mtu Anawez Kukosey Ndug
Kisugu wewe ulipopigwa na yanga ulishiriki.
Hapa miraji na mzee saidi wamekosekana ndo maana kumenywea