Ama kumbe ujahil wa abujeheli bado upo azi za sasa mwacheza kama harusi. Hata hao walio zaliwa ktk dini wanachanganyika na wanaume HASBIYA Allah waniima alwakil mtulizwa kesho kwa Alla
Jamila uko Na Nini wewe Na Sisi?fuata lako..wivu utakuchoma...Sisi Na mtume Na mtume Na sisi mpaka yawmul mahshar tuingie peponi Na mtume wetu Inshallah wewe baki hapo hapo Na pingamizi zako za khiyana
Asalaamn alaykum bi Mwajuma Nyota mashallah ila mikono yako iko wazi jitahidi kushona nguo ya mikono mirefu pamoja na kina mama wenzangu wote watu wa Maulidi tukijitahidi katika mavazi answar hawatuwezi tuna vitu vingi ikiwemo dua na maulidi
Vazi lenyewe tu ni kipimo, na maulidi zenu hizo. Unapodai hawatuwezi ni akina nani , ni Mola wako mlezi au alieifundisha dini Mtume wetu Mohammad ndie aliekataa hayo bidaa yenu. Stars yenyewe tu mtihani!
ALLAHUMA SALI ALASAYIDINA MOHAMED WAALIHI WASAHBIHI WASALIM❤❤❤❤
Molla akulipe janna allahuma amina mashallah.akuongezee imri inshallah.
❤mashallah Allah maswali wasalim aaallah.
Masha Allah ....hiyo ndio rehma ya mtume
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHUMMA SWALLI WASSALLIM WA BAARIK ALAYHI ❤
MASHAALAH
Unatuburdisha bimwaju maashaallah
Ama kumbe ujahil wa abujeheli bado upo azi za sasa mwacheza kama harusi. Hata hao walio zaliwa ktk dini wanachanganyika na wanaume HASBIYA Allah waniima alwakil mtulizwa kesho kwa Alla
Kwendaa...hupendi mtume akisifiwa.....TOA sababu zengine....kwani wewe Ni msafi Sana?
Wamefurahi kuna ubaya gani wanamsifu mtume hamna maneno machafu sio mziki hio ni vizuri watu kumsifu mtume habib alla
Maa shaa ALLAH 💚💚💚
Sauti ya mwamke ni aura. Nasitara hawana MIKONO nje hiyo nidhambi mnafanya bidaa
Jamila uko Na Nini wewe Na Sisi?fuata lako..wivu utakuchoma...Sisi Na mtume Na mtume Na sisi mpaka yawmul mahshar tuingie peponi Na mtume wetu Inshallah wewe baki hapo hapo Na pingamizi zako za khiyana
Mashaallaah mwanikumbusha bari sana mwanya
Mashalah
Mashallah mashallah wallwah mpka najihisi kulia wallwah
Hasbunaallah waneemal wakil wacheni kutusi watu
Masha Allah 💖💖💖
Maashallah
Taarabu subhanallah
Mashallah 🥰
Asalaamn alaykum bi Mwajuma Nyota mashallah ila mikono yako iko wazi jitahidi kushona nguo ya mikono mirefu pamoja na kina mama wenzangu wote watu wa Maulidi tukijitahidi katika mavazi answar hawatuwezi tuna vitu vingi ikiwemo dua na maulidi
Vazi lenyewe tu ni kipimo, na maulidi zenu hizo. Unapodai hawatuwezi ni akina nani , ni Mola wako mlezi au alieifundisha dini Mtume wetu Mohammad ndie aliekataa hayo bidaa yenu. Stars yenyewe tu mtihani!
Haha Yani umesema yeye ni Nyota! Ehe Kafanyeje ndio awe Nyota 😢 lkn jamni dunia hii Allah alitujaalia lkni Ile vitu tuko navyoooo wacha tu!!
Nampataje huyu mama anae mfaham plz
@@ShanMohamed-hh2mk ... haha ako Tz but ukipata watu barzanjy na Matwari ushampata
Aswaliwe bwana mtume swalallah alayh wasalaam
.
Sauti mbona ina kwaruza
Soma wewe
😅😅😅😅😅😅😅😅
Haya bachu akisema mnamtukana hana adabu iyo ya huyu mama kupaza sauti kwenye maulidi ya dini ya mungu mmepata wapi ? Haya mambo ni dini kweli ?
Duuuh kwahiyo angesoma vp ,hapo huoni kuwa Ni wanawake watupu
Si ni wanawake kwa wanawake nyinyi mawahabi punguzeni bangi
Mzuiye mkeo asijiunge na Wana wake wenzake kumswaliya mtume MOHAMMAD (S.A.W) ama wataka wakusifu ww jahill kisoro kwinyo adui wa mtume
Bachu anaona hawa peke yake? Walenl wanoimba taarab hawaoni ana chongo?
@@swalehabdulrahman4118.. niwatupu lkn waaonekana kote ulimwenguni ama hujui Hilo!? Nahawa hta kujichanya na waume sio shida Kwao kabisa au unakataa Hilo!!