Huo ndo umimi, kujipendekeza na ubaguzi kuongea lugha isiofahamoka na wote ktk mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali si tabia nzuri wala si ustarabu! Utakuta mfano mko watu watatu wenzio wawili ni wa kabila moja wewe kabila lingine na hufahamu lugha ya hao wenzio wawili, cha ajabu na chakusikitisha (ujinga) utawasikia/utawaona hao wenzio wawili wakizungumza lugha yao hapohapo ilhali hampo mlipo mpo watatu lakini lugha tofauti, wao wawuli ni lugha moja na wewe mmoja wa lugha/kabila lingine! Zambi ya ubaguzi/ukabila ni mbaya sana wenyetabia hiyo/mazowea hayo wacheni ili muonyeshe ustarabu ktk jamii.
Mzee siku zote hukosei upo vizuli sana naheshimu sana mawazo yako ni mazuli sana, huyu mzee angepata unaibu waziri yupo vizuri sana, Mh, kishimba hakosei
MH RAIS JPM TUNAOMBA WALIMU WAAJIRILIWE KWAN SHULEN HAKUNA WALIMU WAKUTOSHA PIA TUNAOMBA WALIMU WAANGALIWE KIMASLAHI ZAIDI KWAN WALIMU WAKIPATA MOTISHA WATAFUNDISHA KWA UPENDO ZAIDI AJIRA AJIRA AJIRA AJIRA ZA WALIMU ZIWE KIPAUMBELE NAMBA MOJA
@@hajihassan5433 Hata wewe kama ungelikuwa upo hapo na hio lugha isio ya kiswahili ambayo hukuifaham imetumika,ungejisikiajee? Toka enzi za mwalimu Nyerere mpaka Kikwete, lugha rasmi kwenye mkutano ni KISWAHILI , ili sote tufaham
*TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZEE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
Issue ni kuwa uniform husinitoe ufaham mbunge na sio kwa mavazi tu na matendo kuwa uniform aswa tabia nzr
POMBE KILA SIKU ANASEMA SISI SIO MASIKINI WAKATI MBUNGE ANASEMA SISI MASIKINI, HIVI NANA MKWELI?? KWA HAKIKA VYUMA VIMEKAZA JAMANI😂😂😂
Kishimba ni mbunge wa Dunia yote hakuna kama yeye pongezi zake
Hapo ni kazi Kabisa
Hahahahaha hata mkate ni kiporo, kishimba umetishaaa
HUU NDIO UKWELI HONGERA WEWE NI SHUJAA .MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU
Hongera Sana KISHIMBA.
kabisaaa mh mbunge sisi tumesoma kwa kubeba viporo
Kishimba umetisha baba umesema ukweli
Kishimba namkubali sana maana haishiwii Topic zenye maana🤣🤣🤣🙋♂️
Safi sana siku yangu leo imeenda vizur
Ila huyu Jamaa ana akili jaman,naamini ana kipawa kikubwa sana jaman
Kiukweli Niko tayar lions chakula ktk mashule ya serikali
Ongerea stand kuu kahama mbunge, Ni Aibu uwanja wa lowasa. Mbulu kahama utajengwa lini stand kuu
Huyu baba hua namkubal sana
Mzee kishimba huwa ukosawa akiliyako inaona aisee
Huyu Kishimba hakusoma? Saa nyingine anazungumuza utumbo kabisa. Ni mufanya biashara mkubwa hata mishahara kashindwa kulipa wafanyakazi wake.
Huo ndo umimi, kujipendekeza na ubaguzi kuongea lugha isiofahamoka na wote ktk mkusanyiko wa watu wa makabila mbalimbali si tabia nzuri wala si ustarabu!
Utakuta mfano mko watu watatu wenzio wawili ni wa kabila moja wewe kabila lingine na hufahamu lugha ya hao wenzio wawili, cha ajabu na chakusikitisha (ujinga) utawasikia/utawaona hao wenzio wawili wakizungumza lugha yao hapohapo ilhali hampo mlipo mpo watatu lakini lugha tofauti, wao wawuli ni lugha moja na wewe mmoja wa lugha/kabila lingine!
Zambi ya ubaguzi/ukabila ni mbaya sana wenyetabia hiyo/mazowea hayo wacheni ili muonyeshe ustarabu ktk jamii.
We noma mbunge
Acha ujinga sanaaa
Yaani nampendaga huyu kishimba Sana anaongeaga point Sana akiwa bungeni
Mzee siku zote hukosei upo vizuli sana naheshimu sana mawazo yako ni mazuli sana, huyu mzee angepata unaibu waziri yupo vizuri sana, Mh, kishimba hakosei
Hata mkate nao nikipolo Kama kipolo Cha wali
MH RAIS JPM TUNAOMBA WALIMU WAAJIRILIWE KWAN SHULEN HAKUNA WALIMU WAKUTOSHA PIA TUNAOMBA WALIMU WAANGALIWE KIMASLAHI ZAIDI KWAN WALIMU WAKIPATA MOTISHA WATAFUNDISHA KWA UPENDO ZAIDI AJIRA AJIRA AJIRA AJIRA ZA WALIMU ZIWE KIPAUMBELE NAMBA MOJA
Ndo maana wakaweka sale ili kwepo na mfanano tukiweka kila mtu avae anavyo taka itakuwa balaa.
Hao waulaya tuliowaiga watoto wanaenda kila mtu na hali yake
Pongez kwako rais
Mh Rais tukumbuke na huku Urambo ufanye ziara
Sasa kunasiri gani hata kupenyeza lugha isio fahamika na wengi Wa Tanzania?
Magunia matano ya mpunga ni sawa na acaunter 5 za shuleni
Ulizaa uambiwe
Kwa kuwa sio Kiingereza lakini ungempongeza.
@@hajihassan5433 Hata wewe kama ungelikuwa upo hapo na hio lugha isio ya kiswahili ambayo hukuifaham imetumika,ungejisikiajee?
Toka enzi za mwalimu Nyerere mpaka Kikwete, lugha rasmi kwenye mkutano ni KISWAHILI , ili sote tufaham
*TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZEE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
Kipolo lazima kwasababu ni uchimi wa kati
.
Kishimbabnamkubali aliwahi kutetea tozo ya kuchukua maiti na sasa imefutwa.