FULL VIDEO: KIKWETE AACHIA 'MABOMU', ASEMA "RAIS SAMIA NDIO MWANASIASA MAARUFU ZAIDI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- FULL VIDEO: KIKWETE AACHIA MABOMU, ASEMA "RAIS SAMIA NDIO MWANASIASA MAARUFU ZAIDI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
FULL VIDEO: KIKWETE AACHIA MABOMU, ATAKA 'WACHIMVI' NDANI YA CCM KUADHIBIWA
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
WE MISS YOU MAGUFULI MAANA HAPO UNGELISHASEMA MANENO YA MAANA ILA HAO NAONA WANAROPOKWA TU,,,AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU!!
Umesema sawa rafiki yangu
Mmechelewa mno.. Endeleeni kuomboleza. Ongozweni na marehemu. Sisi tutaijenga nchi.. tutawasaidia watanzania.. tutaweka midingi thabiti ya kizazi Cha Sasa na kile kijacho. MUNGU ibariki Tanzania
Wewe kama ule moto wa .miaka.mitano na ushei haukukuinguza/hujausikia,basi kwa uhakika kabisa utakuwa uasikia baridi Kali kwenye utawala huu.,ndio maana unamwomba mungu moto.Omba linguine achana na hill kabisa.Mimi nionavyo tukoPoa mama anataka watoto wetu wrote (walemavu na wasio walemavu) wapate elimu nzuri,wawe na afya nzuri, ndio maana amefuta sherehe za uhuri na kuelekeza bajeti yote ikajenge mabweni ya watoto wetu wenye mahitaji maalumu. Mungu ikimpendeza ampe mama ujasiri huohuo ifikapo ile siku ya kuwasha taa mchana.
Hakuna,uongo
Yaani mkija kumwacha mtu ambaye siochaguo la wananchi agombee nitawaona wapuuzi sana, Kikwete usitutishe, Samia ni Rais wetu but she is not our choice it was MAGUFULI, So muhula ukiisha tunataka waheshimiwa wagombee ili tupate chaguo letu msitake kutulazimisha
Mimi naona mh rais Samia na ccm watusaidie tu kwa uwezo wa mungu tupate kiongozi mwenye uwezo na baraka toka kwa mungu na wasing'anganie uongozi wajue kuwa wananchi wakiteseka Sana Ni laana kwao
Makufuliii uko wapi baba yetu mpendwaaaa mungu akurehemeee tutakukumbaka daimaaaaaaaa machozi yananitoka ninapo ona mafisad wamerudishwa
Daaaa inaa saana ndg yng
Acha polojo za miaka ya ujima, watanzania wanataka viongozi walio na maoni , sio viongozi wa chumia tumbo R.I.P Magufuli😥
Bora alivokuwa hayupo.
Sasa Tanzania raha
Agombee tu lakin mungu atasikia vilio vya watanzania na atatupigania
Jamani magu..RIP baba wa pili wa taifa la tanzania.
Sasa muda huu magu wa nini ...
Tumeshukuru magufuli alivo andoka angalau tupo na amani watanzanis
Mzee wa ufufuo yuko wapi amelize hili tatizo
Hii nchi imejaa waganga njaa viongozi wetu wengi wamekuwa kwaajili yao wenyewe na sio wananchi tena ..... RIP Jpm
RIP JP Magufuli. We still remember you our former president for all of our life.
Yaa of cause
Samia ni mwizi
😭😭Mungu sikia kilio cha watanzania maana bila wewe sisi pekee hatuwezi
Sasa mungu. Nenda shamba kalime kama hujasoma
@@abi-onlinetv4181 Ni Kilimo kipi ambacho hakisomewi?
@@abi-onlinetv4181 kwahiyo baada ya kushiba sasa ndio umeamua kutudharau wakulima wee mwehu!?
@@tabomusic3625 kutokuelewa kwako kusifanye uonekane mpumbavu maana mwalimu alisema upumbavu Hauna dawa tafadhari jihadhari usiwe mpumbavu
@@justinesorwa-soudo4177 sijui umezaliwa lini haya yote unayo yaona yamebunia na kutekelezwa ambao hatakuandika hawajui Hawa unaowaita wasomi wanakopi kutoka wale ambao unaowaita hawakusoma kilimo kilikuepo tangu mababu na Tanzania hii haikua na njaa kuliko sasa na hao wasomi wako bandia kama wewe
Jamani Msituzuie kugombea Urais ndani ya CCM wapo wengi ..
M/ mungu tuondolee viongozi wanaafiki mwenye dunia
R.I.P Magufuri
Sababu ni wizi mnaoufanya nchi hii umeme ni shida mpaka Leo sibora mjiuzuru tu
Allah ndio hatawaudhuru inshaAllah machozi mengi kuliko kicheko
Namchukia Sana Hilo limama
Wewe ndio muongo kikwete wallah lnshaaAllah Allah hatuondole uyu raisi 😏😏😏😏
Mungu hawezi kumuondoa mtu kwa matakwa ya binadamu, hasa watu wema. Ukiona mungu anakuondoa ujue hana haja tena na wewe kwenye hii dunia, mchango wako umefika mwisho
Ujaambiwa watu wema hawafi. Tumekwambia hatoke madalakani
ALLAH ANGEANZA KUKUONDOA WEWE KWANZA INGEKUA BORA
@@maftahmusa9513 kuniondoa wapii sasa jamanii
Uko sawa Mh mstafu, na Mwanajangwani mwenzetu,
Tusikubali agombee tena
Magufuri R I p baba yetu
Mzee usituzingue watu huku chini tumechoka majibu mungu atatoa maamuzi wakati wowote
Yamkini Wengine Wanawaelewa..
Ila Mimi Sitowaelewaga teeeena% Lbda Muumba Atupe John Mwingine
Mwenye masikio ahambiwi sikia na
Mwenye macho ahambiwi kuona
KATIBA MPYA
Hayo siyo maneno sahihi
Jaman tuandamane tuliondoe hilo limama madarakani linatuumiza wanyonge
Mashirika hayo yapo tyr kutoa fedha kusomesha watu wenu lakini hayapo tayari kuwapa fedha kuanzisha viwanda vya mzao yenu au viwanda vikubwa kwaajiri ya ajira ya vijana tz wanawambia -subiri wawekezaji ambao wana hidden interest ebu amkeni x
Unaakili sanaaa Issa powerful comment
Nyinyi viongozi wa ccm, mbona mnaongelea kushinda tuu!? Wala hamuongelei maendeleo ya nchi na huduma bora kwa wananchi!!?
Muda huu atuna umeme tangia hasubui hamueleweki
Mungu ni mkubwa na YUPO.
Samia aachie hicho kiti cha urais hawez mwizi yeye
Attachia 2030 ucjali
Vumilia tu
@@hometutors1 2025 hatumtaki
Kuleni tu ni wakati wenu, ila mwisho upo, ni NENO tu la uzima litabak
Mangufuri alikomaa kisiasa alijua wajibu wake.kama baba wa watazania
Hivi Msiba yuko wapi?
The best politician ever in Tanzania
Mh. Rais mstaafu Kikwete.. Mungu akuongezee miaka 55 mbele..yenye afya njemaa...Uishi Baba🙏
Mmh ..Ayabuana 🤔
Mliobakia mnaongea yakujisifia tu mengi hayahusu utatuzi wa matatizo ya watanzania wanyonge ,mimi ni mwanachama wa ccm lakini Sina Imani ya huyu mama Samia. Kwani mtabwagwa wabunge na urais
Siasa hiyoo mzee
Ila m'metukomoa sana kwa Magufuli.
Tanzania mungu tupiganie
Mtanikumbuka In Shaa Allah ila ukweli ni kwamba Kikwete anajua CCM hairudi tena madarakani anajua fikaaa
Jk nakukubari toka uongozi wako ira kwa Samia nitakuchukia pia wewe pumzika kwaa amani jk acha samiaa aende konde znz kwao
Haendi popte yy ndo Rais tunaemtaka na hakuna km yy
Naaam Samia ndio chaguo letu tuta mchagua na tutampa kura zetu zote atuongozee
Uongo bana
Kamanda wacha wanachama wanaotaka kugombea wawe huru kugombea maana Wana haki hiyo tusiteue acha sanduku lifanye kazi yake
Hampati hata Kura moja nawahapia
Unauwakika ?
@@bakariamour1024 wallah billah wananchi walivyo na hasira hapati hta Kura moja
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mnamuelewa huyo mzeee,, kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa,, anampaka Samia mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kuwa maslahi yao ya kiunyonyaji yamelindwa😅😅😅😅😅
MUNGU UILAZE ROHO YA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI MAHALI PEMA PEPONI
DAIMA TUTAKUKUMBUKA SHUJAA WA TANZANIA
MWAMBIE NYERERE NA MKAPA NA KARUME HUKU TANZANIA MAKAMBA KASEMA ETI "WAZURI HAWAFI"
PIA
UMEME NI WA MGAO
MAJI NI HAKUNA
HOSIPITALI DAWA SHIDA
RUSHWA NA MAFISADI KILA KONA
MABEHEWA YA MITUMBA KUTOKA UJERUMANI YANAKUJA
WAMACHINGA WAPISHE MABEBERU NDIO WAWEKEZAJI
HATUJUI KAMA DENI LA WACHIMBA MADINI WAMELIPA AU WAMESAMEHEWA?
CINEMA ZA RAMBO. MAREKANI
CHAKULA GHALI
PANYA ROAD NDIO AJIRA KWA VIJANA
MAFISADI WA CCM WAMESHAMIRI
NAKADHALIKA
Mmmmh.....!✋🤗
Rip jpm pumzika kwa amani
Mh. Napongeza uchaguzi wa chama hongereni sana. Vikwazo ni uchaguzi wa kumwaga damu, kutesa watu, kuteka watu na kuumiza watu wakati wa Kura na kampeni za Kura.
Maisha ya watu vijijini ni magumu na njaa inatisha sababu ya ukame muda mrefu mifugo imekufa njaa ni kali fedha hakuna. Mh. Rais chakula kitolewe Cha njaa
Kwetu ina faida gani?
Hujasikia hapo ndugu...hata Tz ilipewa Dola milioni 150 kwenye sekta ya elimu?
Mambo hayo ya uongo yameanza kipindi ambacho mzee salim alizushiwa uongo mpaka akakosa urais.
Viongozi wa chama tawala hawana maono ndio maana hatuna maji safi na umme miaka 60 ya uhuru
HAMNA MAONO NA HAMFAI KUONGOZA NCHI
WATANZANIA SIO WAJINGA
Hich kipindi kuna viongozi wa nataka wenyewe tuwajivunjie heshima 😡😡😡.kwa uchawa wao
Sipigi,kura
Sipigi,kura
Msitulazimisheee kumchaguwaa samiyaa tuache tuchague mtu tunae mtakaaa
Jk mrisho nikweli lakini kumbuka wa tz wengi waishi bila kipato Kama vvyenu hampo nao wanataka katiba mpyaa 2
Watanzania naombeni jamanijamani ndugai asiogope kugombea...wasimtishe na upumbavu wao..ndugai na viongozi wengine wenye Nia ya kugombea agombee tuu tutampa Kura..lakin tusikubali samia achukue tena kiti cha urais
DAAAH!
Tatizo wezi na awa CCM wezi sana
Kikwete anajifanya eti miungu watu ila simupendi huyo mzee ila basitu. Kuna siku mungu atatenda yake
Nakusikitikia unae lalamika Kwa washamba wenzako. Kwa sababu unapoteza mda. Kikwete kashapata kwahiyo huna athari yeyote kwake.
@@abi-onlinetv4181 yeye sio jiwe au mrima kilakitu kina mwisho
Nawewe pia ipo siku Mungu atatenda yake,,Wallahh nakwambia!!!Hutakaa uamini milele na milele!!!Sema Amen!!
@@edinakyaruzi9226 mwisho wako na wewe upoje, hapo ndo jiulize mwisho si ndo Kwa kila kiumbe bwaba
@@reubenkissinga5802 Aamen.
Usitishe watu
MISIFA,BORA USINGEONGEA MAANA UNAKIPOTEZA CHAMA
Katika hilo shirika wewe umesaidia nini Tanzania
Wauaji wakubwa nyie
Watu tuna maisha magumu ,Yenyewe yanapanga kutawala kiyama .Laana wakubwa
Swahili is very difficult, I don't understand this comments
Not difficult
I teach you SAY HABAAR
Kama ana mungu .kitu mpunga mmoja tu.
Ohooo
We Ndugai wacha kununa nuna hovyo bhana.. Unamnunia nani sasa?.
Ww mzee unataka ututawale unavotaka ,acha uongo kubwa lao hatuwataki fanyeni kuleta katiba mpya tu tuone ufisadi wenu unakaa wapi serkali ya kifisadi
Mzee jk tuachie tumechoka ccm kimekuwa chama cha wenyenguvu siwanyonge wenyeviti na madiwani wanaongoza kwenye migogoro ya ardhi,ccm inanguvu kuliko mahakama ya ardhi tumechoka dhuruma
Masifa huyo
inaonekana baba jesca aliwavuruga...
Tukifanya hivyo kuitana ni kusutana dini yetu na sidhani kama kwenye katiba imo akisema tuache na tusiwatukane matusi Allah hapendi kwa sababu enzi za zamani Allah angeshusha Aya sasa hivi iko wapi? Tuwasaidie wenzetu kufanya kazi vizuri na kumuomba MMUNGU atulinde
Hotuba iliyojaa hekima n busara ya mzee wetu JK
Kikwete ni Kiongozi na mwanasiasa wa kihistoria Tanzania na duniani kwa ujumla.
Yessssss
A man of great WISDOM!!
Hivi rais haruhusiwa kuvaa shungi
Abali
Jamani wazee. Wetundani yaCCM. Miminaona. Wavurungwa nasaana awamu. Ya. Msukuma Hajuwinchi. Imejsa. Wasukuma
Magufuli pamoja na madhaifu yake mengine Ali linda raslimali za nchi waliobaki wapgaji
Nakinai
Mpaka Sasa hatuna chaguo la wananchi hivyo tunawaomba ccm watusaidie tuongozwe na mwanaume sio mama kwa sababu tunajua yoyote atakaeteuliwa na ccm Ni lazima atapita tunaomba msimu ujao ccm wamteuwe mwanaume
Mh🥳🥳🥳🥳
Mzee KIKWETE MUNGU akuhifadhi, walikutukana sana ila dikteta uchwara aliwanyoosha. Ila fahamu kuna machawa ndani ya chama, upuuzi mtupu,,,,,, waganga njaaaa ,,,
Kani samia kaleta democracy gani kama sio dikteta mbona watu wanaenda jela hivi sasa kwa kumkosoa samia mitandaoni na kusema ukweli tuu kwa wizi unao fanyika . Ndugai kufukuzwa uspika kwa kwa kusema ukweli. sasa huo kama huo sio udikteta ni nini
Katika marais wooote waliyopita...waliyonikosha ni mwinyi na nyerere tuu
HATUTAKI STORY WALA HISTORIA TUNATAKA UTEKELEZAJI WA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZINAZORUDISHA NYUMA MAENDELEO YA TANZANIA CYO KUANZIA UHURU SA HIV MIAKA 61< KERO NI UMEME
Huyo mlinzi mwenye kilemba chekundu...cjui anawaza nini kama anajambo lake
Rais
Yaani kikwete na maccm yako badala ya kufkri shida za watanzania mnafkri kuchaguliwa 2025 nchii imeharibiwa na maccm Samia hatumtaki acheni kupgia makofi kila kitu tuache ujinga chama akina dawa kitavunjika
Pumbavu anaesifia etihotuba yahekima mjinganini ,hujaendashulewewe
Kikwete aliwatowa kafala wa tanzania njomana muna laana. Inchi ya mashoga ni tanzania, chawa tanzania, watu wafupi tanzania,warozii tanzania ,wenye hawakusoma tanzania, freemason tanzania. Ndomana inchi yenu ina amani ya kisheyani mulisha tolewa kafala. Labda kikwete afe uyo mujinga freemason gay
Nakusikitikia unae lalamika Kwa washamba wenzako. Kwa sababu unapoteza mda. Kikwete kashapata kwahiyo huna athari yeyote kwake.
Ndo uzuzu at fullest huu sasa
Ni yeye kikwete😁😁😁
Pili pili na Sukali ,😋😋Changanya Inogile 🌶️🌶️🌶️🌶️🌶️baada ya kuunga Msoga kuchele baba sema
mze wabusara
Sikupendi we mbaba wewe ndo chanzo unaesababisha yote haya
Mpende Baba yako tu inatosha,,,,kwani Jamaa(Kikwete) alikwambia anahitaji upendo wako??au unajikomba na kuleta vijimaneno vya kijiweni huko mkishalewa Serengeti light na kuimba """Nikizipataa ni mitungiii ,mitungiii"""
Ndio walewale ,mnaendeleza ufisadi tu hapa nchini ,mnamsifia Rais kwa vile amewaachia sasa hivi mnaendeleza ufisadi kama zamani ila Mungu anawaona
Kikwete bosi wako wewe
Lala salama mzeemagu tutakukumbukasana mungufanya miujizayako waaibika
Kwani Wana ccm Kuna ubaya gani mtu akitaka kuchukua form nje ya mama Samia? Demokrasia huanzia ndani ya chama, Kama ndani ya chama mnaminya Demokrasia kiasi icho vipi kwa vyama vingne?
Wawuwaji.wa islam sio watu. Mashetani na mizimu yawo
Teacher😂😂
Kwenye kuongea wewe baba umejaaliwa
Your the bext
SABABU ZA KUTOI CHAGUA CCM NI BANDARI YETU!