EXCLUSIVE: "UAMINIFU, KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUHESHIMU RIKA ZOTE" SALAAH MOHAMED
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Salaah Mohamed ni Mtanzania anaeishi China kwa zaidi ya miaka 10 pia ndie Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya SILENT OCEAN kwenye mahojiano na AyoTV na millardayo.com anasema ili uweze kufikia malengo kwenye maisha unapaswa kuwa muaminifu, kufanya kazi kwa juhudi na kuheshimu rika zote.
Nikazi nzuri sana kaka mm nauliza kupitia kmpuni hii ya kitanzania maana naita hivi maana wamiliki wa kampuni hii ni wa Tz wenzetu. Ss ukiwa unamzigo wako kutokea nchi ya Indonesia je wanafika na huko kwa huduma hii au ni china na Dubai.
Mnafanyakazi nzuri sana, Im real interested with what silent ocean is doing.
Tajiri mtata Kama salaah✊
Tajiri mtata Kama Salah big up brother
Mashaallah wallah allah awabariki jomn nawapeda saaaan 👏👏👏❤️🔥
Habari za Leo, kaka nakupongeza ,nakuomba mawasiliano, tufanye kazi ya biashara ,Niko Tz
Kazi nzuri sana
Kazi nzuri mie nauliza zanzibar mnayo ofisi
Flana za silent ocean zingekua jezi ya mpira ni uzi mkali sana
Nina furaiya uduma yao naomba namba
Mdogo wake GSM
Kwa sasa nauza viatu vya kinamama najichanga changa ili niweze kuchukua mzigo kupitia kammpuni yako mzeee
Nina laki 5 naweza kuagiza mzigo china
th-cam.com/video/UusPzvFhHHw/w-d-xo.html gusa link kutizama maajabu ya Juventus dhidi ya inter Milan mechi imechezwa Jana jumla ya magoli 11 yalifungwa
Anaongea kama vile akumzingua mwenez
Mzee tajiri mtata salaah unanishawishi nizamie uko China ivi munakaa mtaa gani hapo China tajiri
Safi sana