#hananja
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- MASOMO YA UONGOZI NA FEDHA YAKO HAPA-- / @lifewordtanzania313
#UhaiOnlineTv#denismpagaze#ananiasedgar#Maombiyausiku
CONTACT : +255 752 348 789 Uhai Online Tv
E-mail- radiouhaioffice@gmail.com
PLAY LIST ZETU........
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#LifewordTanzania
Umeongea ukweli na hii ameiweza Pastor Huruma Nkone na Wachungaji wengine wakifuata hii tutajenga ufalme wa Mungu hakika
Amina nimekuelewa mchungaji
Tunawahubiria mambo ya mbinguni ukiwa bado tunaishi duniani true %100
Pasta Mungu akubariki kwa ujumbe
Ameen ubalikiwe kwa maono mema
Baba MUNGU akubariki sana kwa hili neno
Hakika hakika hakika. Nimekuelewa Mchungaji.
Kweli kabisa mchungaji, tunatamani tukienda kanisani tuzingatiwe na mahitaji ya Rohoni na ya mwilini pia
Ni kweli kabisa
Neno lako lishinde na liandikwe kwa miyoni hata mbingun.sema amee
Maneno yako yakawe chachu baba! Hili ni neno kubwa sana!
Ni kweli kabisaa!
ni kweli
Baba barikiwa
Huukweli wahubirie wachungaji maana haiwezekani muumini akakope kwengine alafu utake sadaka huku anarejesho
Uko sawa sawiaaaa💪
Kweli kabisa sahihi kabisa
Amina mtimishi
Nakubali baba
Amen mtumishi ubarikiwe.
Africa kweli Vijana bado wana moyo huku nje balaa
Mchungaji Anahekma sanaaaa
Kaona mbaliii
Aisee nimekukubali kwa hiki pastor una maono kwakweli!! Maana!!
Genius
nikweri pasta nayoyote atakaekubishiya bas huyo nimchungaji wamshahara fanyahivo naakiukweri wewe unasitahiri kuwahubiriya mapasta wamakanisa yote iri wabadirishe mtazamo napiyahongera sana kwamaono mapya
HII IMEKAA PIA SANA
Ubarikie888
Huwa anaongea kama utani lkn ndo ukweli kabisaa
Hahaha ni mfunny pastor
Ahsante
Umepiga nondo baba
Nimemuelewa
Pointi nzuri ila kwa nia isiyo sahihi... Nakubaliana na weye kabisa... Lakini kama lengo la kuwapata ni kuwatumia kujenga kilekile ambacho tunakazana nacho kujenga sasa ili kwa mtazamo wako pia, kitakuja kuuzwa kama mataifa ya magharibi, sasa totauti ipo wapi hapo? Pesa ya ni ya msingi, lakini kanisa haifai kuwa chombo cba kutengeneza mabilionea. Kanisa halipo kwa ajili ya kuanzisha njia nyingine ya kuchukiana na kuoneana wivu... Hao wafunga spika tu wanaoneana wivu, sembuse wawe mabilionea?? Njia sahihi ni kuwafundisha watu kumpenda Mungu na kuiepa dhambi, huu ndio upendo wa Mungu wa kwanza, yaani kuzishika amri zake. Tusipoangalia, injili sasa itakuwa ya mchongo mcgongo tu... Na kustaafu utumishia hakumpi mtu fursa ya kutumika kinyume na alivyoamini na kuaminika mwanzo.... Nadhanu sasa , shibe ya kulamba vidole itakuwa muelekeo sahihi ya yeyoye atayeamini kufahamika kwake sana ni njia ya kusena kila kitu ambacho ulimwengu wa fikra duni unamuongoza. Huwezi kumuongoza mla ngada kwa kutumia lugha na maisha karibu sawa na yake na kutegemea mabadiliko stahiki. Kuacha dhambi na kuamini injili ndio njia ya kwanza kisha ubatizo. Kuhusu pesa jambo jema kutafuta, bila kuwafundisha kiasi na kuithamini hakiba, hakuna mabilionea tunaunda bali watu wenye pesa za kusimangia wahudumu na kuhonga hata kwa thamani ya utupu wa anayepewa... Wewe si wa mchongo, usituaminishe kuwa pia ndiye ...
Nahisi hujaelewa sikiliza tena
@@successmaker7630 hapana shaka nitapitia tena🙏🙏
Wewe Fanya hayo kanisani kwako kama ndiyo maono yako yasimamie
Utakuja kufilwa kijan angalia utauponza
Nikweli mnakitega uchumi makanisa ni biashara andaeni watoasadaka ili mpate pesa kwamungu jikoni