@@awatifalghanim1106 ungeelewa speech ya huyu dada usingeongea hivyo kaongea kitu kizuri washakua watu wazima waache malumbano mana ni mda wa kufanya ibada coz vifo vinatokea kila kukicha wafanye ibada waache maneno nimemuelewa sana huyo dada speech yake wengine huongea kwa sauti wengine huongea kwa sauti ndgo so hajaongea kitu kibaya
Ww mama mtu mzima usichokielewa hapo nini? Umekazana wenzio watu wazima je ww?? Na kingine usichokielewa Hawa wote ni wasanii je kama wanatangaza biashara zao zizidi kujulikana Dunia nzima haya mambo ni kusikiliza tu na kuwaachia wenyewe, Hawa ni marafiki wapo kwenye matangazo ya biashara zao ww kaa kimya
Wanaume uku tunawashangaa kweli yani😊...kwa mfano mimi huniambii kitu kuhusu biriani la bimkubwa..iko iv mnaweza mkatumia viungo sawa mkapika mda m1 na test zikatoka tofauti na iko ndo chakula acheni kelele
Jamani kosa lake hapa nn mbona mi sijaelewa.yeye kaulizwa na anajibu maono yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Surely 😮
Mimi nauliza wewe sof ndo mdogo hahahaha umenichekesha Sana
Ila we mama kwa io sisi wa 95 n wamama nimelia sanaaa
😂😂😂😂😂 eti siku za kufa zimefika na wamenenepa sana wafanye ibada😂 ila umeongea ukweli dada
Kufa sote tutakufa inawezekana ukafa wewe Dada kabda ya hao unaowasema washakuwa wazee. Hao ma sisters ni wanene na weupe na wazuri mbona tuu
@@awatifalghanim1106 ungeelewa speech ya huyu dada usingeongea hivyo kaongea kitu kizuri washakua watu wazima waache malumbano mana ni mda wa kufanya ibada coz vifo vinatokea kila kukicha wafanye ibada waache maneno nimemuelewa sana huyo dada speech yake wengine huongea kwa sauti wengine huongea kwa sauti ndgo so hajaongea kitu kibaya
Huo mtandio ulvovaliwa ka bandage😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂 umenichekesha jamani weer
😂😂😂😂😂 watu wazima hovyo
Ww mama mtu mzima usichokielewa hapo nini? Umekazana wenzio watu wazima je ww?? Na kingine usichokielewa Hawa wote ni wasanii je kama wanatangaza biashara zao zizidi kujulikana Dunia nzima haya mambo ni kusikiliza tu na kuwaachia wenyewe, Hawa ni marafiki wapo kwenye matangazo ya biashara zao ww kaa kimya
Ngoja majibu yako😊
Mmmmh jamani muongope mungu wanauzee gani wezako ongea point sio uwakashifu wezio kweli adui wamwanamke ni mwanamke mwezake jamani.
Mbona huna maana kwahiyo wewe nimaraya ulifata pesa Ila unashuglimiwa huko nje pole mume wahuyu dada
Kupika wenyewee hujui hapo ulipo kazi kutuekea miuno tu😊
Sasa ww n mtoto wao
Wanaume uku tunawashangaa kweli yani😊...kwa mfano mimi huniambii kitu kuhusu biriani la bimkubwa..iko iv mnaweza mkatumia viungo sawa mkapika mda m1 na test zikatoka tofauti na iko ndo chakula acheni kelele
MZEE NI KUANZIAN MIKA 65 na kuendelea
Hili lidada lina roho mbaya kwann linawakandia wenzie shenz kabisa
Huyu mwanamke ni mshenzi kuliko washenzi wote, ameongea pumba mwanzo mwisho
Watu wengine hawana hekima sasa majibu gani
Can be quite please???
Hahaaaa😂😂 sasa wenziwe wa bibi yy babu ovyoo
Kwenda huko wewe we mwenyewe mzee
Kama una khofu dada Mhhh basi huna maisha ya raha kwenye ndoa yako. Maskiniiii wewe shangazi. Wacha kujisifu kwenye maisha.
Haya dada umesha onekana haya tafuta chaku Fanya Dunia imesha kuona😂
Haswaaa wanama miaka43 huko wanaleta ufala hapa
Kabsa waombe mwisho mwema ushaur wangu wafanye ibada tuy wa ache ujinga
Sasa hapo kwenye kusugiliw na ww pia hujielew nahao mashangaz len moja hamna khaya ni ujinga mtup
Etiii Wafanye Diet😂😂😂😂 Kabati la Milango 4
Hakika dada umeongea point nikirud nitakutafuta nina zawad ya madera ya oman
Asa unawaongelea wenzio vifo fr ?
Wewe unasema shishi ni kibibi sasa wewe mwenye hijabu huna maana unazungumza uchafu huna hishima nyama ondoka
Halafu kazi kuisifia kuhusu mume wake mitandaoni ngoja wamuibe na huyo aliyenaye 😢
Kwanini uliachwa SASA uongo Walla hakutaman Kwa mdomo huo uongo
Waeza kwenda wewe uwaache wao. Kifo hakichagui umri
Si ungesema tu anakuto vizuri unaozunguka zunguka unamsifa mara ana kukaza kwani wewe nati kujisifu tu na kuponda wenzio
Maybe kiki
Unaulizwa umr umekomaa mzuri nshamba wewe
Hana adabu kabisa hata kuongea kwake anashindana na kina shilole na esha wenzake mastaa hawana ubaya
Wewe ume wezaje kujua wana muda mchache wa kuishi kwani ni israel mtoa roho fyuuu😂
Kwani Uzee ni Ugonjwa?mume tajiri umejaa mitandaoni kuuza Original crime (Mikorogoo)are you okay?
Hawajafikia kuwa Bibi kwendraaa chuki tu 🤣
Huna heshima kama yamke wa mtu
😂😂😂😂
Please don't call them older than you
Yaninawe ujihelewi kwaiyounajiona wewe msichana kuliko kwelinyani ohoni kundule
Ilinalo sula kMa kopo Chefuu
Huyu naye kwendraa kaoshe mkuu** huko ww hujioni hovyoo mtu mzima kichwani fuunza tupu 😏😏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pumbavu wewe