Yajayo yanafurahishwa wazanzibar tuwe pamoja kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo allah ibariki Zanzibar, allah wabariki viongozi wazanzibar na tanzanzania kwa ujumla
Rais mwinyi aliahid cho2 atacho kifanya ungaja na pemba atakifanya Mpendwa wetu doctor mwinyi tunakupendw sana na pia tunakukumbusha usisasahau bos. Wetu Allwh akubark na atuzidishie maelewano na INshaallwh ainawirishe nchi yetu ya zanzibar unguja na pemb amen yaarab
umezungumzia jambo la msingi sana ajira hakuna mpk vitendo vya ukabaji na wizi vimeongezeka akanunue nani nyumba hizo zaid ya matajiri wanaojineemesha hii serikali kweli ni ya wanyonge au matajiri watupe ajira bhana vijana tunateseka maisha magumu.
Na ndio maana sifatili sana taarifa za hii channel maana hazina hata mvuto ni kichefu chefu tu na hata viongozi wa ZANZIBAR ni uduanzii ZANZIBAR nchii yangu lakn nimekua sina imani hata kidogo na viongozii
Wananchi wanateseka kwa njaa wao ndio kwanza wanawaza kujenga nyumba wazanzibar walio wengi wanakula mlo 1 tu kwa siku asubuh hakuna chai hupika mchana 1 kwa 1 usiku ndio nitolee lakn kwenye hutuba zao hawazungumzii kushuka kwa bei za vyakula vile wanaona wao hawana dhiki wanafikiri watu wote wapo hivyo kweli aloshiba hamjui mwenye njaa
Tushachoka na propaganda humjui alosoma wala asosoma wote wapo barazan huyo raisi tokea aingie madarakan anaranda misikitin akihubiri dini kujisafisha kila siku mpango mkakati ila hatuon kinachofanyika
yajayo yanafurahisha kweli mana iyo hela ilivokua ngumu bhna aaaaahhhh mna Rais anazuia mwizi kweli tunashkuru ila ttzo na hela haipo yaani tunaumia bhma
@@mohammedabdulsamad2428 ninacho kuomba Andika ujumbe wa kuwaomba radhi Waislam wote wenye asili ya Pemba la sivyo si hasha kwa matusi uliyoyatoa ukawa kwenye khasara kubwa akhera
Ni mpango mzuri utakaoleta maendeleo ya Rasilimali watu na fedha kwa maendeleo ya nchi serikali ijitahidi sana katika huu mradi umalizike haraka ili iweze kuwauzia watu wa ndani na nje nchi kama Uganda,kenya na malawi wanahitaji makazi hapa zanzibar itapanua sana maendeleo
Tengezeni miundo mbinu barabara kisha mushushe bei bidhaa tujenge wenyewe. Kisha makaazi yenyewe ni Unguja tu. Kwa hiyo punguzeni bei vifaa vya ujenzi tujenge wenyewe..
Hujui kitu wewe ,hizo nyumba umeambiwa ni sponsorship ,sasa huezi mpangia mfadhili ajenge barabara wakati yeye anaona nyumba ndio uwezo wake na ndio faida kwake
Hujui kitu wewe ,hizo nyumba umeambiwa ni sponsorship ,sasa huezi mpangia mfadhili ajenge barabara wakati yeye anaona nyumba ndio uwezo wake na ndio faida kwake
Hamna jipya maneno mengi tu mpiga duri manga pwani vipi mbona kimya kaene mudanganye watu na muda wenu unakwenda na mwengine atakuja bwamkubwa alituambia ataifanya znz kama dubai sasa ndio hii?
Sio kama amekusahau unajua kuna jambo lazima tuwekane sawa, hii miradi ya wawekezaji hua ni ngumu kumwambia muekezaji aende Pemba kwa sasa coz Unguja ndio kuna fursa za kibiashara na masoko zaid ya Pemba, na wawekezaji hua wanaangalia wapi atakapoekeza pesa yake itamlipa kwa haraka zaid.. Pemba ili isogee mbele zaid ni lazima Serikali yenyewe ianze kuweka miundo mbinu na kuanza kujenga wao kwa pesa yao ili mazingira yawe rafiki kwanza kwa wawekezaji.. Serikali wakiweza kujenga miundo mbinu mizuri nna uhakika wawekezaji wengi watakuja Pemba coz Pemba ni virgin island kwa uwekezaji una eneo kubwa la Ku design viwanda na miradi mikubwa mikubwa kwa sababu eneo lipo la kutosha ambalo halijaguswa...
Hatuhitaji nyumba wananchi wa nahitaji bidhaa zishuke bei. Saruji 25. Gypsam powder 30 hichi ndio nn. Uchumi wa blue au..
Waziii,pemba hakujengwi au pemba sio zanzibar
pemba ni kwa ajili ya kutoa muhanga tuuuh.. mabwana wakubwa washibe...
pemba ni kwa ajili ya kutoa muhanga tuuuh.. mabwana wakubwa washibe...
Sijaskia Pemba hapa. Ila jamani mi sijaona kitu zaid ya maishà kuzidi kuwa magumu bidhaa zimepanda bei yaani maisha yamekua juu sana
Barabara ni muhim sana na bandari Pemba
Hatun shida n nyumb sis tunvyotk vit vipunguwe bei man kw mfumo huoo tutakuw hatun ata iyoo pesa y kukodi iyo nyumb
Tushushieni hizi bidhaa kwanza twaumia huku cc twataka jenga zetu japo kibanda cha chumba kimoja kwanza tujihifadhi.
Bei nafuu utaikuta milioni 80
poleni kwa uongo endelevu.
Yajayo yanafurahishwa wazanzibar tuwe pamoja kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo allah ibariki Zanzibar, allah wabariki viongozi wazanzibar na tanzanzania kwa ujumla
Huyu mwinyi hana lolote maneno mengi tu "hakuna mpikaduri wala mangapwani kujengwa bandari "wameshindwa kulitengeneza betlajab linazidi kuporomoka
Rais mwinyi aliahid cho2 atacho kifanya ungaja na pemba atakifanya Mpendwa wetu doctor mwinyi tunakupendw sana na pia tunakukumbusha usisasahau bos. Wetu Allwh akubark na atuzidishie maelewano na INshaallwh ainawirishe nchi yetu ya zanzibar unguja na pemb amen yaarab
Khkhkhhahah
Ni wazo zuri but wabalance basi wakifanya unguja waende na kwawalipakodi wengine pemba na kwenye wanaitaji
Safi sana
Sasa nyumba za kazi gani kama hakuna ajira na watu hawana pesa?
Hata walio na ajira za SMZ mishahara ni mkia wa mbuziii😢😢😢😢😢
umezungumzia jambo la msingi sana ajira hakuna mpk vitendo vya ukabaji na wizi vimeongezeka akanunue nani nyumba hizo zaid ya matajiri wanaojineemesha hii serikali kweli ni ya wanyonge au matajiri watupe ajira bhana vijana tunateseka maisha magumu.
Kizazi kinapotoshwa. Eti MAPINDUZI matukufu. Mmeuwa watu . Bora nendeni mkomuombee NYERERE huko kaburini anavokula azabu. Sheenzi nyie
Hamna mpango wowote nyie msitupotezee muda
Kumbe Pemba haimo mmmmh
Na ndio maana sifatili sana taarifa za hii channel maana hazina hata mvuto ni kichefu chefu tu na hata viongozi wa ZANZIBAR ni uduanzii ZANZIBAR nchii yangu lakn nimekua sina imani hata kidogo na viongozii
Wananchi wanateseka kwa njaa wao ndio kwanza wanawaza kujenga nyumba wazanzibar walio wengi wanakula mlo 1 tu kwa siku asubuh hakuna chai hupika mchana 1 kwa 1 usiku ndio nitolee lakn kwenye hutuba zao hawazungumzii kushuka kwa bei za vyakula vile wanaona wao hawana dhiki wanafikiri watu wote wapo hivyo kweli aloshiba hamjui mwenye njaa
Pemba naona hakutajwi au sio Zanzibar
Mashallah
Tushachoka na propaganda humjui alosoma wala asosoma wote wapo barazan huyo raisi tokea aingie madarakan anaranda misikitin akihubiri dini kujisafisha kila siku mpango mkakati ila hatuon kinachofanyika
hatar sana kaka acha tu ajira imekua kilio chetu kisichokua na thamani
Imekosa kipaumbele hii nchi...punguzia raia vifaa vya ujenzi...puuz sana hii serekal...na viongoz hawana vision
Mie nataka moja
Kwa upande wa Zanzibar au unguja kumbukai kwa Hani City pembaa mume jenga wap
Pemba mbona hamutaji au sio Zanzibar au hakuna watu wa kujengewa nyumba..
yajayo yanafurahisha kweli mana iyo hela ilivokua ngumu bhna aaaaahhhh mna Rais anazuia mwizi kweli tunashkuru ila ttzo na hela haipo yaani tunaumia bhma
Kwaiyo Pemba cio zanzibar
Rais wa kwanza wa Zanzibar hakuwa mfano wenu
Bali alihakikisha kuwa akifanyacho unguja pia napemba atafanya
Lakini nyinyi niwazi kuwa mmekuwa wabaguzi
Mipemba inashida kweli kumaamazao wamejazana unguja kenge hawa wasionashukurani
@@mohammedabdulsamad2428 ninacho kuomba Andika ujumbe wa kuwaomba radhi Waislam wote wenye asili ya Pemba la sivyo si hasha kwa matusi uliyoyatoa ukawa kwenye khasara kubwa akhera
Au kule matajiri sana
Vya muhimu havizingatiwi
Assalamu alaykum mashallah allah azidi kuwatia nguvu
Hakuna jipyaa Zanzibar😂😂😂😂😂
Ni mpango mzuri utakaoleta maendeleo ya Rasilimali watu na fedha kwa maendeleo ya nchi serikali ijitahidi sana katika huu mradi umalizike haraka ili iweze kuwauzia watu wa ndani na nje nchi kama Uganda,kenya na malawi wanahitaji makazi hapa zanzibar itapanua sana maendeleo
Wallah huu niubaguzi mkubwa sanaaa
Na allah atawalipa
Naona pemba haipooooo au siooonao
Doctor Mwinyi awamu iliopita zilijengwa huko unguja kidonge chekundu sasa ni zamu ya pemba ,njoni pembaaaaaa hahaha mmekusahauuuu ccm oyeee.
Mbna huku kwtu pemba mnakusahau Sana
Zitakozojengwa...ok
waziri samahani Zanzibar hakuna vijiji wote mji ila munapotosha watu
Pemba jee?
Wabaguzi wanaona Pemba kama hakuishi watu lkn yanamwisho
Hiii ndio Zanzibar tunayoitaka muungu awape afya ya kutosha kupambana na maendeleo
Jengeni hizo nyumba ili ndugu zenu wa damu wapate sehemu za kufikia na kuishii hapa Zanzibar
Otenitu kwaza azeni nahayo yanyumasiongeetu kilasiku mapya
Inshallah yangu moja hapo,mwanza lini na. Mwamaliza lini?
Kule Pemba ni kisiwa cha wapi naona hakikutajwa Micheweni, mwambe, Pujini ndio sehem zenye maeneo mazuri kwa kujenga, Konde uko.
Pemba labda imo South Africa
Pemba itakua ipo Kenya
Tengezeni miundo mbinu barabara kisha mushushe bei bidhaa tujenge wenyewe. Kisha makaazi yenyewe ni Unguja tu. Kwa hiyo punguzeni bei vifaa vya ujenzi tujenge wenyewe..
Ukisikia upumbavu ndio huo, yaani unatawaza baadae ndio unakunya, haiwezekani bara bara mbovu njaa kali,halafu...
100000000000% MANENO YKO... ALLAH AKUHIFADHI
@@Humble..... kwa sote inshaallah
Hujui kitu wewe ,hizo nyumba umeambiwa ni sponsorship ,sasa huezi mpangia mfadhili ajenge barabara wakati yeye anaona nyumba ndio uwezo wake na ndio faida kwake
Hujui kitu wewe ,hizo nyumba umeambiwa ni sponsorship ,sasa huezi mpangia mfadhili ajenge barabara wakati yeye anaona nyumba ndio uwezo wake na ndio faida kwake
Wapemba nusu na robo mumehama kwenu, hatujengi hadi mrudi kwenu
Sisi tunatafuta pesa. Sio nyinyi munao subiri serekali iwajiri watu wa hapa unguja mumejazana nyie tu.
@@yunussothman7422 naam sahihi ss wapemba popote kambi tunatafuta pesa popote muhimu iwe halali tu
Pemba mmekusahau au hawaishi binadamu kule mungu anawaona mchachotufanyia, sio haki Zanzibar ni zisiwa 2 unguja na pemba
Poroja tu hmna liwalo...
Hamna jipya maneno mengi tu mpiga duri manga pwani vipi mbona kimya kaene mudanganye watu na muda wenu unakwenda na mwengine atakuja bwamkubwa alituambia ataifanya znz kama dubai sasa ndio hii?
Mbona hakuna eneo la Pemba lililotajwa kwenye mpango huu au wao vibanda vinawatosha? Wacheni dharau nyie.
Hahahaha,,,eti wapemba nyinyi mnapesa mnaimarisha miji ya watu ndo mana hawajengi kwenu wanajua mkiamua mtajenga
Serikali hoi porojo jingi yeye sheni kila anaekaa huwafan ya wazanzibari kama misukule yao
Lakin mjue wat halizao ngumu za kimaisha
Nyumba tutajenga wenyewe Nyie mnapoteza muda!!
Naona miradi yote tz bara na zenji ila pemba sijui inakosa gani...
Neno nalo
Porojo to mungelijenga lile belt ajaib
Punguzeni makodi kwa wanyonge kwanza
Naona huyu mkurugenzi kataja Unguja tu Pemba hamna
Mnachukua maeneo kujenga majumba makubwa hayasaidii maendeleo ya wananchi!!
Mutafute Sehemu ambazo hazijajengwa sio mukawa bomolee wanyonge vibanda vyao
Punguzeni vitu bei tunaumia wananchi
Bwabwaja tu hamna moja
Sasa NUNGWI N MATEMWE NISHAMBA Jamani , Kwa nn Zisijengwe DONGE, KIBOJE , KIZIMBANI HKO TUMBATU
Vp pemba mbona sja skoa kutaja
Sijasikia likitajwa eneo hata moja kwa upande wa Pemba, kwa ninii?
Si umtaje jina tu.....mh rais Mwinyi. Sasa hiyo jemedari .......jembe inatoka wp mh waziri?
Hkuna bei nafuu bna
Naona just unguja tuu vipi pemba sio zanzibar . ???
Lakini alipangalo allah halipanguki
TUONE BASI ,HARAKA MANA HUKU MJI WA DODOMA UMEMILIKIWA NHC
Hapa kwetu ss tuna njaaa bc lkn pakukaaa tunapo et
Niunguja tu ndio kinajengwa so ndiooo
Na hzo nyumba ndo zitakuwa km zile za ZSSF milion100 bado ccm ndo ile ile km ya sheni tu
Pemba???
Ule mradi wa kwahani uliishia wapi walaji wakubwa nyie
Pemba mmekusahau au hawaishi binadamu kule mungu anawaona mchachotufanyia, sio haki Zanzibar ni zisiwa 2 unguja na pemba
Sio kama amekusahau unajua kuna jambo lazima tuwekane sawa, hii miradi ya wawekezaji hua ni ngumu kumwambia muekezaji aende Pemba kwa sasa coz Unguja ndio kuna fursa za kibiashara na masoko zaid ya Pemba, na wawekezaji hua wanaangalia wapi atakapoekeza pesa yake itamlipa kwa haraka zaid..
Pemba ili isogee mbele zaid ni lazima Serikali yenyewe ianze kuweka miundo mbinu na kuanza kujenga wao kwa pesa yao ili mazingira yawe rafiki kwanza kwa wawekezaji..
Serikali wakiweza kujenga miundo mbinu mizuri nna uhakika wawekezaji wengi watakuja Pemba coz Pemba ni virgin island kwa uwekezaji una eneo kubwa la Ku design viwanda na miradi mikubwa mikubwa kwa sababu eneo lipo la kutosha ambalo halijaguswa...
Hkuna bei nafuu bna
TUONE BASI ,HARAKA MANA HUKU MJI WA DODOMA UMEMILIKIWA NHC