MWANZO MWISHO TUKIO LA AJALI YA HELKOPTA ILIYO MUUA RAIS WA IRAN || MABAKI YALIONEKANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 พ.ค. 2024
  • Televisheni ya taifa ya Iran imethibitisha kifo cha Rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi aliyefariki dunia kwenye ajali ya helkopta iliyotokea hapo jana Mei 19, 2024.
    Taarifa inasema pia Raisi alikuwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir-Abdollahian ambaye pia amefariki dunia wakati walipokuwa wakirejea kutoka nchi jirani ya Azerbaijan kwenye hafla ya uzinduzi wa bwawa.
    Wawili hao wamefariki baada ya ajali hiyo iliyotokea eneo la milimani katika jimbo la East Azerbaijan, ijapokuwa chanzo hakijatajwa lakini inaelezwa hali mbaya ya hewa ya ukungu ilikuwa imeenea eneo hilo.
    Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali la IRNA, wengine waliokuwemo ndani ya helikopta hiyo ni pamoja na Gavana wa Mkoa wa Azerbaijan Mashariki, Malek Rahmati wa Iran na mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Mkoa wa Azerbaijan Mashariki, Ayatollah Mohammad Ali Ale-Hashem pamoja na walinzi.
    Hata hivyo, vikosi vya uokoaji ambavyo vilipata shida kufikia eneo la ajali kutokana na ukungu na mvua, lakini baadaye vilipata mabaki ya helikopta hiyo kando ya mlima.
    Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran, Pir Hossein Kolivand, amesema waokoaji walipoona mabaki hayo, walisema hakuna dalili za uhai.
    Serikali bado haijatoa tamko rasmi lakini shirika la habari la IRNA limesema kikao cha dharura cha baraza la mawaziri kimeitishwa kikiongozwa Makamu wa Rais Mohammad Mokhber baada ya tukio hilo.
    Kwa mujibu wa Katiba ya Iran, iwapo Rais atafariki akiwa madarakani, kifungu cha 131 kinasema makamu wa kwanza wa Rais ndiye atakayeshika madaraka huku baraza linalojumuisha makamu wa kwanza wa rais, spika wa bunge na mkuu wa mahakama lazima lipange uchaguzi wa Rais mpya ndani ya muda usiozidi siku 50.
    Kiongozi mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei amewataka Wairani wasiwe na wasiwasi kuhusu uongozi akisema nchi itaendelea bila usumbufu.
    Salamu za rambirambi zimeanza kutolewa akiwemo, Waziri Mkuu wa India Narendra Modi aliyesema kwenye X kwamba, ‘ameshtushwa na kifo hicho cha kutisha’ huku akitaja mchango wake katika kuimarisha uhusiano wa pande mbili za India na Iran utakumbukwa daima.
    Imeandikwa na Sute Kamwelwe kwa msaada wa mashirika ya habari ya kimataifa.

ความคิดเห็น • 341

  • @RichaardChipya
    @RichaardChipya 23 วันที่ผ่านมา +21

    Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho wa mwanadamu ni kama maua tuendelee kuandaa safari ya maisha yetu Kwa kumwamini Mungu na kujikita katika misingi ya dini 🎉

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 22 วันที่ผ่านมา +9

    Mwenyezi mungu azidi kuwasamehe mazambi yaoo amiiiiiiiiin

  • @khairatmaalim6030
    @khairatmaalim6030 20 วันที่ผ่านมา +3

    Inalillah Allah akujaalie kauli thabit umetutangulia nasi tupo nyuma yako Nakuombea kwa Allah akusamehe pale ulipokosea mtetezi wa uislam tunakupenda sana natutazidi kukuombea dua kwa allah wema wako Allah akuhifadhi na adhabu za kabur

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 18 วันที่ผ่านมา +2

    Ya Allah Warehenu Viongozi hawo kwa Msiba Mnzito Kwa Taifa La Irani Polesana Wanchi Wa Taifa Hilo Mkono Kwa Mkono Hadi Palestina Hadi Peponi Insha Allah

  • @jumaan-yo7em
    @jumaan-yo7em 23 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awalaze mahala pema Kwan na sis pia kwake tutarejea

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau7345 23 วันที่ผ่านมา +7

    Hiyo video na tukio tofauti acheni kupotosha

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 23 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu huhuzunishwa na kifo cha mwenye dhambi YESU ni mwokozi wa ulimwengu

    • @AbuuAnuwar-ip7dr
      @AbuuAnuwar-ip7dr 23 วันที่ผ่านมา

      Yesu nae alikuwa nadhambi nyingi nandomana akafa tena msalabani

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 23 วันที่ผ่านมา

      @@AbuuAnuwar-ip7dr Ndivyo ulivyo fundishwa na Majini Kiarabu?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@AbuuAnuwar-ip7drHata Yesu alisema Mungu uwasamehe kwa kuwa hajui walitendalo, sasa ni hivi Mungu akusamehe kwa kuwa hujui usemalo.. Au tusema hunamafundisho kuhusu hilo ndio maana..

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@AbuuAnuwar-ip7dralikufa Kwa dhambi nyingi za ulimwrngu mzima ili tupokee msamaha unapokataa msamaha huo itabidi dhambi zako uzibebe mwenyewe na mshahala wa dhambi mauti ya milele

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 23 วันที่ผ่านมา +11

    Hakuna Rais niripenda falsafa zake kamahyo lnnalillah wainna illaihi Raajiun 😭😭🤲 from 🇹🇿

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 20 วันที่ผ่านมา

      Mbona wengine wanamwita kafiri kulikoni??

  • @user-hj5hh4zg4e
    @user-hj5hh4zg4e 20 วันที่ผ่านมา +2

    Afadhari mungu kakuchukua umeua wengi wasiokua nahatia uliua mwanamke ambae hajavaa kiremba unafadhiri magenge yakigaidi mungu kaona utaimaliza Dunia ngojakirus ww uondoke

    • @shabanisalimu7391
      @shabanisalimu7391 18 วันที่ผ่านมา

      Nchi ya Irani inaongozwa kwa mujibu wa Sheria na misingi ya dini ya kiislamu, kupitia kitabu Cha Qur-an na Sunna za Mtume! na Ibrahim rais kabla ya kuwa rais wa Iran alikua mkuu wa mahakama!
      Kesi kama ya kuzini na mke wamtu kwa mujibu wa qur-an Mzinifu huyu anatakiwa kupigwa mawe mpk hadharani mpk afe, Mwizi akiiba anatakiwa kukatwa mkono, ukizini hujaoa utandikwe viboko.
      Na Sheria hizi zote alizisimamia kwa weredi kama misingi ya dini inavyoitaji ndo mana Leo mnamuona muovu Muuaji. Musimuhukumu yeye mchukieni Mungu wenu alieweka Sheria hizi maana yeye alikua anatekeleza TU maarisho ya Mungu wake na Hana hatia kwenye Hilo
      Tanzania yetu Haina dini ndomana watu wanazini, wanaua, mashoga, wachawi na wanaendelea kukumbatiwa na Tz yetu kwasababu haiendeshwi kidini hawa wote wangekua Iran wangekua n marehemu

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz 23 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana Ndugu zetu

  • @kassimhussain5034
    @kassimhussain5034 22 วันที่ผ่านมา +1

    Innalilahi wainna ilayhi ranjiuun allah akupe kauli thabit ameen mtetez wa palestin

  • @saidjaja6197
    @saidjaja6197 24 วันที่ผ่านมา +11

    tunauzuni sana wana wa east Africa mashariki poleni sana Irani Allah blessing all netanyau we need peace free palestina

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 23 วันที่ผ่านมา +6

      Huzuni unayo wewe na magaidi wa Iran sisi ni wayahudi na hiyo ni kazi ya Israel

    • @Puppet666Master
      @Puppet666Master 23 วันที่ผ่านมา +2

      @@nicholauskilosa5336 Ukiwa wapi Ume pakatwa Nakupakwa mafuta Matakoni kwako😋😋

    • @NicoleMakaveli-wr6mm
      @NicoleMakaveli-wr6mm 23 วันที่ผ่านมา +2

      Unahuzunika peke yako mchijaji mkubwa wa raia wa persia ameaga

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 23 วันที่ผ่านมา +2

      Siss. WA Israel tunafrah Sana

    • @user-yh1lp8mw1j
      @user-yh1lp8mw1j 23 วันที่ผ่านมา

      Sasa mukifurai kwamba hamutakufa mutaishi milele au 😏

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 24 วันที่ผ่านมา +17

    Dah moyo unaniuma wallah Ibrahim Rais nampenda sana ❤😢
    Iran 🇮🇷 Mungu awape rais mwenye msimamo thabiti kama wa Ibrahim Rais 😢😢😢

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 23 วันที่ผ่านมา

      Acha uongo

    • @user-vv7zh5dh4r
      @user-vv7zh5dh4r 23 วันที่ผ่านมา

      @@justardzelphine6526😂😂😂

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 23 วันที่ผ่านมา

      Mm kama nimewazaa, moyo unauma mpaka unataka kutoka😢😢😢😢

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f 23 วันที่ผ่านมา

      But he killed a lot of people

    • @omarimasimba4663
      @omarimasimba4663 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-nb2jw4km6f hizi nchi Zinaongozwa na Sheria za kiislami , watu kuuwawa kwa sababu ya Sheria ni kitu cha kawaida si Sheria za mungu Wala si zake

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q 24 วันที่ผ่านมา +9

    Viongozi wjitambue huu usafiri wa anga unahitaji umakini sana tumepoteza wengi Kenya saitoti msumbiji Samora Burundi Habriamana Tanzania mbunge wa ludewa huko kwa wenzetu zinakotoka mbona hatusikii haya poleni ndugu zetu wairani b ; wote tuu safarini tuu Duniani sio mjii udumuooooo wamemaliza mungu awajalie mapuziko mema mbinguni& peponi ameni

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 23 วันที่ผ่านมา +2

      Tena sanaa

    • @Bobhov
      @Bobhov 23 วันที่ผ่านมา

      🙏

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 23 วันที่ผ่านมา +1

      Wa kwetu hapa amegeuza kama ndege kama daladala za kariakoo na mbagala

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kila mtu ataonja mauti kipi cha ajabu tangulia mwamba utalipwa kwa matendo yako

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa hapa Israel & Marekani wanahusikaje hata ukiangalia? Watu bwana daah! 😊

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 23 วันที่ผ่านมา +19

    Sema Mungu hafurahii kufa kwa mwenye dhambi. Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima. Pole familia

    • @omarkabogo1580
      @omarkabogo1580 23 วันที่ผ่านมา +1

      Zambi Zauliziona wekafiri ww

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 23 วันที่ผ่านมา

      Wewe nikondoo ulietajwa kwnye yeremia 50:6

    • @bakarisahede9532
      @bakarisahede9532 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kafiri hanaga akili

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 22 วันที่ผ่านมา

      Wewe hauna dhambi yesu ndiye njia yakuenda wap motoni?

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 20 วันที่ผ่านมา

      Utajua yesu NI njia kweli na uzima usipomwamini yesu utabaki mtumwa wa shetani na majini mwanzo mwisho ​@@assfzainab912

  • @deusNjimba
    @deusNjimba 20 วันที่ผ่านมา +1

    Watakawia. Sana kumufaham mungu. Wa islael

    • @emmanuelsigei5505
      @emmanuelsigei5505 20 วันที่ผ่านมา

      Ukweli mungu wa israeli ni mungu wa kweli

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 23 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu mwenyewe kasema Alisha baliki Taifa la Israeli na watu wake pia nawanaolitakia mema but unakrupuka. Kushambulia. Bila kujua Mungu kawekeza nini pale ujuaji na kibuli Cha uzima kinatuondolea hekima Mungu bado hajafuta Wala kutengua. Alicho sema kuhusu taifa la Israel tusimfundishe kaz Mungu poleni watu wa Iran Mungu awape hekima yake

    • @user-br1cd1tf6y
      @user-br1cd1tf6y 23 วันที่ผ่านมา +1

      Nimekuelewa ndg yangu mungu alitoa mungu ametwaa sote ninjia hiyo

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 23 วันที่ผ่านมา

      Hiyo NI mipango ya Mwenyezi Mungu kumchukua Mja wake. Maana ukiwasemea eti Mayahudi wanaishi miaka mingi mbona ata shetani toka Dunia imeumbwa umesikia amekufa?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@saliminyusuph6122ameondoshwa na Mungu iyo ipo wazi dua ya wayahudi imefika kwa Mungu❤

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 12 วันที่ผ่านมา

      Acheni ujinga kuwatukuza wapuuzi na serikali yao ya mabarsdhuli, hivi wewe unajua kuwa Israel ndio nchi inayo adhimisha sherehe za mashoga unajua kuwa mawaziri wa serikali ya Israel ni mashoga miongoni mwao, kama ilikua watukufu ni hapo zamani, sio wayahudi hawa wakizungu walikotoka ulaya na kujiweka mashariki ya kati kwasababu za kimaslahi, unajua kuwa wayahudi si wakristo na mungu amewalaani kwa kumkana aliewaumba, wewe ni wamaana kuliko hawa wayahudi tambua hilo, wewe haujalaaniwa na muumba wako kama wao

  • @javandaudi5553
    @javandaudi5553 23 วันที่ผ่านมา +2

    Dah nakumbuka niliongea nae juzi😢😢😢

  • @hassanjonas1491
    @hassanjonas1491 23 วันที่ผ่านมา +2

    Innallillah wainalilah rajiun

  • @RamaahMtulivu
    @RamaahMtulivu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Inna llaah wainnailehi rajiuuni.

  • @allenshetuli9100
    @allenshetuli9100 24 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 23 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni wana wa Mungu

  • @loserianlaizer
    @loserianlaizer 22 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @user-ps2oi3zo2n
    @user-ps2oi3zo2n 23 วันที่ผ่านมา

    SubhanAllah so sad

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 23 วันที่ผ่านมา +1

    Inalilah wainalilah rajighun

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 23 วันที่ผ่านมา +1

    Allah awastir Rais w iran na wenzake

  • @barick
    @barick 23 วันที่ผ่านมา +1

    Tayari wamemuuwa 😢
    Inaniuma sana.😢😢😢

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 23 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana ni huxunii kabisaa wapumxike kwa amanii

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 23 วันที่ผ่านมา +5

    Hua siamini ndege maisha yangu yote

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 23 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi Pia ndege na Mzungu (Mkoloni)siezi kuviamini

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@evelynemugeni2369lakini hiyo niya mwarabu siyo mzungu sasa sjui mzungu anaingiaje hapo😂😂😂

    • @merinachalinze-rn2cc
      @merinachalinze-rn2cc 23 วันที่ผ่านมา

      Mimi meli sismini

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kifo ni popote tu kuogopa usafiri haimanishi kuwa ukipanda ndo utafia ndegen

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@mariamdullazy8166😂😂😂why ndegen lakini????😂😂😂😂

  • @dismaspaschal4883
    @dismaspaschal4883 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ooooh! Jaman R. I. P

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 23 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢Innallillah wainnaillah rajeun Allah amsameh pale ambapo amekosea amin amin amin 🤲 🤲 🤲 ✍️

  • @RichaardChipya
    @RichaardChipya 23 วันที่ผ่านมา

    Pole Kwa taifa na familia zilizowapoteza wapendwa wao

  • @BakariKombo-er9xr
    @BakariKombo-er9xr 20 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli kifo ni haki ya mwanadamu

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 23 วันที่ผ่านมา

    innalillahi wa innailayh rajiun

  • @CandiaMansur
    @CandiaMansur 19 วันที่ผ่านมา

    Inalilahi wa Ina ilaihi rajiun

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 22 วันที่ผ่านมา

    inaumiza sana

  • @user-br1cd1tf6y
    @user-br1cd1tf6y 23 วันที่ผ่านมา

    Poleni wafiwa

  • @kassimseif9157
    @kassimseif9157 23 วันที่ผ่านมา

    M.mungu wasemeh makoda yao yoote na uwafanyiye wepes ktk kabri lawo

  • @Asha-kc4sy
    @Asha-kc4sy 20 วันที่ผ่านมา

    Teali

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 19 วันที่ผ่านมา

    Sasa hawa wanao chukuwa vidio dunianzima au vip kumbe walikuwa wanaona 😢😢 munguu awasamehe wote waliyo tanguliya😢😢amin

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 23 วันที่ผ่านมา +1

    Tamka Iran vizuri jamani unaitamka sio japo makala nzuri safi

  • @user-fk2bw2bw3j
    @user-fk2bw2bw3j 19 วันที่ผ่านมา

    Inalillahi wa inailayihi rajuhuni

  • @AzizaHussein-wq8ql
    @AzizaHussein-wq8ql 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni ii ilitutokea watanzania kiongozi kuondoka akiwa madarakni mungubawarehem marehm wote

  • @GideonBanney
    @GideonBanney 19 วันที่ผ่านมา

    Daah!!!!,,polen sana kwa msiba huoa mkubwa wakuokewa na rais wenu mpendwa,,""Mungu ametoa mungu ametwaa jina lake lihimidiwe,,amen😂😂😂😂¡!!!!!.

  • @Worldunite
    @Worldunite 23 วันที่ผ่านมา +1

    Needs more forensic and analysis investigations required together with the technical teams and aviation teams to be investigated too

  • @AthanasNjawike-px3tz
    @AthanasNjawike-px3tz 20 วันที่ผ่านมา +1

    Akome kumtisha israel

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 23 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wanna ilaihi rajiuun

  • @mahdisaid9764
    @mahdisaid9764 23 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wainna ilayh rajighun

  • @aminajuma1215
    @aminajuma1215 21 วันที่ผ่านมา

    Inalilah waina ilayh raajiun

  • @SaleheRashidi
    @SaleheRashidi 21 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢 Dah basi tu

  • @MbusiMachimu
    @MbusiMachimu 21 วันที่ผ่านมา

    Polensana mungu moyo wauvumilivu

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hili ni pigo kwa irani kuanzisha choko choko kwa israel. Helikopta haikuwa ya jeshi?

  • @user-ij8lg3lq4y
    @user-ij8lg3lq4y 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu azilaze roho zamarehemu pema peponi😢

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 20 วันที่ผ่านมา

      Mungu hatumwi KAZI ya kumlaza MTU yoyote Kwanza huko mbinguni hakunaga usingizi wa kuwalaza watu mwanadamu anakabiliwa na mambo mawili Tu Moto Kwa waovu na paladiso Kwa watakatifu mambo ya kulala au kulazwa pema hayapo huko unawekwa unaposthili kuwekwa Kwa kadli ya matendo yako

    • @WakatiJohn
      @WakatiJohn 19 วันที่ผ่านมา

      Eehee

  • @user-kl4mi4ls7y
    @user-kl4mi4ls7y 22 วันที่ผ่านมา

    Innalilah wainna ilayhi raajiun

  • @yusramwinjuma4721
    @yusramwinjuma4721 23 วันที่ผ่านมา

    Innalilah waina illah rajiun 😢

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 21 วันที่ผ่านมา +2

    parachuti awakua nazo uo ni uzembe

  • @marystellaprotance7145
    @marystellaprotance7145 17 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa amani

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 วันที่ผ่านมา

    Iran wanakatiba nzr sana,na si ya Tanzanie

  • @katerelomkuyati6764
    @katerelomkuyati6764 22 วันที่ผ่านมา

    Innalillah waiina ilayhi rajiuun

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 21 วันที่ผ่านมา +2

    Daa! Helicopter ciyo usafir mzur kwa rais.
    Ingekuwa ile ya rais wa marekani ingepaki angani hadi ukungu uishe ndo safar iendlee.

    • @fifo262
      @fifo262 18 วันที่ผ่านมา

      Tembo hawezi kufanana na sisimizi

  • @user-gx6sx4xe8o
    @user-gx6sx4xe8o 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ibaliki Eslael🇮🇱 na president wake pamoja na keshi lake).,,,,,,ma Irani wamezoea kuingilia vita isiyo wahusu ,ne nditigila de nguluvi kisonzo,,,

    • @SharifaZubeyr-ce3ye
      @SharifaZubeyr-ce3ye 17 วันที่ผ่านมา +1

      Kumbe mpowengi njo upigane namim usiejitambua

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 22 วันที่ผ่านมา

    Habar nzur lakin kigugumiz kikubwa mno kwenye kuriport

  • @HarithAlly-xq3hj
    @HarithAlly-xq3hj 22 วันที่ผ่านมา

    Niunge kwenye group la aqaz

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 22 วันที่ผ่านมา

    Mimi huu usafiri na Wa majini mmmm

  • @salwaHassan-df9lq
    @salwaHassan-df9lq 22 วันที่ผ่านมา +1

    Rest in peace 😢Iran president

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q 23 วันที่ผ่านมา +7

    Raisi samia unaona kazi ya mungu jitahidi utende haki kwenye utawala wako wewe hukuchaguliwa na wananchi Bali amekuchaguwa mungu a kwa ajili ya wale mahehe walio magaidi mungu aliwanusuru kupitia wewe chengine nakushauri wamasi wa ngorongoro Kam hataki kuhama usiwafosi maisha ya mwanadamu ni madupi San usikubali kweny utawala wako uharibu usisikilize ushauri ambao sio sahihi

    • @abdurashidinasorodini
      @abdurashidinasorodini 23 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 yaani wee jamaa nimecheka

    • @omarkabogo1580
      @omarkabogo1580 23 วันที่ผ่านมา

      Makafiri mnazani kua kufa niadhabu kufa nisuku2 zikifika acheni ufara nyie

    • @decodesttz
      @decodesttz 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂yan samia amechaguliw na mungu 😅😅😅😅jaman samia yup hyu hyu au mwingne

  • @AngelAlphonce
    @AngelAlphonce 21 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman kwann hawakuruka au hapakuwa na parachuti

  • @juliusnyerere5393
    @juliusnyerere5393 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ndege imepigwa hiyoo.

  • @HannahTarimo-gv2od
    @HannahTarimo-gv2od 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atupe hekima ya kuongea jamani

  • @OBAYANTV
    @OBAYANTV 16 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢

  • @mauayusuf4446
    @mauayusuf4446 23 วันที่ผ่านมา

    إنا لله وإنا اليه راجعون

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 24 วันที่ผ่านมา +4

    Hata yaweza kuwa Israeli inawakataa magaidi wanaoichukia bure tu. Lakini magaidi wanaifuatia kwa kudanganywa na akina Ayatollah! Shetani ni muongo na ni baba wa uongo!

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB 22 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa kama kulikuwa ma hali mbaya ya hewa kisha kukawa na tatizo la helcopta je hakukuwa na mawasiliano kupeleka ndege nyengine kuwaokoa kabla ya kuanguka. Je hakukua na parachuti kujiokoa mbona hilo tukio lipo halifahamiki taarifa zak. Allah awasamehe makosa yao.

  • @user-kl1vf9ht1i
    @user-kl1vf9ht1i 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni kwamsiba mkubwa

  • @Daniel-uw9he
    @Daniel-uw9he 23 วันที่ผ่านมา

    Very sad

  • @drmtangi3649
    @drmtangi3649 23 วันที่ผ่านมา

    So sad

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 23 วันที่ผ่านมา +2

    MSOMAJI VIPI.....HAKUNA NCHI DUNIANI INAYOITWA AZIZI-BAIJANI........

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 23 วันที่ผ่านมา

      Nadhani amemaanisha ghaza

  • @nr8782
    @nr8782 23 วันที่ผ่านมา

    Imetunguliwa hiyo

  • @ElizabethNgigi-bb1xi
    @ElizabethNgigi-bb1xi 18 วันที่ผ่านมา

    Rip

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu raisi wa irani nilikuwaga nampenda sana

  • @CarlMurunchaolendere-ip6pq
    @CarlMurunchaolendere-ip6pq 21 วันที่ผ่านมา

    Rest in peace.

  • @Alphonce-wc1qi
    @Alphonce-wc1qi 23 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @Ave712
    @Ave712 23 วันที่ผ่านมา +1

    Furaha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwaunganishie wapumzike kwa amani

  • @user-fz4nv8jy9i
    @user-fz4nv8jy9i 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kumradhi 👉 sio aziz ni Azbaijan

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 23 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢

  • @HappyDreamCatcher-ie3ut
    @HappyDreamCatcher-ie3ut 21 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wenye kauli tata na msimamo huwa nawaaminia Sana Ila ndo hivo

  • @deusNjimba
    @deusNjimba 20 วันที่ผ่านมา

    Anasubiliwa. Mwingine ajipendekeze

  • @section8ight174
    @section8ight174 24 วันที่ผ่านมา +2

    There’s more to this story than what’s been let out, you’ve got to read between the lines people!!

  • @maroadaniel4399
    @maroadaniel4399 20 วันที่ผ่านมา

    Huwezi cheza na Israel , ukaishi.

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu1512 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna kitakqchotokea,ndege imeqnguka ndani ya territory yao ,yaani ndani ya anga Lao ambalo kimsingi lilikuwa likilindwa na Jeshi la anga la nchi yake .hapo watanyoosheana vidole wao kwa wao.

  • @user-ws8bc1jn7z
    @user-ws8bc1jn7z 23 วันที่ผ่านมา

    Innallilaah wailaaillaajun

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 24 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi Ericopter hazina parachuti ? kwann wasingeruka ?

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 23 วันที่ผ่านมา

      Hata mm najiuliza hilo

    • @user-ju4md1yq6o
      @user-ju4md1yq6o 23 วันที่ผ่านมา +2

      Mimi pia nawaza ndege ya rais Haina hata self defense 😭

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ju4md1yq6oMungu akitaka kitu fulani kifanyike hata parachuti ikiwepo haitatumika😮

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 วันที่ผ่านมา

      Mungu akitaka kufanya kitu chake hata psrachuti ikiwepo haitatumika..

  • @mainabenson5173
    @mainabenson5173 23 วันที่ผ่านมา

    Incoherent story

  • @user-hr4xd4yj9y
    @user-hr4xd4yj9y 22 วันที่ผ่านมา

    Islaeli hapa naihisi sana!

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 20 วันที่ผ่านมา

      Naona kweli kabisa maana sio Kwa makombola Yale alipanga kuwanyoosha islaeli wamemnyoosha yeye kinyozi kanyolewa Kwa wembe butu

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 23 วันที่ผ่านมา

    Hiyo video na alichukua

  • @SabastianRaymond
    @SabastianRaymond 23 วันที่ผ่านมา +4

    MUNGU HAFURAHII KIFO CHA MWENYE DHAMBI.
    ACHENI KUFURAHIA KIFO CHA MTU HUYO.
    IJAPOKUWA INAONESHA KITU.

    • @omarkabogo1580
      @omarkabogo1580 23 วันที่ผ่านมา

      Wekafiri funga makalio ayo

    • @AkbarShimi-cy4yc
      @AkbarShimi-cy4yc 23 วันที่ผ่านมา

      mpumbavu huna ata moyo wauruma

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 22 วันที่ผ่านมา

      Mbwa koko unaongea nn

  • @mainabenson5173
    @mainabenson5173 23 วันที่ผ่านมา

    Mkoa wa azizibeijan???

  • @mapesain
    @mapesain 22 วันที่ผ่านมา

    Hakukua ata na parachute 😢

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 19 วันที่ผ่านมา

    Helicopter ilikosa muelekeo kama vile ilipigwa

  • @MasjidUkhtain
    @MasjidUkhtain 21 วันที่ผ่านมา

    Haujui KUTOA news 😅 ila enye itakufanya watu wachekii hii vedio ni hiyo sauti tu😅