ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Rigathi Gachagua alazamisha rais Ruto kutangaza msimamo wake kuhusu vita dhid ya pombe haramu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
  • Rais William Ruto Sasa Anasema Kati Ya Mabadiliko Yaliyofanywa Katika Idara Ya Polisi Yalinuia Kuwaondoa Maafisa Ambao Wamekuwa Wakishirikiana Na Wafanyabiashara Wanaolemaza Vita Dhidi Ya Vileo Ghushi. Ruto Amefichua Hili Alipozungumza Katika Ibada Ya Jumapili Eneo La Ndaragwa Kaunti Ya Nyandarua Baada Ya Naibu Rais Rigathi Gachagua Kumtaka Kutoa Msimamo Wake Kuhusu Swala Hili.

ความคิดเห็น • 103

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian หลายเดือนก่อน +32

    Nani ameruhusu Tena hizi siasa Kwa kanisa........kanisa nyinyi...kanisa nyinyi...mmmmm....chungeni.

  • @oyay2821
    @oyay2821 หลายเดือนก่อน +22

    Pombe yote ni haramu, hakuna siku ilikua halali

  • @user-sg6zh6mj1h
    @user-sg6zh6mj1h 29 วันที่ผ่านมา

    I'm David Lukeine, from Narok . His Excellency DP please don't let it come back it's ruining life's of our young people. There'll be future for people - I support you Mia kwa Mia ( 100% )

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or หลายเดือนก่อน +20

    We had missed the days President and deputy president talked in one voice... The moment they started to talk in different languages, a group called GenZ was born.. As Rigathi said, unity is strength and it must start from bottom up... Your excellency Rigathi Gachagua, continue with your magnificent work of bringing together Mt. Kenya...

    • @kenmutwiri7561
      @kenmutwiri7561 หลายเดือนก่อน

      And that's how they control you people wake up, these are two goons in disguise as leaders

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +3

      Siasa kanisani,nonsense na tunawajua nwakora tuu,,hakuna kitu hapo

    • @stove7197
      @stove7197 หลายเดือนก่อน +3

      Nonsense

    • @georgesalano5771
      @georgesalano5771 หลายเดือนก่อน +5

      Stupid observation,who told you their so called working together matters to the cause of the gen Z and other many kenyans who are tired of all this politicians

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or หลายเดือนก่อน +1

      @@georgesalano5771 GenZ became stronger when they realized that opposition was not powerful enough to take on the government.. But the ones you see today on twitter are Azimio people, most of them are Lips...

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 หลายเดือนก่อน +2

    Iv makanisa ya Kenya ni majukwaa ya siasa instead of kuabudu😢😢

  • @peterkamotho5962
    @peterkamotho5962 หลายเดือนก่อน +21

    Sasa watoto hawauliwi na pombe wanauliwa na risasi

    • @Watt-er8or
      @Watt-er8or หลายเดือนก่อน

      Mmoja alienda kukunywa pombe,. Mwingine akaenda kuchoma bunge..

    • @irenenjoel
      @irenenjoel หลายเดือนก่อน

      Wanauwawa na kuchinjwa vichwa.

    • @alextercisio
      @alextercisio หลายเดือนก่อน

      Unaeda kuchoma Parliament MTU akiwa na akili ?

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 หลายเดือนก่อน +16

    But ulitaka wa coast wakule goka 😢😢😢😢so sad

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 หลายเดือนก่อน +3

      Kumbe ikihusi watoto wao wanakasirika

    • @deeruta9894
      @deeruta9894 หลายเดือนก่อน

      @@jumas.sendekwa2788 sana tu bro

  • @Ndakui
    @Ndakui หลายเดือนก่อน +11

    Pastor wa hii church ako sawa kweli

    • @jothammaweu3005
      @jothammaweu3005 หลายเดือนก่อน

      Labda anodai occupation by gen zs

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv หลายเดือนก่อน +5

    Wakenya bana mnachanganya ibada na siasa kwann mkiwa ibadani msiabudu Mungu mambo ya siasa mfanye kwenye majukwaa yenu

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. หลายเดือนก่อน +8

    Watoto wetu wanauliwa na RISASI ZA SERIKALI NA SIO POMBE ANYMORE

    • @alextercisio
      @alextercisio หลายเดือนก่อน

      Yess wakichoma Parliament hapo risasi lazima

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 หลายเดือนก่อน +2

    Ruto is akiller mambo ni matatu we remember

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar หลายเดือนก่อน +6

    Citizen mna tangaza ufala sana nyinyi.... Maumbwa

  • @froma3732
    @froma3732 หลายเดือนก่อน +1

    Ok Pombe ni sumu Mungukaa iko Sawa

  • @aheudit
    @aheudit หลายเดือนก่อน +7

    Lakini Polisi, wanaweza kuuwa bila kushtakiwa. Double standard.

  • @Flamingo9653
    @Flamingo9653 หลายเดือนก่อน +9

    The reason the 2 goons are going to church in ndaragua is because people there are in the dark and dont know what is happening regards GenZs. Let him try Githurai

  • @rabeccamutindikivuu
    @rabeccamutindikivuu หลายเดือนก่อน +6

    Lakini muguka mnaruhusu huko pwani,,

  • @Vodka_c-zar
    @Vodka_c-zar หลายเดือนก่อน +4

    Mbona hamja ongea kuhusu Ruto ku enda kutoa pesa kanisani na ali sema hakuna iyo mambo tena.... Nyinyi mme nunuliwa mafala nyinyi nkt.

    • @NasimMaya-k3q
      @NasimMaya-k3q หลายเดือนก่อน

      Kura zikiibiwa ni mlima.michango kanisani nyama na mchele ni Central yan hahafunguka akili ama niaje.wee hii upuz akuna kisumu

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa president nikuja kanisani kusema stori za pombe wakati watu wanauliwa wakitetea haki zao tunaishi wapii

  • @nicholasrama5076
    @nicholasrama5076 หลายเดือนก่อน

    What’s the use of City Halls 🤮
    Why can’t they just organize themselves to do their Speeches in City Hall,if they want to address the people ?

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 26 วันที่ผ่านมา

    Lakini mgoka mwataka uletwe pwani kumbe kwenu hamtaki watto wenu waaribike...acheni ukabila nyinyi

  • @jamalkhedira2398
    @jamalkhedira2398 หลายเดือนก่อน

    Pombe irudi...tutawaletea from mombasa😂..tukufe sote

  • @grysonkavaya5131
    @grysonkavaya5131 หลายเดือนก่อน

    Ruto haskii......
    Tulisema hakuna siasa kanisa

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna kitu mtaezana nyinyi,midomo mitupu na hakuna kazi

  • @georgekamao6630
    @georgekamao6630 หลายเดือนก่อน

    Thts very true..how soon did w forget kirinyaga??

  • @abelmakori
    @abelmakori หลายเดือนก่อน

    Hii siasa itaisha lini aki immediately after elections campaigns start again no time to work

  • @jothammaweu3005
    @jothammaweu3005 หลายเดือนก่อน

    And when coast counties ban Muguka same top leaders come out strongly to oppose. Conflict of interest

  • @user-hr2hw9fc9q
    @user-hr2hw9fc9q หลายเดือนก่อน

    Do Not deflect issues..
    Govrnt.officials looting infrastructure tax payers money which is supposed to create jobs for these jobless youths...
    Ruto n Riggy have the Audacity to complain in front of kenyans .They should Go after Government looters/Governors/Mcas !!

  • @ppatop
    @ppatop หลายเดือนก่อน

    Pombe itauzwa tuu kwa sababu Maisha lazima endelee

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 หลายเดือนก่อน

      Don't you see mlima ndio targeted na pombe sumu.

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi หลายเดือนก่อน

    Sawa deputy

  • @patrickmurunga4820
    @patrickmurunga4820 หลายเดือนก่อน

    Ooook hawo ndio waliendesha biashara

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi หลายเดือนก่อน

    Tab 😮its wrong politics in church

  • @wayando
    @wayando หลายเดือนก่อน

    Politics in the churches is back ...

  • @josephmuigai2074
    @josephmuigai2074 หลายเดือนก่อน

    Ni nyumba ya mungu mmeifanya choo....😂😂 kila mtu akikula siasazake anaeda kukunia kanisa😂😂 simfanye makanisa zooote statehouses,

  • @astolafisto5660
    @astolafisto5660 หลายเดือนก่อน

    Ghai wanabadilisha topic sai ili tusahau Nini inaendelea😂😂😂

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 หลายเดือนก่อน

    Stop all the illicit brews and drugs.

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 หลายเดือนก่อน

    Pombe haramu isiruhusiwe kuuzwa kabisa.. This fight of illicit brew should not end until it ends

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 หลายเดือนก่อน

    Heri tuko na Rais anaeskiiiza

  • @dennismutinda9875
    @dennismutinda9875 หลายเดือนก่อน

    Hadithi za Abumwasi from the chief in comand of a state. Lets know what is happening in kware?

  • @user-sb6ek7vn8e
    @user-sb6ek7vn8e หลายเดือนก่อน

    Ruto and Gachagua still attend church services to promote their selfish politics?

  • @AppComs_Institute
    @AppComs_Institute หลายเดือนก่อน

    poison business is a booming business

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 หลายเดือนก่อน

    Politics politics in church.nkt

  • @70micgytred
    @70micgytred หลายเดือนก่อน

    We are tired ruto liees must go

  • @anthonycnei8574
    @anthonycnei8574 หลายเดือนก่อน

    So disgusting to see politics in church. Another reason to avoid churches that still welcome politicians.

  • @augyking8010
    @augyking8010 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanapigana na pombe ,,pombe sio enemy, they're the enemy, zakayo and his puppets

  • @reubenabugah2137
    @reubenabugah2137 หลายเดือนก่อน

    Siasa chafu😢

  • @user-cs5bs8xd8r
    @user-cs5bs8xd8r หลายเดือนก่อน

    Mjue more than 60 Genzs wako chini

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 หลายเดือนก่อน

    RIGGY G HE IS BOSS THAN HIM EXTRACTION FROM RIGGY G NA SIO MAOMBI NI LAZIMA.

  • @carolinechepcorir9239
    @carolinechepcorir9239 หลายเดือนก่อน

    The way citizen TV twist things😂 They are thrive in chaos.

    • @briankwala7923
      @briankwala7923 หลายเดือนก่อน +1

      you don’t like how they mention your master zakayo😂

  • @josephonyango7888
    @josephonyango7888 หลายเดือนก่อน

    Unatakia kampuni zako ndyo maana utaka kuuwa za wengine

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 หลายเดือนก่อน

    Reject mgokah mombasa

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan หลายเดือนก่อน

    Gachagua awache ujinga anapigana na pombe mt Kenya pekee

    • @jabezjedidiah1429
      @jabezjedidiah1429 หลายเดือนก่อน

      Ni wapi kwingine umeona pombe sumu kama yenye iko mlimani. Its a plan to destroy males in particular. Blind people cannot see it.

    • @duhhuskie2698
      @duhhuskie2698 หลายเดือนก่อน

      @@jabezjedidiah1429 The people making poison alcohol are your fellow Kikuyus. Even during Kibaki's time it was there. God is just punishing you guys for the crimes you have committed against other Kenyans. Infact I will vote for Ruto 2027 awafinye kabisa hii ukabila yenu iishe.

  • @aheudit
    @aheudit หลายเดือนก่อน

    The thumbnail photo alafu the two radio presenters 🤔.

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 หลายเดือนก่อน

    Pombe imeua wengi kweli lakini nyinyi hizi wiki zimepita mmeua wangapi mr deputy you dont get to have a moral high ground when in truth your actions have no morals...God is watching you liars....

  • @mahmoodmohammed1679
    @mahmoodmohammed1679 หลายเดือนก่อน

    Churches are not places of worship anymore...Sahi ni PLATFORM za siasa

    • @hazeljelimo5995
      @hazeljelimo5995 หลายเดือนก่อน

      kwani unaskia uchungu wapi

    • @mahmoodmohammed1679
      @mahmoodmohammed1679 หลายเดือนก่อน

      @@hazeljelimo5995 kwenye mboo,unataka kunyonya upoeshe?

  • @niominiomi3334
    @niominiomi3334 หลายเดือนก่อน

    Please resign

  • @tobiasorimba176
    @tobiasorimba176 หลายเดือนก่อน

    That's your government.

  • @Uzuri-kenya
    @Uzuri-kenya หลายเดือนก่อน

    Why do citizen tv twist news?

  • @johnmbugua6499
    @johnmbugua6499 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 asalalaaa 😂😂

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh หลายเดือนก่อน

    Siasa kanisani

  • @japhetitharu118
    @japhetitharu118 หลายเดือนก่อน

    Uongo umekuwa mwingi kwako

  • @ibnuyussuf
    @ibnuyussuf หลายเดือนก่อน

    Je mgoka naye

  • @DangotePatrick
    @DangotePatrick หลายเดือนก่อน

    Why don't you talk about peaple killed in kware pipeline mukuru kwa njenga your talking about alcohol 😂

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 หลายเดือนก่อน

    Isn't this just laughable?

  • @aheudit
    @aheudit หลายเดือนก่อน

    Hawa watu seriously?

  • @vinreyal5627
    @vinreyal5627 หลายเดือนก่อน

    Lies

  • @KigodaChaMtemiMsarifu
    @KigodaChaMtemiMsarifu หลายเดือนก่อน +1

    Makinikieni upakiaji wenu wa video na maelekezi.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน +2

      Mbona una madaha ya kuandika misamiati ilhali bado si sanifu

    • @josephkaruga5495
      @josephkaruga5495 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahadfaraj6474This comment though 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน

      @@josephkaruga5495 kaandika Maneno yanayofanana na kiswahili ila hayana usanifu

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 หลายเดือนก่อน

    So you have gone back to church again even after we warned you not to?

  • @lilyrunya9584
    @lilyrunya9584 หลายเดือนก่อน

    Stupid talks. Why you want Muguka in Coast yet you dont let the pombe there. Are those more special than the others?

  • @FaithFay-mb1yt
    @FaithFay-mb1yt หลายเดือนก่อน

    This guy is lieing at church

  • @charlyb3560
    @charlyb3560 หลายเดือนก่อน

    Na hao watoto wetu ndo unaua..kigeugeu