MANENO MAZITO YA ASKOFU GWAJIMA KANISANI KWA MASANJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • MANENO MAZITO YA ASKOFU GWAJIMA KANISANI KWA MASANJA

ความคิดเห็น • 61

  • @JKQGAME
    @JKQGAME 3 ปีที่แล้ว +3

    Mwanyezi MUNGU azidi kukupa uzima na kukulinda asikofu kupitia neno hili nimejifunza mengi sana barikiwa sana

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu atuwekee.weww zaidi.ili Tukupigie.kura utuongoze hata miaka 30 tukiwa mikono salama

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro968 3 ปีที่แล้ว +15

    Mungu akusimamie Gwajima Baba yetu, kaka yetu, wew ndio njia ya Tanzania namba moja tunakili kutoka mioyoni mwetu tuvusheeeee

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 ปีที่แล้ว +11

    Eeeh Mwenyezi mungu utufanyie huyu GWAJIMA KUWA RAIS WETU

  • @rajabumkumba4834
    @rajabumkumba4834 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha malefu unasitaili kua mkuu Wa ichi

  • @dmpstudiosmeshackpascal1340
    @dmpstudiosmeshackpascal1340 3 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana... Ila amekatisha hapo mbele tunatamani iendelee 🙏

  • @rumariletimba4481
    @rumariletimba4481 3 ปีที่แล้ว +8

    God bless you,Mtumishi wa Bwana,nakupenda nakupenda nikiwa kenya

  • @elishavicentmhina3545
    @elishavicentmhina3545 3 ปีที่แล้ว +5

    Gwajima nakukubali sana bishop wewe ndio mkombozi wetu

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 ปีที่แล้ว +5

    Allah azidi kukupa Afya njema na maisha marefu Mzalendo wa kweli Gwaji boy 😍😍😍😍🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @Bam268
      @Bam268 3 ปีที่แล้ว

      Mungu yupi na yeye ndie mungu anaejitia anafufua mwizi huyu

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 ปีที่แล้ว +1

      @@Bam268 jibu hilo pigia nstari bro

    • @gastonponera7962
      @gastonponera7962 3 ปีที่แล้ว

      @@Bam268 Chanjo ni hiari mamaaaa 😂😂😂😂

    • @gastonponera7962
      @gastonponera7962 3 ปีที่แล้ว

      @@missmwayway4704 Chanjo ni hiari babuuu 🤣🤣🤣

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 ปีที่แล้ว

      @@gastonponera7962 Umeonaeee ebu mwambie huyo Maybe atakuelewa my dear......Anaejifanya kumkashfu Gwaji boy 😆😆😆

  • @omanss268
    @omanss268 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen 👏👏 ubarikuwe Sana mtumishi wa mungu

  • @jansamwankanda2368
    @jansamwankanda2368 3 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana pacha wang masanja,namuelewa sanaa gwajimaa.

  • @tiberykitiga2322
    @tiberykitiga2322 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu hashindiwi chochote

  • @alkebulanb5929
    @alkebulanb5929 3 ปีที่แล้ว +3

    🇧🇮❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮 J.P.M 2 Bdi tunakupendo.

  • @rogersrenatus6454
    @rogersrenatus6454 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyez Mungu akutunze bishop🙏.wee Genius sana. Nakukubali sana🔥

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 2 หลายเดือนก่อน

    HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MALAIKA WA GIZA ANAFANANA NA MALAIKA WA NURU TUWE MACHO YESU KRISTO YUKO MALANGONI TUJIANDAYE KUMLAKI MAWINGUNI SHALOOM SHALOOM MARNATHA

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 3 ปีที่แล้ว +2

    BWANA Yuko pamoja nawe Askofu songa mbele , baba yetu.

    • @gracemedan5580
      @gracemedan5580 3 ปีที่แล้ว

      Damu ya yesu ikufunike mtumishi wa mungu.nitaendelea kuomba na wewe baba yetu.kwani mungu atatenda tu.

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 ปีที่แล้ว +1

    AMINA SANA BABA YETU GWAJIMA

  • @christamazara1266
    @christamazara1266 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde sn mtumish wa Mungu na kukutia nguvu

  • @godsonmanasse9027
    @godsonmanasse9027 3 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU akulinde BABANGU walio upande wako niwengi kuliko walio upande waMaadui kusudi laMungu ndio litakalosimama Daima

  • @aminalimu5150
    @aminalimu5150 3 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu

  • @josephmysononline5919
    @josephmysononline5919 3 ปีที่แล้ว +3

    Ongera sana askofu ng'wajima

  • @suzukisimba8393
    @suzukisimba8393 3 ปีที่แล้ว +3

    Tupo pamojà askof gwajima👍👍

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen Baba 🙏

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 3 ปีที่แล้ว +6

    Love you always from 🇺🇸

    • @samweljankey8445
      @samweljankey8445 3 ปีที่แล้ว +1

      was it necessary to mention you are from 🇺🇸? 😳

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 3 ปีที่แล้ว +2

    Gwaji boy pambana tupo nyuma yako

  • @masanjajirani5306
    @masanjajirani5306 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali gwajiboy

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 3 ปีที่แล้ว +6

    Unakitu ndani yako ambacho wajinga na wapuuzi hawaoni mana macho yao yametiwa ukungu wa giza na washindwe kwa jina la Yesu

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 3 ปีที่แล้ว +3

    Simamia hapohapo baba usimuogope mtu yeyote simamia kweli yako Baba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +2

    Yaani watu waliotudanganya fuvu la binadamu wa kwanza liliigunduliwa Tanzania, kisha wakasema binadamu wa kwanza ni Adam, alafu adam huyo ni white, that means lile fuvu huenda ni la Adam mathematically maana hesabu hainaga chenga chenga, wakaenda wakarudi wakasema zamani tulikuwa nyani, sasa hivi wanasema wanatupenda kuliko kitu chochote🙄🙄🙄
    Ikumbukwe hawa hawa ndio waliogundua kila kitu hapa, maziwa, milima, njia za barabara hadi bahari, lkn wakati wanasema wamegundua walikuta watu wanaishi na ndio waliwapokea 😀😀😀....
    TUJIFUNZE KUHOJI, SIO KILA UNACHOAMBIWA LAZIMA UKIKUBALI

  • @hermannyakunga8417
    @hermannyakunga8417 3 ปีที่แล้ว +2

    amen

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeanza kuelewa "NILETEEANI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA, NILETEENI GWAJIMA" ilikuwa na maana kubwa sana.🙄🙄🙄

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 ปีที่แล้ว +1

    Marudio eti.... Amina

  • @fatopigagolkymtz8776
    @fatopigagolkymtz8776 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @marymwanjala5795
    @marymwanjala5795 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @mafuja1991
    @mafuja1991 3 ปีที่แล้ว +1

    Masanja maneno ya kihuni yamezidi,je yesu alikuwa na maneno ya kihuni au biblia haina maneno ya mizaha,

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 ปีที่แล้ว +2

    J.p.m.aliacha jembe

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameeen

  • @kombozimbwilo4289
    @kombozimbwilo4289 3 ปีที่แล้ว +1

    UKWELI UTA BAKIA UKWELI TU KIKUBWA WAJISHUSHE TU MAISHA YAENDE LE

  • @mostshareking3051
    @mostshareking3051 3 ปีที่แล้ว +3

    Tangaza nia mkuu tutakuchagua 2025 tuvusheeeeee

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +3

    kwani vya Ulaya vimekuja leo ? tengezenu vya kwenu muachane na vya Ulaya hiyo itakuwa solution . mumezowea papai kwa kijiko ndio tatizo .

  • @sebastianemily2241
    @sebastianemily2241 3 ปีที่แล้ว +1

    Waadventista wasabato sio wafuasi wa Ellen G White.Ni wafuasi wa Yesu kristo.

    • @gastonponera7962
      @gastonponera7962 3 ปีที่แล้ว

      Ni Yesu ndiye alianzishq dhehebu la SDA? Acha uongo. Kila kitu lipo kwee rekodi, huwezi kubadilisha hata ukila kokoto!

    • @gastonponera7962
      @gastonponera7962 3 ปีที่แล้ว

      Ni Yesu ndiye alianzishq dhehebu la SDA? Acha uongo. Kila kitu lipo kwee rekodi, huwezi kubadilisha hata ukila kokoto!

  • @ISAACMBAGO
    @ISAACMBAGO 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani gwanyima ni 100% president, na aanze kufanya kazi na ROHO MTAKATIFU kuwa fukuza friimason wote, na kuketa utukufu wa MUNGU ndani ya dunia yote. Tu mchagueni gwanyima, au mnasrma je?

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 3 ปีที่แล้ว +1

    Usizalau vyawazungu hyo unaye muabudu kakuletea mzungu