CHIRWA" SIJAWAHI KUONA MAJINI YANGA/NILIMSHANGAA MAYELE/NAWEZA KUCHEZA SIMBA NA NIKAFANYA VIZURI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2024
  • Mchezaji wa zamani wa Young Africans Obrey chirwa amefanya mahojiano na Mpenja TV na amefunguka mengi,huku akigusia Hali ilivyokuwa katika msimu wake wa 2023/2024 ndani ya NBC PREMIER LEAGUE.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 26

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 6 วันที่ผ่านมา +2

    Nakumbuka alivyomtoa berenge beki la kolo Bukungu kwenye derby Akala red hongera sana Chirwa mwana kweli we will remember you 🎉🎉 forever ❤️❤️🥰

  • @gundererthemustache5818
    @gundererthemustache5818 4 วันที่ผ่านมา

    Nice broh mungu akuongoze nawid ushikamane na Ibada Kwa sana

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 6 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera Chirwa kwa maneno mazuri yasiyoudhi, unafaa kweli!

  • @chng1990
    @chng1990 วันที่ผ่านมา

    Huna deni tuna ❤❤❤ for ever

  • @MsabahSaid
    @MsabahSaid 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nice talk fundi sana 🎉

  • @MadukaDeusi
    @MadukaDeusi 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Chirwa nakukubali Sana kwakwel Simba na yanga kwasaivi hawana streker Kama chilwa

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂chirwa mi nikimwangalia nacheka tu😂😂sjui kwann

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 5 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 วันที่ผ่านมา

    hajawahi kuona jini yanga nimefurahio sana

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 6 วันที่ผ่านมา

    Mayele alikosa shukrani, au inawezekana ndo desturi za kwao.

  • @hajihassan4901
    @hajihassan4901 6 วันที่ผ่านมา

    Kubadilisha dini,nguo,chakula,gar,everything ni hiyar ya mtu

  • @ip_header
    @ip_header 6 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 6 วันที่ผ่านมา

    0:49 0:52

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 6 วันที่ผ่านมา

    Anahakiri sana huyu jamaa

  • @agreygride2856
    @agreygride2856 6 วันที่ผ่านมา

    🎉boi bwanji kutz

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 2 วันที่ผ่านมา

    Mmemwelewa kuondoka kwake Yanga ?mi ni mmoja kati ya wale ambao walimlaumu.kama alichoongea ni mkweli basi asamehewe.

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 6 วันที่ผ่านมา

    Kubadilishwa Dini ni maamuzi mtu binafsi ww ulitaka iweje wacha ujinga ww

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 5 วันที่ผ่านมา

    Kuna wakTi unakua star unatengenezwa kaz ya wazee

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 6 วันที่ผ่านมา

    Ulibadilishwa dini na mwanamke,😅😅😅