Sisi kama mashabiki hatujaona kosa mbona wasanii ni wengi tu wanakosea na hawaulizwi waache ubaguzi sasa mfano mashabiki tunavaa magunia na wasanii nao wavae magunia sasa unafikiri kuna mtu anakaekuja kumshangaa kwamba yoo huyu ni msanii hakuna kitu kama hicho maana tutajiona wote tuko sawa. So tungeomba kua wasanii wafanye kitu ambao kina utofauti na sisi so tusiwaumize sana wasanii wetu wawe na ka uhuru fulani bhana
Hivi jamani hawa wasanii kuwa Uchida ndio kuuza nyimbo?? Vitovu nje chupi nje nyie basata hamuoni? Kioo gani hicho cha Jamie?? Mbona zamani haikuwa hivyo?
BASATA kila anayetoka huko anakuwa chawa wao yaani cha kwanza ni kuwapamba sijui huwaga wanafinywa humo ndani na kupewa masharti ya kuwasifia😂😂😂Mixxsss
Waislam wenyewe wengejuwa wqo mi waislamu wala wasinge kuwa wasanii sio wa filamu sio wa muziki wangibaki huko madrasa ila waislamu ndio wanaongoza kwenye sanaa ya filamu na mziki tz ndio kusema wao wanaongoza kwa kuvaa uchi na ukosefu wa maadili, mujuwe dini hizi zililerwa na wageni acheni watoto wapige kazi
Mama yake anaheshiimika sana lakini mtoto wake sijui kawa kichaa au kuripuka, sijui mavazi yake yakoje huo sio ubunifu ni ujinga mtupu
Nachekaga tu😂😂😂😂
Thank you Jesus l receive 🙏🏼
Wamemuonea bwana. ...mbona siku hizi watu wana vaa vichupi na wanatembea bila shida yoyote...
Barnaba au Mohammed yeye na Yammi wamekosea kabisaa kimaadili na Dini na kama Mume wa mtu pia. Wako wrong💯
Kwahiyo sasa hivi BASATA ma producer wa picha pia😂
Hawa basata wanayumba mbona platnumz yeye anatukana kila siku na kupiga picha mbali mbali na videmu lakin ajawahi kuitwa ili wamshauri
Sisi kama mashabiki hatujaona kosa mbona wasanii ni wengi tu wanakosea na hawaulizwi waache ubaguzi sasa mfano mashabiki tunavaa magunia na wasanii nao wavae magunia sasa unafikiri kuna mtu anakaekuja kumshangaa kwamba yoo huyu ni msanii hakuna kitu kama hicho maana tutajiona wote tuko sawa. So tungeomba kua wasanii wafanye kitu ambao kina utofauti na sisi so tusiwaumize sana wasanii wetu wawe na ka uhuru fulani bhana
Na kupenda sna Frida amani
Yani natamani siku moja nikutane na dada frida nina mengi sana ya kuongea nae... by the way mungu akubariki sana
Frida Is My Favorite Kweli Namkubaligi Xana🔥
Ushamba tz,kwan pic zina nn
Hivi jamani hawa wasanii kuwa Uchida ndio kuuza nyimbo?? Vitovu nje chupi nje nyie basata hamuoni? Kioo gani hicho cha Jamie?? Mbona zamani haikuwa hivyo?
BASATA kila anayetoka huko anakuwa chawa wao yaani cha kwanza ni kuwapamba sijui huwaga wanafinywa humo ndani na kupewa masharti ya kuwasifia😂😂😂Mixxsss
Wamfungie abby Chams bac wanamuonea bure yammy
Frida we mwana chease eeee
Kwani wao wa kwanza
Kwa kweli kile kichupi sio sawa mchupi uleee nyiee amuoni kama alikuwa uchi laana ya mke jamaniii 😢😢😢
Shadia upo kila sehem chukua maua yako🎉🎉🎉
@@salmajuma1121 🤣🤣🤣asante kipenzi wi-fi ya waarabu ndiyo maana natamba humu YOU TUBE KIPENZI 😅😅
@@Shadia544unatisha❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nitatizo Farida km ni mtoto kw kisalim sio
Waislam wenyewe wengejuwa wqo mi waislamu wala wasinge kuwa wasanii sio wa filamu sio wa muziki wangibaki huko madrasa ila waislamu ndio wanaongoza kwenye sanaa ya filamu na mziki tz ndio kusema wao wanaongoza kwa kuvaa uchi na ukosefu wa maadili, mujuwe dini hizi zililerwa na wageni acheni watoto wapige kazi
Phina jee