FRIDA AMANI ISHU YA MAADILI, UTATA MAVAZI YA YAMMY KUSHIKANA NA BARNABA KUITWA BASATA, IDRIS SLUTAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mama yake anaheshiimika sana lakini mtoto wake sijui kawa kichaa au kuripuka, sijui mavazi yake yakoje huo sio ubunifu ni ujinga mtupu

    • @KamandaBee
      @KamandaBee 4 หลายเดือนก่อน

      Nachekaga tu😂😂😂😂

  • @beatricekipela9100
    @beatricekipela9100 4 หลายเดือนก่อน

    Thank you Jesus l receive 🙏🏼

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wamemuonea bwana. ...mbona siku hizi watu wana vaa vichupi na wanatembea bila shida yoyote...

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 4 หลายเดือนก่อน +1

    Barnaba au Mohammed yeye na Yammi wamekosea kabisaa kimaadili na Dini na kama Mume wa mtu pia. Wako wrong💯

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo sasa hivi BASATA ma producer wa picha pia😂

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa basata wanayumba mbona platnumz yeye anatukana kila siku na kupiga picha mbali mbali na videmu lakin ajawahi kuitwa ili wamshauri

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 หลายเดือนก่อน

    Sisi kama mashabiki hatujaona kosa mbona wasanii ni wengi tu wanakosea na hawaulizwi waache ubaguzi sasa mfano mashabiki tunavaa magunia na wasanii nao wavae magunia sasa unafikiri kuna mtu anakaekuja kumshangaa kwamba yoo huyu ni msanii hakuna kitu kama hicho maana tutajiona wote tuko sawa. So tungeomba kua wasanii wafanye kitu ambao kina utofauti na sisi so tusiwaumize sana wasanii wetu wawe na ka uhuru fulani bhana

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka6393 4 หลายเดือนก่อน +2

    Na kupenda sna Frida amani

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yani natamani siku moja nikutane na dada frida nina mengi sana ya kuongea nae... by the way mungu akubariki sana

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 4 หลายเดือนก่อน

    Frida Is My Favorite Kweli Namkubaligi Xana🔥

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ushamba tz,kwan pic zina nn

  • @omranalbarwani7190
    @omranalbarwani7190 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi jamani hawa wasanii kuwa Uchida ndio kuuza nyimbo?? Vitovu nje chupi nje nyie basata hamuoni? Kioo gani hicho cha Jamie?? Mbona zamani haikuwa hivyo?

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 หลายเดือนก่อน

    BASATA kila anayetoka huko anakuwa chawa wao yaani cha kwanza ni kuwapamba sijui huwaga wanafinywa humo ndani na kupewa masharti ya kuwasifia😂😂😂Mixxsss

  • @iam_sami
    @iam_sami 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wamfungie abby Chams bac wanamuonea bure yammy

  • @dreamfightertv-qj4zh
    @dreamfightertv-qj4zh 4 หลายเดือนก่อน

    Frida we mwana chease eeee

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani wao wa kwanza

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli kile kichupi sio sawa mchupi uleee nyiee amuoni kama alikuwa uchi laana ya mke jamaniii 😢😢😢

    • @salmajuma1121
      @salmajuma1121 4 หลายเดือนก่อน +1

      Shadia upo kila sehem chukua maua yako🎉🎉🎉

    • @Shadia544
      @Shadia544 4 หลายเดือนก่อน +2

      @@salmajuma1121 🤣🤣🤣asante kipenzi wi-fi ya waarabu ndiyo maana natamba humu YOU TUBE KIPENZI 😅😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Shadia544unatisha❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @roccafella9873
    @roccafella9873 4 หลายเดือนก่อน

    Nitatizo Farida km ni mtoto kw kisalim sio

    • @svt3
      @svt3 4 หลายเดือนก่อน

      Waislam wenyewe wengejuwa wqo mi waislamu wala wasinge kuwa wasanii sio wa filamu sio wa muziki wangibaki huko madrasa ila waislamu ndio wanaongoza kwenye sanaa ya filamu na mziki tz ndio kusema wao wanaongoza kwa kuvaa uchi na ukosefu wa maadili, mujuwe dini hizi zililerwa na wageni acheni watoto wapige kazi

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 4 หลายเดือนก่อน

    Phina jee