Mimi sio Mtanzania lakini huyu rais ni kibokoyao,toka nizaliwe sijawahi kupata rais mzalenfo kama Magufuli. Plz wa Tanzania mchunge rais wenu kama riyayi. Nguvu yenu ni nguvu yake na Nguvu yake ni nguvu yenu.
yow 1 room accommodation costs US $ 3,000:00 dat's for us foreigners who pay for those amenities in yow beautiful countryside, Tanzania if da ministry of Tourism doesn't collect da foreign reserves for remittance to the treasury/exchequer then there's corruption in dat ministry da local natives even cannot dream of spending their vacations there in those hotels yow country, Tanzania is awesome beautiful enjoy yow memoires bec'oz life's really short
Ninakupongeza sana Mhe. Rais ila pia nakushauri uushughulikie na MUUNGANO, utupatie nafasi na Wazanzibar. Kuna bodi za taasisi za MUUNGANO hazina hata mjumbe kutoka Zanzibar achilia mbali management zake, hili ni lalamiko la msingi kwa Wazanzibar na ndio agenda ya WAPINZANI wetu iliyobaki lakini sio ndogo.
Kabisaaa presidaa nchi hii siyo masikini ni huru!!! Fedha tunazo madini ya kila aina tunayo!! Weupe mtapata tatu sana maana hata rais ajaye atawanyooshaa tuu!! Mumetulalia kitambo sasa basiii! MUNGU BABA hashindwi tutajenga ili wajue tunazo na tunaendelea kuwa nazo nyingiii!! Viva JPM jamani!!!!!!
Watnzania wenzangu ivi mwakani tunaenda kwene uchaguzi wa Raisi kwa nn tusinge mwacha tuu huyu Baba aendele kupiga kazi mbona anafiti vizuri kuliko tukamruhusu aende kwene kampeni kupoteza mda samahani hayo ni mawazo yangu
Dr Magufuli Mungu akulinde akutunze na Abarikiwe mama aliyekuleta Duniani ..Ni mapenzi ya Mungu kuwepo hapa Dunian hakika umekua mkombozi kwa Taifa letu .
Nataman TANZANIA iwekama nchizinazotawala Rais mmoja mpk mwishowa uhai wake manatulichokua tunakitaka tumekipata haijawahi kutokea nanahisi haitatokea Mungu akupe maishamarefu Rais wetu utawale miaka namiaka
Baba rais weee fanya kazi usisikilize malongooongo yaani umeme tz gali sana sometime time unasema wako normal kweli kwa nini umeme ni galii hata kwa matumizi ya watu hapo rahisi umefanya kazi ziada wewe walikupiga sana lakini utia nguvu hatutati kuliwa kijinga kijinga mama Janet mtunze vizuri baba rais hawe na afya njema ubarikiwe mkande kande kidogo mgongo migoo maana anafanya kazi kulipo maelezo hakuna anaifanya kazi kama rais mtasema mtakumbuka sana baadaye kama baba taifa
Jesus seems who is wright...God knows about our country we need your judgement oooh Lord come and replace magufuli spirit even him passed away;God you can do more than we can. Please LordGod receive my prayers. Amen
Watu bado hawakubali wanalao jambo rais magufuli endelea kuibua madudu yote na uyatangaze.majizi na mafisadi hayana dini wala huruma yakamatwe na yafungwe Maisha
Halafu kuna binaadam uchwara utasikia wanampinga vita huyu rais yani kweli binaadam hatuna maana! Jamaa alivyo na uchungu jinsi nchi inavyotafunwa ila kuna watu bado wanazingua kuona hafanyi cha maana 🖕🏾🖕🏾 maanina zao 🤬🤬 Tanzania ni nchi huru sisi hatuwaamulii nchi zingine na wao wasituamulie nini tunataka kufanya shenzi taipu🤬🖕🏾
Sasa hao TRA kazi kutubana sisi wanyonge,labda hats kwenye hiyo hotel ya chumba US $ 3,000 hawajafika Na kama wamefika wakala,wakanywa,wakalala,na kuondoka
kwahiyo kulikuwa na watu wameisha jimilikisha kakipande ndani ya Tanzania Duh!, ndiomana walikuwa wanapiga vita eti uharibifu wa mazingira, haya yote watanzania tungeyajuaje kama sio ww kwa kuthubutu, Mungu akulinde Rais.
Sijui tufanye vipi tu ili huyu Rais awe wa maisha hapa nchini kwetu.hapaswi kutuacha 2025,anapaswa kuendelea tu mpaka nguvu zitakapoisha basi apumzike tubaki tukimtunza maisha yake yote
TUNAKUPENDA RAIS WETU..UMEKUWA RAFIKI WA WANANCHI WAKO UNAOWAONGOZA...WEWE SIYO RAIS TU BALI NIN NDUGU NA RAFIKI...UNACHOFANYA NI ZAIDI YA KILE TULICHOKITARAJIA KUTOKA KWAKO....
Acha ujinga, wind na solar anatengeneza nani vifaa biashara, wewe inawezekana umetumwa na wazungu wenye vifaa vya solar. Mazingira ni ya Tanzania na ni kwetu na ninyi mkomae na mazingira yenu. Umetumwa ww
@@pendael02 wewe Mimi sitakutukana Ila natoa opinion yangu tuu and I'm working in power industry so naongea ninachojua, solar and wind ni cheaper than hydro and very efficient, na vipi ile gas why not use it for electricity production maana we have trillions of cubic feet za kutosha for the next 100 years
@Mr. Rugakingira Umesahau mienendo ya wa Pwani! Waajemi na Waarabu walifika huko ile miaka ya 900 A.D. maendeleo ndo hivo tena kwani Waarabu walijenga mistikiti tu, na wala siyo shule wala hospitali!!ila Wazungu walifika kanda ya ziwa 1886 na Iringa, Buganda, Mbeya, Kilimanjaro 1890s!!
Tulikuwa hatujui kama kuna hoteri huko nadhani hizo hoter ndiyo za mafisadi hawezi mgeni kujenga tu bira kufata taratibu za ichi mi nina imani hizo hoter ni za Wtanzania ambao siyo wazalendo
Daah! Mkuu umekwenda kulala jumba la kifahari huko Rufiji Na hatimae ikakufanya ushangae na kuhoji juu ya ulipaji kodi wao, Kumbe siku ingine watajiuliza na kujipanga pale utapokwenda mahala pengine😂
Ninachompendea huyu JMP huwa hafichi jambo hata ka kalifanya na ndo ubinadamu ulivyo hakuna asiye na kasoro but all in all ktk utawala wake watz tulio wengi ametufumbulia mambo mengi ambayo yalikuwa yakifichwafichwa hapo awali, viva JPM
Itakuwa muindi au mzungu..hapo hawataki wazawa waingie humo. Wakati kwao huwezi kukuta kitu kama icho, eti mwafrika awe na hoteli kama hiyo Ulaya, au Asia mmh!!
Hongera sana Mh Rais Mwenyezi Mungu akulipe Umetufunua sana mambo mengi Kama ingewezekana tukuongezee utawale 20 yrs tu kwa kweli tutafika mbali sana
Kama ni Rais kwa kweli tumepata. Kila mtu ana mapungufu, ila Huyu ubora ni mkubwa mnoooooo
Ester Mneney kabisha mamy due mwenzangu hata hotel ya lakimoja siwez iyo midollars yote
Kweli kabisa.
kweli wewe dada unaakili sana! umeongea point sana!
Yaa
mh upo vzr sn baadhi ya watendaji wako wanakuangusha co waaminifu
Mimi sio Mtanzania lakini huyu rais ni kibokoyao,toka nizaliwe sijawahi kupata rais mzalenfo kama Magufuli.
Plz wa Tanzania mchunge rais wenu kama riyayi.
Nguvu yenu ni nguvu yake na Nguvu yake ni nguvu yenu.
Chris K rial 😁😁😁
Poa mate, huyu JPM bado yupo sana ndio kwaaaanza tunamuandaa
Asante Sana , I'm always praying for him
Excellent
Ok
Safiiii kabisa Mheshimiwa Raisi Wangu Dr magufuli tunakuombea Sana endelea kupiga kazi Baba be blessed My pretty president Ameeeeen
yow 1 room accommodation costs US $ 3,000:00 dat's for us foreigners who pay for those amenities in yow beautiful countryside, Tanzania
if da ministry of Tourism doesn't collect da foreign reserves for remittance to the treasury/exchequer then there's corruption in dat ministry
da local natives even cannot dream of spending their vacations there in those hotels
yow country, Tanzania is awesome beautiful
enjoy yow memoires bec'oz life's really short
Nafurahiii sana Rais wetu yupo na furaha chapa kaziiiii mkuu nchi yetu soteee tuweke sawa mazingira tusonge mbelee
Tanzania itafika mbali sana,kwa uongozi wa Rais Magufuli.Mungu akulinde.
Hakika unaposikia watu kuwa na kipawa cha kuongoza basi Rais wetu ana kipawa cha kuongoza
Ubarikiwe sana Raisi,naishi uingereza napenda sana Maneno yako ya hekima na busara
Huyu ndo Rais wa Tz 2mshukuru Mungu
Hyu Mzee anaongea had choz linatekenya Mungu akulinde zaid na zaid
Unafanya kazi nzuri mhe. Rais, Mungu akulinde na kukuongoza usikate tamaa.
Baba baba huyo💪💪🇹🇿🇹🇿mpyaa👏👏👏👏
Ninakupongeza sana Mhe. Rais ila pia nakushauri uushughulikie na MUUNGANO, utupatie nafasi na Wazanzibar. Kuna bodi za taasisi za MUUNGANO hazina hata mjumbe kutoka Zanzibar achilia mbali management zake, hili ni lalamiko la msingi kwa Wazanzibar na ndio agenda ya WAPINZANI wetu iliyobaki lakini sio ndogo.
Nakukubali saaaaaaaaaana baba yangu JPM.Utazidi kuwa kileleni daima.Mungu akupe umri mrefu baba yangu.
Asante sana rais wetu mungu akulinde daima
Kabisaaa presidaa nchi hii siyo masikini ni huru!!! Fedha tunazo madini ya kila aina tunayo!! Weupe mtapata tatu sana maana hata rais ajaye atawanyooshaa tuu!! Mumetulalia kitambo sasa basiii! MUNGU BABA hashindwi tutajenga ili wajue tunazo na tunaendelea kuwa nazo nyingiii!! Viva JPM jamani!!!!!!
Yan huyu mzee sasa nimeanza kuamini kuwa nimpango wa MUNGU
Watnzania wenzangu ivi mwakani tunaenda kwene uchaguzi wa Raisi kwa nn tusinge mwacha tuu huyu Baba aendele kupiga kazi mbona anafiti vizuri kuliko tukamruhusu aende kwene kampeni kupoteza mda samahani hayo ni mawazo yangu
Nakubali jiwe hapa kazi tu
Mungu akupe maisha marefu Mimi nashauri watanzania tuendelee kumuombea
Chapa kazi BABA taifa lisonge mbele
Mda wako umeisha tudu lisu ndiye rais
hongera raisi wetu
Mungu akulinde rais wangu
Mueshimiwa nakukubal sana chapa kazi kamanda
Dr Magufuli Mungu akulinde akutunze na Abarikiwe mama aliyekuleta Duniani ..Ni mapenzi ya Mungu kuwepo hapa Dunian hakika umekua mkombozi kwa Taifa letu .
Wallah mtakuja kumwelewa tu huyu magufuli
Well done My president. Waafrika tunaweza.nashangaa makampuni mengi yanaleta managers ma expert.hili nalo Mr. President liangalie
Maguful Rais wetu nakupenda sana hujifungi fungi yaliyopeupe unaweke peupe
Inapendeza mkuu piga..kazi
Chapa kazi mzee baba
Vijijini umeme jamani
Nakupenda bure rais wangu mungu akupe maisga marefu
nakupenda bure Baba Magofuli hahahaahah sitaki kulaliwa mie hahahaa
Ha ha haaaaa
God bless Magufuli
MAGUFULI OYEEE
oyeeeeeeeee.
hapo nimekuelewa hawa wazungu hawataki bwawa la umeme ili wawe wanaua tembo wetu na faru
Mpaka nakuonea huruma Rais hauna muda wa kupumzika,Piaga kazi Muyu na we. Wa Tanzania Tusilaliwe! 😂😂😂🇹🇿🇹🇿👍👍
Nataman TANZANIA iwekama nchizinazotawala Rais mmoja mpk mwishowa uhai wake manatulichokua tunakitaka tumekipata haijawahi kutokea nanahisi haitatokea Mungu akupe maishamarefu Rais wetu utawale miaka namiaka
Huyu mzee ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa Waafrika wote.
Magu safiiiiiiiiiiiiii
👍 Yes Sir
ishima kwako mkuu
Baba rais weee fanya kazi usisikilize malongooongo yaani umeme tz gali sana sometime time unasema wako normal kweli kwa nini umeme ni galii hata kwa matumizi ya watu hapo rahisi umefanya kazi ziada wewe walikupiga sana lakini utia nguvu hatutati kuliwa kijinga kijinga mama Janet mtunze vizuri baba rais hawe na afya njema ubarikiwe mkande kande kidogo mgongo migoo maana anafanya kazi kulipo maelezo hakuna anaifanya kazi kama rais mtasema mtakumbuka sana baadaye kama baba taifa
Jesus seems who is wright...God knows about our country we need your judgement oooh Lord come and replace magufuli spirit even him passed away;God you can do more than we can.
Please LordGod receive my prayers.
Amen
Mwenzenu Mimi sitaki kulaliwa lamda nilaliye anko magu wewe noma nakukubali sana
Mipango ya mungu huyu rais
Raisi tunaye
Hapo kunatatizo hiyo hoteli sis walalahoi tunaisikia muda mrefu vp hao watumishi wako hawajui kweliii
Daaah USD 30000.kumbe bado nchi inaliwa aiseee
Huyu ndio Rais tuliyemhitaji kwa miaka mingi
Magu the best..
Sawa Baba
Asante san raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Nlisahau kukusalimia baba ....shikamoo mzalendo
Polepole tu muheshimiwa watakuelewa wenyewee
Watu bado hawakubali wanalao jambo rais magufuli endelea kuibua madudu yote na uyatangaze.majizi na mafisadi hayana dini wala huruma yakamatwe na yafungwe Maisha
Cjutii kukupigia kura🔥🔥🔥🔥
Hongera Rais kwanini serikali isichukue eneo lake na hao jamaa wakafukuzwa kabisa?
Halafu kuna binaadam uchwara utasikia wanampinga vita huyu rais yani kweli binaadam hatuna maana! Jamaa alivyo na uchungu jinsi nchi inavyotafunwa ila kuna watu bado wanazingua kuona hafanyi cha maana 🖕🏾🖕🏾 maanina zao 🤬🤬 Tanzania ni nchi huru sisi hatuwaamulii nchi zingine na wao wasituamulie nini tunataka kufanya shenzi taipu🤬🖕🏾
mwakaa waooo mafisadi wanaliyaa
Kulaliwa oyeeeee km umesikia mkuu kuhusu kulaliwa bila kudhurumiana comment chini
Hata Mao Raisi wa China hakueleweka mapema Ila sasa tunawaona wachina na kuwasifu hivyo MHESHIMIWA RAISI CHAPA KAZI
Hapo sasa
Hauna mpinzani Baba
Dah rais
ivi ni ile inaitwa nyumbu au ile ya river side?
Hapo nazidi kukuelewa
Sasa hao TRA kazi kutubana sisi wanyonge,labda hats kwenye hiyo hotel ya chumba US $ 3,000 hawajafika
Na kama wamefika wakala,wakanywa,wakalala,na kuondoka
Magufuli woiyeee maguful juu juu kileleni...
Kama waziri haijui hiyo hoteli, na IPO kwa muda mrefu,waziri ajiuzulu tu,
Valentine Mtei
Tunakuunga mkon Rais wetu ulipo tupo
Oteli Za Kuiba Wanyama Izo
kwahiyo kulikuwa na watu wameisha jimilikisha kakipande ndani ya Tanzania Duh!, ndiomana walikuwa wanapiga vita eti uharibifu wa mazingira, haya yote watanzania tungeyajuaje kama sio ww kwa kuthubutu, Mungu akulinde Rais.
Hongera Mheshimiwa Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa yote unayoyavumbua kila uendako Sisi tupo nyuma yako Mheshimiwa Rais.
Piga kazi muheshimiwa tulip bega kwa bega
Hiyo Hotel inaitwaje>? nataka na mimi nikalale
Sijui tufanye vipi tu ili huyu Rais awe wa maisha hapa nchini kwetu.hapaswi kutuacha 2025,anapaswa kuendelea tu mpaka nguvu zitakapoisha basi apumzike tubaki tukimtunza maisha yake yote
TUNAKUPENDA RAIS WETU..UMEKUWA RAFIKI WA WANANCHI WAKO UNAOWAONGOZA...WEWE SIYO RAIS TU BALI NIN NDUGU NA RAFIKI...UNACHOFANYA NI ZAIDI YA KILE TULICHOKITARAJIA KUTOKA KWAKO....
what a PREZ!!!
Not good idea kujenga uzalishaji umeme hapo rufiji,wind and solar vingeweza kuleta umeme mwingi tuu bila kuharibu mazingira..mmekosea sana
Acha ujinga, wind na solar anatengeneza nani vifaa biashara, wewe inawezekana umetumwa na wazungu wenye vifaa vya solar. Mazingira ni ya Tanzania na ni kwetu na ninyi mkomae na mazingira yenu. Umetumwa ww
@@pendael02 wewe Mimi sitakutukana Ila natoa opinion yangu tuu and I'm working in power industry so naongea ninachojua, solar and wind ni cheaper than hydro and very efficient, na vipi ile gas why not use it for electricity production maana we have trillions of cubic feet za kutosha for the next 100 years
Rais mjanja sana. Hawampati.
Sasa mheshimiwa tungemjua na mmiliki wa hizo hotel. ili wengine wajiweke sawa waache wizi
Sasa nyie mnazungumzia kulaliwa kule😁😁😁😁😁😁
@Mr. Rugakingira Umesahau mienendo ya wa Pwani! Waajemi na Waarabu walifika huko ile miaka ya 900 A.D. maendeleo ndo hivo tena kwani Waarabu walijenga mistikiti tu, na wala siyo shule wala hospitali!!ila Wazungu walifika kanda ya ziwa 1886 na Iringa, Buganda, Mbeya, Kilimanjaro 1890s!!
Waziri unatakiwa kushughulikia pande zote ata kwa kushirikiana na wizara jirani wako.kama hakuna ushirikiano panda kwa mh.tamko liwe msumeno
Kweli wazungu kwaheri
🙏
Wew
Kiukweli Magufuli we ni Jembe
Kodi Kodi kodiiiii
Kuna wapumbafu wameweka dislike sijui wanajua ni kudownload nn maan ni upuuzi kuweka dislike
Wapigaji bado hawajaisha
Sasa nyinyi mnacheka hii ya kulaliwa? Hahaahaaa.
Hapa lazima tukuunge mkono
Tunalaliwa tunakua kama nini? Sijasikia vizuri
Kama podoo
@@donaldtadeodontado9991 duh! Ndio kitu gani?
Sio ile yakulaliana yenu nyinyi
Tulikuwa hatujui kama kuna hoteri huko nadhani hizo hoter ndiyo za mafisadi hawezi mgeni kujenga tu bira kufata taratibu za ichi mi nina imani hizo hoter ni za Wtanzania ambao siyo wazalendo
Maneno mengi
Imekupenya hiyooo,dadadadeki
Daah! Mkuu umekwenda kulala jumba la kifahari huko Rufiji
Na hatimae ikakufanya ushangae na kuhoji juu ya ulipaji kodi wao,
Kumbe siku ingine watajiuliza na kujipanga pale utapokwenda mahala pengine😂
Kabisaaaa yaani
Ninachompendea huyu JMP huwa hafichi jambo hata ka kalifanya na ndo ubinadamu ulivyo hakuna asiye na kasoro but all in all ktk utawala wake watz tulio wengi ametufumbulia mambo mengi ambayo yalikuwa yakifichwafichwa hapo awali, viva JPM
Tanzania huru
Mmiliki wa hotel hiyo ni nani sasa?
Acha umbea
Wazunguuuuu
Atakuwa kina.a
Itakuwa muindi au mzungu..hapo hawataki wazawa waingie humo. Wakati kwao huwezi kukuta kitu kama icho, eti mwafrika awe na hoteli kama hiyo Ulaya, au Asia mmh!!
pouw
Yahani magufuri utabaki kwa juu kileleni
Na hiyo hotel itakuwa na mkono wa waliokutangulia tu,nani anajua wanaolipa pesa zote hizo kulala huko wanatoka na nini?kweli Tz ilikuwa shamba la bibi
Kweli kabisa,mtu Wa kawaida hawezi kujenga hotel huko,kuna mh fulani hapo