FREDDY MICHAEL KUKOSA MAGOLI MSIKIE KOCHA JUMA MGUNDA & AHMED ALLY/"DODOMA JIJI MECHI MUHIMU KWETU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 พ.ค. 2024
  • SUBSCRIBE NOW:

    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
    📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC TH-cam Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 117

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m 23 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu anae hoji hana furaha😂😂😂😂

  • @cosmasmwaselela6584
    @cosmasmwaselela6584 24 วันที่ผ่านมา +8

    Wewe nikocha mzuli saana ila shindayako ni moja2 kucherewa kufanya saabu unamuona mchezaji hana bahat yakufunga badilisha wacheze wengine

    • @mussahoza
      @mussahoza 23 วันที่ผ่านมา

      mpiraa cyo draft kwamba mtu akikosea mara mbili hapo hapo sub... ndo maana cyo kila mtu n kocha sbb ukocha hautak mihemko

  • @johnjingo8124
    @johnjingo8124 24 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaimani na kocha wetu. mungu akubariki.

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y 24 วันที่ผ่านมา +5

    Poleni wakuu wangu, msijali haikuwa bahati yetu, tufikas na mechi zilizobaki inshaalaa tutapata nafasi ya pili,..inauma ila kuwa na amani semaji letu ninakukubali sn

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 23 วันที่ผ่านมา

      ,👌❤️

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 23 วันที่ผ่านมา

      Hakuna bahati kwenye soccer , inachotakiwa ni umahiri wa kutandaza kabumbu . Fredy hatoshi…… Mbona Mpira wa miguu ni Mchezo ulio wazi nyie hamwoniiiii.

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic1866 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mgunda ni kocha kweli

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi niwa 111 Leo ila naiombea Simba yangu natuiombee Simba yetu Mungu atusaidie daima

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 24 วันที่ผ่านมา +4

    Kocha mganda ni kocha mzuri sana 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @MwanaidiHabibu
    @MwanaidiHabibu 23 วันที่ผ่านมา

    Naipenda sana simba yangu hata iweje

  • @Nusratykenedy
    @Nusratykenedy 23 วันที่ผ่านมา

    Jamani wana simba wezangu tumwamini tu kocha mzawa wetu juma mgunda atatupeleka vizuri tu

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m 23 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂haya mahojiano naona ni yakitoto😂😂😂 watani mna komedi😂😂😂😂

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kocha tuliyenaye naye kwa ss ni kocha bora kuliko benchika, makombe yake siyo sabb, mgunda atatufikisha mbali msimu ujao,pongezi bb tulia na sinia tim hata akija kocha mwingine...mama arusha mererani

  • @IddikazumbaMpanduzi
    @IddikazumbaMpanduzi 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibaliki timuyetu ya Simba hata kama Jana tumepata sale mungu awabaliki wachezaji na benchi la ufundi na kocha wetu pep gladiola mnene Amin

  • @MosesIyobo-fm6kd
    @MosesIyobo-fm6kd 24 วันที่ผ่านมา

    Naomb fredy jarib kupunguz maweng mpira umo Simba tubadilike 2chez mpira was kuwang😀😀😀😀😀

  • @edwinntale7688
    @edwinntale7688 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kocha umenikumbusha mkama ntare ni baba angu huyo

  • @bestman8182
    @bestman8182 23 วันที่ผ่านมา

    Kuisaidia timu sio kufunga goli tu, unaweza kuisaidia timu kwa kutoa assist, kulinda vizuri, au kudaka vizuri.

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439 24 วันที่ผ่านมา

    Simba na msemaji wako too transparent, kwenye mapambano huwa kunakuwa na confidentially. Yanga wameweza sana kwa hili. Kaka Ahmed si vibaya kuwaiga.

  • @GeradSabasaba
    @GeradSabasaba 22 วันที่ผ่านมา

    Tunaoba usajili namba 9

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 22 วันที่ผ่านมา

    Si mchawi wew

  • @user-hf6kg9ks3g
    @user-hf6kg9ks3g 24 วันที่ผ่านมา

    Striker anaweza kufunga akibaki na golikipa kwa ku uchop mpira na sio kukariri kupiga tu na golikipa kudaka!

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 24 วันที่ผ่านมา

    Big up mgunda, akina Fredy wanakuangusha

  • @PaulIranda
    @PaulIranda 24 วันที่ผ่านมา +1

    Jana wachezaji wenyewe ndo wametufelisha, wameshindwa kuweka mpira kambani

  • @godwinmuze3937
    @godwinmuze3937 22 วันที่ผ่านมา

    Mimi nadhani fred Maiko ndiye ameshindwa ku assist wenzake, ktk kufunga kwani anashindwa kutoa pass kwa mwenzake ili ashinde yeye

  • @fatmaOmmy
    @fatmaOmmy 24 วันที่ผ่านมา +1

    Muwe mnajifunza kukaa kimya sio kila kitu mnakiweka hadharani hamjifunzi kutoka kwa wanzenu?

  • @samponews1689
    @samponews1689 24 วันที่ผ่านมา

    Hii team bana🚮mbona watu wamelalamika sana kuhusu uongozi lakini hamjawahoji Hao viongozi 😢Yani hii ni siasa SC 😂

  • @SalmaAbdalah-dv6et
    @SalmaAbdalah-dv6et 23 วันที่ผ่านมา

    Sawa mkuu hy nibahati mbaya alafu Tim ye2ubinafsi sana Fred Hana baya

  • @munongomeshili7612
    @munongomeshili7612 23 วันที่ผ่านมา

    Washauri wachezaji wacheze kitimu siyo matokeo ya mtu mmoja!!

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hayo mkaoniane nao acheni kutuzuga

  • @BernadLucas-ll3un
    @BernadLucas-ll3un 23 วันที่ผ่านมา

    Fred nimzuri Ila nimzito Sasa maamuzi ya araka ana Kama mshambuliaji

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 22 วันที่ผ่านมา

    Mechi ilikuwa ngumu lakini Simba ni team kubwa kuliko kagera, kwanini asifosi kupata matokeo ukizingatia ni alama muhimu kwa wakati kama huu?

  • @allychongowe2025
    @allychongowe2025 24 วันที่ผ่านมา

    Jobe na Fred hawatoshi Simba tafuteni strikers wenye uwezo

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 21 วันที่ผ่านมา

    Fredy ana maguvu tu lkn hana akili ya mpira bhana!!. Mpira unachezwa hadharani na kila mtu anaona!

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 22 วันที่ผ่านมา

    Nachoweza kuishauri Simba,
    Wanapokua kwenye mechi waangalie ushindi kwanza kabla ya show off. Sio mtu yupo sehemu ngumu badala ya kuasist ana amua kubutua

  • @AbelNyamasati
    @AbelNyamasati 21 วันที่ผ่านมา

    Nafas munampa ya nn huyo fredy hajui mpila kabsa

  • @Nusratykenedy
    @Nusratykenedy 23 วันที่ผ่านมา

    Shida ya fred lege lege hana nguvu ya ustirack kama baleke anafwata mpira kama ana wiki hajara

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 23 วันที่ผ่านมา

    KWA Maoni yangu mimi,Fistoni mayere na jean bareke waje hata mimi nitachangia nauli ya kuwaleta hapa Tanzania waichezee SsC!

  • @user-hf6kg9ks3g
    @user-hf6kg9ks3g 24 วันที่ผ่านมา

    Issue ni makosa kujirudia na mchezaji huyo huyo na ni professional player!

  • @cesaryaudax6647
    @cesaryaudax6647 24 วันที่ผ่านมา +1

    Jobe yuko vizuri kumzidi Fredy! Kibu na Ntibazonkiza watokee bench. Simba ya sasa bila Chama hakuna kitu

    • @merypeter7467
      @merypeter7467 23 วันที่ผ่านมา

      Ww jielewe bc Fred ni mzuri zaid kuliko jobe

    • @cesaryaudax6647
      @cesaryaudax6647 20 วันที่ผ่านมา

      Fred accurance yake ya acoring ni ndogo na anakosea sana positioning

  • @user-vz3bb3ch3z
    @user-vz3bb3ch3z 23 วันที่ผ่านมา

    Usajili ujao panga limubakize ayubu chemalon kanuti chama, h kazi na kibu2 wengine sambalatisha mlete wapya

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j 23 วันที่ผ่านมา

    Hossen zimbwe anapambana natamani achukue nafasi ya fred

  • @SillasNkijiwa
    @SillasNkijiwa 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Fred anaboa sana daaah

  • @KboyMagereja
    @KboyMagereja 24 วันที่ผ่านมา

    Kwa kifupi tunahitaji mfungaji na siyo Fred wala jobe

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 24 วันที่ผ่านมา

    Wambieni mambo hayo ni Siri ahamedi hapo unakosea Siri ni siri

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 23 วันที่ผ่านมา

    Pmj sanaa

  • @DainessKongela
    @DainessKongela 24 วันที่ผ่านมา

    Ww namoo wenu wote wasenge2

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 23 วันที่ผ่านมา

    mpeni nafasi jobe sasaivi amalizie msimu yule atafungaaa maana anakiusana yakutoa haibu yake ila uyo fredy aaah me ashanichosha

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 24 วันที่ผ่านมา

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 24 วันที่ผ่านมา

    sio uzungumze nao kwa mdom2 na vitendo pia mazoezin vifanyike

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 23 วันที่ผ่านมา

    Nimesikia kama kasema ANTIFICIAL

  • @Samwel-zf7zu
    @Samwel-zf7zu 21 วันที่ผ่านมา

    Asee acha izo Ahmed ally

  • @JOSEPHKAJORO
    @JOSEPHKAJORO 23 วันที่ผ่านมา

    Freddy hamna kitu.

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 23 วันที่ผ่านมา +1

    SsC team hongereni sana! Simba ni Babalao mmeamua tu kuwapa UBingwa tena hao Vijana wenu Yanga! Ila iwe mwisho wa mikataba hiyo feki! Mnatuharibia molari ya kandanda!

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j 23 วันที่ผ่านมา

    Fred anaboa chemalon anaboa na ndio amesababisha lile goli

  • @YudaWales
    @YudaWales 24 วันที่ผ่านมา

    Nguvu moja

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 24 วันที่ผ่านมา

    tatizo tukifika kweny uwanja wa mazoezi hatufanyi mazoezi ya kulenga goli watu wakajifunza kufunga tukifika tunafany mazoezi ya viungo tunaenda kweny mechi

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 24 วันที่ผ่านมา

    Kingine kinacho tughalimu hatuna kikosi kipana miaka Mii 3 hii tumesajili wachezaji wachache alafu hawana viwango vya kuchezea simba hasa wa kigeni viongozi liangalie hili

  • @songombingo108
    @songombingo108 24 วันที่ผ่านมา

    Maneno matamu. Lakini ukweli ni kwamba hakuna timu hapo. Yaani unategemea Mzamiru na kina Fredy wakupe ubingwa?

  • @edamian506
    @edamian506 24 วันที่ผ่านมา

    Wachezaji hawajui kupiga kona

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c 24 วันที่ผ่านมา

    Huyo Fred mrudisheni mlikomtoa ,tuleteeni baleke

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 24 วันที่ผ่านมา

    Semaji sisi tunataka utuletee hao viongozi Tena uweke live tuwaulize maswali tunahasila na hayo mamluki

  • @Mtaalam_stan
    @Mtaalam_stan 24 วันที่ผ่านมา

    Hizi n nyeti za club, why mnazianika hadharani

  • @Franccoz
    @Franccoz 24 วันที่ผ่านมา

    TUSEME TUU UKWELI HII TEAM INATIA AIBUU,SASA UNATAKA KUBAKI NA MCHEZAJI KAMA KIBU WA NINI SASA MSIMU WOTE GOAL 1

  • @emmanueldaudi3797
    @emmanueldaudi3797 24 วันที่ผ่านมา

    Mtoke sare tena na Dodoma

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 24 วันที่ผ่านมา

    ukiona fredy hakupi unachotak basi muanzishe na huyo mwengine unamuanzisha fredy kisa anakondroo watu wanaondoka na pwenti yey wanamuwacha na konteoo zake sasa faida iko wapi apo

  • @cosmasmwaselela6584
    @cosmasmwaselela6584 24 วันที่ผ่านมา

    tushakuzowea manenoyako niyareyare

  • @user-yz5ql2mq7l
    @user-yz5ql2mq7l 24 วันที่ผ่านมา

    Simba naikunal ila fredy uyo jama ni choko kwanza anavyokimbia2 mikono anayvoweka kama bata.uyo msimu ujayo atumtaki bora baleke kuliko ilo choko jana tulikuwa tushinde

  • @MkwayaKafurera
    @MkwayaKafurera 24 วันที่ผ่านมา

    Kassian nkwabi mengine iwe siri

  • @user-en1re7ot8c
    @user-en1re7ot8c 24 วันที่ผ่านมา

    WAPUZI NYIEE

  • @berthabuseleke598
    @berthabuseleke598 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huo Fred aliletwa Tanzania kutalii hakuna anachokifanya kwanza analiogopa goli. Mie nafikiri huyu jamaa ameanzia huku kukaa km standing striker. Aondoke tu anapotezea wengine kupata matokeo. Wenzie wanamtengenezea nafasi akipata mpira anakigugumizi toa arnde kwao

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 24 วันที่ผ่านมา

      Fatilia mechi za team yake aliyotoka

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 24 วันที่ผ่านมา

    Kikosi chetu siyo kipana

  • @alihumaid3492
    @alihumaid3492 24 วันที่ผ่านมา

    Sababu ni nini mgunda?
    Kwani freddy haya magoli ya wazi ameanza lini kukosa?
    Huyu hana improvement yoyote kwani ameiangusha timu yetu Mara nyingi sana sio Mara ya kwanza au ya pili.....
    Mgunda ondoeni huyu freddy HAFAI IKIWA KWELI MNAITAKIA KHERI TIMU YETU....
    WAONDOKE YEYE NA JOBE HARAKA SANA

  • @petertimothy7882
    @petertimothy7882 24 วันที่ผ่านมา

    KWA NINI FREDDY KILA MARA ANATUKOSESHA MAGOLI??? MBONA WENZETU MAKINI HAWAKOSI HIVYO?? KWA NINI ASITULIE??? KAMA HAACHI UJINGA AONDOKE!!!

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hi kama viongoz mnasoma huu ujumbe naomba tunzeni hili,,,,,,,,,,Kama kila kocha anaye kuja anashindwa kufanya vizuri kisa wachezaji,,,,,,mbona mgunda anatumia hao hao na anapata matokeo......ushauri wangu mtumien mgunda ila mleteen wachezaji wenye quality kubwa then muachieni timu mtakuja mnishukuru
    Aaafu pia mm nafikir kuleta makocha wakigeni naona kunawatu baadh wananufaika na hilo

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 24 วันที่ผ่านมา +1

      Nilichopenda zaidi ona saiv😅😅 anawapigisha mazoezi haswaa wanakimbia spidi 😅mwanzo walikuwa wanafanya mazoezi km viwete😢 walilegea

  • @kilianmeja4277
    @kilianmeja4277 24 วันที่ผ่านมา

    Mgunda anaongea kisiasa yule mchezaji hamnakitu pale.

  • @erastoyohana4318
    @erastoyohana4318 24 วันที่ผ่านมา +13

    Hayo ni mambo yenu ya Siri sio kuhojiana ivo bwana Ahmed Ally mnafaidisha wapinzan fanyeni mambo kimyakimya sio tuone magoli tu full stop

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 24 วันที่ผ่านมา

      Yani team limbukeni hii😢😢😢 hawajifunzi uto hata azam hawajitangazi mazoez😢😢kazi tunayo

    • @user-pr1nk6vr2q
      @user-pr1nk6vr2q 24 วันที่ผ่านมา

      Hayakuhxu

    • @daudhabona8897
      @daudhabona8897 24 วันที่ผ่านมา

      Nyie mna mipango Sasa. Jipangeni 2026 TU. Maana hata mwakani letu 😅

    • @harounmkunda2504
      @harounmkunda2504 24 วันที่ผ่านมา

      Mambo ya siri yapii😂😂😂

    • @Mtaalam_stan
      @Mtaalam_stan 24 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabsa ,vitu vingne n vya chumban why vimeletwa sebuleni

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 24 วันที่ผ่านมา

    Antifisho/atifisho

  • @JOSEPHKAJORO
    @JOSEPHKAJORO 23 วันที่ผ่านมา

    Freddy ni yumbu tu.

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 24 วันที่ผ่านมา

    Msionyeshe laivu mbona yanga hawonyeshi mazoezi yao live

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 24 วันที่ผ่านมา

      Kazi ipo😢

    • @user-pr1nk6vr2q
      @user-pr1nk6vr2q 24 วันที่ผ่านมา

      Fuatlia utawaon acha uxhamba

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 24 วันที่ผ่านมา +1

    Freddy hamna kitu

  • @muhammadkassim6291
    @muhammadkassim6291 24 วันที่ผ่านมา

    Simba SC wamejaa wababaishaji , ndio waliosaidia yanga kuwa mabingwa hata msemaji amechangia kulisha matango pori washabiki

  • @VuaiFaki-wp3sx
    @VuaiFaki-wp3sx 24 วันที่ผ่านมา

    Simba mmetukatisha tamaa sana mashabiki msimu huu

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 24 วันที่ผ่านมา

    Inakuwaje mpoteze mchezo halliya kuwa Kagera sugar alitoka Dar kuja Bukoba kwa Gari wakati Simba walikuja kwa ndege nani alistahili kuwa amechoka??

    • @shooezron272
      @shooezron272 24 วันที่ผ่านมา

      Gharama kuubwaa matokeo mabayaaa

  • @cosmasmwaselela6584
    @cosmasmwaselela6584 24 วันที่ผ่านมา

    wachezaji watu kufunga magoli nibahat saana sio kama wazetu yanga unaona kabisa kunakitu wametumwa

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 24 วันที่ผ่านมา

    Ujinga tu lichazaji umeliona linashindwa kufunga kwani kufanya sub mapema onaona Nini?Acheni vioja vyenu mnatumakixia MB Bure mnahojiana Ili iwe nini

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 24 วันที่ผ่านมา

      Mmemuona fred lkn waliotufelisha pakubwa kina balua 😢 jana mara mbili fred anaomba mpira hawampi

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t 24 วันที่ผ่านมา

      ​@@bellenoe414sasa kama fred mwenyew akipewa pass hazitendei haki wakina balua wakaona bora wajaribu nawao

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 24 วันที่ผ่านมา

    By bye CAF Champions league

    • @zubedaali4155
      @zubedaali4155 24 วันที่ผ่านมา

      Unaharisha utoporo

    • @beaugosseadam6831
      @beaugosseadam6831 24 วันที่ผ่านมา

      @@zubedaali4155 Machawa na wasojitambua, anayesema ukweli basi anakua Utopolo. Malengo yamebadirika, sasa ni kugombania nafasi ya ya Tatu na Coastal Union

  • @alihumaid3492
    @alihumaid3492 24 วันที่ผ่านมา

    WAONDOKEEEEEE HAO WAWILI HATUWATAKI NDANI YA TIMU.....

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 24 วันที่ผ่านมา

    tunaomba yule fredy mechi zilizobaki akae2 benchi maan hana ata faida anafinya mpka kipa pia anakosa

  • @songombingo108
    @songombingo108 24 วันที่ผ่านมา

    Maneno matamu. Lakini ukweli ni kwamba hakuna timu hapo. Yaani unategemea Mzamiru na kina Fredy wakupe ubingwa?

  • @samponews1689
    @samponews1689 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hii team bana🚮mbona watu wamelalamika sana kuhusu uongozi lakini hamjawahoji Hao viongozi 😢Yani hii ni siasa SC 😂

  • @songombingo108
    @songombingo108 24 วันที่ผ่านมา

    Maneno matamu. Lakini ukweli ni kwamba hakuna timu hapo. Yaani unategemea Mzamiru na kina Fredy wakupe ubingwa?