Brother GB 64 wewe ni zaidi ya GB 364 unaakili sana sema Simba Kuna mashabiki baadhi wenye platform kubwa halafu wanawatetea viongozi wabovu huu muda inabidi tuanze kuwaambia ukweli na kuwataja mmoja baada ya mwingine ili tuiokokee timu
Maneno mengi , kwan chombo Cha kusajili na kutoa Hela na usajiri Bora wanavyomashabiki? Simba inaposhuka namna hii kusema sababu ni wanachama hio sio kweli, sababu ni vyombo vya juu vyenye mamlaka
NAONA WAMEANZA KUJITATHMINI KAMA GB64 alivosema....
AKINA MZARAMO NA WENGINE WAO WASHALEWA NA UCHAWA..
BIG UP GB
Brother GB 64 wewe ni zaidi ya GB 364 unaakili sana sema Simba Kuna mashabiki baadhi wenye platform kubwa halafu wanawatetea viongozi wabovu huu muda inabidi tuanze kuwaambia ukweli na kuwataja mmoja baada ya mwingine ili tuiokokee timu
Jamani usajili wa IBENGE vipi ni kocha anayefaa sana kuliko huyo msauzi
Mungu ibariki simba ❤❤❤🎉🎉🎉
gb tuse mee kaka
eti " kombe LA shirikisho litakuwa lina mvuto kuliko champions league " hawa jamaa huwa wamafikiri kwa kutumia nini hasa ? Mbona ni kama anaota !
Uongoz m bovu simba san
Gb64 nizaidi ya gb500
Huwanakuelewa Sana kaka nikohapakahama tunakufuatilia.sana
GB imeingiliwa na virus, memory inachanganya ma file.
KWA KUJIPA MATUMAINI.... USAJIRI BILA UTULIVU ?
Kuna watu wengine huwa wanakata vichwa ndo wanafikiria sasa sijui Kama Kuna sehemu nyingine yenye ubongo zaidi ya kichwa.
Mzee wa National Al ahly
Bigapu sana
misimu mitatatu minne mwendo ni huu wa tambo tusubiri ligi ianze ndiyo tutajua kweli simba wazung wamo au ndiyo ni yale yale ya 10 percent..
Gb64 mwamba nakufatiria mno unaongea uharisia
Ukweli pekua pekua
Simba pasua kichwa Sana yani dah mabadiriko yanakujaje kama making a Ela bado yapo
Maneno mengi , kwan chombo Cha kusajili na kutoa Hela na usajiri Bora wanavyomashabiki? Simba inaposhuka namna hii kusema sababu ni wanachama hio sio kweli, sababu ni vyombo vya juu vyenye mamlaka
Tuangalie Kwanza usajili unalizishaa
Babra hanakitu kwani anahela huyo nae ni mlinzi wa Mo kama Tray Ageni kitakacho itoa simba utumwani ni kukusanya pesa kwa wanachama
Kwahiyo Helsi ana hela😂😂
@@joaskiliba5996helsi ndo naniii ?? 😂😂😂