MFAUME amnyea MWAKINYO/Amebaki na TAARABU tu/Amefulia/Nataka pambano nae BURE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Bondia #MfaumeMfaume ameweka wazi matamanio yake ya kupata pambano na bondia kutoka mkoani Tanga #hassanmwakinyo huku akisema anataka asilipwe chochote katika pambano hilo huku akimtaja Mandonga kama mdogo wake tangu zamani,Pia amezungumzia mapambano yake yajayo na rekodi kadhaa alizonazo kwenye mchezo wa Masumbwi.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Mfaume we nilikuwa nakubali sana ila sasaivi we demu tu yaani ukija kwangu mie nakuwasha vibaya mno mno kama vip nije nikuwashe moto we mrembo tu historia gani maana umedundwaa saana tu
Oyaaaaaa babaaaa mfaume safi babaaaaaa dua nyingi sana mwanetu.
mwakinyo 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ndio ww unacheza pambano yule yeye anacheza utangulizi sawasawa lkn c unajua riski zimetofautiana kwa sasaiv yeye ndo champion yule....mfaume ee mwakinyo humuezi ww
Kila mti asikilizwe bana
Mfaume namba Moja Tanzania, tunaenda mpiga idi pialali alafu tunamtaka muimba taarabu mwakinyo anamisemo na michambo kama mdada vile.
Nakusapoti mfaume usiniangushe
Kabla ya mwakinyo namtaka mm
Akupelekee moto au
Mfaume utapigwa vibaya na Mwakinyo,tafuta unaoenda nao
Kaoneka ana history yake ya kumchapa mwakinyo enzi hizo lakini
💚💚💚💚💚👐
Mi namkubali mfaume kwasababu haogopi ivi ndivyo inavyotakiwa Kwa jibondia katili ivi.....
Jamaa Katia offer ya week moja😂😂😂
Hamuwezi huyooo mister mifatu
Aendetena Russia akapigwe mbona haenditena kasingizia kabadilishiwa bondia Kila akisimama anadondoka mbona hayasemi??mijigambo bongotu . Mfalme wangumi nidhamuhana huyu nani kampa ufalmenwangumi huyu .
Daaah!!! Kumbe wew mfaume nimjinga ivyo
Ache ujizi mfaume apigane mwakinyo
Mfaume akili huna nibondia gan atakuhitaji wewe mbovu tu ulipigwa na mmalawi ukabebwa.
We mfaume fala tu hata kwa dawa humuwezi mwakinyo af nataman sana pambano na wew kuku wew,unamaneno sana walah mi nakupasua nakuja kitaan kwako nikupasue
😅😢😢😢😢jamani
We hauna uwezo wa kumpasua mfaume
Record nzuri na huna hela ,, Acha maneno wewe mlenda tu njoo ukutane na cc wana karatee tukufundishe
Kamfate uko alipo uka mfundishe
Uko wapi tukufuate we wa karate
Mfaume bondia usiongee ongee sema tukufuate ulipo
Huyu mjinga simumkarishe tu huyu anaongea kama demu haingii Kwa mwakinyo huyu mjinga hata mwakinyo angefunga kitambaa usoni atapigwa kama.van dame na boloyang mwehu huyu
Kiukweli kucheza na Joshua Cortney ulipaswa jina liheshimike sanaaa mzee baba maana jamaa alikuwa na record nzur sanaaa kuliko mabondia wa mwakinyo...
SASA NANI ALIPIGWA KTK HILO PAMBANO KATI YAKE NA COTEI...NA PAMBANO LILIKUWAJE ELEZEA.
Mtangazaji naomba umwambie mfaume mfaume akitaka kupigana na mwakinyo aandae machera maana hawezi kutoka mzima kabisa
Mwambie atie saini mbna anawaogopa wabongo
mwakifamba boya tu
Mfaume hujitambui na unajiaibisha kumzungumza Mwakinyo vibaya! Humuwezi kwa chochote. Jiulize kwanza mwenyewe, je, ulianza boxing lini? Una mapambano mangapi na umeshinda mangapi? Una nyota ngapi? Una KO % ngapi? Kisha vigezo hivyo hivyo jilinganishe na Mwakinyo sio unaongea mipasho tu. Eti Tanga Kuna mabondia wakali wanakuja! Unadhani unaweza kuwasahaulisha watu Jina la Mwakinyo ktk boxing? Ukienda Ulaya na USA ukisema unatoka TZ unaulizwa unamjua Mwakinyo? Halafu wewe unaongea pumba dhidi yake. Unaletewa mabondia wa mchongo Kisha unajitamba!!
Pole sana comment yako nimeona jinsi gani umeumia
Sasa wewe mbona umeumia ivo
Bahati Tu Ile Mwakinyo Hajui Ngumi.
Kuna mabondia wengi waliacha majina ulaya na wapo wenye majina ulaya ukimtoa mwakinyo babu usiongee ivyo
@@omarykondo1010 unatakiwa kuwataja sasa 🤣🤣🤣
Mwakinyo anawanyima raha mabondia ma fala kama wewe bondia mzalendo Seleman kidunda wewe mfaume ,twaa mandonga nyie machoko tu kwa mwakinyo amuend mjin bila kumzungumzia mwakinyo
Ww Mfaume ongea TU! Ila yule dogo usingemgonga kichwa alikua anakuabisha, yule mwamba anajua ngumi, asa unasemaje alisingizia wakat majaji waliamua, nanakutabilia tunza hii comment piarali atakuchapa laud ya 5
tatizo mnamchukia mwakinyo kwakua yupo juu ila mwakinyo ndie anaeitangaza TZ
Hyo mwakinyo pia ana shombo za kipumbavu😮
Kweli kila kizuri lazima kihusudiwe, wameanza vichwa bata akina Mangonga, sasa hata wewe Mfaume pia umekua mwimba taarabu..?
Wewe Jamaa ukubari ukatae mwakinyo ndio amefanya watu wapende ngumi unakumbuka pambano lake la ulaya nchi nzima ilisimama kumungalia champ acha maneno meng mwakinyo fundi ukubali ukatae
Mfaume sio bondia ana chakueleweka kwenye gumi ameshafulia atafute jembe akalime ye kama anataka maji yaliyo tiwa karafu aweke asitake kiki anapigwa sana ulingoni nibora mandonga nimuekee hela ninao uwakika wakushinda kuliko mfaume anataka kumpima mwakinyo anamuweza wapi ye ache anapocheza sio kumpima maji kwa mguu Kila siku baada ya kucheza ngumi anapigana vichwa
Namini iyo siku usipo kufa ww mfaume basi utakua zobi mwakinyo sio levo Yako acha kujipendekeza
Mfaume ni mlevi tu anaweweseka
Kabisa mlevi huyo
Bondia ni mwakinyo tu hawa wengine ni madunduka tu kama huyu
Mwakinyo acha kusumbuana na washamba wewe ni mkari
Mwakinyo ashasema bora afuge mbwa kuliko kupigna na watu wasio level yake
😂😂😂😂 swadakta
Mwakinyo ndo tunamfahamu hao wengine mmmmmmh
Nandio mana wabongo atuendi mbali sababu hatu pendani aliopewa kapewa Tu nawewe pambana ufike levo zake aundio unataka kuteleza
Mfaume mfaume,mtu hapigani bure ukiwa na mtazamo huo hutafikia malengo na utakuwa ni miongoni bwa boxers wasio na muono,,,,,mchezo wa ngumi ni malengo sio mabishano ili kuwafurahisha watu tu….change broo
Unaongea pumba tu we fala mwakinyo humuwezi
Kwan hawa mabondia wetu hawez kusogea mpaka wapigane na mwakinyo what a shame
Mfaume unaongea sana lkini mwakinyo umuwezi kabisa ata ufanye nn unauwezo kabisa fighting ya mwakinyo na wwe tofaut sema mnalazimisha apigane ili mumshushe lkin sio level yko
Wamepigana ln mpka useme hamuwezi? Ngumi cyo taarabu kk
Af hyo fala alipigwa APA nyumbani AF ubingwa akapewa ushindi,,,wala hajui nn maana yarekodi ktk boxing nandmn anauza mapambno Russia Mara kibao hajielewi,,,bondia njaaa
Duh! Nani kakwambia urusi wananunua pambano wale watu achana nao wanabonda balaa
Mbna Kama Kavimba Uso
Ninachokiona Mfaume amaetafuta njia ya kumchokoza Champenz MWAKINYO,kwa kutengeneza attention kwa watu,mabondia jifunzeni kuongea na sio kumtegemea domo Kaya aongee ndio na nyie muongee,karibuni Tanga tutawavisha kanga kifuani.
Hujielewi ww na huwezi fika popote ww cyo wakujilinganisha na mwakinyo ww level yako na mwakinyo wapi na wap hata dunian bd hujulikan unapambana mapambano ya sh m 40 50 mwakinyo m500 kwenda juu fyuuuuu😮😮😮
Tanga ngumi ndo ziliko anzia Tanzania hii we kubali matokeobtuu . Huna mchongo jitahidi upande viwango sio kuponda wenzako huna ubore wowote. Ukinfi wa mchongo ulopewahuo.
Weweeeeeeh levo ya mwakinyo bado sana broooh eti mapafu ya mbwa hudadek jiweke wazi muite mwakinyo ulingine uwone kama hautokimbia kwanza mwakinyo haongei kwamdomo kama mademu mwamba anaongea kwa vitendo ww
Mwakinyo atabaki mwakinyohapa bongo cjaona wakumpiga mwakinyo ili wampige na wafike mbali wakae wamuulize mwakinyo amefikaje hapo ulipo 🐸🐸🐸
Acha kumJaji Mwakinyo utapoteza mashabiki wako wa Nchi nzima utabaki na mashabiki wakitongoji cha Mabibo . Achana na uyo mnyama utafeli . Acha Jealous Mfaume unaumbuka ujue
Mnaandaa interview zenu za uongo lkn point ni kumzungumzia mwakinyo hahahah mnateseka sana na mioyo yenu mungu kashampa tafteni tobo lenu na nyny wazee bila Kumtaja mwakinyo interview haitizamwi mtateseka san
Mwakinyo anaongopa mabindia WA Tanzania ataka huko inje wakula wali kama mtoto wakiume joo Kwa kiduku ama mfaume ama Dulla ama iddy ama kidunda Jenga ww huna lolote mwakinyo
Mdomo ni mali yako kaka ila mwakinyo umuwezi ata uzikili uchi kaka acha mdomo ndugu yangu
Choko wewe acha mijIgambo unadundwa ivyo.
Ndiomana Chikonde Makawa alikufundisha nidhamu💪
Bro jipange sana kwa mwakinyo 😂😂 labda nenda kwanza akajifunze ngumi darasani
Hamna bondia apa ukipanda ulingon kaz kupiga vichwa kuanzia saiv mm sio mshabik wako tena tusi juane kenge wewe
Wacha wivu wewe aliyepewa kapewa tutapaki juuu tanga moja hiyo punguzeni makasiriko
Manara hana hela alafu nyie dar sindio mnashikwa matiti na mwijaku kaanza na bausa sasa boxer mtashikwa makalio na mwakinyo
Acheni uhanisi uwo mutapigika nyie makuma mwakinyo hamumuwezi Munataka kiki t kupitia kwake
Hujacheza na pac ao . Wala huwezi kujitangazia wewe ndio bondia bara Tanzania
Mfaume wewe ni bondia mzuri achana nae huyo mtanga kumuwongeleya
Kavute bangi vichochoroni huko Mwakinyo sio level zako.
We choko tu humuwezi mwakinyo unaimba taarabu tu mchawi mkubwa ww
Wewe ni Fala Sana wewe unapigana kwaajili ya gari masikini wewe
Mfaume ujui unacho kiongea jitathimini kwanza
Huna akili wewe Kama mwimba taarabu wewe je mwimba nn
Unajua lakini mwakinyo mkubwa
Mapambano yake yenyewe anabebwa anaongea upuuzi tu
umeeekewa pesa mbna wakimbia mfate masaki mrembo ww
😢😢 Ila lile pambano ulilocheza
bongo umepigwa😂😂😂
Ww ulipigan huko naulikuwa hujulikani bwan umejulika baada yamwakinyo kushinda unghaibun
Mzee wa kupiga watu vichwa una lolote utajinyea mwakinyo is a champion aka CHAMPEZ MWAKINYO
Brother acha ushabiki wa ajabu Mwakinyo hawezi mziki wa Mfaume hata siku moja
Wataka ufe wewe unaonekana mlevi kabisa
Kingi Hana nidhamu wawapi huyu kingi??
We choko2
Ww na mandonga wote empty hmn ki2
mfaume leo umeongea maaan yule ni shoga kweli taarabu nyingi
Ongea ki2 una uhakika nacho ndugu
Labda alikula kiboga ndio manaaa
Izi anaongea yeye nikwaya
Mfaume hamuwezi mwakinyo
Anatalabu kweli mwakinyo
Mfaume Mfaume unaongea sana kama taarabu unayowewe mabondia hawana maneno yakike kwa bondia mwenzake
Wivutu sikujua kuwa hunaadabu
We mfaume tafuta mume akufire choko wewe
Mfaume mbona inaongea Sana Kama shoga
Ww cyo mpiganaji ww nimwimba taarab cyo mwakinyo
Mwakinyooo MTU mbaya sana
Oya umeongea sure jesh
Kutafute mume mfaume
Wewe mfaume bado Sana Tena Sana kwa mwakinyo manala kamchokoza ila wewe mfaume ndio choko najua watu wivu huo kwani ukikubali Kuna tatizo
Ww mfaume acha misifa
Mfaume tafuta changamoto nnje achana namwakinyo kwani mpaka mpigane namwakinyo
😂
Nyinyi niwanafikitu wakinyo alishapamdakiwango kijina nakiuwezo wakupigana nyinyiniwatotowaketu mwakinyo siolevo yenu kiukweli mwakinyo anazoezi ambayo nyinyi hamuyawizi acheni unafiki piliali anakupiga Tena mapema
Huyu itakuwa mchawi tuuu Acha ushamba safiri ukapanue mawazo kenge wewe ...Umebaki Roho mbaya tuuu.
Kwa mabondia nilio waona hapa Tanzania nzima hakuna anaweza kupigana na mwakinyo hata mmoja kawaaja mbali Sana kwa kila k2 mpka kuongea hawamuwezi sio kuingia ulingoni 2
kweli namini mdomo nyumba ya maneno ingekuwa ayo maingezi yako ni kweli twaona mapambano yako tele wapewatu kutengezewa jina na mabondia wa mchongo mm Nina uwakika ata ibrahim yupo juu kuliko ww wewe levo zako ni za kina mandonga
Dogo Huna uwezo wotewote wa kupigana na mwakinyo endelea kukaba uko kwenu mabibo mwakinyo atakuuwa acha bifu Huna mafanikio yeyote nyie ndio msiopenda maendeleo
Nlikuwa namuona Mfaume ana busara lakini leo namuona wa hovyo kabisa ingawa hata Mwakinyo ana dharau!
Kumbe mapafu ya panya ni uyu alafu cjui analiwa uyu jamaa kiukweli Mzee naangalia sana fight zako akuna kitu mzeee
Nafasi yako ni nyota 000 sasa kutaka kupigana na mtu mwenye nyota Zake nenda kwa huyo ASHURA CHEUPEE wako aka domo kaya
Pambo la mfaume mfaume na mwakinyo ni ushidi wa point au draw ila hakuna KO.
ila nashauri pambano lipigwe urusi au south Africa
Semunyu anitafute tupigane wenyewe Kwa wenyewe kwanza Yani labda TWaHA vs kidunda au mwakinyo vs mfaume au ibra class vs Dulla mbabe
Amumuwezi acheni kujifanisha nae nyinyi watt wa bongo washamba sana cc watt wakitango ndo wajanja wenu kwaiyo aliejuu ndo juu2 mwakinyo mkali kuliko mabondia nyote apa Tanzanian
Mwakinyooo atawapiga na taarabu hayo hayo mnayo sema
Maneno tyu hayo hata kwenye kanga yapo we fake tu humuwezi mnyama kinyo boy the warrior .ingekua mi ndo mwakinyo watu kama nyinyi ninge wakanda na izo tunguli zenu munazo ziamini na sio uwezo mulio nao.
kama una uwezo ungetolewa crec kwenye fuvu la kichwa mbwa wewe 🤣
Daaah kumbe na wewe kunjani yani unamuwaza mwakinyo daaah piga tiz acha taarabu
Mapafu yambwa Salut Sana champion huaga unajiamin sana ci ulingoni ci uraian
Kaa ukijua kuwa mwakinyo cyo iddy pialali aliekupasua na atakupasua