Mtangazaji usimlazimeshe mess awe upande wa upinzani wakati hiyo sio weight yake wala hana ugomvi wowote na champion mwakinyo waache vijana wafanyekazi
Mbona mfaume kazi yake kutukana hatumuoni kwenye lingi na hamsemi mwanzo mmesema anamuogopa kiduku Sasa iv kakubali kwaiyo mambo yasiwe mengi tungoje tuone mwamba nan
Tanga kwa mashoga kataaneni mtajua wenyewe mashoganyie chambaneni tukanen.sisi atustuk tushawajua mnaroho mbaya ona ata wenyewe kwa wenyewe ampendani leo mtwango anatamani nagasi yamwakinyo.bas wandaaj kabla yamwakinyo nakiduku.bas anzeni mtwango namwakinyo ili mtwango rohoyake itulie mana naona anangaikasana
huyo mwakinyo wenu anatafuta Kiki kwanza hamna anayemkumbuka kwa sasa kutokana na rohombaya yake akutaka kupigana mpaka alinyanganywa mikanda pia kumbukeni haongei na kakayake sasa mnamtetea mtu kama huyo nanyie has mpo kama huyo
Dogo upo fresh ulingoni, na Busara pia ipo! Mwenyezi Mungu akujaalie uweze kufikia ndoto zako Inshaa Allah!!!
Wew Salim mtango hauna lolote boya wew ni mtoto mdogo tuu kwa mwakinyo
Kama alivyo babaako
Dogo yuko vizuri kuliko uwazavyo, Mwakinyo mwenyewe anamuelewa huyo dogo. Yuko timamu kila idara
Messi umetisha sana ndugu kauli nzuli sana mungu akuongoze
Saf sana kaka nimekuelew
Mtango kauli zako ziko vizuri...big up bro
Hilo twalijuwa vzr sana km Messi ndo wakwnza kuingya ktk Ngumi kulko Mtoto wa Kungwi
Tambo hazina ukwel # mwakinyo ndio nembo yy kaangusha mzungu uingereza kwa record na ss washabk
Kuhusu viatu kumbana vipi, na kusahau begi hapo unasemaje? Au umesahau
Nakubali sana bulo ngumi unaweza
Hawa waandishi wa mchongo bora serikali iwafungie tu, wanaaibisha taaluma. Mwandishi hata hajui kuuliza maswali yenye akili
Unafosi kujulikana sana mdogo wangu hahhahah pambana sana
Tasinia yangumi imepotea tokamwakinyo asimame 2achenimabifu hassani anajua
Alafu wabongo huwa atujielewi kabisa unajua ngumi ni mchezo wa kihuni kuna mda lazima umchokoze mtu ili kuweka vitu sawa
Mambea achaneni nae katika ugomvi wenu
huyu mtango fala kweli mwakinyo ndo nembo ya tanzania acha uchawi we
Nembo ya Tanzania we huijui au
Sawasawa na ndo mana alishindwa kupigana kisa kasahau begi airport
Wewe mpuuz tu mwaknyo ndo bondia bola tanzania
Ww sijui unataka nn kwa mwakinyo
Mtangazaji usimlazimeshe mess awe upande wa upinzani wakati hiyo sio weight yake wala hana ugomvi wowote na champion mwakinyo waache vijana wafanyekazi
Mbona mfaume kazi yake kutukana hatumuoni kwenye lingi na hamsemi mwanzo mmesema anamuogopa kiduku Sasa iv kakubali kwaiyo mambo yasiwe mengi tungoje tuone mwamba nan
Sahivi ana njaa na pia kaona Kiduku kapoteza mapambano 2 anahisi nae atampiga
Mpakapiko alitambasana kuwaanamtakamwakinyo mudaumefika msitafutesababu mwakinyoooooooooooo😅😅😅
Wanajitamba wakina Mayweather mbna ndo mchezo wa boxing lazma uchangamshwe angali kweny mziki kila hiki
Mtango kuwa na heshima mwakinyo ndo benders yenu acha kuogopa majiha unamfananiza na mwakinyo vpi wew dogo
mwAkinyo ndo kila kitu,tatizo nyie hamumfikii ndomaana
Mwakinyo hana hekima na mi namuona hajitambui
Wewe unae jitambua umefanya nn chamaana
Thank youu@@user-zp5tm3wd8b
Mtango fundi sana
Hata muungane MAFIA nzima hamumuwezi Mwakinyo mnajichoresha tu kwa Watanzania
acha ushamba mi mkigoma mwakinyo hamuwezi twaha hata kwa nini
Dogo mjinga sana ww mwakinyo ndio tz one boya ww
Tanga kwa mashoga kataaneni mtajua wenyewe mashoganyie chambaneni tukanen.sisi atustuk tushawajua mnaroho mbaya ona ata wenyewe kwa wenyewe ampendani leo mtwango anatamani nagasi yamwakinyo.bas wandaaj kabla yamwakinyo nakiduku.bas anzeni mtwango namwakinyo ili mtwango rohoyake itulie mana naona anangaikasana
Mandonga akili hana ndio maana akipigwa kama kuku wamdondo
Ww dogo mtanga nahisi umevuta
Heni wivu lwa mwakinyo tafuteni rekodi zenu
Mbona munanengeneka kama zuchu😂 wakiongea wengine wakaa kimya akiongea hasani mwakinyo munaongea Muna washwaa sindiyo 😅😅😅😂😂 wacha Shobo mzee utaumiya una maajabu
Mwakinyo sio Tanga tu ni Nembo ya Tz
baadhi yamabondia watanga wanarohombaya hawapendi kumuona mwenziwao anafanyavzr sasa ww mtango nahasani mwakinyo nimbingu na ardh kwaiyo lazima amponde mwakinyo iliyeye
huyo mwakinyo wenu anatafuta Kiki kwanza hamna anayemkumbuka kwa sasa kutokana na rohombaya yake akutaka kupigana mpaka alinyanganywa mikanda pia kumbukeni haongei na kakayake sasa mnamtetea mtu kama huyo nanyie has mpo kama huyo
😂 Akitukanwa Mwakinyo Hamsikii Ila Akiongea yeye Ndo Mnamuonaga Anataarqbu Kwel Naamin Ukifanikiwa N Changamoto Piah
Una akili?
Sawa ww ambae unazo
Ndio mana anaongea shombo kumbe kalitemwa
Maneno ya ki utu uzima bro
Wewe dogo tulikua tunakuona wamaana kumbe shoga we ukumbuki ulimpiga mtu mtaani kwenu ukakimbilia dar mpuuzi ww
Dogo unahekima sana tanga hatuna matusi
Unajitambua sn,ndo ubondia uo
Tim mwakinyo
Mfateni kiduku na hizo piko zako
Uyu dogo nae fala
Kama ulivyo fala ww
@@georgesteven5185 wenae kindi kumbe
HALAFU HAO WASHAMBA TU MNAPENDA KUTETEA WATU HUO NI UZWAZWA TU MFAUME KAMTUKANA MARA NGAPI MWAKINYO?
Acha chuki zitakuzulu
Uyo mwakinyo analolote maneno tu wamemtandika mpk kaongopa kasaau begi analolote uyo mwakinyo
Shida ya Tanzania 🇹🇿 ukifanikiwa unachukiwa ukiaribikiwa unapendwa😭😭😭
Muongo ww,
Muongo ww,
Mwakinyo Hana kosa mnamuchokoza wenyewe umemtafuta sana
Kwenye ngumi ukweli mwakinyo ndio kabeba bendera ya tanzania.
Oya kumbuka wewe kuwa hapo Ni familia mwakinyo acha dharau kuwa na heshima
Acha ukuma mwandishi wewe