Mabondia Said Mkola na Said Bwanga wamekutana ndani ya studio za Azam TV na kutunishiana misuli wenyewe kwa wenyewe huku kila mmoja akitamba kwa namna yake.
Mkola upunguze sana papara na usiweke akili yako kutegemea sana nguvu zako.Bali utumie Akili sana unacheza na bondia anaefikiria kufika mbali hivyo uwe makini sana
Nakupenda Mkola ila Kwa Bwanga Umekwisha bro😅
Mkola umeyakanyaga😢
Hahaha mkola kapotea mapema 😂😂😂
😂😂😂😂😂ameyakanyanga said mkola
Kwenye maneno mkola tushampiga sasa waukae tukampige na ulingon
Bwangaa muto msimzalau bwanga moto chini
Mkola upunguze sana papara na usiweke akili yako kutegemea sana nguvu zako.Bali utumie Akili sana unacheza na bondia anaefikiria kufika mbali hivyo uwe makini sana
Bwanga mawe
Mkola hana maajabu kwa bwanga
Sikupingi damu yang
Pambano lini?
Pambano hili nampa mkola🥊🥊
Unamjua Bwanga 😂😂😂