Kumbe na Madhebu nayo ni tatizo,basi inabidi tuangalie sana,kwasababu tofauti hizo tulizikuta, na wengine sasa wanajadili utumwa upi ni bora (wamzungu au mwarabu)!
Ndio kabsa Tanzania 🇹🇿🇹🇿 haijulika sana kama kenya maana Obama ni mkenya na alikua akiitangaza nichi yake duniani ila Tanzania alhamdulillah sisi bola uhai tu
Mmanyema akikumbelea nyumbani kwako na wewe ni msukuma na wewe utakuwa mmanyema? Tusiwe wajinga wa kumwabudu mwarabu mmanyema utabaki kuwa mmanyem a na mwarabu atabaki kuwa mwarabu
Napenda kuskiliza sheikh rusaganya sichoki Allah akupe umr mref wenye kher na wewe🥰
Na mimi pia
Maashaallah,Allah akupe umri mrefu na baada ya hapa duniani atukutanishe peponi aamin.
Subhana Allah Mwenye Enzi Mungu akupe nguvu na afya njema yaarab uzidi kutu fundisha na kutu elimisha. Allahumma ameen yaarab
MashaAllah, Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wwe pamoja na familia yako, na ssi tunaokusikiliza, Amiiin.
🙏
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Mashaallah Sheikh wanagu nikiwa Bujumbura nimekuelewa.natamani siku moja allah atukutanishe
Jazakarau kheir INSHAALLAH ALLAH ATAKUKUTANISHA NAE AMEEN
Safi sana shekhe mwenyezi mungu akubariki.
Allah jazakallah khaira sheikh
Asalam alaikum wallah maturah wabarakatuh, shukran napenda kumsikiriza chekh rusaganya haogopi kusema ukweri
Mashaa Allah sheikh mola akuhifadhi
Amin
Amiin
Amiin
Allah akupe umri mrefu wenye kheri nyingi baba ili uzidi kutufundisha ya kheri nakupenda kwa ajili ya Allah ❤
Masha Allah Shekhe nimepata elimu hapa
mashallah jazakallahu alkhaira
Mashallah shekh nakupenda kwa ajil ya Allah SW
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
Allah.akujahlie mwisho mwema.
Wallah tungewapata wawili 2 katika dini yetu km ww shekh rusaganya tungefika pakubwa
Wapo sema awajitangazi
Kumbe na Madhebu nayo ni tatizo,basi inabidi tuangalie sana,kwasababu tofauti hizo tulizikuta, na wengine sasa wanajadili utumwa upi ni bora (wamzungu au mwarabu)!
Mashallah alhamdulillah ALLAH AKBAR
Asalaam aleikum warhmatullah wa barakatuh sheikh wangu kipenzi cha Allah maisha Allah mawadha mazuri sana
Mashaallah
Sheikh, jazaakallahu khayra.
Allah akujaalie khery
والله شيخي أحبك في الله خفظك الله تعالي ورعاك
Tanzania tunajulikana kimataifa inawezekana kabisa kwa mtu ambaye si mtambuzi wa ramani ya dunia asiijue Tanzania hiyo si ajabu Shekh wetu!
Masha Allah barakallahu fiika shekh mung akuzidishie umri
Mashaallah Amiin
Nmepoteza namba ya Sheykh wangu Rusaganya
Naomba nipatiwe namba ya Sheikh Rusaganya
Wewe azinah alah akuweke maalim wetu masha alaah
Mashaallah
Masha Allah
Mashaallah
Masha. Allah mungu akulinde
Mashallah
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Allah akuweke Sh. Wetu
Shk nakukubali Sana mungu akupe umri mrefu
All is good but Nyerere kwa alivyo hujumu zanzibar ni laanatul llah
Sheikh Rusaganya Allah akuhifadhi Inshalah
MashAllah
Mashallah Allah 💕
Mashaallah
Sahihi
m mwezimungu akulipe lkilalaheri
Mashaa Allah
Mashaallah
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Maa shaa allah
Mashaallah
MashaAllah, Mwalimu
JE umesema Pangani Warabu wa Oman wapo, nauliza huko Kugoma wapo Waoman au ni kina la mtaa tu?
Watz wengi manyani tu
Shukrani
Ilimu kubwa maashaallah
Allah Akbar
mashaallah
❤❤❤❤❤Maashaalah, Maashalah, Alhamdulillah
Shukran ❤
Mashaallah ALLAH akupe umri mrefu 🤲
Mashaallah Amiin
😊😅
😊😊😅
S.A.W
💯
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuhu jazakallahlkhairat
Sasa shekh namshukuru mungu kwanemahiyo
Alhamdulillah
@@zvpOnlineTv Mbona mashia hawawatukani jamii ya mtume?
Nikweli Tanzania haijulikani bora angelisema anatoka zinjibar wangelijua maana zinjibar wanaijua 🤔
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
Nahitaj kujifunza
Mimi pia
sisi wazanzibari tunayajuwa yote hoyo ndiyo waengereza waliofanyaa ujinga huu na vibaraka wao tunawajuwa duuu
Sasa waislael wanachokataa nini juu ya uislam kumbe Mohammed s.a.w alifika had kwao na historia wanayo.ALLAHUAKBAR
MAKASIRIKO YA WAZUNGU WALIWAFANYA NINI.......KWAHYO WAARABU NDIO WEMA SIO
Pita kushoto usiwapangie watu kwanza huku hapakuhusu
Mbona umesema wake wa mtume S.A.W
12
Nikweli kabisa Tanzania hatufahamiki
Ibaadazasanamuziliabudiwa ulimwengunikote kabula yaulimwenguwa Bibilia walakuraani warumisiowazunguwaleo warumindio waroma weweunaongelea wayunaniau kingerezawagiriki.
Ndio kabsa Tanzania 🇹🇿🇹🇿 haijulika sana kama kenya maana Obama ni mkenya na alikua akiitangaza nichi yake duniani ila Tanzania alhamdulillah sisi bola uhai tu
Wewe ni mtanzania hicho kiarabu kinatuhusu nini?
Kiingereza kinatuhusu nini pia
Wewe kafiri mwafrika kiingereza cha nn kwani wewe mzungu ..!😅😅
Ukiwa si tajiri umeweza fika kote huko. Je wewe tajiri? Laa mo kafika,manji kafika zakharia kafikaa,aliko dangote kafika? Wewe shujaa maskini wewe alaah anatekeleza matamanio yako
Mtu kama ww ndie unafaa kua kiongoz wanchi maana 2nahitaji kiongozi ama viongozi wenye hofu yamungu kama ww rusaganya
Mmanyema akikumbelea nyumbani kwako na wewe ni msukuma na wewe utakuwa mmanyema? Tusiwe wajinga wa kumwabudu mwarabu mmanyema utabaki kuwa mmanyem a na mwarabu atabaki kuwa mwarabu
Na mzungu atabaki kuwa mzungu
Masha Allah
Mashaallah
Mashallah alhamdulillah ALLAH AKBAR
Ma Shaa Allah sheikh wangu
Mashallah
Maa shaa Allaah namuomba Allaah anijaalie niwe Kama Shekh hashimu rusaganya allaahumma taqabal minnii🙏