WAYAHUDI NI MAKAFIRI WALIOPEWA KITABU// SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Waliazimia kumuua MTUME tokea siku hizo

ความคิดเห็น • 38

  • @Veronicahcharles61comAsia
    @Veronicahcharles61comAsia 25 วันที่ผ่านมา +1

    Asalam aleikum sheikh wetu unatujenga xna Mola mlezi akuzidishie umri ili uzidi kutupa elim ya dunia na ahera akuhifadhi zidi ya husida za walimwengu InshaAllah

  • @AmishLuumiLuumi
    @AmishLuumiLuumi ปีที่แล้ว +9

    Masha Allah sheikh wetu Allah akupe umri mrefu wa kuzidi kutuilimisha

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +9

    Shekhe wangu Allah akulipe kher inshallah, Duniani na kesho akhera, Nakupenda kwaajili ya Allah 🙏Allah akupe umri mrefu na Afya NJEMA shekhe Othman Maalim 👏

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm ปีที่แล้ว

      🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻❤❤❤❤❤

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm ปีที่แล้ว +1

      Napenda anavyosoma quru ani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm ปีที่แล้ว

      Hichi nikitab hakina shak nahic raha🥰🥰🥰

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv ปีที่แล้ว +5

    MASHA ALLAH 💚💚💚

  • @ShomiKalunde-zb8gx
    @ShomiKalunde-zb8gx ปีที่แล้ว +3

    Shehe Allah akujaze her na akuingize peponi

  • @aishamwachi7854
    @aishamwachi7854 ปีที่แล้ว +1

    Shukran shekhe,,Allah akujalie kila la khery na uzidi kutuelimisha inshaallah,,,,kuhusu hii sala je kama uko nyumbn pk yako napia ukiwa mwanamke inasaliwaje

  • @MustafshukriTamuje-hv6bz
    @MustafshukriTamuje-hv6bz ปีที่แล้ว +3

    🎉Masha Allah

  • @AsmaHoney-jy8fg
    @AsmaHoney-jy8fg ปีที่แล้ว +4

    Shekh uliwahi kuniombea dua mwanangu ukampa jina mariam ulikuwa na juma mmanga sio mchezo yuko vizuri kiafya ya akili muelewa mno dua zako zilikubaliwa Allah akbariki sana kigamboni dar es salaam

  • @Putin331
    @Putin331 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah sauti nzuri. Inshallah siku moja Allah anijaalie na mimi niwe miongoni mwa wasomi wakiislamu

  • @KarenzoKhalidiIbnSaidi
    @KarenzoKhalidiIbnSaidi ปีที่แล้ว +2

    Allah akuzishieni elimu na alipe jana

  • @MbaroukAli-r6k
    @MbaroukAli-r6k ปีที่แล้ว

    Mwenyezimungu akulipe wema na sisi wasikilizaji

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 9 หลายเดือนก่อน

    Allah humma mamiin shukran sheikh jazzaka Allah khery

  • @ShomiKalunde-zb8gx
    @ShomiKalunde-zb8gx ปีที่แล้ว +2

    Allah akbar

  • @ShomiKalunde-zb8gx
    @ShomiKalunde-zb8gx ปีที่แล้ว +1

    Shehe mm binafsi loo inanimate sana siku ukifariki

  • @umahmed8273
    @umahmed8273 ปีที่แล้ว

    SubhanaLlah AllahuAkbar

  • @RashidSalum-sw7pc
    @RashidSalum-sw7pc 9 หลายเดือนก่อน

    amen

  • @LucyMashinga-ns8pj
    @LucyMashinga-ns8pj ปีที่แล้ว

    Shee pw

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579 ปีที่แล้ว +1

    Tizama leo zanzibar
    Hospital zinajengwa
    Madawa yanaletwa
    CLINC Mashamba
    Majumba yaloanguka
    Barabara kotoka Airport
    Magari ya kuzima moto
    Ambulance
    Bado hamna shukurani
    Mfanyiwe nini hata mukinai

  • @aliseif2691
    @aliseif2691 ปีที่แล้ว +1

    Israil 🐖🦧

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579 ปีที่แล้ว +1

    Hizo hadisi unazozema kwa sasa
    Umuhimu kupinga maYahudi kuwau wa Palestin wa Islam7 na wa kristo
    Ma Yahudi hwamini ukrito wala uislamu
    Kwa nini mnaogopa kuandamanleo mnashindwa na South Africa ambao sio waiSLAMU
    MANENO YENU YA UNAF8K HAYANA FAIDA
    KESHO MUTAMJIBU ALLAH
    MUNALINDA MASLAH NA VEO VENU
    MUNAOGOPA NINI
    SEMENI UKWELI

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 ปีที่แล้ว +1

      Nawewe inakuhusu apa sema tutamjibu allah nini

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 ปีที่แล้ว

    Lkn wayahud walisha sio wle wavamizi wa palestine 🇵🇸 wle ni watu wametoka Germany 🇩🇪 pia wmekataa kufanya DNA sababu wnajijua sio wayahud oG😢

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 ปีที่แล้ว +1

    Ongelea pia mauaji yanayofanywa na waarabu darfur Sudan dhidi ya ndugu zetu waafrika weus

    • @JackJosep-i6o
      @JackJosep-i6o ปีที่แล้ว

      Usichanganye Mambo Bila Kuwa na Elimu yoyote. Watu wote wanaoishi Sudan ni Waafrika. Sudan Ni taifa kubwa na kuna Mchanganyiko wa makabila mbalimbali sawa na Nchi yeyote katika Dunia. Kaskazini mwa Sudan kuna Waislamu wengi zaidi ya Kusini. Ukristo umeenea sana Kusini mwa Sudan. Vita baina ya Kusini na Kaskazini inahusiana na Ardhi na siyo Dini. Wananchi wa Kusini walidai Kuigawa Sudan ili sehemu wanayoishi itengane na Kaskazini na ijitawale. Kwa kifupi walitaka Sudan igawanywe. Sasa kwa nini unamwuuliza Sheikh Maalim aelezee Siasa? Sheikh wetu anaelezea Historia ya Mayahudi na Waislamu katika wakati wa Mtume alipokuwa Madina na wewe unataka Sheikh aelezee Vita vya hivi karibuni vinavyohusiana na Siasa. Mbona Unachanganya Mambo?. Uislamu haufundishi Ubaguzi wa Rangi. Uislamu ni Dini ile ile ya Nabii Isa (Yesu), Musa na Mitume wengineo waliotangulia. Usichuklue habari hovyo hovyo katika Mitandao bila utafiti au Uchambuzi. Ndugu lazima tusome sana. Wananchi wa Sudan ni Waafrika na wote ni watu wenye Rangi mbalimbali pia. Mwenyeezi Mungu ameumba Rangi mbalimbali katika kila kitu na siyo binaadamu tu peke yake. Mimea, Wanyama, Na hata sehemu za ardhi. Tofauti ya rangi ni marembo ya dunia. Na watu wameumbwa tofauti ili wapate kujuana na kutambuana. Huyu Mchina, Huyu Mwarabu, Huyu Mwafrika, Huyu Mzungu na hivyo hivyo Kila mfano. Hakuna aliye bora mbele ya Mwenyeezi Mungu isipokuwa kwa Kumcha Mungu tu. Watu wote ni sawa sawa. Kwa hiyo usisikilize watu wapuzi wasiokuwa na elimu. Kuruani na Hadithi za Mtume Mohamad zimeelezea habari hizi vizuri sana kwa hiyo usome vitabu hivi. Maneno ya Fitina yana hatari sana.

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 ปีที่แล้ว

      @@JackJosep-i6o we mpumbav kabisa, mi naongelea mauaji yanayofanywa na waarabu darfur Sudan dhidi ya ndugu zetu waafrika weus, wewe unaleta dini zako hapa!!!! Kwan hao waafrika weus wa darfur sio waislam? Halafu wap mi nmeongelea mambo ya kugawanyika kwa Sudan? Shenzi kabisa wewe

    • @jamesmwangi9153
      @jamesmwangi9153 ปีที่แล้ว

      Fungua channel yako then ongelelea kuhusu Sudan tukuskiza

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 ปีที่แล้ว

      @@jamesmwangi9153 wewe ni walewale watumwa

  • @ShomiKalunde-zb8gx
    @ShomiKalunde-zb8gx ปีที่แล้ว +1

    Allah akbar