umeacha pengo kubwa xana ktk dunia hii allah ashuhudie kuwa umefika eeh allah mlipe pepo mja wako mwema huyu nasi walimwengu tumeshuhudia uchamungu wake
Mashehe wamepewa mtihani wa kuziba pengo lake saa hii woote mashehe kimyaa mashehe woote hawakuongelea muaji ya aboud rogo ila ni yeye tu Africa mashariki Sijasikia mwengine mashehe mzigo wamejaa
Msijisumbue kupambana na huo mfumo kristo coz sio tz tuu hata dunia nzima ni mfumo kristo . Siwachukii waislamu na uislamu pia ila kitu kikubwa mlichofeli ni elimu tuu
Kwanini waraka wamaaskofu kuhusu bandali umezua mijadara ya udini ambao ulikua haupo? Hii ni hatali ktk nchi yetu naomba serekali ingilie kati swala hili lisifumbiwe macho nakuachwa niendelee kama hivi
Watu kama Ustadh Ilunga hawazaliwi kila siku, Mwenyezimungu ammiminie rehma zake nyingi zisizo hesabu. Amin Yaarab.
mwenyezimungu akuweke mahala pema peponi ishaallah
umeacha pengo kubwa xana ktk dunia hii allah ashuhudie kuwa umefika eeh allah mlipe pepo mja wako mwema huyu nasi walimwengu tumeshuhudia uchamungu wake
MashaAllah mwenyezi Mungu Akuweke mahali pema
Allah akulipe jannat firdawsi. Shahid mwema.
Kla kheir
Mimi na mpenda mwahintha
ALLAH AMREHEMU
Allah yarihamuka
ewe shahidi wa uislamu,hakika allah atakulipa kwa kupigania dini ya allah.
Kwa kukuenzi mimi kila siku huwa nasikiliza mawaidha yako na yamefanya nielewe mengi sana na kujitambua sana
Dah hizi din hiz
Allah akulipe kheri
Mashehe wamepewa mtihani wa kuziba pengo lake saa hii woote mashehe kimyaa mashehe woote hawakuongelea muaji ya aboud rogo ila ni yeye tu Africa mashariki
Sijasikia mwengine mashehe mzigo wamejaa
Msijisumbue kupambana na huo mfumo kristo coz sio tz tuu hata dunia nzima ni mfumo kristo . Siwachukii waislamu na uislamu pia ila kitu kikubwa mlichofeli ni elimu tuu
Isaac Mafole elimu gani
Ee ALLAH type Na Sie imani Na msimamo kama wa Shekh wetu ilunga reh-mahullah
umenena kweli kweli...
Shetanimkubwa ww
Kwanini waraka wamaaskofu kuhusu bandali umezua mijadara ya udini ambao ulikua haupo? Hii ni hatali ktk nchi yetu naomba serekali ingilie kati swala hili lisifumbiwe macho nakuachwa niendelee kama hivi
ewe shahidi wa uislamu,hakika allah atakulipa kwa kupigania dini ya allah.
jiulize shk aliugua ugojwa gani na ni kwann