BARAKA MPENJA AKITANGAZA WACHEZAJI WAPYA YANGA VS SIMBA/DABI YA KARIAKOO NGAO YA JAMII/CHAMA/MUKWALA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- Matangazaji wa mpira miguu nchini Tanzania Baraka Mpenja amefanya
Mahojiano na Mpenja Tv na kuzungumzia kuhusu usajili uliofanywa na timu za Tanzania,huku akifanya majaribio namna atakavyoitangaza Derby ya Kariakoo
Mwamba wa umalila unajua hadi unajua tena wanao mkubali Baraka mpenja bila choyo gonga like tujuane
Raha sanaaaaa ❤❤
Nakubal barak mpenja mwamba wamalila
Simba chama rang
Mungu ajalie uzima cku hyo saut ya rad iwe inarindima azam tv nkubali sana baraka mpenja
Nakukubali Sana kaka mpenja nakucheki from qatar
+254 ndio gheto Mombasa
Sahiv tu- brand Derby yetu ni ya kwanza Africa Mambo mengine kujiamin tu
Jaa Sharle Ahoua
Nakubali mpenja iyo mechi ya simba na yanga uwe ni wew saut ya radi🎉🎉🎉🎉
Mpenja we ni ze beeeest brOoooo asietaka ahame nchi hii ...
Safi Sana baraka
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mapenzi yangu kwa baraka mpenja ni kubwa sana
Kaka nakuomba hiyo siku mungu atujalie atuwezeshe tuweze kufika mshalah torres nikiwa namatili mozambiki❤
❤❤❤❤tunajua Bwana baraka huwezi kutuangisha pia Imani yangu Toka moyoni najua siku ukitangaza Simba wanashinda,,,,,
nakubali Sana home boy wee ndo namba 1 Kwa nchi hii kwenye kutangaza soka Mwamba wa Umalila wee ni nomaaa hakuna kama wewe
Nakubar rady
Kuna mwamba wa Lusaka /Kuna mwamba umalila /Kuna mwamba wagadugu unyama sana🙌
Wow classic mtangazaji hongera sana kaka
Kutoka Mombasa Kenya with love👍
Aiseee baraka nomaaaa ,anajua anajua saaaaana from Burundi
😀😀😀 ila mpenja ukiwa unatangaza laa sana
Nakupenda sana mpenja fundi❤❤❤
No. 1
Mpenja nakuelewaga sana ukitangaza dsby
baraka wewe Tanzania huna mpinzani unajuaaaaaaa kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako
Wakuu tupangieni B.MPENJA na JEMS SAMWEL waje wanogeshe haya mambo.
Nakuku bar sana mpenja
Mwamba wa malila❤❤❤❤
Mm apa nakubali shoo ya baraka mpenja
Namkubali sana Mwamba wa Umalila. Kikubwa apunguze kumpenda Chama
baraka mpenja hautofautiani na semaji la CAF hakika 2na enjoy mko na v2 nyie❤
Baraka wewe n noma sana
Kweli kabisa
Nakubali sana kaka mpenja
Tunasubir sana nakukubali saut ya radi mpenja utupe udavuudavu wakutosha huku ukipandisha ligi yetu kutokana na V A R kwa mama yakwan,za afrika
Mmh
Nakupa asilimia zote kak baraka
Nakubali sana kaka
Nimefurahi namna unavyo tangaza mpenja ila natamani ungetangaza na magoli
Umetisha sana 🔥🔥🔥
My favorite 1...mpenja ila mzinga the best 1...
Mimi nipo Burundi ,East Africa Baraka Mpenja huna mpinzani tuna kukubali sana ,unajua kutangaza mpira ,wanaokuchukia wewe mungu anawaona watakwenda motoni
Ulivo tangaza mm roho juu kama vile ndio naitizama simba yangu dah 😂
Ni wakwanza❤🎉😂😂😂
Baraka mtu wa maana sana tasnia ya utangazaji wa mpira wa miguu
Kaka na kukubali sana ukiwa tangaza mpira
❤nakupenda sana
Baraka mpenja ninoma xana!!!!!
Super
Naukubar sana🎉🎉🎉🎉
Ujuzi auzeek
Congratulations my bro nice job
Kaka mpenja wewe hapa Tanzania Huna mpinzani mama yako kaka 🎉🎉🎉
Chama ohhhhh ohhhhh Chama baba
Brother unajua
Nakukubali sana mwamba wa malilaaaaaaaa❤❤❤❤
Mpenja bahna unajua sana kak
Mwamba upo sawa
Mwamba upo vizuri sn unakipaji kikubwa sn mkuu ishi mingi uzidi kutupa burudani kwenye soka letu kiongozi 🔥
Nakukubali sana saut yaladi
Itakuwa poa sana kama ataitangaza mpenja
mwamba wa Umalila wee ni namba 1
Baraka penja umetisho nimekupa Maua Yako😂😂😂😂😂
Nimependa iyo intro 😂😂😂😂😂
Kabixa
Baraka w ninoma
nguvu moja mpenja
Dah!! Natamani pafike chapa maana nashauku sana hakuona kikosi cha mnyama
🎉🎉🎉🎉🎉🎉kwako mpenja
Jamani mbona wachezaji wa Simba wakitangazwa kama ulaya vile duh sio poa
Mwaka huu watauana
Simba unyama sana
Mpenja iyoo dabi. Utangaze ww
Uyu Jamaa ni hatari sana
Navotamka majina yawachezaji wapya wa simba mpaka raha sana
Una hatari sana baraka hiyo siku tunaisubili kwa hamu san mashabiki
Nakubari xn mwamba wa malila
Baraka shikamoo
Ila mpenja n mnyama
Jamaa yuko pw kinoma anajua
Mwamba nanusu 🔥🔥🔥🔥🔥👆
😂😂😂😂,ww teal Acha kumaliza kikos wataogopa leta yimu uwanjan😢😢😢
Apo umesema kutumia VAR TZ ndio nchi ya kwanza kwa Africa sio kweli kk angalia vizuri ktk nchi nyengine mana SA na toka mwaka juzii wanatumia .
Uongo, mpaka leo South Africa hawatumii VAR
Brow unajua unajua tena
nakukubali mwamba wa malila
Kwaiyo ukiwa tz nitaitwa rashid ila nikiwa England nitaitwa Rushford 😂😂😂
Mpenja mpenja mbn mifano yote mibaya anaisema Yanga wew vp bhn😎😎😎😎
Tatizo la utopolo wachawi 😮
Namkubr xn mpenja sauti ya radi
Sawa😂
Kusoma comment tu kuandika aaah😂
Nakubal
😂😂😂
Nikafikir ushaanza😂😂😂😂😂😂
Unatakiwa ulipwe mara mbili pia mpeja kwa kuwa umetangaza goli mara mbili huini kama ni faida pia
Mpenja babaaa wee acha humtu
Tunakukubal brw
Yanga inaogopesha nyie mhhh cjui
Mimi jaclene. Paulo. Natokea. Simiyu. Naitakie. Dimu. Yangu. Yanga
😂😂😂😂ila baraka mpenja kwann dube awe offside
kikosi cha yanga kinatisha
Nakukubali sanaa mwamba wa umalila fahari ya tete
kska wee mwamba unaweza mpenja sema unaipenda yanga bhnaa tunakujua
Jenny kishai yuko wapi jaman
Joshua Mutale tayari anayo nick name yake ( BUDO )
Nice
Hyo ya yanga co kweli hapo chama ataanzia nje huwez kumuacha mudathir nje wala max
❤❤❤❤❤❤