Yanga SC 1-0 Simba SC | Highlights | Nusu Fainali Ngao ya Jamii 08/08/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 736

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 6 วันที่ผ่านมา +3

    Naipenda sana yanga from Mozambique 🇲🇿🇲🇿

  • @husseinnihla6501
    @husseinnihla6501 2 หลายเดือนก่อน +41

    Wa Kenya 🇰🇪 wenzangu na mashabiki wenzangu wa yanga nipeni like hapa duke abuya tunae na tunatamba nae

  • @JamesBakari-h1l
    @JamesBakari-h1l 2 หลายเดือนก่อน +13

    Naipenda sana young Africans from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @exaudyjm5170
      @exaudyjm5170 2 หลายเดือนก่อน

      Safi Sanaa 💚

    • @KaombweIsmail
      @KaombweIsmail 2 หลายเดือนก่อน

      Upende ndo timu kubwaa kwa ss hutojutaaa

    • @SaidFaki-sd5ex
      @SaidFaki-sd5ex 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@exaudyjm5170😮😮😮😢😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😢

  • @ManiragabaOdilo
    @ManiragabaOdilo 2 หลายเดือนก่อน +15

    Wanya Rwanda 🇷🇼 tunapenda Tanzania ❤❤

  • @meshark128
    @meshark128 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mi shabiki wa yanga🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Jennyjonh
    @Jennyjonh 2 หลายเดือนก่อน +24

    Wananchiiiiiiiii, tulio gulf gonga like 🇴🇲

    • @مريمحميد-ح1ه
      @مريمحميد-ح1ه 2 หลายเดือนก่อน

      💚💚💚🧡🧡🧡

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 2 หลายเดือนก่อน

      🍃🍃🍃🍃🍃

    • @BurhaniMtui
      @BurhaniMtui 2 หลายเดือนก่อน

      ❤a a😊😊😊à

  • @wabiisabella8696
    @wabiisabella8696 5 วันที่ผ่านมา +4

    Mnyama 🦁

  • @beingericzitatu9462
    @beingericzitatu9462 2 หลายเดือนก่อน +327

    Ubaya ubwege gonga like shabiki wa Yanga twende pamoja💛💚💛💚

  • @HusenMkoko
    @HusenMkoko 2 หลายเดือนก่อน +5

    Max yupo karibu na Mungu SN Utafika mbali bro

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tunakushukuru sana Mungu wetu kwa zawadi hii kubwa. Tunaendelea kukushukuru Eeeee Mungu wetu na hatutakoma kukushukuru daima upendavyo. Amina.

    • @soniimedia2440
      @soniimedia2440 2 หลายเดือนก่อน

      Simba project yao itafanikiwa round hii. Sawa tumekubali ila muda utaongea simba nguvu moja.

  • @gototheantusluggard2644
    @gototheantusluggard2644 2 หลายเดือนก่อน +12

    It’s going to be a long road for my fellow South Africans🇿🇦 at Simba (Fadlu Davids & Co )
    Gamondi’s team are a well oiled machine 🔥🔥🔥Dube-Pacome-Ki
    Yanga’s defence is extremely stingy
    A bit of unselfishness could’ve earned Simba a goal
    That’s a penalty all day anywhere in the world
    Simba will feel hard done by the officials on that one
    But overall as a neutral 🇿🇦 , Yanga were too strong for Simba
    I’m loving the Swahili commentary and the nicknames are funny aswell
    ‘Screen protector’
    ‘Master key’

    • @GilbertJackson-fv5mh
      @GilbertJackson-fv5mh 2 หลายเดือนก่อน +1

      'may day'😅

    • @gototheantusluggard2644
      @gototheantusluggard2644 2 หลายเดือนก่อน

      @@GilbertJackson-fv5mh 😂😂😂

    • @thehustlerafrica4368
      @thehustlerafrica4368 2 หลายเดือนก่อน +1

      Thanks brother in Tanzania 🇹🇿 the biggest team is Simba though we are having a hard time finding how to get organized as a team with almost new players from different areas.But hope this season gonna be good after 3 consecutive nil .

    • @gototheantusluggard2644
      @gototheantusluggard2644 2 หลายเดือนก่อน

      @@thehustlerafrica4368 tons of patience needed and sufficient support for the coach

  • @HASSANTL-m7c
    @HASSANTL-m7c 2 หลายเดือนก่อน +8

    Yanga bingwa

  • @omarsalum2347
    @omarsalum2347 2 หลายเดือนก่อน +8

    Me w kwanz nipen like zng

  • @wesleytembwa726
    @wesleytembwa726 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga kutoka kenya🇰🇪🇰🇪

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 2 หลายเดือนก่อน +12

    Kazi kusema ubaya ubwela kufungaa aaahh naomba like wanayanga 💚💚💚💚💚💛💛💚 naombeni like

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 10 วันที่ผ่านมา +3

    Ubaya ubwege ---- Hili refa wasithubutu jumps Derby nyingine ya kariakoo ---- " siku moja atakuja kusababisha majanga --- shauri zenu '

  • @rickyramsey1469
    @rickyramsey1469 2 หลายเดือนก่อน +10

    Ubaya upwiru 😂 gonga like hapa💚💛🖤 yanga oyeeee tuwakele kidogo 🤣

  • @SamooMohammed-bt6mg
    @SamooMohammed-bt6mg 2 หลายเดือนก่อน +21

    Wana Yanga nipeni like moja kwa kuwafunga hawa wazee wa ubaya ubwela 😂

    • @mmewaswida
      @mmewaswida 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ubaya ubwege

    • @SamooMohammed-bt6mg
      @SamooMohammed-bt6mg 2 หลายเดือนก่อน

      @@mmewaswida 😄

    • @KibaoMkojane
      @KibaoMkojane 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nimeku like kaka umeiona

    • @SamooMohammed-bt6mg
      @SamooMohammed-bt6mg หลายเดือนก่อน

      @@KibaoMkojane nimeona 😁

  • @SalhaJuma-k9y
    @SalhaJuma-k9y 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hiii ndio yanga ya master wetu gamondi mungu amzidishie ujuz wa mbinu na maarifa zaid ili wapinzan wazid kuumia

  • @jimmykirenga7100
    @jimmykirenga7100 2 หลายเดือนก่อน +9

    Simba nguvu moja

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kama we ni yanga likes hapa 🇶🇦.

  • @elishastayo8320
    @elishastayo8320 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri sana Azam TV pamoja na mtangazaji wake Baraka Adson mpenja. Derby haijawahi kuwa rahisi po pote duniani pale.

  • @williamgilberth
    @williamgilberth 2 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂Kama umeskia mpenja akisema yanga nimabingwa wa ngao yajamii gonga likes ap

  • @HappyHassan-z2k
    @HappyHassan-z2k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilijuwa yanga tunashinda ❤yanga

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga juu sana. Yanga never disappoints

  • @Fofo-z6t
    @Fofo-z6t 2 หลายเดือนก่อน +2

    Aweeee Co kinyonge timu letu lunyasi Ata iweje simba damu❤️❤️💪💪🦁🦁boli limetembea bwana

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 หลายเดือนก่อน +1

      EBU TUFUNDISHENI GOLI LA AZIZI KI OFFSIDE IPO WAPI? Bora ushindi mengine kuhusu refa tusahau

    • @Fofo-z6t
      @Fofo-z6t 2 หลายเดือนก่อน

      @@damianmcba9525 refa anajua anachofanya

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 2 หลายเดือนก่อน

      @@damianmcba9525 LILE LILEFA NI LA KWAO MBWA HAO AZIZ I KI ILIKUWA PENATI NA LILE GOLI LAKE NI GOLI FAL. SANA YULE

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 3 วันที่ผ่านมา +2

    Dube hakikisha mpira umeingia kwanza boya wew

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤😂 Hongera sana young african's, hongera mtani leo umetuweza. Safi❤❤

  • @franciskasanga3491
    @franciskasanga3491 2 หลายเดือนก่อน +3

    Simba hii nzuri inahitaji mechi kama 6 ielewane vizuri zaidi.

  • @Habibuyahya
    @Habibuyahya 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tumeshinda na mke tunaye gonga like hapa mwananchi💚💚💚

  • @GabrielEliud
    @GabrielEliud 2 หลายเดือนก่อน +3

    Team yetu imecheza vizuri japokuwa wengi ni wageni.... Naamini itakuwa bora sana kwenye Ligi... Hongereni sana... Hatuangalii kupoteza ila tunaangalia performance. Nguvu Moja 💪🦁
    Kahuli hile UBAYA UBWELA😎

    • @athuman6223
      @athuman6223 2 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @FeydhatMtokoma
    @FeydhatMtokoma 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ubaya ujingaaa😂😂😂😂😂😂yanga ni bigwa naipenda yangaa❤❤

  • @ReginaPantaleo-rq3oq
    @ReginaPantaleo-rq3oq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga oyeeeh,,,,penda mie yanga mwaaaah

  • @MaliamJakobo
    @MaliamJakobo 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤ yanga nomaaa, ubwelaa poleen, mmezidi maneno tu,

  • @EmanuelAgustino
    @EmanuelAgustino 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daah kuwa mshabikiwa nikam kuwa mbinguni, ❤ safi sana yanga

  • @ReginaPantaleo-rq3oq
    @ReginaPantaleo-rq3oq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwaaaah yanga yangu💛💛💚

  • @FreddyMwita-h5l
    @FreddyMwita-h5l หลายเดือนก่อน +4

    Hii ni timu sio kikund cha wachezaji😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊❤❤❤❤❤

  • @alexngowa6473
    @alexngowa6473 2 หลายเดือนก่อน +8

    Yaani hii YANGA ndio itacheza na Gor mahia ya Kenya 🇰🇪🇰🇪 yetu??Haina haja tucheze wapewe tuu ushundi YANGA hatuwezi wamiliki kwa kweli

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +3

    Diara is phenorminal 💛💚💛💛

  • @BbasuleBasule
    @BbasuleBasule 13 วันที่ผ่านมา +5

    Tarehe 19 Tenaaa

  • @MudrikMzee-e8p
    @MudrikMzee-e8p 2 หลายเดือนก่อน +1

    Love yanga ❤❤❤❤❤❤

  • @LuqmanTalib-uw7lm
    @LuqmanTalib-uw7lm 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yanga unaifungaje😗🙂🙂🙂🤗🤗

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 2 หลายเดือนก่อน +2

    Simba ipo vizuri sana kuliko yanga Basi tu bahati yao yanga!

    • @Abillsn
      @Abillsn 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yani matukio yote ambayo mmepigwa bado unasema simba ilikuwa vizuri kuliko yanga!!!!!!??? Aisee mapenzi kipofu kweli

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nakuunga mkono kwasababu timu yetu tunaijenga kwa mchezo wa leo iko vizuri

    • @elizabethismile6827
      @elizabethismile6827 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Abillsn😂😂😂😂😂😂 Hadi position wamezidiwa afu anasema nn😂😂😂 wenyewe wakishika mpira wanaruruka bila ushirikiano .

  • @sehewawilliam9015
    @sehewawilliam9015 25 วันที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉🎉 BIG UP MY TEAM #YANGA_SC FOR LIFE ☝️

  • @scopy0428
    @scopy0428 2 หลายเดือนก่อน +3

    Viva Young Africans

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 4 วันที่ผ่านมา

    Yanga yanga❤❤❤❤nawakubali tunawakubali❤❤❤❤❤

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA หลายเดือนก่อน +6

    Hery sasii hii match ilimshinda au alilipwa na makolo ..
    Kama sio kuwabeba makolo wangepigwa mkono tena

  • @robie360
    @robie360 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ila Mpenja daaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Habibuyahya
    @Habibuyahya 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ushind na mke tunaye

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga hiii unaifungaje 😂😂🎉❤hadi raha

  • @gladnessmushi-ge6fd
    @gladnessmushi-ge6fd 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wamebebwa sana

  • @dibadiaz2202
    @dibadiaz2202 2 หลายเดือนก่อน +4

    Naona tu uwanja umejaa shabiki sana ningefurahi pia kenya ikuwe tu hivi kwa uwanja yao

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kocha safi kabisa sema hii defence ya SIMBA inatakiwa irekebishwe vizuri Malone kama vipi apewe thank you mapema tu

  • @FatumaAlly-d3z
    @FatumaAlly-d3z 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga wametisha

  • @DoriceSephania-jh6lc
    @DoriceSephania-jh6lc หลายเดือนก่อน +3

    Baca🎉🎉🎉💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @berabosemansuri2770
    @berabosemansuri2770 2 หลายเดือนก่อน +12

    From Rwanda: unprofessional refers ! Young inaibiwa penalty pia na goal Moja ! Fake refer result was 3-0

    • @azizsaid3776
      @azizsaid3776 2 หลายเดือนก่อน

      it seems you take a look at one side of the coin. far enough you were supposed to write, fake refer result was 3-1

  • @manigatz5271
    @manigatz5271 4 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂 narudia apa leo tar 19 labla sijaenda uwanjani kuwa nyoa tena awa makolo

  • @dweenyoyo2836
    @dweenyoyo2836 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mashabiki wa yanga Kenya wapi upendo

    • @bollboy3553
      @bollboy3553 2 หลายเดือนก่อน

      Duke abuya on fire

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii mechi simba kabebwa saana

  • @chacha-255
    @chacha-255 2 หลายเดือนก่อน +2

    Miaka inaenda sana, leo hii Simba wanajiona wapo bora kwa kufungwa goli moja, Yanga ni next level.

    • @sewandomkuchu9267
      @sewandomkuchu9267 2 หลายเดือนก่อน +1

      Magoli kadhaa na penati zimekataliwa..

  • @sakhilembongenimavimbela170
    @sakhilembongenimavimbela170 2 หลายเดือนก่อน +4

    I m worried about Simba's defenders 😢😢😢

  • @Saidiamiri-s8i
    @Saidiamiri-s8i 2 หลายเดือนก่อน +5

    HAMISA UMETUHARIBIA MTU😢

  • @khalifmwenyeheri4956
    @khalifmwenyeheri4956 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga on fwayaaaaa

  • @revocatusadrian9262
    @revocatusadrian9262 หลายเดือนก่อน +5

    Hiv VAR tulioambiwa iko wap😢 hawa marefaree ovyo kabsa

  • @Saichuma
    @Saichuma 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ubaya uboyaaaaa

  • @geraldmoyo4745
    @geraldmoyo4745 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dube is a good signing

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Gemu ngumu sanaaaa ila.hongera yanga🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GasperMoris
    @GasperMoris 2 หลายเดือนก่อน +3

    simba hii weka mbali na watoto hilo goli ni uwezo wa pacome kupiga penetration pass na pia pacome ni defense destructor ndiyo mcheza kaibeba yanga kwa leo . simba wana hitaji more game kutengeza combination hongera kwa washindi hongera simba kwa mchezo mzurii

    • @simonanthonykayombo6913
      @simonanthonykayombo6913 2 หลายเดือนก่อน

      Yamekataliwa mangapi?😂

    • @majutojackson5718
      @majutojackson5718 2 หลายเดือนก่อน

      Na mwamuzi pia nyota wa mchezo,kaibeba simba

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 2 หลายเดือนก่อน

      @@simonanthonykayombo6913yamekataliiwa 15

    • @sarapionogen-l9d
      @sarapionogen-l9d 2 หลายเดือนก่อน

      @@simonanthonykayombo6913 Matatu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga ilionewa Sana,but hivo hivo ilishinda

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi ndo yanga 💪💪

  • @TwalibYahaya-ef3cw
    @TwalibYahaya-ef3cw 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dube angeelekea uelekeo wa mpira alikuwa anamalizia mwenyewe aisee💪💪👊👊

    • @KenMtitu
      @KenMtitu 2 หลายเดือนก่อน

      Hapo ndipo tunapomkumbuka Mayele asingewaacha pale

  • @ClintonJonathan
    @ClintonJonathan 9 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu refa na wasaidizi wake wapumbafu

  • @andrewemanuel2213
    @andrewemanuel2213 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga oooyy wimbo hamoniz raaaaah

  • @MustafaNdalama
    @MustafaNdalama 2 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤yanga waoooooooh

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali 2 หลายเดือนก่อน +3

    Uwezekano wa simba kufanya vizuri kwenye ligi kuu bara upo watulie wasipaparike na pasi ziwe za UHAKIKA

  • @jomaatz
    @jomaatz 2 หลายเดือนก่อน +6

    YANGA NI BORA KULIKO SIMBA!! KWA SASA WANANCHI WAKO KWENYE SAFARI NZURI YENYE MWENDELEZO ELECTRIC FOOTBALL 💚💛

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 9 วันที่ผ่านมา +2

    Hamna refa hapa

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bacca ❤❤❤ # Zenjiyano

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 11 วันที่ผ่านมา +3

    Kama sio refa kuwabeba ubwege FC. Walikuwa wanakula chuma 3. YANGA BINGWA TENA

    • @treyvissy9854
      @treyvissy9854 10 วันที่ผ่านมา

      😂 ubwege Fc

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 4 วันที่ผ่านมา

      Simba tunawafunga midomo leo nahapo walikuwa kwenye michezo mingine kuichezea taifa stazi Yani mnabahati ngoja mchezo mwingine naleo mtalala naviatu

  • @OscarlawrenceNachinguru
    @OscarlawrenceNachinguru 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki daima Yanga tamuuuu!

  • @LavisaXipula-kf2pc
    @LavisaXipula-kf2pc 2 หลายเดือนก่อน +6

    Lol the match officials were lost 😂❤🇿🇦

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 2 หลายเดือนก่อน +1

    We Mpenja bado Yanga sio bingwa umekosea kutangaza ktk. dakika ya 94.8 umewatangaza Yanga ni mabingwa wa kombe la jamii 2024/25. We umekuwa mtabiri? Ahsante kwa kututangaza mapema na itakuwa hivyo kwa baraka za mwenyezi Mungu. Yanga wote gonga like kwa Mpenja kutupa ubingwa.

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf หลายเดือนก่อน +2

    Kwa kweli

  • @lucaszacariaszacarias3894
    @lucaszacariaszacarias3894 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ss yanga kucheza na Simba tuna halibu kiwango chetu.

  • @AnicethAdrian
    @AnicethAdrian หลายเดือนก่อน +3

    Weweeeeeee🤣🤣🤣💚💚💚❤️

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 หลายเดือนก่อน

    Alhambdulilah nashukuru kwakutujaalia Kheir

  • @musaibrahim7287
    @musaibrahim7287 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dube mpira ulikuwa unaludi kwake kabsa Mapepe ya kushangilia mpira haujapita mstari,,Ingekuwa mayele anahakikisha umepita

  • @FloraAlfons-mi9ej
    @FloraAlfons-mi9ej 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤ yanga

  • @hamekasimba2168
    @hamekasimba2168 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤yanga

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน +3

    Likes za paccome 🔥 hapa wananchi professor tunae na tunatamba nae uyu mbaba ataua watoto wa watu

  • @zachariasoli7116
    @zachariasoli7116 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ukiangalia marudio utagundua ,Yanga alikuwa bora kimbinu kuliko Simba. Na kama refa angekuwa fea Simba wangekula chuma nyingi . Sasa nashaanga Makolo wanafurahia nini wakti timu lao lilivuja kishenzi au walikuwa wanazifurahia zile Kona ?😂😂😂

  • @SASIBuyingArea
    @SASIBuyingArea 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hii highlight ya yanga au yamechi😂😂

  • @AbdallahMussa-u2q
    @AbdallahMussa-u2q 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hatar yanga jitu kubwa

  • @UmmukulthumAbdalla
    @UmmukulthumAbdalla 2 หลายเดือนก่อน +2

    TFF mutazam refa wa kuwawek huy risas anatukosesh penalt hiv hiv na iyona na iyo VIR mueke tunadhulumiw hiv hiv
    hlf leo yang kishasho kimekutoken
    ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤

    • @IreneMahimbo
      @IreneMahimbo 2 หลายเดือนก่อน +3

      Wananchi tunasema simulia huku unalia 😭😭😭

    • @stevenemwakasimba-pt8er
      @stevenemwakasimba-pt8er 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tupe jibu goli la pacome na Aziz k shida nini?pia penalty ya master k shida iko wapi?yes pia nanyi mlistahili penalty moja dk za mwisho

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah💛💚

  • @tundasalim9525
    @tundasalim9525 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mpira TZ unaongezeka kwa kasi kuliko zamani; YANGA ”Mmaasai”/'Morani' Chuga Kamuua Simba amerudi Jangwani na Ngao..

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 2 หลายเดือนก่อน +3

    Simba walikua wazuri kila idara sema zare halikusimama

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 หลายเดือนก่อน +1

    Simba nguvu moja ❤️❤️❤️‍🩹❤️‍🩹

  • @AndrewJofrey-uh3fn
    @AndrewJofrey-uh3fn 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ubaya ujinga2😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @RayMyonga
    @RayMyonga 6 วันที่ผ่านมา +3

    Simba asipo fungwa 3 nachoma gari yangu moto