UJUMBE WA MPOTO ULIVYOWASHANGAZA VIONGOZI IKULU MPYA CHAMWINO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 158

  • @allenmdota4820
    @allenmdota4820 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana jpm pumzika kwa aman

  • @yasiniyamamoto8174
    @yasiniyamamoto8174 ปีที่แล้ว +15

    Jpm the greatest leader in the world mola akupumzishe uzalendo wako unaishi.

  • @mashakalonka7767
    @mashakalonka7767 ปีที่แล้ว +4

    Mrisho Mpoto,ww ni Zaidi ya msanii,unajua historia ya ikulu ya Chamwino Kwa upana Sana!,uwasilishaji wako wa ujumbe Kwa njia ya mashairi,mantiki ya kisintaksia,sauti ya kiutawala iliyojaa katika maneno na sura Yako vinakutofautisha na wasanii wetu wengi wa kizazi kipya in short watu wote makini hawachoki kukusikiliza!. You're so talented brother! .

    • @Japhary-sx3je
      @Japhary-sx3je ปีที่แล้ว

      Yeye mwenyewe anaona aibu mungu tusamee sisi binadama ongela ayati magufuli ongela sana wanajeshi wetu ongelen awamu ya tano

    • @mwakasagule
      @mwakasagule ปีที่แล้ว

      Anajua nini huyo chawa, hana lolote. Mpoto hana jipya kwa sasa, Mpoto kajishushia heshima mwenyewe kwa kuendekeza njaa.

  • @goodluckphinias4666
    @goodluckphinias4666 ปีที่แล้ว +21

    Kweri njaa ni shida kwer mpoto Samia ndo anejenga ikulu muogope mungu.

    • @sunaybrajabu238
      @sunaybrajabu238 ปีที่แล้ว +2

      Ndo kamlipa ataacha kumpamba

    • @ellymakongo656
      @ellymakongo656 ปีที่แล้ว

      Na samia kakubali kupewa sifa za uongo

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb ปีที่แล้ว +25

    Unafiki mwingi hadi unakera. Rest in peace our Hero JPM. In our hearts you are still living

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 ปีที่แล้ว +16

    Aibu sana Mpoto
    Umemsahau Magufuli!!!

    • @bahatimalundi3593
      @bahatimalundi3593 ปีที่แล้ว

      Huyo mwenda zake mulize lema ndio ana ijuwa hishoria yake

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato ปีที่แล้ว

      ​@@bahatimalundi3593 Watanzania tunaijua historia ya Magufuli vizuri zaidi kuliko huyo unayetuaminisha kuwa anamjua . Magufuli ametawala tukiwepo . Tuliona kwa macho na kusikia kwa Masikio mawili tuliyopewa na Mungu hivyo hakuna tusichokifahamu kuhusu JPM. Hatukuhadithiwa kuhusu utawala wake kama ambavyo wengi tumekuwa tukisimuliwa kuhusu utawala wa Baba wa Taifa na wasaidizi wake kama akina Sokoine na Kawawa na Wengineo wengi, bali utawala wa Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli Mwamba toka Rubambangwe Chato Geita Tz tuliuona kwa macho yetu mawili. Have I paralyzed you ?

  • @venusmalima3457
    @venusmalima3457 ปีที่แล้ว +9

    JPM endelea kupumzika baba mtanzania wakweli sisi tulioshuhudia uongozi wako tutawasimlia na vizazi vijavyo ❤❤❤❤❤❤J❤P❤M.

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 ปีที่แล้ว +24

    Ila sjapenda amemtambua Megufuri kidogo sana daaah R.I.P Magufuri Tunajua Kaz uliinza wewe wengi iliwashinda

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 ปีที่แล้ว +3

      Huyu ni chawa anasaka ulaji

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +1

      Wakimsimamisha mzee Mwinyi hapo atasema ukweli huwa anasema kila wakati WENGINE TULISHINDWA MAGUFULI ALIWEZA🤣 ila haina shida mama anafuata nyayo za Magufuli.

    • @ellymakongo656
      @ellymakongo656 ปีที่แล้ว

      @@blandinamwarabu5025 🤣🤣🤣 wameshtuka ndo hawajamsimamisha angewachomesha wajinga hawa🤣🤣

    • @mwakasagule
      @mwakasagule ปีที่แล้ว

      @@blandinamwarabu5025 walijua mzee MWINYI atawaumbua

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 ปีที่แล้ว +11

    Mbeba maono ni Julius kambalage Nyerere na mkamilishaji ni John pombe magufuri usitupotoshe tunaijua historia rest in peace baba JPM rest in peace JK Nyerere hakika mtaishi

  • @raymond5175
    @raymond5175 ปีที่แล้ว +30

    Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Jasiri aliyedhubutu na kutekeleza vingi, mzalendo wa kweli DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI hata kama amekufa anastahili kupewa hongera zake.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว

      Kweli ila kuondoa fitina mkamilishaji naye apewe pongezi kwa maana angeliweza kuishia njiani

    • @saadatsaadat9252
      @saadatsaadat9252 ปีที่แล้ว

      WOTE WANASTAHIKI KUPONGEZWA WALIKUWA MTU NA MSAIDIZI WAKE AWAMU YA TANO AHSANTE WATANZANIA KWA KUMPOKEA VZR MAMA SAMIA..❤

    • @venusmalima3457
      @venusmalima3457 ปีที่แล้ว

      TANZANIA hii inawanafiki na waoga wengi sana Asante Mungu nipo hivi nilivyo maana vingnevyo ningeshatoweka😢

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 ปีที่แล้ว +8

    Magufuli forever amejenga ikulu ya dodoma. Hakuna rais kama magufuli. I miss jpm. Lala salama jpm utakumbukwa daima kwakujenga ikulu ya dodoma.

    • @thanimosi8906
      @thanimosi8906 ปีที่แล้ว

      Hongera Mama Samia Suluhu Hassan Kwa kukamilisha ujenzi wa Ikulu yetu mpya Tanzania Dodoma

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 ปีที่แล้ว

      @@thanimosi8906una wazimu.

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 ปีที่แล้ว +21

    Huyu mpoto mpumbavu sana njaa inamsumbua sifa ulizompa Samia zilimfaa magufuli swain

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว +1

      Ndio hata mama anamsikiliza lakini hafurahi watu hawashangilii

    • @Edward_Falu
      @Edward_Falu ปีที่แล้ว

      @@blandinamwarabu5025 haswa kumbe na wewe imeliona hilo.
      Hana furaha kabisa

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      Anahangaika.

  • @EliakimDaniel-t4x
    @EliakimDaniel-t4x ปีที่แล้ว +3

    Mbona mnapata shida ya kumtaja kamanda magufuri jembe la watanzania RIP kamanda mkuuuu daima tutakukumbuka chamwino bila magufuri haiwezekani

  • @nicolausmavoa7909
    @nicolausmavoa7909 ปีที่แล้ว +24

    Magufuli hoyeeeeeeee pumzika kwa amani rais wangu kazi kubwa ulifanya leo hii anasifiwa mpemba

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว

      Sifa ya mtu kamwe haitapotea kwenye mioyo na macho ya jamii. Lakini kwa nini unaamini kwenye ubaguzi!!!???

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato ปีที่แล้ว

      Haipendezi kwenye Taifa hili kutukuza ukabila. Hujanifurahisha kwa kutumia neno Mpemba. Acha ubaguzi. Ongea ukweli lakini usituletee ukabila.

    • @thanimosi8906
      @thanimosi8906 ปีที่แล้ว

      Waja ujinga wewe sukuma gang

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 ปีที่แล้ว

    Kazi hayati Magufuli imekamilika Mungu akulinde sana baba wewe ni mwamba ,mwanamapinduzi wa Afrika pumzika salama baba,

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 ปีที่แล้ว +11

    Baba Magufuli lala salama😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @mwakasagule
    @mwakasagule ปีที่แล้ว +36

    Mpoto huwa nakuamini sana kwa mashairi yako. Ila kwa hapa umepungua na umepwaya sana. Huwezi niambia kwa namna ulivyomtambua JPM kwa ufinyu sana kiasi hicho kwamba umejisahau, si kweli; ila hizo ni njama, na mmekusudia kudhoofisha na kuhujumu juhudi za mzalendo wa kweli JPM. MPOTO your not fare. Na tuwaambie ukweli tu. Mbinu zenu hizo mjue tu kwamba mmefeli. Kimsingi Ilipaswa ujikite sana kwa JPM. Lakini kwasababu hata unafki ni Sanaa pia hakuna shida. Ila ikumbukwe kwamba hata mfanye Hila kiasi gani juu ya DR. JPM fahamuni kwamba, picha ya JPM Hamwezi kuifuta mioyoni mwa WATANZANIA. Tunatambua vema sana History na juhudi za BABA WA TIFA MWALIMU JK. NYRERE, na nguvu kubwa ya JPM kuhusu IKULU YA CHAMWINO DODOMA. R.I.P JPM.

    • @venusmalima3457
      @venusmalima3457 ปีที่แล้ว +9

      Kamwe hata wafanyeje hawawezi kufuta mapenzi yetu Kwa JPM❤❤milele

    • @imanicharles936
      @imanicharles936 ปีที่แล้ว +8

      JPM nitampenda hata wangemsemaje , pekee ndo Raisi wangu, ilitakiwa hata ofisi moja ipewe jina lake

    • @paulmarwa439
      @paulmarwa439 ปีที่แล้ว +7

      Jpm ❤

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 ปีที่แล้ว +7

      Tena na huyu? Bora wasanii waliokaa kimya.utavuna dhambi isiyo yako.

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 ปีที่แล้ว +5

      Kaka meseji nzuri sana Mungu hakubariki Sana

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 ปีที่แล้ว +13

    Ili jamaa kumbe taahira ivii....linafiki chili😂😂😂😂..RIP JOHN.P.MAGUFULI

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว +9

    MAMA SAMIA MNA MPAKA TUUU. HUYU WA JUZI,, MAGUFULI NDO MWENYE HILI JAMBO.

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 ปีที่แล้ว +3

    Dah kwel unafk hauwez kaisha Tz,yaan kwel mnaona had wivu kumpa sifa zke maguful kisa leo hayupo😢😢😢😢😢dah Pumzika JPM

  • @chilesanga7931
    @chilesanga7931 ปีที่แล้ว +14

    Magufuli mbona mmemtaja kidogo zambi hizo asingekuwa yeye hata mlipo kaa pasinge kuwepo mpoto uja tenda haki kabisa

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 ปีที่แล้ว +7

    Huyu mnafiki Huyu! Eti Kikwete!😂😂😂

  • @ndambo6528
    @ndambo6528 ปีที่แล้ว +13

    Tatizo ni njaaaaaaaa hata Magufuli umeogopa kumsifa

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @Edward_Falu
      @Edward_Falu ปีที่แล้ว

      @@blandinamwarabu5025 akimsifia hana ulaji 😂😂😂😂

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 ปีที่แล้ว +2

    Mpoto sifa umewazidishia waliopo hapo wote tunatambua nguvu Alioitumia magufuli paka ikulu imekamilika hiyo magufuli jembe hata usipo ongea wanakutazama watu na ukweli wa kazi za magufuli ukiimba katika mioyo ya Watanzania kwasababu ulijua unaimba kwania Gani Hauna makosa Mungu Aendelee kumupumnzisha mahari pema peponi Amina

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 ปีที่แล้ว +7

    Ila njaa mbaya Rip magufuli

  • @emmanuelyeliamajele-yk8hb
    @emmanuelyeliamajele-yk8hb ปีที่แล้ว +2

    Magufuli Mungu akuweke lakini hongela mama Samia Rais wetu tunakupenda Mungu amekuamini wewe utuongoze kwenye nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿♥️🥰 pia Mungu amuweke zaidi kikwete ♥️🥰 nawapenda Mungu amewapa ufalme kama alivyo penda Kila mtu ameongoza vyema kwa maono Samia Raisi wangu ataongoza kutokana na Mungu anavyo muongoza ataongoza tofauti na Mungu 🇹🇿 watu muelewe msitukane asila ya Mungu lsije lkawaka lkawaka juu yenu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 ปีที่แล้ว +8

    MPOTO WATU WANAOMJUA MAGUFULI KATI YA KITU CHA KIPUMBAVU NI UCHAWA ,MTAJENI MAGUFULI KINAFIKI SAWA LAKINI R.I.P. JPM

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 ปีที่แล้ว +7

    Wewe mrisho kitambi tumbombo tumbo huna akili ni mnafiki sana tena sana Yani sifa za kumpa marehemu Magufuli unampa kikwete kweli wewe mnafiki.

  • @jamesmbore3052
    @jamesmbore3052 ปีที่แล้ว +8

    Aliye jenga wakwanza n magufuli mama kamalzia 2

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 ปีที่แล้ว +5

    Unafiki unakera heshima apewe JPM mtutolee uchawa

  • @imanicharles936
    @imanicharles936 ปีที่แล้ว +2

    Ulale salama JPM

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Unafiki,jamani jiepusheni na unafiki,unafiki sio mzuri,unafiki kiwango kingine.

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 ปีที่แล้ว +5

    Magufuli anatajwa kiujanjaujanja tu jamaa chawa huyu 🤣🤣🤣🤣

  • @bashirumandwanga130
    @bashirumandwanga130 ปีที่แล้ว

    Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying
    Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian
    Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake
    Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia
    Mungu wetu sote

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 ปีที่แล้ว

    Ndomaana Masanja ariacha kuitangazia nnchi.kwasababu Hao ndowakapanga Kumuua jpm
    #Rest_In_Peace_our_hello
    #JohnPombeMAGUFULI

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 ปีที่แล้ว +2

    Mbona awa viongozi wamekaa Kama wachawi ata tabasamu hakuna mmechukia Sana kwenda Cha mwino hacheni uchawi Sisi sote watanzania.Mrisho Mpoto kamsifia Kila mtu John katajwa tu ajasifiwa Wala Nini.Maana mmenuna Kama kamati ya roho mbaya au wasagasumu.

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

      WANAONA HAYA, SABABU WANAJUWA HIZO SIFA SIYO ZA KWAO , MWENUYEWE NI MAGUFULI TUU..

  • @mckilongojr6367
    @mckilongojr6367 ปีที่แล้ว +7

    10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo ปีที่แล้ว +7

    Watu wamevurugwaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @wisdomjohn-nj9po
    @wisdomjohn-nj9po ปีที่แล้ว

    Unaznguaa sanaaaa mpoto mpototo

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว +1

    Ela bana nashukuru MUNGU kwa kuweka kifo wapambe wa raisi sjui watampamba Tena raisi

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 ปีที่แล้ว +8

    Huyu kaka kama chiziiiiiiiiii, Asante mwambien I nyie mnayeenda chooni kwaajili yake, sie akah sisi tunajuwa tu MAGUFULI jembe na lililima kweli yeye ndio aliyejenga ikulu, mama yenu kafanya kufanya finishing tu msituletee ududu washa basi nachukiaaaaaa

  • @samagsmg
    @samagsmg ปีที่แล้ว +11

    Haki huwa haifichiki ila huwa inachelewa. Kamanda alishatenda ss hayupo. Ni ujasiri wake na uthubutu wake aliamua kusema serikali lazima ihamie makao makuu ya nchi kongole magufuli pumzika kwa amani Kamanda wangu. Nchi uliyoiacha baba saivi ipo ipo tyuuu maskini hatutambuliwi tena wanaotambuliwa kwass ni wale waliomalizaga madaraka. Tutakukumbuka milele na milele MAGUFULI

  • @guidoliusmichaelhulilo3886
    @guidoliusmichaelhulilo3886 ปีที่แล้ว +1

    Binadamu ni KIUMBE MBAYA SANA KWA KWELI. Makubwa: Dhambi nyingine huwa ni za mauti, na huwa hazisameheki kama hii ya kumright OFF Magu on this project ambayo hata Mwalimu mwenyewe hakuweza kufanya. God is good, all the time. AND, All the time.. God is good🙏🙏🙏🙏RIP-JPM... Amen🙏

  • @mwesblind8990
    @mwesblind8990 ปีที่แล้ว +2

    Hata aibi hamna samia kajenga ikulu saa ngap kapiga rangi tu

  • @shedrackjacob6038
    @shedrackjacob6038 ปีที่แล้ว +2

    Mtaongea meng ila hakimu pekee mtenda haki Mungu pekeeeee ila ss wtnz tunamjua JPM

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato ปีที่แล้ว +3

    Baba Yetu Magufuli tunamkumbuka kwa aliyoyafanya ikiwemo ujenzi wa Ikulu ya Chamwino hata kama kuna Watu hawataki kuusema ukweli.

  • @CharlesMajahasy
    @CharlesMajahasy ปีที่แล้ว +5

    Acha uongo aliyeanzisha kujenga sio Samia ni magufuli Amina Hana lolote ndio maana unasema mkamilishaji, je, mwanzilishi ninani? JPM mwamba, jiwe kweli.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว

      Lakini kasema vizuri MKAMILISHAJI. Ila historia inajulikana anaijua MWINYI mzee wa RUKSA akisimama anachafua hali ya hewa.

    • @Edward_Falu
      @Edward_Falu ปีที่แล้ว

      @@blandinamwarabu5025 😂😂😂😂😂

  • @godsonanthonymshairi-tanza4088
    @godsonanthonymshairi-tanza4088 ปีที่แล้ว +1

    Haya mrisho tiririsha mzee ma shairi hayo.

  • @patrickbayyo1616
    @patrickbayyo1616 ปีที่แล้ว +2

    Sifa apewe jpm

  • @jebace
    @jebace ปีที่แล้ว +2

    watanzania ujinga sijui wataacha lini

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 ปีที่แล้ว +2

    Mpoto mpuuzi yaani baada ya kumtaja kikwete badala ya kumtaja anayefuata ni magufuli anamtaja mwenyekiti lugoha

  • @AcroBantu
    @AcroBantu ปีที่แล้ว +3

    Hata mumfiche vipi lakini kila mtu anatambuwa bila Jembe mpaka leo hapo pasingekuwa na lolote pia hata lile bwawa la umeme lisingejengwa RIP Magufili pumzika kwa amani😢

    • @matokeo-wx9ws
      @matokeo-wx9ws ปีที่แล้ว

      hakika hili jembe likumbukwe

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 ปีที่แล้ว +9

    Magufuli kazi yake inaonekana hata kama hwataki

    • @moseschambo6801
      @moseschambo6801 ปีที่แล้ว

      Daaah hatari sana tumuachie tu Mungu ila JPM anaishi ndani ya mioyo ya wa Tanzania siku zote .

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 ปีที่แล้ว

      Labda waje wadanganye vitukuu

  • @mbeguclassic3387
    @mbeguclassic3387 ปีที่แล้ว

    Posho Bana Kwa sasa anasifia viongozi duh pesa nyoko😢😢

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 ปีที่แล้ว +2

    Watu wanaweza kukuamini ila mwisho wa siku njaa zikakuharibia yani JPM ambaye alitakiwa kupewa sifa zote na nyingi leo mpoto unatuangusha mchana kweupe kabisa.

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica ปีที่แล้ว +6

    #Nasemajee #Magufuliii Oyeeeee #Nyie Wasanii Wanafiki Acheni Kumjengea Mama Chuki Kwa Watanzania Wanao mpenda Magufulii #Mama Unachonganishwa #Ikulu Chamwino Wanasifiwa Wasio Husika Moja Kwa Moja Kuliko Muhusika Mkuu Namba Moja #Jembe / #Magufuli #Kwanini #Kwasababu Gani #KwaFaida Ya Nani
    #Mama Achana Na Machawa #Credibility Yako Mtaani Ni Miradi Mliyoanzisha Na Mwenda Zake Hapo Ndo Kura Zako Ziliko Hata Usifanya Campaingn

    • @jescakahangwa5224
      @jescakahangwa5224 ปีที่แล้ว

      Hongera sana Jpm upumzike Kwa Amani hongera pia mama Samia Kwa kumalizia miradi mlioanzisha na Jpm .

    • @mwakasagule
      @mwakasagule ปีที่แล้ว +1

      Huyu mama asipowashtukia hawa wasakatonge wakina Mpoto hawa; watamharibia. Watanzania sio wajinga.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 ปีที่แล้ว +2

    Sijui kama hawa watu hawaoni huku mitaani jinsi raia wanavyo mkubali na kujua wazi juhudi za JPM,yaani wanampotezea hivi na kumwaga sifa kwa walio hai zaidi,kama kujitafutia sifa za uteuzi au kukaa salama,,,jamani sifa za uthubutu wa hiyo Ikulu hata kama ilianzia kwa JKN lakini JPM ndo amefanya muwe hapo. RIP John

  • @ismailmatari3889
    @ismailmatari3889 ปีที่แล้ว

    leo hii mnaimba ikulu ya chamwino ni baada ya mwamba mwendazake kuamua tekeleza kauli ya mw nyerere miaka kedekede iliyo pita wamepita maraisi wangapi na hawakua na ujasiri na uthubutu wa kusema serikali ihamie dodoma? ila ndani ya nchi hii mwamba ni mmoja tu aliekua na moyo na mapenzi ya dhati na nchi yake (RIP) wengine wote waliobaki wanajali maslahi yao kwa asilimia kubwa kuliko maslahi ya raia. tanzania is the best country lakini viongozi wake changamoto hasa kipindi hiki cha mama yetu. allah atupe subira watanzania maana hilili nalo litapita INSHAALLAH.

  • @Mamateekatuni
    @Mamateekatuni ปีที่แล้ว

    Nimeumia kumsikia Magufuli kwa uchache hivyo 🥲🥲🥲

  • @ericamkwena7736
    @ericamkwena7736 ปีที่แล้ว +2

    Unaumia sofa kwenda kwa mtu ambaye hakufanya lolote

  • @wisdomjohn-nj9po
    @wisdomjohn-nj9po ปีที่แล้ว

    Njaaa inakusumbua mpoto

  • @mangeranestory8225
    @mangeranestory8225 ปีที่แล้ว +2

    Sina neno 😢😢

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Mmi akifa kiongoz uwa nafrahi ,kwasababu wote wezi

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 ปีที่แล้ว +2

    JPM is the one who made it happen if wasn't him Leo hii msingekuwa hapo .Rest in Peace Magufuli ✌️ We will always love you 😍 ❤️

  • @tysonlusinde8491
    @tysonlusinde8491 ปีที่แล้ว

    Duuuh yaaani Dr John Pombe kama hajafanya chochote daaah katajwa kidogo sana wakati yeye ndiye aliyepamba kuipeleka Ikulu Dodoma, daaah njaa mbaya

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 ปีที่แล้ว

    Ila wagogo mmemkosea mpoto kwaku mpa choya sio vizuri😂😂😂😂😂

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

    Nimesikiliza comment zenu SN humu lkn siwaelew mnamtukana mpoto kosa lake Nini na mjue katika kila kiongoz kashiriki kuijenga dodoma na kawataja viongozi wote Sasa mnapofikia mnamtukana kosa lake nn tuwe na HEKIMA

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 ปีที่แล้ว

    Ila njaaa mbaya sana. Kweli ww Leo Mzee wamjomba ndo wakutufanyia usaliti huu.

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 ปีที่แล้ว +1

    Yan ata diamond haja penda kwa jinsi ulivo msahau magufuli wetu

  • @alfredmathias8748
    @alfredmathias8748 ปีที่แล้ว

    Rip magu

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 ปีที่แล้ว +1

    Lugoa na wewe mpoto wote nyabarange.Magufuri oyeeee

  • @Godbless-o6c
    @Godbless-o6c ปีที่แล้ว

    Sijawahi kukuelewa

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Raisi wakibongo wote wanamaisha mazuri Basi ata siku za mwisho mwezi mmoja toeni kupitia tigo pesa tupewe 20000,

  • @mabwetebrown5432
    @mabwetebrown5432 ปีที่แล้ว

    Mpoto najua hata moyo wako unakuhukumu jinsi ulivo mzungumzia JPM kwa udogo kiasi icho kana kwamba hakuna alicho fanya .

  • @ChikwemaMagazi
    @ChikwemaMagazi 2 หลายเดือนก่อน

    Magufuli atasimuliwa vizazi na vizazi

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Vitu vinapanda Bei baada kumusifu MUNGU sifa munampa samiya sawa ngoja tuone

  • @ibrahimgeras6249
    @ibrahimgeras6249 ปีที่แล้ว +1

    Mnafiki sana huyu mzee nilikuwa namuonaga anaakili kumbe hamna kabisa

  • @wilsonsaghy4171
    @wilsonsaghy4171 ปีที่แล้ว

    R.i.p JPM

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 ปีที่แล้ว

    Hila mpoto umefeli pakubwa sana

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 ปีที่แล้ว

    Yaaani ndio shida mnaferi na mtaferi unajua mtaonekana sio wakweli mnaposhindwa kuushuhudia ukweli mtaonekana waongo maana dawa ya Giza ni mwanga endeleeeni wananchi wakiwasha taa watawakuta katika Giza na yanayofanyika ktk Giza yanajukikana yakiwekwa wazi tutajificha wapi,

  • @provianapaul6634
    @provianapaul6634 ปีที่แล้ว

    Watu mna hasira jaman haaaa😂😂😂😂😂

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 ปีที่แล้ว

    Magufuli baba kama nakuona kwakaziile uliyo ifanya sifa zote kwako mwanamapinduzi wa Afrika pumzika kwa amani ame

  • @brysonzawad8521
    @brysonzawad8521 ปีที่แล้ว

    Mrisho mpoto wewe ni mbwa tu wanakutumia tu hulambi chochote

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt829 ปีที่แล้ว

    Rip JPM

  • @chainchebby3313
    @chainchebby3313 ปีที่แล้ว

    Unafiki tu umetawala hapo yaani mmesahau mara hii ni nani aliyeipangania hiyo ikulu hapo lah ubinadamu kazi endelea kupumzuka kwa amani baba yetu JPM .wanafiki wanazidi kuongezeka uku

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 ปีที่แล้ว

    Hata kama mkimtaja kwa uchache mwamba wa Chato, bado ni simba aliyelala katika ushujaa.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 ปีที่แล้ว

    Bado kabisa hujafanikiwa.Tumekutambua

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 ปีที่แล้ว

    Mpoto hapo umefeli kwenye huu wimbo ulitakiwa mtu wa muhimu kumtaja hapo ni mzalendo namba moja JPM mwamba huyu hata kama hautamkumbuka watanzania wanajua yote umebugi brother

  • @yusufumbwene5669
    @yusufumbwene5669 ปีที่แล้ว

    Mimi nilitaka kuona ajabu mtembea peku angali pesa za kununua viatu anazo tangu lini awe na akili ,,, yan huyu ni alama kubwa ya mchumia tumbo . Iv hayo manyanga yako yooote ungemzungumzia John Pombe Magufuli wangekuua au ??? TUACHE UNAFIKI JAMANIIIIIIII

  • @naturalviewing3974
    @naturalviewing3974 ปีที่แล้ว

    Pumbavu mkubwa wewe JPM Ndio mpango mzima

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    JAKAYA KIKWETEE😂😂😂😂😂😂

  • @danielmandia7447
    @danielmandia7447 ปีที่แล้ว

    Kila mtu katimiza majukumu yake. Niulize . Bunge kajenga magufuli? Chuo kikuu kajenga magufuli? Eneo la kujenga ikulu amelitenga magufuli? Magufuli yeye kajenga ikulu tu na baazi ya wizala. Tu. Kipi. Kingine amekifanya dodoma Cha ajabu

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 ปีที่แล้ว

    Nimelia Mpoto hatari huo ni uzalendo.😭😭😭😭😭😭😭

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 ปีที่แล้ว

    Coment zinaonyesha ni kosa la jinai rais kutoka kabila kubwa wahaya,wasukuma,wachaga,wanyskyusa ktk nia njema sawasawa hutuba ya baba wa taifa.

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 ปีที่แล้ว +3

    Mbwaaa wewe

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 ปีที่แล้ว

      Mbwa ni nani?Si Yule aliekuwa muuaji akiwauwa binadamu wenziwe?Kawauwa wengi akiwemo Ben Saa Nane,Azory Gwamno,kumpiga risasi Tundu Lissu kwa yonevu tu,Kuwateka watu na kuwatesa na kuwauwa,kurndelea kuwaeka ndani mashehe wa uamsho kwa uonevu tu .Nani ni mbwa?

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 ปีที่แล้ว +2

    Wamejenga wote kwa pamoja cz alikuwa makamo wake Sasa n Raisi

    • @nangugu1657
      @nangugu1657 ปีที่แล้ว

      Kumubeza magu na jitihada zake zote zambi tena zambi Bora kukaa kimya

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 ปีที่แล้ว

    Mnafkiii mkubwaaa wewee

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 ปีที่แล้ว

    Magu ni jembe tu.

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 ปีที่แล้ว

    Wamejenga wote waliopita wanamchango kuanzia maono ya Mwalimu

  • @mckilongojr6367
    @mckilongojr6367 ปีที่แล้ว +5

    10/02/2022???? ndo ilianza kujengwa? aliyemuuzia mpoto ulanzi ni nani😂😂😂😂

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 ปีที่แล้ว

      kikwete

    • @ireneassey2022
      @ireneassey2022 ปีที่แล้ว

      Nimecheka 😂

    • @PeterChacha-zc2hl
      @PeterChacha-zc2hl ปีที่แล้ว +1

      Mpoto nilijua unasifa ya uzalendo kumbe njaa tu ,jpm 😂😂😂😂 watanzania tunajua

    • @gsplundi1327
      @gsplundi1327 ปีที่แล้ว

      @@PeterChacha-zc2hl hata wafanyeje sisi tunajuwa ni JPM kidume💪💪💪💪RIP