BADILIKA _ Mwinyi Mpeku I Dongo I Naomba
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 เม.ย. 2022
- Director of Photography: Eddy Best
Boom Swinger: Dinyo JF
Editor: Eddy Best
Ass.Director EddyBest
Director: Said Majumba
Tafadhali SUBSCRIBE,LIKE,SHARE,COMMENT ili uwe wa kwanza kupata video zetu mpya.
#jufefilmproduction#Comedy#Pemba@jufefilmtz - ตลก
wazanzibar wengi wakitoa filam sio kwamba wanategemea iwatoe kimaisha au kibiashara. hapana. wanafanya hivo kuburudisha watu na kuelimisha jamii na kuendeleza utamaduni wetu tofauti na wabongo wapo kimaslahi Zaidi na ukiangalia michezo ya kibongo haina stara hata kuangalia na wazee wako huwezi jinsi wanavo kaa uchi wanapotosha jamii
Fantastic kabisa uko sahihi kabisa ndugu yangu
Swadakta 👌🇰🇪 county mambasa 001
Kabis sis wazanzbar hatuna tamaa za ovyo ovyo
Upo sahihi bro
🤣🤣 Naomba unavisa nakupenda bure
Nakukubali wangu naomba
Aliye sikiya kustiriyana ni huku huku agonge👍
Hongera naomba
Hahahaha eti sijui kama wafagia au wachora😁😁😁nawakubali 💯💯💯
kumbe dongo Quran anaijua mashallah
kazi mzuri sana... ila makunde yumo...? namkubali sana dogo... Zaid ya kingwendu 😃🤣🤣
wallahy filamu nzuri sanaah Ma Shaa Allah
😂😂😂😂😂 weee naomba unavituko et mbona huninyamazish
Dongo umeupiga mwingi mashallah. Goro na makunde pia. Mzee Mwinyi nimependa hekima zako uko vzuri hongera pia.
Naona wataja mayai tu vitu vyengine hutaji😂😂😂😂😂
Hahahahhhahahahahahahahahahhah acha nicheke tu
🤣 🤣 🤣 🤣 Wagalagalaa weeee arafu mbona uniuliziiiii
Kuuliza hiyo Kwioooo🤣🤐😆😆😆😆👌👌👌nawapenda mie❤️❤️❤️😘😘😘
Mapezi ndiyo hayaa jamani
Hongera sana dongo safi sana
Jamani naomba anajua mugu atamlipa kwa elimu yake ya kuelimisha jamii yetu
Mashaallah filam nzr sna nyie mnaelimisha jamii kwa Africa yote.
Hahah😆😆Bwana akilala hamkiii
Shuka lina sumu
Bebeyy be eeee 😅😅😅😅ni
duh jmn wazaz mutunyamzishe tukija na vilio muctupige 🤣😀😃
Naomba weee umenifurahisha 💕💕💕
Filamu yenye mafunzo makubwa sana,big up from 254
Naomba ameicheza nafasi yake kiuwezo mkubwa, mbarikiwe nyote katika utafutaji wa riziki👍👍👍
Hahahahahhahaaa asnaten wanyumbani mimenitoa mawazo huku niliko wallah
Mzee mwinyi inaonesha mtt wake kweli maana anajua kumuumbua
Daaaah move za naomba hakuna mbaya yuko vizuri kweli
Mzee mwiny upo vzr nakukubal sn
Mnafundisha voo
Hahaha, hongeren sana. Dongo mzgo huuwezi uo acha nije kukusaidy
Mwinyi heshima kwako baba kaz ni poa japo nahisi kuna pande hamzitazami zaidi
Nzuri, ila picha haina ubora
Jufe film mnajitahidi sana. Kazi zenu nzuri sana. Musichoke ipo siku mtafanikiwa
Wake wa siku hizi Hawa mpaka Pemba kumebadilika siku hizi
Safi sana Maashaallah Baaraka llahu feeq . .
Kazi nzuri
Mashaallah mafunzo mazuri sana ndoa zinahitaji subra ndugu zangu ila kwa sasa ndio haipo na huu mchezo ndio yaliyopo matupu
Dah!! Jufe uko sawa..
Hii inafundisha haaaaswa
Fantastic, mi nimeona jambo moja hapa...
#MwinyiMpeku bila shaka alienda kwa mtoto wake kumchunguza Mume kama hakidhi vigezo alivyokua akivifikira yeye...kile cha uhuni, bangi, na mengine...
Hile scene ya malumbano kati ya #DongavsNaomba...
Haikukaa poa sana....soon baad ya Mzee Mwinyi kufungua mlango, Naomba alimpiga jicho baba yake tjen ndo akaanza malumbano na mume wake...nae Dongo pia alikua akihusiha malumbano kwa kumuangalia mzee Mwinyi...haikupendez kias fulani
Basi kungekua na option mbili
1. Wangeanza malumbano kabla ya mzee kuingia (wakat yupo nje), then yey ayakute tu malumbano
2. Basi hata hiyo baada ya kuingia....wngechukua walau dakika 2 kwa wstan nd wakaanza kugombana pasi na kumtupia jicho mzee...hata kama kila mmoja akilin mwake inampitikia kua kila akifanyacho mmoja wetu kipo kweny "Script' na tunakielewa
Nadhani alicho akitafut #Mwinyi ni ushahid tu kutoka kwa mkwe wake #Dongo jinsi anavyoish na mkewe...
Nawasilisha...
🙈..🙉...🙊..
Mawazo yako ni mazuri, ila nahisi hukuelewa. Walichomaanisha. Ni kwamba mke alifanya vile Ili kusudi kumuadhirisha Kwa mzazi wake Ili aonekano kuwa mwanaume hamshuhulikii.
Unakumbuka alienda kuongea uogo wa baba yake
MashaAllaah tabaraAllaah kweli kazi zuri sana
Shukran kwa mafuzo mazuri yaani
Kunikumbusha mbali ninamtoto wa ami yangu akilia husema mbanahuninyamazishi basi na cheka haaaaaaaaa
Mashaallah inamafundisho👌
Mashaallaah shukuran ujumbe umeshatufika great sana
Safiiiii
Bebe la too 😃😃😃😃😃🙃😃
Hahhahhaha Naomba nakupenda mama yang mieeee kwa kukopa ni hatari ila unajua mmy uko mwee 💋💋💋❤❤❤
Shukran wapemba wenzanguuu fantastic 😊😊😊😊
Dah Dongo yupo vxur sana kwa kweli.Naomba nae dah namkubal sana.hababaishwi na Camera.Mxee mwinyi nae ndo ohoo usiseme.yuko poa ssnaaaa
Ujumbe uwafikie wote unao wahusu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 naomba bwan 🤣🤣🤣🤣
I love my pemba good job 👏 👍 ❤ 🙌 💓 ♥
Hongera
Hhhhhhhhh 😀😀😀 bebeeeeee bybeeee
Salam ziwafikie wenye tabia hii
Ameen 😂
Risasi Kambuki
Mchezo akiigiza dongo na akawa mkewe huyu mwanamke unanoga mmooooo kwa7bu wanaendana sana
Mchezo mzuri na unafunzaaa
Hhhhh mashalalh, nimepitwa kdg kuitazama
Masha Allah napenda sana movies zenu
Muko vizuri san ila mwakaa sana
Hahaahaa Bebe kaingia mitini😁
Hapo hakukuwa na option nyengine zaidi ya hiyo
Ingekuwa ww ungefanyaj😂😂
Nyotee nawakubali Ila makunde hatari
😂😂😂😂😂❤️❤️❤️Aaa
😂😂😂😂❤🎉🎉🎉😮😮😮
Hatari kwl kwl 😂😂 mwanamke usikione kitu tyr umekitamani, alaf eti sy kuishi hapa tumepapenda tuu
Etii bebe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sina mbavu
Hhhh mimi kwanza nimeskia bibi...kumbe bebe
Nakuuliza wewe mijicho 😀😀Manake kwanza ncheke
Nakuuliza weye mijicho 🤣🤣🤣 hapo pamenimaliza
Muko vizuri jufe hongereni kwa elimu km hii nzuri
Nzuri sana pia ina maadili
Bebe🤣🤣🤣🤣
Mda wote mnajadir ndoa2 watoto je
Tutaeleweka tu
🤣🤣 Masha Allah,, kazi nzuri
Hongera Mwinyi na vijana wako wote mulioshiriki kuiandaa hii kazi .. Na pia nimpongeze "Edi best kwa story yake bomba kabisa.. Allah awape kila la kheri....Ipo cku Allah(s.w) atawafikisha pale munapo taka mufike..Insha Allah....
Mm napenda kuwapa saport kila mnapo towa new job kwasababu hii kazi naikubali vbaya na naitaka sana.. Lakini Insha Allah Kwa kila alie na lengo zuri nao hii kazi Allah atamnyanyuwa, INSHA ALLAH
''SAY AMEEN'"
Ameen
Nice
😂😂😂😂😂😂😂 Mbona huninyamazishi
🤣🤣🤣kanichekesha
1st
Salamu ziwafikie
Jufe mupo juu sana films zenu zinafundisha sana MashaAllah,wallah ndugu zangu mnajuwa sanaaa big up jufe
Ahsante kaka..
Bebe beibeeee
Dongo my brother
Weleeeeooo 🤣🤣
Hahahahahahahahaha mbavu zangu
Wee Aisha Abdi unacheka nini sasa? Wee kalia Kula bariis na hiliib! Basi! Nyooo!!!! Weee no harkaaa!!! Tu!!! Khumayadhaa!!!
😂😂😂🤣🤣👏👏
Masha Allah
Nawafatilia nikiwa pande za Sikonge Tabora mmenikumbusha nilipotoka nimefrai sana.
Naomba mijicho kama dume wa gari
Bebe 😂😂😂😂😂dawa yaaako
Kiswabi mbona hamumshirikishi sikubizi Yule jamaa fundi
Umejua kumpata anajua kulia hyo dada
Wa fayagia au wachoraa
From Mombasa 🇰🇪 napenda sana movies zenu bravo👏
Dongo fundiii, Kiswabi fundiii, Mwinyi Mpiku Fundii, Kachara fundiiii, Makame Nuhusi Fundiii, Mau Mpemba Fundiii na nyoteee mafundii hongeren sanaaa❤️❤️❤️❤️🧡🤍🤍
bebebe kazi nzuri sana
Mung atawasaidia nyote
Kuna hamiraaa tomatoo
Asante mwinyi!!!!
muko vizur ila tu tatizo mnacherewa kutoa filam tunataka vitu karaka haraka
Tatizo pesa na udhamini michezo inahitaji pesa ndugu
Mupiga mwinyi hatari
Inamafunzo
Kiswabi hatujamuon muda tena
Bebeeee🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 bebee
👍