Haaaaaaaaaaa dongo umeniokote ulipo sema umepikiwa vitobwesha vilivyo changanywa na chiki chi na miye nilipika hivo vitobwesha ukila kimoja hurudiyii mara mbili mungu awabariki nyote muzidi kufika mbali
Baada ya mwezi mmoja Naomba keshaolewa...Kwa iyo hajalea eddah😂😂😂 mau hapa umetupiga za uso....eddah ya kuachika ni thalaathat quruui.( Mizunguko mi3 ya period)
Mwishoni mumefeli MAU , NAOMBA hakukaa eda , maana hapo tumeambiwa baada ya mwezi kisha tunaoneshwa maisha ya DONGO na mkewe , lakini siku hiyo hiyo DONGO amekwenda kumshtakia MAU , kisha tunaoneshwa MAU ni mume wa NAOMBA , Tafsiri yke ni kwamba NAOMBA hakukaa eda ya mtu aliyeachika ❌
Ni kz nzuri sn lkn Kuna sehem ndogo mumekoseya mulipoanda BAADA YA MWEZI MMOJA Dongo kumuacha mke wke na tyr kashamuowa Hasanati na vituko vimeshaanza lkn mwezi huohuo mmoja anaeda kwa Mau aliyekuwa mke wke kashaolewa na Mau kosa likon hapa aliyekuwa mke wa Dongo kamaliza eda mda gani?
Huyu dada nampenda sana anaigiza vizuri sana❤❤
hata mimi nampenda yuko makini sana na kila mahali ukimueka yuko sawa
Watu zangu mnatuelimisha sana kila hatua dua 🙏🙏
Dongo ww ni kile brahd muuwajii kabisaaa unajuwa mpk una booowaaa nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yako
Wa kwannza naomba like
Naomba chozi lako halikawii kutoka wewe acter mzuri sana congratulation
Asante nashkur
@@NAOMBAOGhujambo naomba namba Yako habibty
Kazi kali sana team mau hakika ipo siku nasisi titafika mbali sana inshalla
Kamanda dogo ww noma una maneno kama kasuku hushindwi
may ALLAH grant you a good way to reach your goals INSHAALLAH kaz nzur
Kazi iendelee tu guys endeleeni kutuwakilisha vyema
Dongo umenifanya nicheke kwa sauti mbele ya mabosi wangu. 😂😂😂😂😂😂😂😂. Kushamuacha Naomba lkn bado akuita mume wangu 😂😂😂😂😂. Hatari kweli
Heeee dongo weeee.unamsimanga mkeo?😂hahahaa dongo nakupenda kwa ajili ya Allah
Namuona hasanat wa uungwana kapendeza sana mashallah
Hee funzwa ni wavelewe na jamuweza miyeee.hahahaa
naomba mola akuzdshie unajua kuigiza nakupa hongera sana
The first one nipeni like zangu❤
Nmewah leo 😄😄
Haaaaaaaaaaa dongo umeniokote ulipo sema umepikiwa vitobwesha vilivyo changanywa na chiki chi na miye nilipika hivo vitobwesha ukila kimoja hurudiyii mara mbili mungu awabariki nyote muzidi kufika mbali
Duh sabiha umenicheka 😅😅😅😅 uliposema ulipika vitobwesha ukila kimoja hurudiii na sukar yote inayowekwa mule hurudii😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
Nawapenda sana mungu awabariki muweze kufika mbali ameen❤❤
Kweli mkataa pema pabaya panamgoja dongo umekwiva leo😂😂😂😂
Napenda ziwe na dk nyingi km ivi
Na leo nimewah
Wa kwanza mm leo
Hongereni.mnajuwa.kaka zangu
Mwanaume akipata mwengne wanyuma Hana lake tena
Muongozaji wa mchezo kipande hichi kiangalie vizur Edda ya mwezi mmoja kivipi
Mwanamme akipata mwanamke mwengine ajion kamili ardhi hahahaha uwii
Daaah inasikitisha sanaaaa ni nzuur sanaaa
Mnatisha sana dongo ❤❤❤
Hii kazi bila dongo hammna kitu Yani huyu dongo namkubali sana mungu atawajalia mutafika mbali
Kunywa Pepsi baridi nalipia😆. Kazi bila Dongo nisawa na zero.
Huyu Dongo ata ktk uhalisia ana vituko kuliko ktk michezo
Dongo tatizo yule kuku hwentengeza ati.
Mambo mazur maa shaa Allah
Semaaa nonana husemi mapochi bwana mna balaaa
Kilio cha wengi ni mda mdogo wa clip ila leo umerefuka kidogo.
Kumbe dongo unamdharau mkeo una michipukoo?😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti naona yu hapa😂😂😂😂
Hahahaha may bwana ah una vituko Kweli Kweli eti au hajui pika
Vitobwesha Kama njugu mawe zilizochanganyishwa na chikichi 😂😂😂 Dongo hujawahi niangushaaa.......
Na iyo michanga mingi😂😂😂
Baada ya mwezi mmoja Naomba keshaolewa...Kwa iyo hajalea eddah😂😂😂 mau hapa umetupiga za uso....eddah ya kuachika ni thalaathat quruui.( Mizunguko mi3 ya period)
Talaka tatu hazina heda muhinu piriod moja tu
@@makameibrahim5086hapana lazima akae quruuu 3
@@issakassimsaid9097 👍
Dongo nisha rowa namung’unyuka hahahahaha
Ntu kwake achaguliwa langu wakupita?hahahaa dongo unani chekesha sn
Pemba oyeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dongo utajuwa hujui kusharoa
Duh so poa, ujumbe mwanana sana. Kweli mkataa pema... papaya panamwita.
Binafs nimzpend kaz zen especially fundi dongo na mau as well as na hyo mdad naomb duuuuh nishida San anajuwa
Santhaaaa akupe gass bila ivo usipike utakua mweusi malipo nihapohapo akhera isabu
Shukran shukran much love 🎉🎉🎉🎉🎉
Hhhh ety dongo much love
Mau nakupenda sana! ❤❤❤
Dongo lisharoa 😂😂😂
Kazi Bomba sana pigeni kazi hakika nasisi ipo siku tutafika mbali sana
Hatupoi
Dongo katiwa adabu na jeuri zake
😂😂😂😂dongo leo kaumbuka
Wapemba hatuna mbambambaa
Kabisa yaan
Mmeuwa
Saf sana
Mau anavyotazama ni vichekesho tupu😂😂😂😂😂
Naomba!!!! Mpeni Maua yake
Asante
🎉🎉🎉
😀😀😀😀😀Mwana kulitafuta mwana kulipata sipikii kuni wala mkaa maji yasipite tu 😂😂
Asnten sana hongereni sana ❤👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Endleeni munaelimisha jamii vzr san
Lamungunyuka vo dongo😂😂😂😂
Naomba Bint kibendera🤗😁
Naam youngjamaica
Tatizo Naomba Kibendera ulimkera Dongo, mke wa ngomani 😅😅
Maashallh Maashallh nimeipebdaa❤
Mashallah kaz mzur sana big up
Tena ukiniita mume wang
Nawapenda kwa vtuko vyenu😂😂😂❤
Mmetisha sna
Km nyuba ni ya babayo
Masha Allah kazi nzuri
Mkataaa Pema pabaya humwita
Na mm sijachelewa
Safi sna ndugu znguni
Mwaharam hhhhhhh dongo umemungunyuka
😂😂ndongo love you
Ety dongo love hhhh asante nimependa
Big up
Fundi wazidi chafukwa lete vituu(mpaka dongo kanzu lake kalifua leo)
Gari ya ngombe ya massoud omar
Mwishoni mumefeli MAU , NAOMBA hakukaa eda , maana hapo tumeambiwa baada ya mwezi kisha tunaoneshwa maisha ya DONGO na mkewe , lakini siku hiyo hiyo DONGO amekwenda kumshtakia MAU , kisha tunaoneshwa MAU ni mume wa NAOMBA ,
Tafsiri yke ni kwamba NAOMBA hakukaa eda ya mtu aliyeachika ❌
Maigizo
Jaman mbona makame hatumuoni
❤❤❤😊😊😊😊😊😊
Jina la hii series ni fumbua macho au mkataa pema jamani
Mkataa pema nj jina la hii episode na fumbua macho ni jina la kipindi mpendwa
Mwenye kuli tafuta 😅
hatibu gonja haijui gesi 😅😅
❤❤❤
Ni kz nzuri sn lkn Kuna sehem ndogo mumekoseya mulipoanda BAADA YA MWEZI MMOJA Dongo kumuacha mke wke na tyr kashamuowa Hasanati na vituko vimeshaanza lkn mwezi huohuo mmoja anaeda kwa Mau aliyekuwa mke wke kashaolewa na Mau kosa likon hapa aliyekuwa mke wa Dongo kamaliza eda mda gani?
tunapata mafunzo na furaha pia
Munanifurahisha vizuri
Saf xna
Weee nakuokota hap hapa kijijini😅
Naona vyangu mbwto mbwito tu.hhhhhhhhh
Hongeren❤
Inamaana mau unakula kibudu baada ya mwezi 1 umekwenda kuowa hukusubiri ata EDA umekwenda kuowa haki yake dongo kukwambia ivo
👍👍👍👍👍👍👍
Shukran Kwa ukumbusho
Kazi safiiii
Hhhhh
Apo director mmetuacha baada ya mwezi mmoja Naomba ameshaolewa iyo Eda kamaliza lini?
Kwani si alimuacha Talaka 3 kwa mpigo😂😂😂?
@@engineerkhamis9275sawa lkn eddah muhimu ikamilike mda wake dear asjekuchanganya dam bure😊😊😊 haijalish talaka3 au moja
Ni tatizo la kiufundi apo limepita kidg tuvumilian
Kwakwel chema hakidumu
Mchanguwa nazi upata koroma
Pezi tatizo