MREMBO WA KITANZANIA ANAEENDESHA GARI LA TAKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 มี.ค. 2020
- Tumaini Mboya ni mwanamke wa Kitanzania anayejihusisha na udereva, hususani wa kuendesha magari ya kubebea Takataka.
Licha ya uzuri ya uzuri wake na kuwa na familia lakini anajiongezea kipato kupitia udereva wa magari ya kubebea Taka.
My mom out there hustling that's the meaning of equality to both gender shout out to my beautiful mom❤❤❤💋💋💋
Thank u my daughter i love u
Nakubali sana haka kafamilia Mungu awabariki
Happy mothers day to her...she's a super woman 👩 💐
Safi sana Sasa wew unaechagua Kaz baki na usharobaro wako hapo sisi tu nasafsha vyoo kila sku na tunasonga mbele
Jamani hongera sana ,I really like it
Honger mwaya fanya kaz kwa bidii usikatishwe tamaa na maneno ya walimwengu hata ukipata gar la kuzibua caro la maji taka fanya kwa moyo 1MUNGU akubariki🙏🙏
Sio mi mwanamke anawaz kudanga tyuu
Kip.it up Lady go on!!!
Iyo kazi nimeipenda
Kazi ni kazi haina kuchagua. Safi sana
Super woman Kama Mimi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tupambane kipenzi
Jamani sura na kazi hebu uachane nazo. Hongera dada. Kaendeshe bus la abiria. Wamama mko makini. Hata ukiolewa usiache kazi yako. Mko watulivu barabarani.
Safi kabisa!!! Nimempenda anajiamini
Hongera kwake super woman
Hongera dada...piga kazi, na mungu atakubarik zaid
Asante Salum
@@zaitunmtinange3453 asante sana da Zay
Hongera yake dada yuko vizuri
NIMEMUONA JUZI KATI HAPO MAENEO YA MSIMBAZI CENTER
Hongera sana,
Hongera sana Tuma
Ongera!
Wewe Ni mama wa shoka!
Daaa mzur
Hongera sana da hope kaza msuli kazi haichagui shogaangu ❤😘
Asante dear
My super woman,
Hawa the bus driver uyu ni super woman
Congrats mama!pambana ya Ela yote!
🔥
Big up mummy. 😘😘😘
Hiyonikaz mama kazinyingine nikawaidatuu hilo msishangae udereva siajabu
Mommy ♥️🥺 endelea kututengenezea njia mama yangu nakupenda sanaa
Nakupenda sana daughter sorry kwa kuchelewa kujibu
😂😂😂😂kafamilia noma
Super woman
Mashllh
👑👑Malikia wa nguvu 👑👑
Asante sana
Mashaallah malkia wa nguvu
Asante Asia pole kwa swaumu
Bigup sanaa
Message my sister good 🇺🇸
Asante sana
Usishangae wala usione hatari sio ajabu waache kina mama wa husl ausio babake
Nimefurahi sana.anajitambua dada huyo
Asante sana
🥰🥰👌
Ckupingii Suka ndani ya Scania P310
Huyu Mdada ni mzur
Kama mm hahaha
Super women
Wandishi habar bongo hamnaga kaz
Jamaa anangangania uzuri
dada mjanja be blessed
Amen same there
Dada we n mtu wa mfano kwa hao wanaojiona wazur uzur cyo sura uzur n yale uyatendayo na kwa hakika unatenda vyema kwan unatuondolea adha ya uchaf katka mazngra yet ndo jambo jema kulko kupiga pafyum wakat umeacha kiloba cha taka koridon kwako na kinatoa haruf mbaya. Nakuombea kaz yako ikaw ya baraka na kuokanika katka jamii mung awe nawe ........
Asante sana ni mwendo wa kupambana tu hakuna namna
Saf dada
Ingekuwa ni zile chakavu mbaya za mtaani asingeendesha ukikaa mbele harufu unaiskia tu
Jamaa aliona bora ajaribu zari. Aliposikia ana mume na watoto anapata homa. 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Huyu pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Millard Ayo nawaona hawajui kufanya kazi professionally.
Kwer
Hahahaha eti ajarib zari
💇💇🙏
Safi sana hakuna kuchagua kazi eti kisa mzuri kwanii mzuri hataki hela asee
Aloo hapa ni kazi tu uzuri tupa kule
Ausio wajitume kwasana sio kusubiria mabwana
Kupambana ni muhimu sana kwa maisha ya sasaiv
@@tumainimboya1352 haposawa maana maisha ya sasa nikusaidiana kwa mume na mke ndio maanake
Mtangazaji amekomaa na uzuri tu..
Ujinga nao
Mtangazaji anakneka fataki Sana maana kila mda uzur uzur mmhh
Yani brother miradi habari yoyote inayomuhusu mchaga lazima uitowe!!! Nivizury muwe mnatowa na habari za wengine jamani duhhh kaskazini tu??
Sio kweli
MYANGAZAJI UNANG'ANG'ANIA UZURI MARA KUOLEWA .- KWANI UZURI NI NINI?
NA VINA UHUSIANO GANI NA KAZI HARALI YA MTU ALIYO ICHAGUA MWENYEWE ?
Amepwaya
Hongera Tumaini kimaro Sanya juu moja hiyo hatutaki mchezo
Wadangaji mmeisoma hiyooo!!!,igeni kwa Dada jasiri
huyu huwezi kusikia amepigwa na Aslay, nadhani tumeelewana au niongeze volume.
Chagga ladies always watafutaji
Ongeza arif
Hahaha magufuli amsifia hapa Nazi tu tazamath-cam.com/video/woma86iq0VE/w-d-xo.html
Alafu wanawake saivi siyo kama zamani,wanakaba mpaka ajira zetu wanaume.tukomae nasi wanaume ili baadhi ya kazi wasiendelee kuiga.
Erick chitumbi hahaha
Tupambane tugawane riziki
Tatzo nyie wanaume si hatak Kaz ngojen sisi tupambane sasahv hamna Kaz ya ke wala me kinachotakiwa ni upambanaj wako Sasa kama ww utaangalia kusemwa au kuchekwa unakaa pemben.
@@user-xx8jx6tb7d mnapata kazi wakati mwingine kwa kigezo cha jinsia na siyo ubora.
Unashangaa gar Tupo tunaoendesha maisha ya wanaume sembese gani😂😂
So lame
Hahahaaaa
😀😀😀
Hujmb bidad
Super woman
Super women
Mrembo lakin matata kwenye lori
Safi sana