Sheria inashindwa kuchukua hatua kali kwa makosa mabaya ya ukatili haswa wa kijinsia ivo basi mtu anaamua kumaliza mwenyewe...sababu ni wazi huyu alikuwa tayari kufa kwajili ya mwanae,na hakuona sababu ya kuendelea kuishi sababu furaha yake haipo tena ,ivo basi akachukua hatua mkononi akifa afe akifungwa afungwe tu...she had nothing to lose It couldnt be helped
Marianne Bachmeier The queen of all mothers❤
Sio huko tu kwani bongo binti wa watu hajabakwa na wanaume wa 5 na bado mpaka sasa hakuna haki ambayo imetendeka
Hata mimi ningekuwa na nafasi hiyo ningeuwa😢
Hata mimi kama mama ningefanya hvyo na zaidi
Hata mimi nakwambia ninhefanya hivyo maana sina cha kupoteza tena
Hii huwa inauma sana, kama hayajakukuta huwezi mwelewa huyu mama, hata mimi ningemvumilia mharifu😢 halafu namuona hapana
Sheria inashindwa kuchukua hatua kali kwa makosa mabaya ya ukatili haswa wa kijinsia ivo basi mtu anaamua kumaliza mwenyewe...sababu ni wazi huyu alikuwa tayari kufa kwajili ya mwanae,na hakuona sababu ya kuendelea kuishi sababu furaha yake haipo tena ,ivo basi akachukua hatua mkononi akifa afe akifungwa afungwe tu...she had nothing to lose
It couldnt be helped
Ningefanya hivyo hivyo pia.
hongera mama wala cmlaum kwa maamuz hayo
Wabakaji na wafilaji wakatwee mbolo na wauwawe ndo maoni yangu
Wafiraji wanankera Sana ingewekwa Sheria ya kunyongwa ili wengine wapate hofu
Mamb mrembo nahisi kabisa ww ndie mwanamke wa maisha yangu
Yan ww km mm nataman wauliwe wote mbwa hawa
😂😂😂@@idrissaissa5607
kwel ubaya ubwera hata ningekua mm ningemutowa ubogo mbele ya majaj
Si ndo kamuua mbele ya majaji
Nimeskia tu pah paah paaah paaaah 👂
Atlist mama amepunguza machungu Mungu amsimamie
Mbona hana kosa kabisa
Binti aliyebakwa na 5 kwa sasa kimyaaaa!
Yan wameizima kimya kimya
@@wadantz123yn sjui kwann
Super woman
Hii iitwe AYO THE STORY BOOK
Aiseee hata kama ni mimi nakumaliza tu .unibake uniulie mtoto weeee
Tafuteni habari zetu
Hakika huyu jamaa ni mwamba mno hakika kabisa kafanya jambo la kufurahishq mnoo
Jamani yupi tena. Huyo mwanamke useme kavaa koti anaonekana jamaa
.