VIDEO: BIRTHDAY PARTY ya NANDY ilivyonoga /MA-KISS Njenje/ BILLNASS Amtunza DHAHABU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ส.ค. 2024
- Hivi ndivyo the African Princes Nandy alivyo sheherekea birthday yake usiku wa kuamkia November 10. Birthday party hiyo iliudhuriwa na watu maarufu mbalimbali kama Lil Ommy, Mamy Baby, Ammy Girl, Barnaba, Madee n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#NANDY #BIRTHDAY #BILLNASS - บันเทิง
Nandy the African princess 👌,ndo msanii wa kikee ninaye penda the Holly world 🌎,,hongera sana mama
Mashalaa!! Asante billnass kwa zawadi tutegemee zawadi kutoka kwa Nandy akimpa mpenzi wake na mama mkwe (mama billnass) itapendeza
Mungu awajalie maisha marefu yenye Furaha tele.
Nandia thank you for marriage
Mambo si hayo. Mashaallah. Happy birthday
Jamani pesa rahaaa happy bornday to mom n dota
Wamekatwa midomo wanaosema billinass hawatakiwi wataishi wapi na mvuwa imkuwa kubwa hatari 😍😍
Baada ya ndoa Niko hapa nawapenda Sana Bilnandy
Lovely birthday ever
Nawapenda sana
Jaman yaaani imependeza sana Mungu awalinde.
Nandy fantastic
💖💖💖💖nakukubaliii
Nenga una heshima sana
Kama unahisi kuna pahali upo mwaga makopa Kwao 😘😍😍😍
Haha erieth wamependeza nampendaga, mama nandy
Naipendaga, hiyo nyimbo ya, happy birthday to you
MC NIMEMPENDA
Baba, mshuwa uyo keki kajifanya kama anampa nandy badaye kachenj
Hao watu wasije kuachana wanaenda kiukweli na billnass Nandy mama tunakukubali wengi happy birthday to you
HBD nandy
Happy birthday 🎂🎊 pacha wa mm nandy love
Hbd 😍 nawapeda
Mammy ana busara❤️❤️
Nakupenda San Nandy
Mammy ana busara❤️
M C A voice is amazing walai
Duuu mi siwez kwa kwel kufanya Ivo mbele ya wazaz et ata siku ya hard yangu sikuweza..
Mungu awe nanyi xku zote
Upendo wako uzidi kwao kaka💞
Mbona bilinas anajikuna
Amemeza keki kampa ulim mmmmmh
Waikati mwingine mtumie stick ambayo mkitumia unatupa sio uma Unatumika kwa wote
Mabord guard wametisha
Wanashea tarehe kumbe
Nanda umenifuraisha kutaman zawad ya mama
hbd
Bugana hilo
Kiukweli BILLNAS UTAMBUA KWAMBA MAMA NDO NGUZO YA MAISHA
Hio nguo kwa wazaz sasa mmh,.ndio usan tunafanyaje sasa
Na huo mkisu ilikuwaje🤔
Maisha yawe marefu
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🕊️
Mc umetisha love you😘
Mkisu wa kuchinjia mtu