UNABII WA SIKU ZA MWISHO NA KURUDI KWA YESU|Rabbi Abshalom Longan| DRC

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 69

  • @mercyadisa9030
    @mercyadisa9030 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mtumishi kwa kuhubiri kuhusu siku ya mwisho.

  • @bwirabubuyakatukaongoDavid
    @bwirabubuyakatukaongoDavid 5 วันที่ผ่านมา

    Asante sana mtumishi wa Mungu, kweli Sisi ni washindi katika Bwana wetu Yesu.

  • @FrankRashid-kh8fz
    @FrankRashid-kh8fz 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu apewe sifa kwa neno lake na kwa mtumishi wake mimi ni Titus nipo Burundi

  • @MarioNashibanguileNalivave
    @MarioNashibanguileNalivave วันที่ผ่านมา

    Hongera sana ntumishi ubarikiwe sana tukuombeya kabisa

  • @GadMat
    @GadMat วันที่ผ่านมา

    Utukufu kwa Mungu
    Barikiwa

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 หลายเดือนก่อน +9

    Toka nianze kusali sijawai sikia mafundisho kama haya mazuri mtumishi BWANA YESU ubarikiwe sana

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน +1

      Jeremia Neno la Mungu hilo

    • @MatesoLukas
      @MatesoLukas 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ahsante yesu kwa kuifunua siri hii kwa mtumishi huyu hakika nimejifunza kitu ❤

  • @LucyJ-Neri
    @LucyJ-Neri 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mtumishi ni wakati wa kumkaribia Mungu sana

  • @captainmwakio2505
    @captainmwakio2505 หลายเดือนก่อน +1

    Amen.Kanisa la Bwana libarikiwe.Ewe MUNGU liinuwe viwango vingine.Limedharauliwa sana.Mungu ajidhihirishe mwenyewe duniani kwamba yuko,hajaacha watumishi wake.Amen.

  • @MariethaMwacha-cr8su
    @MariethaMwacha-cr8su 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mtumishi wa Mungu hongera sana popote ulipo. Nimekusikiliza nika furahi sana mafundisho yako yamenijenga umenifundisha kuhusu hizi nyakati za hatari nimesikia kububujika sana Mungu akubariki. Naitwa Marietha naishi Arusha Ni mzaliwa wa kilimamjaro Mungu akubariki uje na huku kwetu

  • @TinaKilumbalumba
    @TinaKilumbalumba 17 วันที่ผ่านมา

    Nilijihuliza hilo swzli la nani mke wa kaini tangu zamani leo ni mepata jibu ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @IbraElia
    @IbraElia 6 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ndie mtumishi wa mungu mm ni msabato ila huyu nizaid anamafundisho ya mungu huyu nizaid ya mulokole huyu nimhubili wa wahubili mungu amlinde tunamuombiea nasa

  • @godfreylickson
    @godfreylickson 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kutoka morogoro wilaya mpya ya mlimba sehem moja inaitwa Mbingu kiukweli unaeleweka vizir Sana uishi upendevyo ukimpendeza MUNGU na sis barikiwa Sana

  • @loserianlaizer
    @loserianlaizer 17 วันที่ผ่านมา

    Amina liko Arusha _Kisongo Ukiulizia TU kwake anajulikana

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน +1

    Absalom Longani nakukumbuka sana
    Mara ya kwanza tulikutana mji wa Nzega Tanzania. Nilijifunza Neno la Mungu vizuri

  • @desderiakinalilo-xe7vw
    @desderiakinalilo-xe7vw 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa unatufundisha vyema

    • @captainmwakio2505
      @captainmwakio2505 หลายเดือนก่อน

      Mimi mwenyewe nilisoma kwa bidii,nikapita mitihani za Walimu.Lakini ya MUNGU nilianguka sana.Uvimbe kwa akili,nilisahau masomo yote.Kwenye chumba cha wangonjwa maututi,nilipofungua macho,sauti ilinijia kwamba mgomee shetani.Kuanzia siko hiyo namkemea asinitawale.Sasa nakaza Yesu anitawale,sio ya dunia hii inayo pita.Halleluyaaaa!

    • @SamweliFundimtega
      @SamweliFundimtega วันที่ผ่านมา

      Hakika huyu mtumishi atukumbusha yaliyonewa na manabii, mwenye sikio asikie roho anena na kanisa,,,,Ameen

    • @SamweliFundimtega
      @SamweliFundimtega วันที่ผ่านมา

      Wakati umeeiisha wapendwa kufumba na kufumbia Yesu anakuja hakika.

  • @AmaniChilimila
    @AmaniChilimila 8 หลายเดือนก่อน +1

    My role model natamani Sana Mungu anipe karama Kama ya baba yetu longani MWENYEZI MUNGU akubarik Sana

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza Wewe umeletwa duniani kutimiza kusudi la Mungu
      Sasa kipawa ulicho pewa na huduma uliyo pewa tumikia hiyo mtumishi utamuona Bwana

  • @AlmachiusInnocentAlmachiusInno
    @AlmachiusInnocentAlmachiusInno 27 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubaliki kwa kutuweka tayari kwa ajili ya unyakuo

  • @everinemasoka6923
    @everinemasoka6923 17 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen

  • @jacobmahona187
    @jacobmahona187 8 หลายเดือนก่อน

    Nakufuatilia Sana kutoka kakola kahama Mungu akubariki sana

  • @NovatiKisaka
    @NovatiKisaka 11 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @johnnguttu9516
    @johnnguttu9516 8 หลายเดือนก่อน

    Kushinda ni lazima. Ninalo jina lake Kristo YESU ndani yangu

  • @AnyelwisyeKalesi
    @AnyelwisyeKalesi 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU .

  • @livebeyond8213
    @livebeyond8213 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana baba kwa ujumbe mzuri...

  • @ferixsikota3898
    @ferixsikota3898 8 หลายเดือนก่อน

    Thank you so much for beautiful message me from Zambia Amen in Jesus name

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster 4 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi mungu alutie nguvu

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 8 หลายเดือนก่อน

    Shalom mimi sijaelewa kuusu Christmas tafathali nipe maandiko na ufafanuzi

  • @desmonflever6184
    @desmonflever6184 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @florencekanyere3284
    @florencekanyere3284 8 หลายเดือนก่อน

    Aksante sana mwalimu wangu

  • @OscarBahora
    @OscarBahora 3 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana myumishi wa Mungu

  • @edwardmadale8604
    @edwardmadale8604 3 หลายเดือนก่อน

    God bless you

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 5 หลายเดือนก่อน

    BWANA YESU akubariki sana

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atukumbuke

  • @Pendo-r6k
    @Pendo-r6k 8 หลายเดือนก่อน

    Arusha sehem Gani mtumishi wa Mungu

  • @eliyamakanika7282
    @eliyamakanika7282 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen amen❤❤

  • @CharlesMaghembe
    @CharlesMaghembe 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukuru Mungu kuweza kukupata. Ni mara yangu ya kwanza.

  • @C7Simulizi
    @C7Simulizi 8 หลายเดือนก่อน +2

    Amina

  • @enockNkanda-ji2dk
    @enockNkanda-ji2dk 8 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @bienfaitbakole6800
    @bienfaitbakole6800 7 หลายเดือนก่อน

    Sifa kwa Mungu ❤

  • @RenardShelembi
    @RenardShelembi 17 วันที่ผ่านมา

    Baba iseme kweli kwan watu kwa sasa hawaitaki kweli wanapenda kundaganywa pokea magari pokea majumba, sema kweli tupone watakao kataa waende vizur jehanam bila lawama et hatukusikia

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 8 หลายเดือนก่อน

    Amina baba

  • @mosesmedu8962
    @mosesmedu8962 8 หลายเดือนก่อน

    Nakupata vizuri papaa

  • @Vero-z6w
    @Vero-z6w 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amen, Amen, ubarikiwe sana baba

  • @ferixsikota3898
    @ferixsikota3898 8 หลายเดือนก่อน

    Amen in Jesus name

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su 8 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏🙏

  • @Jackline-ki7zl
    @Jackline-ki7zl 8 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio Siri ilifichwa .lakini mungu wetu si wa siri. Kila kitu Sasa kipo wazi.ashukuriwe mungu WA mbinguni

  • @landelinusbyabato2512
    @landelinusbyabato2512 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye kaanani umedanganya, tena umedanganya kabisa kweli kweli.

  • @shaluamagandi2184
    @shaluamagandi2184 6 วันที่ผ่านมา

    Ni mafundisho nadra na muhimu sana kwa sasa kwani hakika YESU yupo karibu sana sana kurudi. Nachelea kusema madhehebu mengi hawafundishi vyema au hawafundishi kabisa.

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan6330 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kanisa liko wapi hili?

  • @MargaretMwangende-rg8xr
    @MargaretMwangende-rg8xr 7 หลายเดือนก่อน

    I love Israel

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani msiwe mnakatiza mahubiri

  • @EuniceShane
    @EuniceShane 21 วันที่ผ่านมา

    Kanisa la uyu mchungaji liko wapi jaman

  • @RobertpixmasterPixmaster
    @RobertpixmasterPixmaster 4 หลายเดือนก่อน

    Nataman mno kuupata wokovu

  • @johnmwanikikamau1338
    @johnmwanikikamau1338 5 หลายเดือนก่อน

    Makumi..natisa...he mean..19..or

  • @AdorophinapKahwa
    @AdorophinapKahwa 3 หลายเดือนก่อน

    Uongo Israeli ya kimwili ilishapita. Agano lao limepita Sasa hivi ni Agano la kuja kwake Yesu mara ya pili. Israeli ya Kiroho. Wagalatia 3:7 " Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.

    • @RenardShelembi
      @RenardShelembi 17 วันที่ผ่านมา

      OK kwani we unasoma biblia ambayo imetimiza agano la Israel limepita, walumi tunaiweka wapi Paulo anaposema kama kwa kosa Lao tulipata wokovu je wao si zaidi?

  • @FranciscoOresteBernabé
    @FranciscoOresteBernabé 3 หลายเดือนก่อน +1

    apo umesema wongo crismas ni sikuku za upagani nafsiri ya wongo na baba wawongo ni shetani atali nipo moçambiqwe

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 8 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji unatumia kiswahili gan makumbili na Tisa ndo nn

  • @getrudematee9899
    @getrudematee9899 3 หลายเดือนก่อน

    Mafundisho yako yanatujengea ujasiri na kuondoa hofu

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 5 หลายเดือนก่อน

    Unabi wako umetimia. Mwezi wa nne Irane imeshambulia Israel 🇮🇷

  • @EuniceShane
    @EuniceShane 21 วันที่ผ่านมา

    Amen amen

  • @alengaelombelo2757
    @alengaelombelo2757 8 หลายเดือนก่อน

    Amen